Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 23.
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 23.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 23.

Siku kadhaa zilipita, nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumamosi na ilikuwa ni mida ya saa moja jioni, siku hiyo nilikuwa nikitembea peke yangu huku nikiwa nimevaa nguo za kawaida tu na kwakuwa nilikuwa bado sijayazoea vizuri mazingira nilifika kwenye uchochoro na kukutana na kundi la vijana waliokuwa wakivuta bangi.

Japo nilikuwa asikari ila niliogopa baada ya kuwaona vijana waliokuwa wakivuta bangi na ukizangatia nilikuwa kwenye mazingira hatarishi kidogo.

Sikutaka kuwasemesha zaidi ya kuendelea na safari yangu ila kijana mmoja aliniita na mimi nilijifanya kama sijamsikia.
Kijana aliyekuwa akiniita alikasirika baada ya kuniona nikiendelea na safari yangu bira kuitikia wito wake, aliamua kunifata na aliponifikia aliyashika makalio yangu nakuniambia.
"Oya sister nakuita alafu wewe unajifanya usikii sio?" Aliongea huku mdomo wake ukitoa harufu ya bangi.

Sikutaka kuwa mnyonge mbele yake na ukizingatia mimi ni asikari.
"Ivi unajua mimi ni nani!?" niliamua kumuuliza.
"Wewe si malaya kama malaya wengine tu sister, twende nikakutie" kijana alinijibu.

Baada ya kuniambia maneno yale niliona anataka kunizoea kwani nilimpiga teke lililompeleka mpaka chini.

"Kuwa na adabu mjinga wewe" niliongea na kuondoka huku nikimuacha akiugulia maumivu.

Baada ya mimi kuondoka wenzake walianza kumcheka na kumwambia kakubali kupigwa na mwanamke kizembe hivyo na yeye hakutaka kukubali.

Nikiwa natembea kuelekea kwangu kumbe alikuwa akinifatilia bira mimi kujua. nilifika mpaka kwangu na kabra sijaingia ndani nilisikia kijana aliyekuwa akinifatilia akiongea kwa sauti ya juu.
"Kumbe wewe malaya unakaa hapo lazima nije nikutie siku moja" aliongea na sauti yake waliisikia mpaka majirani zangu.

Cyborg mda huo alikuwa ndani na alitoka baada ya kuisikia sauti ya kijana mvuta bangi aliyekuwa akiniongelesha.

Cyborg baada ya kumuona kijana aliyekuwa akiniongelesha hasira zilimshika na kumsogelea na kijana huyo kutokana na bangi alizokuwa amevuta alijiamini na alikuwa na uhakika kuwa Cyborg hawezi kumfanya kitu chochote kile.

Cyborg alianza kuongea maneno ya kila aina baada ya kumfikia.
"Nani amekupa ruhusa ya kumuita mke wangu malaya!?"
"Huyo Malaya tu na lazima nije nimtie siku moja, atakuja kukupa habari zangu" aliendelea kuongea kwa kujiamini.

Cyborg alishikwa na hasira na kuanza kupigana nae, na kutokana na nguvu alizokuwa nazo alimzidi na kwa bahati mbaya alimsukuma chini na kwenda kuanguka kwenye jiwe na kusababisha apate jeraha kwenye kichwa chake.

Ilibidi nimfata kwa ajili ya kumzuia sababu niliona anaelekea kumuua.
"Malaika mwache nimuue huyu mpumbavu yani anakuita malaya na anabahati nimeacha kuvuta bangi leo ningemtusua na baadae ningeita masela wamzibue kabisa huko nyuma" Cyborg aliongea huku akiwa na hasira na majirani walitoka kwenye nyumba na kusogea kwenye nyumba yetu kwa ajili ya kuangalia ugomvi uliokuwa ukiendelea.

Ilikuwa ni aibu kwangu nikiwa kama asikari ugomvi kutokea ndani ya nyumba yangu, na kwakuwa kijana aliyepigwa na Cyborg alikuwa bado akiugulia maumivu niliingia ndani na kuchukua pingu yangu kisha baada ya hapo nilitoka na kwenda kumfunga kijana aliyekuwa akiniita Malaya na kunitukana kila aina ya matusi.

Kijana alishangaa kuona na mfunga pingu na kuanza kumvuta kumpeleka kituoni huku Cyborg akinisindikiza kwa ajili ya usalama wangu kwani yalikuwa ni majira ya usiku.
"Wewe Malaya mbona umenikamata peke yangu na huyo Malaya mwenzako umemuacha?" aliongea akimaanisha kuwa Cyborg ni Malaya mwenzangu.

Cyborg alimpiga kofi lililomfanya apige kelele kama mwizi aliyeshikwa na wananchi wenye hasira kali. kidogo ilisaidia na kumfanya apunguze kupiga kelele.

Nilimfikisha kituoni na asikari waliokuwa zamu walimchukua na kwenda kumuweka selo.
Afande mwenzangu aliniuliza kilichotokea na mimi niliamua kumsimulia kila kitu.
"Hawa vijana wanazidi kuongezeka siku hadi siku na bahati mbaya bangi zao wakishavuta wanawaza kufanya ngono na kuiba, hamna kitu cha maana wanachowaza" asikari mwenzangu aliongea na mimi nilikubaliana na maneno yake.

Mimi na Cyborg tuliamua kurudi nyumbani na Cyborg hakuacha kuniuliza ilikuwaje mpaka kibaka akanifatilia na ukizingatia kuwa mimi ni asikari.
Nilimsimulia kila kitu kilichotokea na Cyborg alinisihi nisije kurudia tena kupita kwenye vichochoro vya wavuta bangi.

Basi siku hiyo ilipita na siku kadhaa zilipita, na upande wa mme wangu Cyborg nilishangaa kumuona siku hiyo akijiandaa na kuvaa kichungaji hivyo ilibidi nimuulize.
"Mme wangu unaenda kanisani au?"
Baada ya kumuuliza Cyborg aliniangalia na kuniambia.
"Naenda kuhubiri watu waache maovu na wamrudie mungu"
Nilimshangaa baada ya kuniambia vile sababu ata yeye tu alikuwa bado hajaacha tabia yake yakutoa kila aina ya maneno wakati wa kufanya sex......ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 23.

PENZI LA MHALIFU 23.

Siku kadhaa zilipita, nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumamosi na ilikuwa ni mida ya saa moja jioni, siku hiyo nilikuwa nikitembea peke yangu huku nikiwa nimevaa nguo za kawaida tu na kwakuwa nilikuwa bado sijayazoea vizuri mazingira nilifika kwenye uchochoro na kukutana na kundi la vijana waliokuwa wakivuta bangi.

Japo nilikuwa asikari ila niliogopa baada ya kuwaona vijana waliokuwa wakivuta bangi na ukizangatia nilikuwa kwenye mazingira hatarishi kidogo.

Sikutaka kuwasemesha zaidi ya kuendelea na safari yangu ila kijana mmoja aliniita na mimi nilijifanya kama sijamsikia.
Kijana aliyekuwa akiniita alikasirika baada ya kuniona nikiendelea na safari yangu bira kuitikia wito...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-23

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

1.37K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

673
LETICIA 15:16

LETICIA 15:16

263
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

256
CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10

CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10

191
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

141
NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

74
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

34
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

18
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.93K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.63K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.79K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.66K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema “mimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest