Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 23.
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 23.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 23.

Siku kadhaa zilipita, nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumamosi na ilikuwa ni mida ya saa moja jioni, siku hiyo nilikuwa nikitembea peke yangu huku nikiwa nimevaa nguo za kawaida tu na kwakuwa nilikuwa bado sijayazoea vizuri mazingira nilifika kwenye uchochoro na kukutana na kundi la vijana waliokuwa wakivuta bangi.

Japo nilikuwa asikari ila niliogopa baada ya kuwaona vijana waliokuwa wakivuta bangi na ukizangatia nilikuwa kwenye mazingira hatarishi kidogo.

Sikutaka kuwasemesha zaidi ya kuendelea na safari yangu ila kijana mmoja aliniita na mimi nilijifanya kama sijamsikia.
Kijana aliyekuwa akiniita alikasirika baada ya kuniona nikiendelea na safari yangu bira kuitikia wito wake, aliamua kunifata na aliponifikia aliyashika makalio yangu nakuniambia.
"Oya sister nakuita alafu wewe unajifanya usikii sio?" Aliongea huku mdomo wake ukitoa harufu ya bangi.

Sikutaka kuwa mnyonge mbele yake na ukizingatia mimi ni asikari.
"Ivi unajua mimi ni nani!?" niliamua kumuuliza.
"Wewe si malaya kama malaya wengine tu sister, twende nikakutie" kijana alinijibu.

Baada ya kuniambia maneno yale niliona anataka kunizoea kwani nilimpiga teke lililompeleka mpaka chini.

"Kuwa na adabu mjinga wewe" niliongea na kuondoka huku nikimuacha akiugulia maumivu.

Baada ya mimi kuondoka wenzake walianza kumcheka na kumwambia kakubali kupigwa na mwanamke kizembe hivyo na yeye hakutaka kukubali.

Nikiwa natembea kuelekea kwangu kumbe alikuwa akinifatilia bira mimi kujua. nilifika mpaka kwangu na kabra sijaingia ndani nilisikia kijana aliyekuwa akinifatilia akiongea kwa sauti ya juu.
"Kumbe wewe malaya unakaa hapo lazima nije nikutie siku moja" aliongea na sauti yake waliisikia mpaka majirani zangu.

Cyborg mda huo alikuwa ndani na alitoka baada ya kuisikia sauti ya kijana mvuta bangi aliyekuwa akiniongelesha.

Cyborg baada ya kumuona kijana aliyekuwa akiniongelesha hasira zilimshika na kumsogelea na kijana huyo kutokana na bangi alizokuwa amevuta alijiamini na alikuwa na uhakika kuwa Cyborg hawezi kumfanya kitu chochote kile.

Cyborg alianza kuongea maneno ya kila aina baada ya kumfikia.
"Nani amekupa ruhusa ya kumuita mke wangu malaya!?"
"Huyo Malaya tu na lazima nije nimtie siku moja, atakuja kukupa habari zangu" aliendelea kuongea kwa kujiamini.

Cyborg alishikwa na hasira na kuanza kupigana nae, na kutokana na nguvu alizokuwa nazo alimzidi na kwa bahati mbaya alimsukuma chini na kwenda kuanguka kwenye jiwe na kusababisha apate jeraha kwenye kichwa chake.

Ilibidi nimfata kwa ajili ya kumzuia sababu niliona anaelekea kumuua.
"Malaika mwache nimuue huyu mpumbavu yani anakuita malaya na anabahati nimeacha kuvuta bangi leo ningemtusua na baadae ningeita masela wamzibue kabisa huko nyuma" Cyborg aliongea huku akiwa na hasira na majirani walitoka kwenye nyumba na kusogea kwenye nyumba yetu kwa ajili ya kuangalia ugomvi uliokuwa ukiendelea.

Ilikuwa ni aibu kwangu nikiwa kama asikari ugomvi kutokea ndani ya nyumba yangu, na kwakuwa kijana aliyepigwa na Cyborg alikuwa bado akiugulia maumivu niliingia ndani na kuchukua pingu yangu kisha baada ya hapo nilitoka na kwenda kumfunga kijana aliyekuwa akiniita Malaya na kunitukana kila aina ya matusi.

Kijana alishangaa kuona na mfunga pingu na kuanza kumvuta kumpeleka kituoni huku Cyborg akinisindikiza kwa ajili ya usalama wangu kwani yalikuwa ni majira ya usiku.
"Wewe Malaya mbona umenikamata peke yangu na huyo Malaya mwenzako umemuacha?" aliongea akimaanisha kuwa Cyborg ni Malaya mwenzangu.

Cyborg alimpiga kofi lililomfanya apige kelele kama mwizi aliyeshikwa na wananchi wenye hasira kali. kidogo ilisaidia na kumfanya apunguze kupiga kelele.

Nilimfikisha kituoni na asikari waliokuwa zamu walimchukua na kwenda kumuweka selo.
Afande mwenzangu aliniuliza kilichotokea na mimi niliamua kumsimulia kila kitu.
"Hawa vijana wanazidi kuongezeka siku hadi siku na bahati mbaya bangi zao wakishavuta wanawaza kufanya ngono na kuiba, hamna kitu cha maana wanachowaza" asikari mwenzangu aliongea na mimi nilikubaliana na maneno yake.

Mimi na Cyborg tuliamua kurudi nyumbani na Cyborg hakuacha kuniuliza ilikuwaje mpaka kibaka akanifatilia na ukizingatia kuwa mimi ni asikari.
Nilimsimulia kila kitu kilichotokea na Cyborg alinisihi nisije kurudia tena kupita kwenye vichochoro vya wavuta bangi.

Basi siku hiyo ilipita na siku kadhaa zilipita, na upande wa mme wangu Cyborg nilishangaa kumuona siku hiyo akijiandaa na kuvaa kichungaji hivyo ilibidi nimuulize.
"Mme wangu unaenda kanisani au?"
Baada ya kumuuliza Cyborg aliniangalia na kuniambia.
"Naenda kuhubiri watu waache maovu na wamrudie mungu"
Nilimshangaa baada ya kuniambia vile sababu ata yeye tu alikuwa bado hajaacha tabia yake yakutoa kila aina ya maneno wakati wa kufanya sex......ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 23.

PENZI LA MHALIFU 23.

Siku kadhaa zilipita, nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumamosi na ilikuwa ni mida ya saa moja jioni, siku hiyo nilikuwa nikitembea peke yangu huku nikiwa nimevaa nguo za kawaida tu na kwakuwa nilikuwa bado sijayazoea vizuri mazingira nilifika kwenye uchochoro na kukutana na kundi la vijana waliokuwa wakivuta bangi.

Japo nilikuwa asikari ila niliogopa baada ya kuwaona vijana waliokuwa wakivuta bangi na ukizangatia nilikuwa kwenye mazingira hatarishi kidogo.

Sikutaka kuwasemesha zaidi ya kuendelea na safari yangu ila kijana mmoja aliniita na mimi nilijifanya kama sijamsikia.
Kijana aliyekuwa akiniita alikasirika baada ya kuniona nikiendelea na safari yangu bira kuitikia wito...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-23

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

710
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

334
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

308
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16

282
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

157
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

100
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

93
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

42
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.74K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.59K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.43K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.4K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.38K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.31K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor โ€” both just starting out โ€” probably had no idea they were about to become such huge stars. Thereโ€™s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. Theyโ€™re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote๐Ÿฅฑ. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest