Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 15.
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 15.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 15.

Nakumbuka ilikuwa siku ya jumatano, siku hiyo nilikuwa kazini kwenye ofisi niliyokuwa nikikaa mimi pamoja na Afande Neema. Kwenye chumba hicho cha ofisi yetu Afande Neema hakuwepo zaidi ya mimi peke yangu nilikuwa nimekaa mwenyewe tu.

Nilisikia mtu akigonga mlango na kabra sijaenda kufungua aliingia Mkuu wetu na moja kwa moja alinifata mpaka nilipokuwa nimekaa.

Mkuu baada ya kunifikia alianza kunikumbatia huku akitumia nguvu, kitu kilichoanza kuniogopesha kwani mlango hakuufunga baada ya yeye kuingia kwenye ofisi yetu na mtu yoyote kama angetuona basi lazima angehisi natoka nae kimapenzi.
"Unakichaa mkuu!?" nilimwambia lakini bado alizidi kunikumbatia huku akiniziba nisiweze kuona mlangoni.

Baadae niliamua kutumia nguvu kwa kumsukuma. aliamua kujitoa kwenye mikono yangu nakuondoka mwenyewe huku akiwa anatabasamu.

Sikujua ni kwanini aliamua kufanya vile ila mimi niliachana nae na kuendelea na kazi zangu.

Siku hiyo ilipita na siku iliyofata nyumbani kwangu niliona mabadiliko makubwa kutoka kwa Cyborg kwani alipunguza kunichangamkia na alionekana ni mtu mwenye mawazo.

Nilijaribu  kumuuliza Cyborg tatizo nini mpaka awe kimya kiasi hicho ila Cyborg hakutaka kuniambia.

Siku tatu zilipita huku Cyborg akiwa hana raha kabisa.

Nilizidi kushangaa kwani alikuwa hataki kufanya mapenzi na mimi, na kila tulipokuwa kitandani Cyborg alikuwa akigeukia upande mwingine kabisa kwa kifupi alikuwa hataki tugusane.

Siku hiyo usiku niliamua kumuuliza.
"Cyborg tatizo nini mme wangu mbona sio kawaida yako!?" nilimuuliza ila Cyborg aliniangalia kwa hasira na kuamua kutoka nje bira kunijibu chochote, Kiukweli nilishindwa kuelewa tatizo nini.

ilipita wiki tukiwa hatuna maelewano ndani ya nyumba na Cyborg hakuwahi kufanya mapenzi na mimi.

Ilibidi nimtafute kaka yake na Cyborg na kwenda kuongea nae ili ajaribu kuongea na Cyborg na amuulize tatizo nini. Shemeji aliniambia ataongea na mdogo wake na atayaweka mambo sawa hivyo alinisihi niendelea kuwa mvumilivu na nisichukue maamuzi ya kuachana na mdogo wake.

Maisha hayo niliyazoea japo yalikuwa yananiweka kwenye wakati mgumu kwani nilipoteza tabasamu hasa nilipokuwa kazini, nakumbuka nilikuwa ofisini mimi pamoja na Afande Neema.
Alikuja mkuu wetu wa kazi akiwa kakunja sura na ilionesha ni mtu mwenye hasira.

Alipofika kwenye meza yangu ya kazi alianza kuipiga piga kwa kutumia mikono yake huku akiongea.
"Nenda ukamwambie mme wako aache kutembea na mke wangu lasivyo nitamfanyia kitu kibaya" aliongea na kugeuka kwa ajili ya kuondoka ila niliamua kumuuliza.
"Mme wangu aachane na mke wako!!!?" nilimuuliza lakini hakutaka ata kunijibu zaidi ya kuondoka na kutuacha mimi pamoja na Afande Neema tukimushangaa.

Afande Neema ilibidi aniulize tatizo nini ila nilimjibu sijui chochote kile kilichokuwa kikiendelea.

Nilitamani mda wa kazi uishe haraka ili niweze kwenda nyumbani kwa ajili ya kumuuliza Cyborg.
Hatimae mda wa kazi uliisha na mimi nilirudi nyumbani na kitu cha kwanza nilichotamani kujua nikumuuliza Cyborg ili nifahamu kile kilichokuwa kikiendelea.

Nakumbuka siku hiyo Cyborg alirudi nyumbani mida ya saa 5 usiku, kwanza niliona anataka kunizoea kwa kukaa kimya mbele yangu bira kuniambia sababu inayomfanya akae kimya, nilimfata na kwenda kumkaba.
"Malaika achia shati langu!" Cyborg aliongea akinitaka nimuachie shati lake ila mimi sikutaka kufanya kile alichokuwa akikisema.
"Siwezi kukwachia mpaka uniambie kitu gani kinachoendelea na nani kakupa ruhusa ya kwenda kufanya mapenzi na mke wa mkuu wangu!?" nilimuuliza huku nikiwa namtazama machoni.

Macho yake yalionyesha kuwa ni kweli ameshamzagamua mke wa mkuu wetu sababu hakutaka kuniangalia baada ya kumuuliza vile.

Cyborg aliongea baada ya mimi kumuuliza "mbona wewe umefanya mapenzi na huyo boss wako ila mimi sijakuuliza kitu chochote" Cyborg aliongea kitu kilichonishitua na kunifanya nishangae.
"Mimi Cyborg! lini hiyo nimemvulia chupi yule mpuuzi!?" nilimuuliza na Cyborg hakutaka kuongea sana zaidi ya kuchukua simu yangu nakunionesha picha zilizokuwa kwenye simu yake.

Picha alizonionyesha zilionyesha mimi nikiwa na mkuu wangu wa kazi huku akiwa kanikumbatia na ndipo nilipoikumbuka ile siku mkuu wa kazi aliyokuja ndani ya ofisi yangu nakuanza kulazimisha kunikumbatia.

Ilibidi nimuulize Cyborg "Nani kakutumia izi picha!?"
"Huyo huyo mpuuzi wako na mimi nataka nitembee na mke wake mpaka ajute kufanya mapenzi na wewe haiwezekani ale utamu ninaokula mimi" Cyborg aliongea.
"Niombe msamaha haraka Cyborg kabra sijafanya maamuzi magumu hapa" nilimwambia maana nilikuwa nimeshachukia tayari kwa kitendo cha Cyborg kufanya mapenzi na mke wa boss wangu huku akihisi analipiza kisasi.

Lakini Cyborg alikataa kabisa na kudai yupo sahihi na anafanya vile kwa ajili ya kulipiza kisasi.

Nilimwambia Cyborg kuwa sijafanya chochote kile na mkuu wangu ila hakutaka kunielewa zaidi ya kuendelea kukomalia kuwa nilishafanya nae mapenzi ndiyo maana nilimpa ruhusa ya yeye kunikumbatia.

Nilijikuta nikipata hasira na sikutaka tena kuendelea kukaa nyumbani kwangu.

Niliamua kumchukua mwanangu nakuondoka nae nikibeba na nguo zangu baadhi huku nikimuacha Cyborg pamoja na dada wa kazi nyumbani.

Safari yangu ilinipeleka kwenye nyumba ya wageni, nilienda kuchukua chumba kwa ajili ya kupumzika huku nikiwa na mawazo kutokana na ugomvi uliokuwepo wa ndoa yangu.......ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 15.

PENZI LA MHALIFU 15.

Nakumbuka ilikuwa siku ya jumatano, siku hiyo nilikuwa kazini kwenye ofisi niliyokuwa nikikaa mimi pamoja na Afande Neema. Kwenye chumba hicho cha ofisi yetu Afande Neema hakuwepo zaidi ya mimi peke yangu nilikuwa nimekaa mwenyewe tu.

Nilisikia mtu akigonga mlango na kabra sijaenda kufungua aliingia Mkuu wetu na moja kwa moja alinifata mpaka nilipokuwa nimekaa.

Mkuu baada ya kunifikia alianza kunikumbatia huku akitumia nguvu, kitu kilichoanza kuniogopesha kwani mlango hakuufunga baada ya yeye kuingia kwenye ofisi yetu na mtu yoyote kama angetuona basi lazima angehisi natoka nae kimapenzi.
"Unakichaa mkuu!?" nilimwambia lakini bado alizidi kunikumbatia huku akiniziba nisiweze kuona mlangoni.

Baadae...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

1.37K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

673
LETICIA 15:16

LETICIA 15:16

263
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

256
CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10

CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10

191
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

141
NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

76
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

34
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

18
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.93K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.63K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.79K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.66K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema “mimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest