Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 28
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 28

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 28

Cyborg alipoona asikari wake hataka kusimama aliamua kumlazimisha kwa kumuingiza hivyo hivyo kwenye uchi wangu huku akiwa na matumaini kuwa atasimama mbele ya safari.

Licha ya kuwa na matalajio hayo bado haikusaidia kitu kwani asikari wake aligoma kabisa kusimama na kumfanya Cyborg amtoe kwenye kitumbua changu huku akiwa na masononeko makubwa.
"Malaika nani kanifanyia huu mchezo wa kijinga!?" Cyborg aliongea kwa kulalamika na mimi nilihuzunishwa na hali aliyokuwa nayo na ukizingatia ni mme wangu, ata mimi nilimisi kuzagamuliwa lakini sikuwa na ujanja kwa wakati huo.

Ilibidi nianze kumtia moyo kuwa mambo yatakaa sawa tu kisha baada ya hapo niliamua kurudi kazini.

Nilifika huku nikiwa na mawazo na kwakuwa nilikuwa nimekaa karibu na Afande Joel hakuacha kuniangalia kila mda na alionesha ana kitu anachotamani kuongea na mimi ila alishindwa pakuanzia.

Baadae uvumilivu ulimshinda na kuamua kunifata.
"Nahitaji kuongea na wewe Angel" Afande Joel aliniambia.
"Unaweza kuongea tu haina shida ila yasiwe maongezi mengine tofauti na ya kikazi" nilimwambia sababu nilijua huenda anataka kunishawishi kwa mara nyingine nikubali kwenda kufanya nae mapenzi tena.

Afande Joel alikubali na baadae tuliamua kwenda nje kwa ajili ya kufanya maongezi vizuri.
Tulivyofika Afande Joel aliniambia "Najua utashangaa kwa hichi nitakachokwambia ila utanisamehe tu sababu nahitaji kuonja penzi lako Angel walau mara moja tu"
"Afande Joel mbona unazunguka sana!? una maana gani kuniambia hivyo na kwani umesahau kama nilikuonya usije kurudia tena kuniambia mambo ya sisi kuwa pamoja!?" niliongea kwa ukali kidogo.
"Bado sijasahau ila hii ni kwa ajili ya mme wako ambae hasimamishi kwa sasa lasivyo jogoo wake atashindwa kupanda mtungi siku zote za maisha yake" Afande Joel aliongea na moja kwa moja nilimjua mmbaya wangu ni nani aliyemfanya Cyborg ashindwe kusimamisha.

Afande Joel aliniambia kuwa yeye ndiye aliyeamua kumfanya Cyborg asiweze kusimamisha na alimtuma kijana aliyekuja nyumbani na kuiba nguo ya Cyborg kisha baada ya hapo aliipeleka kwa mganga na kwenda kumloga Cyborg, sababu kubwa aliyoniambia ni mimi kukataa kufanya nae mapenzi na aliniambia kama nataka Cyborg arudi kwenye hali yake basi ni lazima nikubali kusex nae.

Kwa hasira nilizokuwa nazo nilitamani kumpiga risasi Afande Joel ili aweze kupoteza maisha ila niliamua kujizuia na kuondoka bira kumjibu chochote nikimuacha Afande Joel akiniangalia kwa dharau kwani aliamini lazima nitakubali kufanya mapenzi na yeye.

Siku hiyo nilikuwa ni mtu mwenye mawazo na mda wa kazi ulipoishi nilirudi nyumbani. nikiwa nyumbani nilitamani kumsimulia Cyborg kila kitu ila niliingiwa na hofu kidogo kwani kungetokea machafuko makubwa maana nilizijua hasira za Cyborg zilivyo.

Niliamua kumshauri Cyborg kuwa na sisi inatakiwa twende kwa mganga kwa ajili ya kutafuta tiba.
"Sawa Malaika nimekubali ila huyu mjinga aliyenifanyia huu mchezo siku nikimjua atajuta kuzaliwa, lazima nimuue Malaika" Cyborg aliongea huku akitupa kila aina ya laana kwa mtu aliyemfanya asiwe na uwezo wa kusimamisha bira kujua kuwa ni Afande Joel na sababu ni mimi kukataa kufanya nae mapenzi.

Siku iliyofata asubuhi na mapema tuliondoka na kwenda kumtafuta mganga na bahati nzuri tuliweza kuelekezwa kwa bibi mmoja aliyekuwa akisifika kwenye mtaa huo.

Tulifika na Cyborg alimweleza tatizo alilokuwa nalo na mganga aliamua kumwambia.
"Pole sana kijana sasa hilo tatizo lako ni dogo sana inatakiwa uvue nguo zako na huyo mzee wako umweke kwenye hichi kibuyu" mganga alimwambia Cyborg na hakuwa na aibu yoyote ile, Cyborg alikubali kuvua nguo zake na kufanya kama alivyoambiwa.

Cyborg aliweka mtalimbo wake kwenye kibuyu kisha baada ya mda alimpatia mganga kibuyu chake.

Mganga baada ya kupewa kibuyu alikiweka kwenye masikio yake na baadae alikitoa kwenye masikio yake na kutuambia.
"Tatizo lako ni dogo sana ata sasa ivi unaweza kupona ila ili upone unatakiwa umtafute mwanamke bikra ufanye nae mapenzi au bibi ambae umri wake umeenda kama nilivyo mimi na baadae mambo yako yatakaa sawa" Mganga alituambia na wote tulibaki kwenye mshangao.

Nilimwangalia Cybrog aliyekuwa kwenye wakati mgumu kwa wakati huo ila aliamua kuongea kitu kilichonishitua.
"Kwani bibi hatuwezi tukamalizana hapa hapa na mke wangu akiwepo kisha baada ya hapo nitakulipa pesa yako na sisi tutaondoka!?" Cyborg aliongea akimaanisha afanye mapenzi na mganga.
"Kelvin!!!!?" nilimwita sababu sikuamini kama angeongea vile.
"Hamna njia nyingine Malaika huyo bikra nitamtoa wapi mimi au ndiyo kutafuta kesi ya kubaka wanafunzi bora tu tuzagamuane na bibi hapa tumalizane ili nipone" Cyborg aliongea bira ata kuwa na aibu na mimi nilivyofikiria niliona yupo sahihi ila kilichokuwa kikinitatiza ni mwonekano wa bibi aliokuwa nao.

Mganga alikubali na alianza kutoa mashuka aliyokuwa amejifunga na baadae alivua mpaka chupi aliyokuwa amevaa tena ikiwa imeishaisha.

Mganga alionesha ata yeye alikuwa na hamu ya kuzagamuliwa na Cyborg labda ni kwa sababu aliuona uume wake jinsi ulivyokuwa ukitamanisha......ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 28

PENZI LA MHALIFU 28

Cyborg alipoona asikari wake hataka kusimama aliamua kumlazimisha kwa kumuingiza hivyo hivyo kwenye uchi wangu huku akiwa na matumaini kuwa atasimama mbele ya safari.

Licha ya kuwa na matalajio hayo bado haikusaidia kitu kwani asikari wake aligoma kabisa kusimama na kumfanya Cyborg amtoe kwenye kitumbua changu huku akiwa na masononeko makubwa.
"Malaika nani kanifanyia huu mchezo wa kijinga!?" Cyborg aliongea kwa kulalamika na mimi nilihuzunishwa na hali aliyokuwa nayo na ukizingatia ni mme wangu, ata mimi nilimisi kuzagamuliwa lakini sikuwa na ujanja kwa wakati huo.

Ilibidi nianze kumtia moyo kuwa mambo yatakaa sawa tu kisha baada ya hapo niliamua kurudi...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-28

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

710
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

334
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

308
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16

283
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

157
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

100
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

93
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

43
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.74K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.59K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.43K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.4K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.38K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.31K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor โ€” both just starting out โ€” probably had no idea they were about to become such huge stars. Thereโ€™s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. Theyโ€™re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote๐Ÿฅฑ. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest