Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 36
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 36

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 36

Nilifanikiwa kujifungua mtoto mwingine wa kike na niliamua kumuita Agnes, ilifika mda ilinibidi nimtafute mwenyewe Cyborg lakini sikufanikiwa kumpata na ata nilivyojaribu kumuuliza kaka yake aliniambia kuwa hana mawasiliano na Cyborg na hajui ni wapi alipo kwa wakati huo.

Baada ya kumkosa Cyborg niliamua kuendelea na maisha yangu na mwaka mwingine ulipita bira ya Cyborg kumuona na huwezi kuamini nilimaliza miaka miwili bira kufanya mapenzi.

ilifika mda mwili wangu ulizoea kukaa bira kunyanduliwa.

Basi kwenye kituo nilichokuwa nafanyia kazi alikuja asikari aliyekuwa akiitwa Afande James na kwa kipindi hicho Afande Joel alikuwa ameshaamishwa.

Afande James alivutiwa na mimi na alianza kunitongoza huku akihitaji kuwa na mimi. kilichokuwa kikimpa nguvu Afande James ni baada ya kusikia kuwa nipo single kwa wakati huo.

Siku hiyo nilikuwa nimekaa na Afande James aliponiona aliamua kunifata na kuniambia.
"Angel naomba ukubali ombi langu, mimi nahitaji nikuoe" Afande James aliniambia.
"Sipo tayari kwa hilo na tayari nilishawahi kuolewa kipindi cha nyuma japo mme wangu hayupo kwa sasa" nilimjibu na niliamua kumtumia Cyborg kama njia ya kumkwepa Afande James.

Afande James aliendelea kunibembeleza na hakuishia hapo alizidi kuniletea zawadi za kila aina ili tu nikubali kuwa na yeye.
Kiukweli nilijikuta nikikubali kuingia kwenye mahusiano na Afande James.

Sikutaka kuhama kwenye nyumba niliyokuwa nikiishi kwa sababu ilikuwa karibu na sehemu niliyokuwa nikifanyia kazi.

Basi siku hiyo mimi na Afande James tuliongozana mpaka nyumbani kwangu na baada ya kufika. Nilimkuta mfanyakazi akihangaika na mtoto wangu aliyekuwa akilia mda huo, ilibidi nimsaidie na baada ya mda alinyamaza na baadae nilimkabizi na kuelekea chumbani kwangu.

Afande James alinifata chumbani kwangu na alipofika aliufunga mlango na mimi nilijua mda wa kunyanduana umefika.
"Umekuja na kinga James!?" nilimuuliza na alishangaa kwa swali nililomuuliza.
"Kinga ya nini tena Angel ina maana huniamini au!!?" Aliniuliza baada ya mimi kumwingizia habari za kinga.
"Sio kwamba sikuamini ila sihitaji kupata mimba nyingine kwa sasa, siwezi kufanya mapenzi na wewe bira kuwa na kinga"
"Mmmmmh" Afande James aliguna baada ya mimi kumwambia vile.
"Basi nitamwaga nje Angel" aliongea huku akisogea nilipo na mimi niliona kama anataka kunitania.
"James nitabadilisha mawazo yangu na nitagaili kufanya mapenzi na wewe"

Baada ya kumwambia Afande James aliondoka na kwenda kununua kondomu na baada ya mda alirudi.

Afande James alikuwa na papala sana kiukweli kwani hakuwa na mda wa kuniandaa alivua nguo zake na kuushika mpini wake uliokuwa umesimama kisha baada ya hapo aliuvalisha kinga na kunisogelea.

Kuna wanaume wanaboa sana kwenye mapenzi na mmoja wao alikuwa ni Afande James, jinsi alivyokuwa na haraka ni kama vile alikuwa amenunua malaya wa short time.
Alikuwa na papala na wala hakuwa na mda wa kuniandaa kabisa.

Basi tulianza kufanya mapenzi na dekika 5 zilikuwa nyingi nilishuhudia mpini wa Afande James ukianza kusinyaa wenyewe na baadae ulishindwa kusimama kabisa.

Afande James aliendelea kujilazimisha kufanya mapenzi na mimi ikiwa tayari mzee wake ameshasinzia.
Baada ya kumuona analazimisha niliona kuna hatari ya kinga aliyokuwa amevaa kuingia kwenye uchi wangu.
"Wewee emu nyenyuka" nilimwambia nakumsukuma baada ya kuona anazuga kwenye kifua changu ili nimuone na yeye ni kidume.

Afande James alijitoa kwenye kifua changu na kuanza kuongea.
"Daaaah unajua mimi huwa nashindwa kufanya mapenzi kabisa huku nikiwa nimevaa kondomu Angel" Afande James aliongea.
"Haina shida tutafanya siku nyingine" nilimwambia na Afande James kutokana na aibu aliyokuwa nayo aliondoka mida hiyo hiyo.

Kiukweli niliona kama amenichafua na nilijikuta nikimkumbuka Cyborg sababu hakuwahi kuwa na visingizio vya ajabu kama alivyokuwa navyo Afande James.
"Siwezi kuolewa na Afande James bora niishi mwenyewe tu" niliongea mwenyewe baada ya kubaki chumbani peke yangu.

Siku iliyofata nilienda kazini na Afande James siku hiyo alikuwa hajiamini mbele yangu ila aliamua kunifata na kuniambia.
"Angel leo nitakuja nikiwa na dawa babu kubwa mimi huwa siwezi kufanya mapenzi bira kutumia dawa"
"James yote hayo ya nini!!? yani wewe ni mwanaume mzima unaniambia mimi habari za dawa!?" niliamua kumwambia sababu kwangu niliona ananiambia hoja za kitoto.

Kiukweli kati ya kitu nilichokuwa sikipendi ni hicho kuwa na mwanaume ambaye mpaka atumie dawa ndiyo tuzagamuane, niliamini kwamba kama ni mme wangu lazima kwa baadae atanipa shida kwani hatakuwa na uwezo wa kufanya mapenzi mpaka atumie dawa, emu jiulize mwanamke mwenzangu kama umeolewa na mwanaume wa aina hiyo je? siku ikitokea dawa imekosekana au serikali imezipiga marufuku ina maana hamtanyanduana au!?

Basi tuachane na hayo tuendelee na story yetu.

Baada ya mimi kumwambia vile Afande James aliamua kuondoka ila hakuacha kunisisitizia kuwa usiku lazima aje kulala kwangu. sikumjibu zaidi ya kuendelea na kazi zangu.

Usiku wa siku hiyo kweli Afande James alikuja kama alivyoahidi huku akiwa na hamu ya kunizagamua.
"Pole sana James leo hatuwezi kulala pamoja" nilimwambia na Afande James alijua namtania.
"Angel kwanini sasa!? leo nimejipanga yani hapa unavyoniona nimesharekebisha kila kitu wewe angalia tu kwenye suruali yangu jinsi mtalimbo wangu ulivyosimama" aliniambia na kweli nilipotazama niliona mpini wake umevimba ila siku hiyo sikuwa na hamu ya kufanya nae mapenzi kabisa

"Leo nipo kwenye siku zangu James utakuja siku nyingine" niliamua kumdanganya.
"Angel acha basi kunifanyia matani ya namna hiyo" aliongea huku akionesha huruma ila niliendelea kuweka msimamo wangu wa kukataa kufanya mapenzi na yeye.

Afande James kwakuwa alikuwa mwelewa aliamua kuondoka, nahisi siku hiyo alienda kutafuta changudoa wa kutomlea upwiru uliokuwa umemshika.....ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 36

PENZI LA MHALIFU 36

Nilifanikiwa kujifungua mtoto mwingine wa kike na niliamua kumuita Agnes, ilifika mda ilinibidi nimtafute mwenyewe Cyborg lakini sikufanikiwa kumpata na ata nilivyojaribu kumuuliza kaka yake aliniambia kuwa hana mawasiliano na Cyborg na hajui ni wapi alipo kwa wakati huo.

Baada ya kumkosa Cyborg niliamua kuendelea na maisha yangu na mwaka mwingine ulipita bira ya Cyborg kumuona na huwezi kuamini nilimaliza miaka miwili bira kufanya mapenzi.

ilifika mda mwili wangu ulizoea kukaa bira kunyanduliwa.

Basi kwenye kituo nilichokuwa nafanyia kazi alikuja asikari aliyekuwa akiitwa Afande James na kwa kipindi hicho Afande Joel alikuwa ameshaamishwa.

Afande James alivutiwa na mimi na alianza kunitongoza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-36

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*

836
MY CRAZY BOSS 17

MY CRAZY BOSS 17

385
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho

350
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7

284
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8

135
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7

118
 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap

AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap

115
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol

6
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.4K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.17K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.42K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.3K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor — both just starting out — probably had no idea they were about to become such huge stars. There’s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. They’re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote🥱. Sasa Dada watu akawa...

MY CRAZY BOSS 17 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 17
@majario LIVE

Haikuchukua muda sana , tuliwasili nyumbani kwa boss, tuliingia kiustaarabu sana na tulivyozama tu boss alianza kunionesha ukichaa wake. Alinisogelea karibu aligusanisha mdomo wake na wangu kwa fujo alianza kunipa...

 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap Post Mpya
AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap
@majario LIVE

Huyu binti hapa anaitwa Aminata na ana umri wa miaka 11 tu. Aminata alikumbwa na changamoto ya biashara ya utumwa. Na baada ya kutekwa hapa tunawaona wakiwa wamepelekwa katika soko la utumwa...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Bila kusema neno lolote, Mr. Marvel aligeuka akaondoka. Basi Salmon alitakiwa kusimamisha party lakini kabla hajafanya hivyo alimwangalia Noela akamwambia “Ondoka! Unasubiria nini tena?”😒 “Hutanipeleka hostel?” “No, sina muda” “Kwa nini? Nitarudi vipi jamani?”...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
@majario LIVE

*SEHEMU YA SABA* Mimi na Enzo tulishtuka sana Walahi, lakini Mimi Ndio nilishtuka zaidi, Yaani hii ni zaidi ya sibu imagine mpaka baba mkwe sa hapa Ndio inakuja ile hali ya kutaka...

MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI Post Mpya
MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI
@majario LIVE

Sheila alikuwa binti aliyefanikiwa sana jijini. Alikuwa na kampuni ya uagizaji wa vipodozi na alikuwa akiishi maisha ya kifahari. Sheila alikuwa anajiandaa kufunga ndoa na Dr. Oscar, kijana kutoka...

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kiukweli uwaga namuogopa sana madam groly lakini safari hii imekuwa tofauti sana Tena sana. yaani sijasikia uoga wa aina yoyote fla na sikusikia Kuwa na wasiwasi juu ya uwezo...

SHAMIRA  🏀 sehemu ya 32&33 Post Mpya
SHAMIRA 🏀 sehemu ya 32&33
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Bai tumefika nyumbani akanishusha mwenye gari. akanikokota mpaka chumbani moja kwamoja akanipeleka bafuni nilichafuka na mapombe kama yote. Mwanaume akaniweka kwanza chini akaanza kunimwagia maji...

SHAMIRA sehemu ya 30&31 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 30&31
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie nikaongea na asha .akanambia shoga vijora vishafika nikamwambia changu nipelekee kwa fundi mwambie akitatue mpma mapajani na mgongoni kuwe wazi. kama kawaida yangu...

MY CRAZY BOSS 16 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 16
@majario LIVE

Siku moja nikiwa nimekaa boss alikuja ofisini kwa wafanyakazi wote ambapo mimi pia napendelea kukaa mahali hapo. "Nahitaji kuelekea kwenye party usiku wa leo najiuliza ni nani atafaa kunisindikiza, boss...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest