Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 36
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 36

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 36

Nilifanikiwa kujifungua mtoto mwingine wa kike na niliamua kumuita Agnes, ilifika mda ilinibidi nimtafute mwenyewe Cyborg lakini sikufanikiwa kumpata na ata nilivyojaribu kumuuliza kaka yake aliniambia kuwa hana mawasiliano na Cyborg na hajui ni wapi alipo kwa wakati huo.

Baada ya kumkosa Cyborg niliamua kuendelea na maisha yangu na mwaka mwingine ulipita bira ya Cyborg kumuona na huwezi kuamini nilimaliza miaka miwili bira kufanya mapenzi.

ilifika mda mwili wangu ulizoea kukaa bira kunyanduliwa.

Basi kwenye kituo nilichokuwa nafanyia kazi alikuja asikari aliyekuwa akiitwa Afande James na kwa kipindi hicho Afande Joel alikuwa ameshaamishwa.

Afande James alivutiwa na mimi na alianza kunitongoza huku akihitaji kuwa na mimi. kilichokuwa kikimpa nguvu Afande James ni baada ya kusikia kuwa nipo single kwa wakati huo.

Siku hiyo nilikuwa nimekaa na Afande James aliponiona aliamua kunifata na kuniambia.
"Angel naomba ukubali ombi langu, mimi nahitaji nikuoe" Afande James aliniambia.
"Sipo tayari kwa hilo na tayari nilishawahi kuolewa kipindi cha nyuma japo mme wangu hayupo kwa sasa" nilimjibu na niliamua kumtumia Cyborg kama njia ya kumkwepa Afande James.

Afande James aliendelea kunibembeleza na hakuishia hapo alizidi kuniletea zawadi za kila aina ili tu nikubali kuwa na yeye.
Kiukweli nilijikuta nikikubali kuingia kwenye mahusiano na Afande James.

Sikutaka kuhama kwenye nyumba niliyokuwa nikiishi kwa sababu ilikuwa karibu na sehemu niliyokuwa nikifanyia kazi.

Basi siku hiyo mimi na Afande James tuliongozana mpaka nyumbani kwangu na baada ya kufika. Nilimkuta mfanyakazi akihangaika na mtoto wangu aliyekuwa akilia mda huo, ilibidi nimsaidie na baada ya mda alinyamaza na baadae nilimkabizi na kuelekea chumbani kwangu.

Afande James alinifata chumbani kwangu na alipofika aliufunga mlango na mimi nilijua mda wa kunyanduana umefika.
"Umekuja na kinga James!?" nilimuuliza na alishangaa kwa swali nililomuuliza.
"Kinga ya nini tena Angel ina maana huniamini au!!?" Aliniuliza baada ya mimi kumwingizia habari za kinga.
"Sio kwamba sikuamini ila sihitaji kupata mimba nyingine kwa sasa, siwezi kufanya mapenzi na wewe bira kuwa na kinga"
"Mmmmmh" Afande James aliguna baada ya mimi kumwambia vile.
"Basi nitamwaga nje Angel" aliongea huku akisogea nilipo na mimi niliona kama anataka kunitania.
"James nitabadilisha mawazo yangu na nitagaili kufanya mapenzi na wewe"

Baada ya kumwambia Afande James aliondoka na kwenda kununua kondomu na baada ya mda alirudi.

Afande James alikuwa na papala sana kiukweli kwani hakuwa na mda wa kuniandaa alivua nguo zake na kuushika mpini wake uliokuwa umesimama kisha baada ya hapo aliuvalisha kinga na kunisogelea.

Kuna wanaume wanaboa sana kwenye mapenzi na mmoja wao alikuwa ni Afande James, jinsi alivyokuwa na haraka ni kama vile alikuwa amenunua malaya wa short time.
Alikuwa na papala na wala hakuwa na mda wa kuniandaa kabisa.

Basi tulianza kufanya mapenzi na dekika 5 zilikuwa nyingi nilishuhudia mpini wa Afande James ukianza kusinyaa wenyewe na baadae ulishindwa kusimama kabisa.

Afande James aliendelea kujilazimisha kufanya mapenzi na mimi ikiwa tayari mzee wake ameshasinzia.
Baada ya kumuona analazimisha niliona kuna hatari ya kinga aliyokuwa amevaa kuingia kwenye uchi wangu.
"Wewee emu nyenyuka" nilimwambia nakumsukuma baada ya kuona anazuga kwenye kifua changu ili nimuone na yeye ni kidume.

Afande James alijitoa kwenye kifua changu na kuanza kuongea.
"Daaaah unajua mimi huwa nashindwa kufanya mapenzi kabisa huku nikiwa nimevaa kondomu Angel" Afande James aliongea.
"Haina shida tutafanya siku nyingine" nilimwambia na Afande James kutokana na aibu aliyokuwa nayo aliondoka mida hiyo hiyo.

Kiukweli niliona kama amenichafua na nilijikuta nikimkumbuka Cyborg sababu hakuwahi kuwa na visingizio vya ajabu kama alivyokuwa navyo Afande James.
"Siwezi kuolewa na Afande James bora niishi mwenyewe tu" niliongea mwenyewe baada ya kubaki chumbani peke yangu.

Siku iliyofata nilienda kazini na Afande James siku hiyo alikuwa hajiamini mbele yangu ila aliamua kunifata na kuniambia.
"Angel leo nitakuja nikiwa na dawa babu kubwa mimi huwa siwezi kufanya mapenzi bira kutumia dawa"
"James yote hayo ya nini!!? yani wewe ni mwanaume mzima unaniambia mimi habari za dawa!?" niliamua kumwambia sababu kwangu niliona ananiambia hoja za kitoto.

Kiukweli kati ya kitu nilichokuwa sikipendi ni hicho kuwa na mwanaume ambaye mpaka atumie dawa ndiyo tuzagamuane, niliamini kwamba kama ni mme wangu lazima kwa baadae atanipa shida kwani hatakuwa na uwezo wa kufanya mapenzi mpaka atumie dawa, emu jiulize mwanamke mwenzangu kama umeolewa na mwanaume wa aina hiyo je? siku ikitokea dawa imekosekana au serikali imezipiga marufuku ina maana hamtanyanduana au!?

Basi tuachane na hayo tuendelee na story yetu.

Baada ya mimi kumwambia vile Afande James aliamua kuondoka ila hakuacha kunisisitizia kuwa usiku lazima aje kulala kwangu. sikumjibu zaidi ya kuendelea na kazi zangu.

Usiku wa siku hiyo kweli Afande James alikuja kama alivyoahidi huku akiwa na hamu ya kunizagamua.
"Pole sana James leo hatuwezi kulala pamoja" nilimwambia na Afande James alijua namtania.
"Angel kwanini sasa!? leo nimejipanga yani hapa unavyoniona nimesharekebisha kila kitu wewe angalia tu kwenye suruali yangu jinsi mtalimbo wangu ulivyosimama" aliniambia na kweli nilipotazama niliona mpini wake umevimba ila siku hiyo sikuwa na hamu ya kufanya nae mapenzi kabisa

"Leo nipo kwenye siku zangu James utakuja siku nyingine" niliamua kumdanganya.
"Angel acha basi kunifanyia matani ya namna hiyo" aliongea huku akionesha huruma ila niliendelea kuweka msimamo wangu wa kukataa kufanya mapenzi na yeye.

Afande James kwakuwa alikuwa mwelewa aliamua kuondoka, nahisi siku hiyo alienda kutafuta changudoa wa kutomlea upwiru uliokuwa umemshika.....ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 36

PENZI LA MHALIFU 36

Nilifanikiwa kujifungua mtoto mwingine wa kike na niliamua kumuita Agnes, ilifika mda ilinibidi nimtafute mwenyewe Cyborg lakini sikufanikiwa kumpata na ata nilivyojaribu kumuuliza kaka yake aliniambia kuwa hana mawasiliano na Cyborg na hajui ni wapi alipo kwa wakati huo.

Baada ya kumkosa Cyborg niliamua kuendelea na maisha yangu na mwaka mwingine ulipita bira ya Cyborg kumuona na huwezi kuamini nilimaliza miaka miwili bira kufanya mapenzi.

ilifika mda mwili wangu ulizoea kukaa bira kunyanduliwa.

Basi kwenye kituo nilichokuwa nafanyia kazi alikuja asikari aliyekuwa akiitwa Afande James na kwa kipindi hicho Afande Joel alikuwa ameshaamishwa.

Afande James alivutiwa na mimi na alianza kunitongoza...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-36

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 36 na 37

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 36 na 37

271
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

263
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

187
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16

149
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.

148
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

146
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15

139
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

134
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19

130
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11

121

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.61K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.35K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.78K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.85K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.75K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.66K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.6K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.55K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
@majario LIVE

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
@majario LIVE

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe....

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
@majario LIVE

ENDELEA.......... Mellisa nae alibana nje ya mlango wa chumbani kwa mama yake alitaka kujua nini kinaendelea. "Hapana mazingira ni hatarishi sana" "Unamuhofia nani na tupo nyumbani kwangu, kwanza nataka dunia yote ijue kuwa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
@majario LIVE

ENDELEA........... Watu pombe ziliwakolea mie sio mnywaji wa pombe nilikuwa naangalia tu maujinga wanayoyafanya. Mkojo ulinibana nilienda chooni ile natoa tu dudu mlango ulifumguliwa aliingia mshangazi mmoja kati ya wale waliokuwa wananisifia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12
@majario LIVE

ENDELEA......... Madame aliwapa taarifa Mellisa na Misha kuwa mimi sio mlinzi tena bali ni mfanya kazi wake kwenye biashara zake. Rasmi niliajiliwa kusimamia duka kubwa la spea. Huko ndo kulikuwa na pesa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11
@majario LIVE

ENDELEA.......... Madame Yustar alibaki mdomo wazi. "Ebu inuka kwanza" alininyanyua kwa mikono yake miwili. "Sina maana ninakufukuza kazi na wala sijasema kuwa una mahusiano na binti yangu. Naamini Mellisa unamtazama kama binti yako...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.
@majario LIVE

31 MPAKA 32 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi adrian akanipeleka mpaka chuo. Akanmbia kumbe upo apa.sinza nikasema ndio ndo nipo apa .akasema oooh sawa .vp lakini umenielewa na unayafikilia maneno...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19
@majario LIVE

SEHEMU YA 7 ENDELEA.......... Wote tulipitiwa na usingizi mzito. Tuliamka saa kumi jioni na wa kwanza kuamka alikuwa madame. Nilistuka kutoka usingizini baada kuhisi nimeshikwa mashine yangu. "Madame" nilimuita kwa uoga. "Shiiiiii!" Alininyamazisha kwa kuniwekea...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 2 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 2
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media Nicky alishusha pumzi Kama ametua mzigo mzito alipokuwa kaubeba Kisha akasema . " Wewe Tena , umefuata Nini hapa nyumbani kwangu? " Hili swali natakiwa nimuulize wewe Mr....

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest