Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 06
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 06

Ilibidi aniombe msamaha na aliniambia sababu iliyomfanya awe anamsumbua Cyborg.
"Angel rafiki yangu, mpenzi wangu hanilizishi kabisa yani akinitia kidogo tu chali"
"Sasa ndio mpka umsumbue mme wangu!?"
"Uliniambia mwenyewe kuwa Cyborg huwa anakutia na kukulizisha, nilitamani na mimi anatie ata mara moja walau nionje utamu wa kulizishwa ila kwakuwa umejua sitamsumbua tena mme wako rafiki yangu" Afande Neema aliniambia na mimi niliamua kumsamehe baada ya kunielezea kiundani zaidi.

Kumbe bhana, Afande Davi alikuwa pembeni akitusikiliza na tulisitisha mazungumzo baada ya kusikia simu yake ikiita. aliamua kuondoka nakutuacha tulimwangalia.

"Wanaume wengine bwana bora ata angezaliwa na matiti kama sisi wanawake" Niliongea baada ya kugundua kuwa alikuwa akitusikiliza.

Urafiki wangu mimi na Afande Neema uliendelea na kwa upande wa Afande Davi alipunguza kunifatilia bira kujua kuwa ana mpango gani .

Siku hiyo nikiwa kazini nilipigiwa simu kuwa niende nyumbani kwani kulikuwa na tatizo. Sikutaka kuchelewa maana nilihisi mwanangu atakuwa kwenye tatizo.

Nilifika nakumkuta Cyborg akiwa kwenye hali mbaya na sikujua amepatwa na tatizo gani. Vijana waliomleta Cyborg waliondoka na kutuacha wenyewe nyumbani.
"Mme wangu kimetokea nini!?" nilimuuliza Cyborg aliyeanza kuongea kwa sauti ya chini.

Alisema kuna kundi la vijana lilimvamia sehemu aliyokuwa akifanyia kazi na kuanza kumpiga.

Nilimuuliza sababu ni ipi ila Cyborg aliniambia.
"Kipindi wananipiga kijana mmoja aliwaambia wenzake wanipige kiunoni ili nisiwe na nguvu ya kukutia kama ninavyokutia mke wangu"
"Kunitia!?"
"Ndio mamiloo tena kijana mwingine aliwaambia wenzake wanikate mtalimbo wangu kabisa ila washikaji walikuja kunisaidia"

Cyborg alimaliza kunielezea huku akishika kiuno chake kilichokuwa na maumivu.
"Hao masela nitakuja kuwaonyesha ngoja nipone"
"Pole mme wangu" niliongea huku nikimkanda sehemu zilizokuwa zimeanza kuvimba.

"Emu twende ndani kwanza hapa tayari nimeshikwa na upwiru"
Cyborg sijui alikuwa ni mwanaume wa aina gani yani hakujali kama binti yetu wa kazi alikuwa pale yeye alichokuwa anawaza kwa wakati huo nikwenda kunitia tu.

Sijui nilikuwa na radha gani kwake sababu alikuwa hanichoki kabisa. Nilimwambia hatutaweza kufanya mapenzi kwani hayupo kwenye utimamu wake ila hakutaka kunielewa.

Nilimjua jinsi alivyokuwa king'ang'anizi hivyo niliamua kumkubalia nakuelekea nae ndani ili akanizagamue vizuri. Tulifika kitandani na alivyojaribu kunitia kiuno chake kiligoma kutokana na maumivu aliyokuwa akiyapata.
Nilimwambie alale chali nae alifanya kama nilivyomwambia, na mimi nilimkalia nakuanza kujipimia.

Asikwambie mtu utamu niliokuwa naupata ulinifanya nisahau kama mwenzangu ana majeraha hivyo nilianza kumshika shika kila sehemu na nilipomshika kwenye ubavu wake wa kushoto alipiga kelele kwa maumivu aliyokuwa akiyapata na nilivyotaka kujitoa kwenye mwili wake Cyborg alinizuia.
"Endelea kuikatikia Malaika bora nife ila sio kuishia njiani" sikutaka kumkatalia nilimpatia utamu mme wangu na baada ya kumaliza ndipo hali ya Cyborg ilipozidi kuwa mbaya.

Nilimchukua na kumpeleka hospital kwa ajili ya matibabu na alikaa siku kadhaa na baada ya mda aliweza kupona na kurejea nyumbani.

Cyborg alikuwa na hasira kwa watu waliompiga na alipanga kuwatafta kwa ajili ya kulipa kisasi ila ilibidi nimkataze.
"Achana nao haina haja ya kuwafatilia!?"
"Malaika ata usemeje lazima niwatafte yani walitaka kunikata mpini wangu ili nisiwe nakutia?" siku hiyo Cyborg alikuwa ni yule wa zamani kwani aliongea matusi ya kila aina akiwatukana watu waliompiga.

Siku mbili zilipita na Cyborg alikuwa akiendelea na kazi yake ya halali.

Ilikuwa ni siku ya jumamosi siku hiyo Cyborg alikuja huku akiwa anavuta bangi kitu kilichonishangaza.
"Kumbe bado unavuta bangi?"
"Malaika, Afande Davi lazima nimuue yeye ndiyo kanifanya leo nivute bangi msenge yule kabisa"
"Afande Davi!?" nilimuuliza na Cyborg aliniambia kuwa Afande Davi ndiye aliyetuma watu wampige Cyborg na yote bhana kumbe nikutokana na story nilizokuwa nikipiga mimi pamoja na Afande Neema nikimsifia Cyborg kuwa anajua kutia.

Cyborg aliendelea kuvuta bangi mpaka pale alipomaliza.
"Hapa akili imekaa sawa utazipata habari za Afande mwenzako" Cyborg aliongea nakuondoka, sikutaka kumuacha japo siku hiyo nilikuwa nimevaa pensi tu na mapaja yote yalikuwa wazi niliamua kumfata Cyborg kwa ajili ya kumzuia.

Cyborg kwakuwa alikuwa akipajua kwa Afande Davi alienda mpaka kwake nakumkuta Afande Davi akiwa pamoja na mke wake nakuanza kupigana nae.

Mda huo na mimi nilikuwa nimeshafika nakumkuta Cyborg kamkaba Afande Davi huku mke wake akipiga kelele za kuhitaji msaada.

Nilisogea mpaka katikati yao nakuwa achanisha.

"Niache nimpasue ili apate adabu na aniambie kwanini alinitumia watu kwa ajili ya kunipiga?"

Nyie acheni tu Cyborg alikuwa na nguvu kwani alinisukuma nakuendelea kumpiga Afande Davi na ukizingatia alikuwa na kakitambi ndio kabisa hakuwa na uwezo wa kupambana na Cyborg. Bahati nzuri kuna wanaume walikuja na kuwa achanisha.

Cyborg kutokana na bangi aliyokuwa amevuta hakuacha kutukana matusi ya kila aina.

Ilibidi nimchukue na kurudi nae nyumbani.
"Huyo mpumbavu hatarudia tena nimemuaibisha mbele ya mke wake"
Cyborg aliongea ila mimi nilikuwa kimya tu mda huo.
"Malaika wangu umechukia?"
"Ndio tena sana tu kwanini uvute bangi!?" Niliongea huku nikiwa nimekasirika.

Cyborg alinisogelea nakunishika huku matiti yangu akiyagusisha kwenye kifua chake.
"Leo ni mara ya mwisho kuvuta bangi Malaika niamini mimi, naomba usije kuniacha nitajiua kabisa, nakupenda sana mke wangu"
Cyborg aliongea na sijui alinipa nini kwani nilikuwa sijiwezi kwake na sikuwa na mpango wa kumuacha kabisa.

Afande Davi alipunguza kunisumbua na alianza kuniheshimu na hakuwahi tena kuongea maneno ya kijinga mbele yangu.......ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 06

PENZI LA MHALIFU 06

Ilibidi aniombe msamaha na aliniambia sababu iliyomfanya awe anamsumbua Cyborg.
"Angel rafiki yangu, mpenzi wangu hanilizishi kabisa yani akinitia kidogo tu chali"
"Sasa ndio mpka umsumbue mme wangu!?"
"Uliniambia mwenyewe kuwa Cyborg huwa anakutia na kukulizisha, nilitamani na mimi anatie ata mara moja walau nionje utamu wa kulizishwa ila kwakuwa umejua sitamsumbua tena mme wako rafiki yangu" Afande Neema aliniambia na mimi niliamua kumsamehe baada ya kunielezea kiundani zaidi.

Kumbe bhana, Afande Davi alikuwa pembeni akitusikiliza na tulisitisha mazungumzo baada ya kusikia simu yake ikiita. aliamua kuondoka nakutuacha tulimwangalia.

"Wanaume wengine bwana bora ata angezaliwa na matiti kama sisi wanawake" Niliongea...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

778
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

762
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

743
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

390
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

356
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

346
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

273
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

154
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

98
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

47

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.7K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest