Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 06
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 06

Ilibidi aniombe msamaha na aliniambia sababu iliyomfanya awe anamsumbua Cyborg.
"Angel rafiki yangu, mpenzi wangu hanilizishi kabisa yani akinitia kidogo tu chali"
"Sasa ndio mpka umsumbue mme wangu!?"
"Uliniambia mwenyewe kuwa Cyborg huwa anakutia na kukulizisha, nilitamani na mimi anatie ata mara moja walau nionje utamu wa kulizishwa ila kwakuwa umejua sitamsumbua tena mme wako rafiki yangu" Afande Neema aliniambia na mimi niliamua kumsamehe baada ya kunielezea kiundani zaidi.

Kumbe bhana, Afande Davi alikuwa pembeni akitusikiliza na tulisitisha mazungumzo baada ya kusikia simu yake ikiita. aliamua kuondoka nakutuacha tulimwangalia.

"Wanaume wengine bwana bora ata angezaliwa na matiti kama sisi wanawake" Niliongea baada ya kugundua kuwa alikuwa akitusikiliza.

Urafiki wangu mimi na Afande Neema uliendelea na kwa upande wa Afande Davi alipunguza kunifatilia bira kujua kuwa ana mpango gani .

Siku hiyo nikiwa kazini nilipigiwa simu kuwa niende nyumbani kwani kulikuwa na tatizo. Sikutaka kuchelewa maana nilihisi mwanangu atakuwa kwenye tatizo.

Nilifika nakumkuta Cyborg akiwa kwenye hali mbaya na sikujua amepatwa na tatizo gani. Vijana waliomleta Cyborg waliondoka na kutuacha wenyewe nyumbani.
"Mme wangu kimetokea nini!?" nilimuuliza Cyborg aliyeanza kuongea kwa sauti ya chini.

Alisema kuna kundi la vijana lilimvamia sehemu aliyokuwa akifanyia kazi na kuanza kumpiga.

Nilimuuliza sababu ni ipi ila Cyborg aliniambia.
"Kipindi wananipiga kijana mmoja aliwaambia wenzake wanipige kiunoni ili nisiwe na nguvu ya kukutia kama ninavyokutia mke wangu"
"Kunitia!?"
"Ndio mamiloo tena kijana mwingine aliwaambia wenzake wanikate mtalimbo wangu kabisa ila washikaji walikuja kunisaidia"

Cyborg alimaliza kunielezea huku akishika kiuno chake kilichokuwa na maumivu.
"Hao masela nitakuja kuwaonyesha ngoja nipone"
"Pole mme wangu" niliongea huku nikimkanda sehemu zilizokuwa zimeanza kuvimba.

"Emu twende ndani kwanza hapa tayari nimeshikwa na upwiru"
Cyborg sijui alikuwa ni mwanaume wa aina gani yani hakujali kama binti yetu wa kazi alikuwa pale yeye alichokuwa anawaza kwa wakati huo nikwenda kunitia tu.

Sijui nilikuwa na radha gani kwake sababu alikuwa hanichoki kabisa. Nilimwambia hatutaweza kufanya mapenzi kwani hayupo kwenye utimamu wake ila hakutaka kunielewa.

Nilimjua jinsi alivyokuwa king'ang'anizi hivyo niliamua kumkubalia nakuelekea nae ndani ili akanizagamue vizuri. Tulifika kitandani na alivyojaribu kunitia kiuno chake kiligoma kutokana na maumivu aliyokuwa akiyapata.
Nilimwambie alale chali nae alifanya kama nilivyomwambia, na mimi nilimkalia nakuanza kujipimia.

Asikwambie mtu utamu niliokuwa naupata ulinifanya nisahau kama mwenzangu ana majeraha hivyo nilianza kumshika shika kila sehemu na nilipomshika kwenye ubavu wake wa kushoto alipiga kelele kwa maumivu aliyokuwa akiyapata na nilivyotaka kujitoa kwenye mwili wake Cyborg alinizuia.
"Endelea kuikatikia Malaika bora nife ila sio kuishia njiani" sikutaka kumkatalia nilimpatia utamu mme wangu na baada ya kumaliza ndipo hali ya Cyborg ilipozidi kuwa mbaya.

Nilimchukua na kumpeleka hospital kwa ajili ya matibabu na alikaa siku kadhaa na baada ya mda aliweza kupona na kurejea nyumbani.

Cyborg alikuwa na hasira kwa watu waliompiga na alipanga kuwatafta kwa ajili ya kulipa kisasi ila ilibidi nimkataze.
"Achana nao haina haja ya kuwafatilia!?"
"Malaika ata usemeje lazima niwatafte yani walitaka kunikata mpini wangu ili nisiwe nakutia?" siku hiyo Cyborg alikuwa ni yule wa zamani kwani aliongea matusi ya kila aina akiwatukana watu waliompiga.

Siku mbili zilipita na Cyborg alikuwa akiendelea na kazi yake ya halali.

Ilikuwa ni siku ya jumamosi siku hiyo Cyborg alikuja huku akiwa anavuta bangi kitu kilichonishangaza.
"Kumbe bado unavuta bangi?"
"Malaika, Afande Davi lazima nimuue yeye ndiyo kanifanya leo nivute bangi msenge yule kabisa"
"Afande Davi!?" nilimuuliza na Cyborg aliniambia kuwa Afande Davi ndiye aliyetuma watu wampige Cyborg na yote bhana kumbe nikutokana na story nilizokuwa nikipiga mimi pamoja na Afande Neema nikimsifia Cyborg kuwa anajua kutia.

Cyborg aliendelea kuvuta bangi mpaka pale alipomaliza.
"Hapa akili imekaa sawa utazipata habari za Afande mwenzako" Cyborg aliongea nakuondoka, sikutaka kumuacha japo siku hiyo nilikuwa nimevaa pensi tu na mapaja yote yalikuwa wazi niliamua kumfata Cyborg kwa ajili ya kumzuia.

Cyborg kwakuwa alikuwa akipajua kwa Afande Davi alienda mpaka kwake nakumkuta Afande Davi akiwa pamoja na mke wake nakuanza kupigana nae.

Mda huo na mimi nilikuwa nimeshafika nakumkuta Cyborg kamkaba Afande Davi huku mke wake akipiga kelele za kuhitaji msaada.

Nilisogea mpaka katikati yao nakuwa achanisha.

"Niache nimpasue ili apate adabu na aniambie kwanini alinitumia watu kwa ajili ya kunipiga?"

Nyie acheni tu Cyborg alikuwa na nguvu kwani alinisukuma nakuendelea kumpiga Afande Davi na ukizingatia alikuwa na kakitambi ndio kabisa hakuwa na uwezo wa kupambana na Cyborg. Bahati nzuri kuna wanaume walikuja na kuwa achanisha.

Cyborg kutokana na bangi aliyokuwa amevuta hakuacha kutukana matusi ya kila aina.

Ilibidi nimchukue na kurudi nae nyumbani.
"Huyo mpumbavu hatarudia tena nimemuaibisha mbele ya mke wake"
Cyborg aliongea ila mimi nilikuwa kimya tu mda huo.
"Malaika wangu umechukia?"
"Ndio tena sana tu kwanini uvute bangi!?" Niliongea huku nikiwa nimekasirika.

Cyborg alinisogelea nakunishika huku matiti yangu akiyagusisha kwenye kifua chake.
"Leo ni mara ya mwisho kuvuta bangi Malaika niamini mimi, naomba usije kuniacha nitajiua kabisa, nakupenda sana mke wangu"
Cyborg aliongea na sijui alinipa nini kwani nilikuwa sijiwezi kwake na sikuwa na mpango wa kumuacha kabisa.

Afande Davi alipunguza kunisumbua na alianza kuniheshimu na hakuwahi tena kuongea maneno ya kijinga mbele yangu.......ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 06

PENZI LA MHALIFU 06

Ilibidi aniombe msamaha na aliniambia sababu iliyomfanya awe anamsumbua Cyborg.
"Angel rafiki yangu, mpenzi wangu hanilizishi kabisa yani akinitia kidogo tu chali"
"Sasa ndio mpka umsumbue mme wangu!?"
"Uliniambia mwenyewe kuwa Cyborg huwa anakutia na kukulizisha, nilitamani na mimi anatie ata mara moja walau nionje utamu wa kulizishwa ila kwakuwa umejua sitamsumbua tena mme wako rafiki yangu" Afande Neema aliniambia na mimi niliamua kumsamehe baada ya kunielezea kiundani zaidi.

Kumbe bhana, Afande Davi alikuwa pembeni akitusikiliza na tulisitisha mazungumzo baada ya kusikia simu yake ikiita. aliamua kuondoka nakutuacha tulimwangalia.

"Wanaume wengine bwana bora ata angezaliwa na matiti kama sisi wanawake" Niliongea...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35

973
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

224
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9

202
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

196
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

193
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

175
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

143
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1

127
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

111

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.78K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.66K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.59K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. ๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest