Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 13.
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 13.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 13.

Baada ya mda sikuweza kuisikia sauti ya Cyborg tena kwani tayari alikuwa ameshaondoka. niliamua kujiandaa kwa ajili ya kwenda kazini. nilipomaliza niliondoka kwa ajili ya kwenda kuungana na asikari mwenzangu.

Kiukweli hiyo siku nilikereka sababu hakukuwa na kazi yoyote ya maana zaidi ya kuzunguka na kupigwa baridi tu usiku huo, nilikiri wazi kuwa mkuu kama kunikomesha aliamua kunikomesha kwani baridi lilikuwa linanipiga kisawa sawa na nilitamani mda huo ningekuwa pembeni ya Cyborg wangu.

Basi nilikaa pamoja na asikari wenzangu mpaka majira ya saa 11 alfajiri ndipo tulipoamua kurudi kwenye makazi yetu.

Nilifika nyumbani na kushangaa kwa kutokumuona Cyborg hivyo niliamua kumuuliza binti yetu wa kazi.
Binti wa kazi alinijibu kuwa Cyborg hakurudi tangu alipoondoka.

Kidogo nilianza kushikwa na mashaka kwa kuhisi lazima atakuwa kaenda kusababisha matatizo mengine.

Kwakuwa nilikuwa na usingizi niliamua kujiegesha kitandani, na nikiwa nautafuta usingizi nilikumbuka ushauri niliopatiwa na Afande Neema wa kukubali kufanya mapenzi na Mkuu wangu.
"Inabidi tu nikubali kufanya nae mapenzi walau mara moja ili mambo mengine yaweze kwenda lasivyo atanitesa sana" niliongea mwenyewe na kwenye akili yangu nilikuwa nimeshakubali kumpatia penzi Robert au mkuu wangu wa kazi ili anitoe kwenye kazi ya usiku

Nilipitiwa na usingizi na nilikuja kushituka mida ya saa 1 asubuhi baada ya kuhisi mwili wangu ukipapaswa, nilishituka na kumkuta Cyborg akinipapasa huku tayari akiwa ameshavua nguo zake na mpini wake ukiwa unaning'inia.
"Malaika wewe usijali nimeshasababisha tayari huko, yule mpuuzi hawezi kukufanya chochote tena" Cyborg aliongea huku akiendelea kunishikashika.
"Kwani umemfanya nini!?" nilimuuliza lakini hakutaka kunijibu zaidi ya kuhitaji kunizagamua mda huo na aliniambia nikienda kituoni mkuu wangu mwenyewe ataniambia.
Nilitamani kujua ila Cyborg hakutaka kuniambia kabisa.

Basi tulifanya yetu na baada ya kumaliza nilienda kazini ile nafika tu nilikutana na taarifa za kuhitajika na mkuu kwenye ofisi yake.

Nilienda na nilipofika mkuu aliongea.
"Jambazi wako anajifanya mjanja sana aya nimekubali kukutoa kwenye kazi za usiku ila nenda ukijua ndiyo kwanza vita vimeanza, lazima nimkomeshe mme wako na lazima nije nikutie utake usitake" mkuu aliongea na mimi niliondoka, Sikujua mkuu amepanga kufanya kitu gani.

Baada ya masaa kadhaa kwenda nilirudi nyumbani na nilikuwa na hamu ya kumuuliza Cyborg kimetokea nini mpaka Mkuu akaamua kubadilisha utaratibu aliokuwa ameniwekea wa kunipa kazi za usiku.

Basi bhana Cyborg alikuja nyumbani na swali la kwanza nililomuuliza ni hilo la kutamani kujua.

Baada ya kumuuliza Cyborg aliachia tabasamu nakuniambia.
"Malaika nilikwambia hamna mtu atakayekugusa mimi nikiwepo"
"Kwanini unasema hivyo!?"
Nilimuuliza na Cyborg alianza kunisimulia kila kitu kilichotokea.

Alienda mpaka nyumbani kwa mkuu wetu na alikuwa ameshapeleleza na kupafahamu. Cyborg aliniambia alipofika kwake hakumkuta yeye ila alimkuta mke wake na aliamua kumweleza mke wake kila kitu.

Alimwambia mkewe endapo mme wake atafanya mapenzi na mimi basi na yeye atafanya mapenzi  na yeye ili kulipa kisasi haijalishi ni kwa njia gani, japo mke wa kiongozi wetu alikuwa mbishi na kupingana na maneno ya Cyborg ila alimwambia atake asitake atafanya nae labda sio yeye Cyborg.

Cyborg hakuishia kumwambia mke wake tu alimsubiria Mkuu mwenyewe na alipokuja alimwambia kama alivyomwambia mkewe na kuondoka.

Nilibaki nimeshangaa kwa kile alichonisimulia Cyborg hivyo niliamua kumuuliza.
"Kwahiyo mimi ningefanya mapenzi na boss wangu na wewe ungeenda kulala na mke wake!?"
"Nahisi unanijua vizuri Malaika huwa sidanganyi, lazima na yeye ningeenda kumgongea mke wake tena ningepita njia zote ya nyuma na ya mbele" Cyborg aliongea na hapo ndipo nilipoamini kweli alithamilia.

Cyborg alizidi kuniambia.
"Hakikisha chochote kile atakachokuwa anakufanyia uwe unaniambia Malaika" Cyborg aliniambia kwa msisitizo.
"Mmmh, sawa ila sitaki uje uuwe mtu maana bado nakuhitaji kipenzi" nilimwambia maana pia nilifurahishwa kwa yeye kumfanya mkuu wangu anitoe kwenye kazi za usiku.

Nilijikuta nikimkumbatia Cyborg kwa msaada alionipa na kwakuwa alikuwa ameshanizoesha kila siku kunikuna  nilipandwa na hisia za gafra.

Nilimwangalia huku nikiwa nimelegeza macho yangu na kumwambia.
"Beb twende ukanikune"
"Wapi panawasha!?" Cyborg aliniuliza na mimi nilimpa ishara ya macho nikimaanisha tunda langu linahitaji kuliwa mda huo.

Kati ya wanaume walio kamili mmoja wao ni Cyborg hakuwa na visingizio vya kuchoka wala nini.

Alinibeba na kunipeleka chumbani na kilichokuwa kikiendelea ni mizagamuo tu.

Mwezi mmoja ulipita bira kupata usumbufu wowote ule kutoka kwa mkuu wangu na asikari wengi tulishangaa kumuona mkuu akitengeneza urafiki na Afande Davi.

Siku hiyo Afande Neema alikuja kuniambia kitu kilichonishitua.
"Angel bora na mimi ningekuwa na mwanaume anayeweza kunilinda kama Cyborg kiufupi namtamani mme wako" aliniambia na kunifanya nimkate jicho baada ya kusema anamtamani Cyborg wangu ila nilijikaza nakumuuliza sababu ya yeye kusema hivyo.
"Kwani kuna kitu gani kimetokea mpaka uniambie hivyo!?" Baada ya kumuuliza nilishangaa kumuoa akiinamisha kichwa chake kwa aibu na kuniambia.
"Jana nimefanya mapenzi na Mkuu na sikuwa na ujanja wa kukataa maana alinilazimisha na alinitishia kuwa atanipangia zamu za usiku ikiwa nitakataa" Afande Neema aliongea na ongea yake tu ilionesha kweli Robert ambae ni Mkuu wetu ameshamla tayari.
"Kwanini ulikubali kizembe hivyo na wewe!?" ilibidi nimuulize Afande Neema.
"Sikuwa na njia nyingine na mimi kazi za usiku sizipendi kabisa na asikari wa kike wengi unaowaona hapa tayari ameshawala ila hana maajabu yoyote yale dekika tano tu amemaliza"

Hapo ndiyo nilijua kweli mkuu wetu ni kicheche na anapenda wanawake balaa.

"Mimi ata kama awe hana maajabu siwezi mfunulia chupi yangu yule" niliongea na tulizidi kuongea mengi huku nikimpa pole Afande Neema kwa kile kilichomkuta....ITAENDELEA

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 13.

PENZI LA MHALIFU 13.

Baada ya mda sikuweza kuisikia sauti ya Cyborg tena kwani tayari alikuwa ameshaondoka. niliamua kujiandaa kwa ajili ya kwenda kazini. nilipomaliza niliondoka kwa ajili ya kwenda kuungana na asikari mwenzangu.

Kiukweli hiyo siku nilikereka sababu hakukuwa na kazi yoyote ya maana zaidi ya kuzunguka na kupigwa baridi tu usiku huo, nilikiri wazi kuwa mkuu kama kunikomesha aliamua kunikomesha kwani baridi lilikuwa linanipiga kisawa sawa na nilitamani mda huo ningekuwa pembeni ya Cyborg wangu.

Basi nilikaa pamoja na asikari wenzangu mpaka majira ya saa 11 alfajiri ndipo tulipoamua kurudi kwenye makazi yetu.

Nilifika nyumbani na kushangaa kwa kutokumuona Cyborg hivyo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

710
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

334
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

307
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

279
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

157
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

100
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

93
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.31K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor — both just starting out — probably had no idea they were about to become such huge stars. There’s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. They’re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote🥱. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest