Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 13.
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 13.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 13.

Baada ya mda sikuweza kuisikia sauti ya Cyborg tena kwani tayari alikuwa ameshaondoka. niliamua kujiandaa kwa ajili ya kwenda kazini. nilipomaliza niliondoka kwa ajili ya kwenda kuungana na asikari mwenzangu.

Kiukweli hiyo siku nilikereka sababu hakukuwa na kazi yoyote ya maana zaidi ya kuzunguka na kupigwa baridi tu usiku huo, nilikiri wazi kuwa mkuu kama kunikomesha aliamua kunikomesha kwani baridi lilikuwa linanipiga kisawa sawa na nilitamani mda huo ningekuwa pembeni ya Cyborg wangu.

Basi nilikaa pamoja na asikari wenzangu mpaka majira ya saa 11 alfajiri ndipo tulipoamua kurudi kwenye makazi yetu.

Nilifika nyumbani na kushangaa kwa kutokumuona Cyborg hivyo niliamua kumuuliza binti yetu wa kazi.
Binti wa kazi alinijibu kuwa Cyborg hakurudi tangu alipoondoka.

Kidogo nilianza kushikwa na mashaka kwa kuhisi lazima atakuwa kaenda kusababisha matatizo mengine.

Kwakuwa nilikuwa na usingizi niliamua kujiegesha kitandani, na nikiwa nautafuta usingizi nilikumbuka ushauri niliopatiwa na Afande Neema wa kukubali kufanya mapenzi na Mkuu wangu.
"Inabidi tu nikubali kufanya nae mapenzi walau mara moja ili mambo mengine yaweze kwenda lasivyo atanitesa sana" niliongea mwenyewe na kwenye akili yangu nilikuwa nimeshakubali kumpatia penzi Robert au mkuu wangu wa kazi ili anitoe kwenye kazi ya usiku

Nilipitiwa na usingizi na nilikuja kushituka mida ya saa 1 asubuhi baada ya kuhisi mwili wangu ukipapaswa, nilishituka na kumkuta Cyborg akinipapasa huku tayari akiwa ameshavua nguo zake na mpini wake ukiwa unaning'inia.
"Malaika wewe usijali nimeshasababisha tayari huko, yule mpuuzi hawezi kukufanya chochote tena" Cyborg aliongea huku akiendelea kunishikashika.
"Kwani umemfanya nini!?" nilimuuliza lakini hakutaka kunijibu zaidi ya kuhitaji kunizagamua mda huo na aliniambia nikienda kituoni mkuu wangu mwenyewe ataniambia.
Nilitamani kujua ila Cyborg hakutaka kuniambia kabisa.

Basi tulifanya yetu na baada ya kumaliza nilienda kazini ile nafika tu nilikutana na taarifa za kuhitajika na mkuu kwenye ofisi yake.

Nilienda na nilipofika mkuu aliongea.
"Jambazi wako anajifanya mjanja sana aya nimekubali kukutoa kwenye kazi za usiku ila nenda ukijua ndiyo kwanza vita vimeanza, lazima nimkomeshe mme wako na lazima nije nikutie utake usitake" mkuu aliongea na mimi niliondoka, Sikujua mkuu amepanga kufanya kitu gani.

Baada ya masaa kadhaa kwenda nilirudi nyumbani na nilikuwa na hamu ya kumuuliza Cyborg kimetokea nini mpaka Mkuu akaamua kubadilisha utaratibu aliokuwa ameniwekea wa kunipa kazi za usiku.

Basi bhana Cyborg alikuja nyumbani na swali la kwanza nililomuuliza ni hilo la kutamani kujua.

Baada ya kumuuliza Cyborg aliachia tabasamu nakuniambia.
"Malaika nilikwambia hamna mtu atakayekugusa mimi nikiwepo"
"Kwanini unasema hivyo!?"
Nilimuuliza na Cyborg alianza kunisimulia kila kitu kilichotokea.

Alienda mpaka nyumbani kwa mkuu wetu na alikuwa ameshapeleleza na kupafahamu. Cyborg aliniambia alipofika kwake hakumkuta yeye ila alimkuta mke wake na aliamua kumweleza mke wake kila kitu.

Alimwambia mkewe endapo mme wake atafanya mapenzi na mimi basi na yeye atafanya mapenzi  na yeye ili kulipa kisasi haijalishi ni kwa njia gani, japo mke wa kiongozi wetu alikuwa mbishi na kupingana na maneno ya Cyborg ila alimwambia atake asitake atafanya nae labda sio yeye Cyborg.

Cyborg hakuishia kumwambia mke wake tu alimsubiria Mkuu mwenyewe na alipokuja alimwambia kama alivyomwambia mkewe na kuondoka.

Nilibaki nimeshangaa kwa kile alichonisimulia Cyborg hivyo niliamua kumuuliza.
"Kwahiyo mimi ningefanya mapenzi na boss wangu na wewe ungeenda kulala na mke wake!?"
"Nahisi unanijua vizuri Malaika huwa sidanganyi, lazima na yeye ningeenda kumgongea mke wake tena ningepita njia zote ya nyuma na ya mbele" Cyborg aliongea na hapo ndipo nilipoamini kweli alithamilia.

Cyborg alizidi kuniambia.
"Hakikisha chochote kile atakachokuwa anakufanyia uwe unaniambia Malaika" Cyborg aliniambia kwa msisitizo.
"Mmmh, sawa ila sitaki uje uuwe mtu maana bado nakuhitaji kipenzi" nilimwambia maana pia nilifurahishwa kwa yeye kumfanya mkuu wangu anitoe kwenye kazi za usiku.

Nilijikuta nikimkumbatia Cyborg kwa msaada alionipa na kwakuwa alikuwa ameshanizoesha kila siku kunikuna  nilipandwa na hisia za gafra.

Nilimwangalia huku nikiwa nimelegeza macho yangu na kumwambia.
"Beb twende ukanikune"
"Wapi panawasha!?" Cyborg aliniuliza na mimi nilimpa ishara ya macho nikimaanisha tunda langu linahitaji kuliwa mda huo.

Kati ya wanaume walio kamili mmoja wao ni Cyborg hakuwa na visingizio vya kuchoka wala nini.

Alinibeba na kunipeleka chumbani na kilichokuwa kikiendelea ni mizagamuo tu.

Mwezi mmoja ulipita bira kupata usumbufu wowote ule kutoka kwa mkuu wangu na asikari wengi tulishangaa kumuona mkuu akitengeneza urafiki na Afande Davi.

Siku hiyo Afande Neema alikuja kuniambia kitu kilichonishitua.
"Angel bora na mimi ningekuwa na mwanaume anayeweza kunilinda kama Cyborg kiufupi namtamani mme wako" aliniambia na kunifanya nimkate jicho baada ya kusema anamtamani Cyborg wangu ila nilijikaza nakumuuliza sababu ya yeye kusema hivyo.
"Kwani kuna kitu gani kimetokea mpaka uniambie hivyo!?" Baada ya kumuuliza nilishangaa kumuoa akiinamisha kichwa chake kwa aibu na kuniambia.
"Jana nimefanya mapenzi na Mkuu na sikuwa na ujanja wa kukataa maana alinilazimisha na alinitishia kuwa atanipangia zamu za usiku ikiwa nitakataa" Afande Neema aliongea na ongea yake tu ilionesha kweli Robert ambae ni Mkuu wetu ameshamla tayari.
"Kwanini ulikubali kizembe hivyo na wewe!?" ilibidi nimuulize Afande Neema.
"Sikuwa na njia nyingine na mimi kazi za usiku sizipendi kabisa na asikari wa kike wengi unaowaona hapa tayari ameshawala ila hana maajabu yoyote yale dekika tano tu amemaliza"

Hapo ndiyo nilijua kweli mkuu wetu ni kicheche na anapenda wanawake balaa.

"Mimi ata kama awe hana maajabu siwezi mfunulia chupi yangu yule" niliongea na tulizidi kuongea mengi huku nikimpa pole Afande Neema kwa kile kilichomkuta....ITAENDELEA

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 13.

PENZI LA MHALIFU 13.

Baada ya mda sikuweza kuisikia sauti ya Cyborg tena kwani tayari alikuwa ameshaondoka. niliamua kujiandaa kwa ajili ya kwenda kazini. nilipomaliza niliondoka kwa ajili ya kwenda kuungana na asikari mwenzangu.

Kiukweli hiyo siku nilikereka sababu hakukuwa na kazi yoyote ya maana zaidi ya kuzunguka na kupigwa baridi tu usiku huo, nilikiri wazi kuwa mkuu kama kunikomesha aliamua kunikomesha kwani baridi lilikuwa linanipiga kisawa sawa na nilitamani mda huo ningekuwa pembeni ya Cyborg wangu.

Basi nilikaa pamoja na asikari wenzangu mpaka majira ya saa 11 alfajiri ndipo tulipoamua kurudi kwenye makazi yetu.

Nilifika nyumbani na kushangaa kwa kutokumuona Cyborg hivyo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

1.37K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

673
LETICIA 15:16

LETICIA 15:16

263
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

256
CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10

CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10

191
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

141
NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

75
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

34
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

18
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.93K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.63K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.79K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.66K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema “mimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest