Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 39
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 39

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 39

Sikutaka kumwambia Cyborg kuwa nimeamua kutumia uzazi wa mpango na iliendelea kuwa siri yangu.

Cyborg alizidi kuimalisha biashara yake huku gari ikibaki kwenye mikono yangu na kidogo ilisaidia kunipandisha thamani kwani ata wale asikari wenzangu hasa wakiume waliokuwa wakinisumbua mara kwa mara akiwemo Afande James walipunguza kunisumbua kutoka na mimi kumiliki gari kwani wengi wao walikuwa hawana.

Siku moja nikiwa kazini nilimuona mtu niliyepotezana nae miaka mingi iliyopita na hakuwa mwingine bali alikuwa x wangu wa zamani kipindi nasoma aliyekuwa akiitwa Dan.

Dan alikuwa ni mwanaume wa kwanza kwangu na kiukweli tulipendana sana na ilifika kipindi tulijiwekea malengo ya kuja kuoana hapo baadae. Dan alikuwa ni mwanaume aliyenitoa bikra na kidogo nilishikwa na aibu baada ya kumuona.

Dan baada ya kuniona hakuamini kunikuta kwenye kituo hicho cha polisi tena nikiwa kama asikari wa kituo hicho.

Alinisogea karibu na kunisalimia na mimi sikutaka kukataa kuipokea salamu yake sababu hatukuachana kiubaya na ni mazingira tu ndiyo yaliyotutenganisha ya utafutaji.
"Angel kumbe unafanya kazi hapa!?" aliniuliza na mimi nilimkubalia.
Baada ya kumkubalia kuwa nafanya kazi kwenye kitu hicho Dan aliniambia "Basi naomba unipatie namba yako ya simu ili tuwe tunawasiliana" Dan aliongea na mimi nilifikiria nakuona haina haja ya kumpa namba zangu kwani huenda tungejikuta tukirudisha mahusiano tuliyowahi kuwa nayo kipindi cha nyuma.

"Itakuwa ngumu kukupa namba zangu Dan maana tayari mimi ni mke wa mtu sasa ivi" niliamua kumjibu.
"Mmmh Angel ata mimi nimeoa kwa sasa ila nahitaji tuwe tunawasiliana na sio kama unavyofikiria wewe" aliniambia lakini mimi sikutaka kumpatia namba zangu za simu na baadae nilimwambia kama atakuwa na shida ya kuonana na mimi basi inatakiwa awe anakuja sehemu ninayofanyia kazi.

Dan alikubali kishingo upande na kuamua kuondoka na mimi niliendelea na mambo yangu.

Siku mbili zilipita na siku hiyo nilitafutwa na namba ngeni.
Nilipoipokea simu yangu niligundua kuwa ni Dan ndiye aliyekuwa kanipigia simu.

Nilishituka sababu sikutegemea kama atakuwa na namba yangu na ukizingatia nilikataa kumpa namba siku aliyoniomba "Dan namba yangu umetoa wapi!?" nilimuuliza baada ya kusikia sauti yake.
"Angel kwani sitakiwi kuwa na namba yako!!!? mimi kwa sasa ni rafiki yako na sio mpenzi wako japo na kumbuka wakati mzuri tuliokuwa pamoja Angel, naheshimu ndoa yako Angel lakini kwangu nahitaji unipe nafasi ya kuwa tunaongea na kupiga story" aliongea maneno mengine ambayo hata sikumuuliza na alidai kuwa namba yangu kaipata kutoka kwa asikari mwenzangu ila hakutaka kumtaja jina kwani alihofia nitaenda kumgombeza mtu aliyempatia namba.

Dan aliendelea kunipigia simu mara kwa mara na sababu kubwa alikuwa akisema kuwa ananijulia hali, na siku hiyo alipiga simu huku Cyborg akiwa karibu yangu lakini sikutaka kabisa kuipokea.
"Angel mbona unaiangalia simu yako au kuna mjinga anayekusumbua tena na anataka umpatie penzi!?" Cyborg aliongea.
"Ndiyo kuna asikari ananisumbua na ndiye anayenipigia simu kila mara" niliamua kumchoma Dan kwa Cyborg.

Cyborg aliichukua simu yangu na kuipokea kisha baada ya hapo aliongea.
"Ivi asikari wenzako hawajakupa habari zangu mpaka uendelee kumfatilia mke wangu sio!?" Baada ya Cyborg kuongea upande wa pili Dan aliamua kukata simu.

Tangu siku hiyo Dan alipunguza kunitafuta na ili kuepusha usumbufu niliamua kuiblock namba yake kwa ajili ya kupoteza mawasiliano nae na kila akitumia namba nyingine basi nilikuwa nikiiblock tu .

Wakati Dan akipunguza kunisumbua kuna mwingine alijitokeza na niseme tu kama kutongozwa basi nilitongozwa.

Siku hiyo nakumbuka ilikuwa ni jumatano alikuja mtoto wa kiume wa mbunge mkubwa tu ndani ya nchi hii akiwa na gari lake (jina lake nalihifadhi) alitupita nikiwa mimi pamoja na asikari wenzangu.

Kijana huyo alishuka na kuingia kwenye ofisi ya mkuu wetu na baadae alivyotoka aliniangalia na  kuamua kuniita.

Niliamua kumfata na nilipomfikia aliamua kuniuliza.
"Unaitwa Afande nani!?"
Kijana wa mbunge aliniuliza na mimi niliamua kumjibu.
"Naitwa Angel"
"Ooh jina zuri unafanya kazi kwenye hichi kituo!?"
Aliniuliza swali ambalo jibu lake lilikuwa wazi ila niliamua tu kumjibu kuwa nafanya kazi kwenye kituo hicho.
Baada ya kumjibu alinipatia simu yake na kuniambia "Basi andika namba zako kwenye simu yangu na hii ni lazima sio ombi" aliongea kwa kujiamini na mimi sikutaka kuhangaika nae kwani niliamua kumuandikia namba za uongo na kumpatia.

"Vizuri nitakupigia" aliongea na kuondoka.
"Atajijua mwenyewe nimeshachoka kutongozwa tongozwa hovyo" niliongea mwenyewe na kwenda kuendelea na mambo yangu.

Siku mbili zilipita na siku ya tatu alikuja tena kwenye kituo chetu cha kazi na moja kwa moja alielekea kwenye ofisi ya mkuu wetu.

Nikiwa sina habari nilishangaa nikiitwa na mkuu.
"Mmmmh mkuu ananiita!?" niliongea mwenyewe na kuamua kwenda ndani ya ofisi yake ili nimsikilize ni kitu gani alichoniitia......ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 39

PENZI LA MHALIFU 39

Sikutaka kumwambia Cyborg kuwa nimeamua kutumia uzazi wa mpango na iliendelea kuwa siri yangu.

Cyborg alizidi kuimalisha biashara yake huku gari ikibaki kwenye mikono yangu na kidogo ilisaidia kunipandisha thamani kwani ata wale asikari wenzangu hasa wakiume waliokuwa wakinisumbua mara kwa mara akiwemo Afande James walipunguza kunisumbua kutoka na mimi kumiliki gari kwani wengi wao walikuwa hawana.

Siku moja nikiwa kazini nilimuona mtu niliyepotezana nae miaka mingi iliyopita na hakuwa mwingine bali alikuwa x wangu wa zamani kipindi nasoma aliyekuwa akiitwa Dan.

Dan alikuwa ni mwanaume wa kwanza kwangu na kiukweli tulipendana sana na ilifika kipindi tulijiwekea malengo ya kuja...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-39

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

737
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

343
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

338
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

310
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

161
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

116
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

112
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

105
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.32K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor — both just starting out — probably had no idea they were about to become such huge stars. There’s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. They’re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote🥱. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest