Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 11.
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 11.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 11.

Nilitoka ndani ya chumba hicho nikiwa na hasira na nilivyofika nje nilimkuta mkuu wangu kwenye gari akihangaika kubadilisha nguo kwa kuvua nguo zake za kazi, moja kwa moja nielewe kuwa ulikuwa ni mpango na hakukuwa na kazi yoyote ile iliyokuwa inatakiwa ifanyike.

Mkuu alishituka kuniona sababu hakutegemea kuniona mda huo hivyo aliamua kuniuliza.
"Mbona umerudi sasa ivi umeshakamilisha kazi!?"
Baada ya yeye kuniuliza na mimi kwa dharau niliamua kumjibu.
"Kazi ya kuja kunibaka sio!?"
Jibu langu kwake aliona kama dharau hivyo alichukua mfuko uliokuwa na sare zangu za kazi nakuamua kunitupia bira kunipa nafasi ya kuingia kwenye gari.
"Subiri utaona na utajuta mimi kuwa mkuu wako wa kazi" aliongea nakuondoka akiwa na gari yake.

Nilibaki nikimwangalia huku nikiokota mfuko wangu na kuongea.
"Wewe ata ufanyeje ila hupati penzi langu kizembe hivyo" niliongea nikiwa mimi mwenyewe nakuamua kuondoka.
Kwakuwa ulikuwa ni mda wa jioni niliamua kwenda nyumbani moja kwa moja pasipo kupitia kituoni.

Nilifika na kumkuta Cyborg aliyeshangaa kuniona nikiwa kwenye mavazi mengine tofauti na sare zangu za kazi hivyo alianza kuniuliza maswali ya kila aina.
"Malaika imekuwaje mbona mapaja yote nje!?"
Baada ya Cyborg kuniuliza nilibaki nikimwangalia na kuwaza nimwambie yale yaliyonikuta au nikae kimya ila baada ya kuwaza sana niliona kukaa kimya haitasaidia.

Nilimsimulia kila kitu kilichotokea na mchezo aliotaka kunichezea boss wangu.

Cyborg alikasirika na kusimama kwa ajili ya kwenda kulisababisha kituoni hivyo niliamua kumzuia.
"Unataka kwenda wapi mme wangu na wewe!?"
"Nataka nikamfunze adabu huyo bosi wako mpya ivi hajasikia habari zangu kuwa niliwahi kuwa nani hapo nyuma!?" Cyborg aliongea huku macho yake yakiwa yameshaanza kubadirika.
"Tulia mme wangu hajanitia na wala hana uwezo wa kunitia yule" niliongea na Cyborg pale pale aliongea.

"Ngoja kwanza nihakikishe kama kweli hajakuzagamua huyo mpuuzi alafu baadae nitamfunza adabu" aliongea huku akisogea mkono wake kwenye mapaja yangu.

kwakuwa nilikuwa nimevaa nguo fupi hakupata tabu kwani alisogeza pembeni chupi niliyokuwa nimevaa nakuingiza kidole chake kwenye uchi wangu kisha baada ya hapo alianza kusugua alivyokuwa akijua yeye kuangalia kama atakutana na mabadiliko yoyote yale.

Cyborg aliona kidole pekee hakitoshi, aliamua kuniinamisha nakuniingizia mwichi wake.

Tulianza kuzagamuana na baada ya mda tulimaliza na aliniambia.
"Asante Malaika"
ilibidi nimuulize "Asante ya nini mme wangu!?"
"Kwa kuweza kujizuia usimpe penzi yule mjinga ila lazima nitamuonyesha na atanijua mimi ni nani" Cyborg aliongea na sikujua amepanga kuja kufanya kitu gani.

Siku hiyo ilipita na yalipofika majira ya asubuhi Cyborg aliomba cha asubuhi kama ilivyokuwa kawaida yake, na mimi nilimpatia na baada ya kumaliza kunitia nilishangaa kumuona akinyenyuka na kwenda kujiandaa kisha baada ya hapo aliondoka.
"Huyu leo anaenda wapi mbona sio kawaida yake kuondoka asubuhi ivi!?" nilijiuliza pasipo kuwa na jibu lolote lile, sikutaka kumfikiria sana na  niliamua kusubiri mda usogee kidogo ili ukifika mda mwafaka niweze kujiandaa kwa ajili ya kwenda kazini.

Mda ulifika na nikiwa kwenye maandalizi nilipigiwa simu na Afande Neema.

Afande Neema aliniambia kuwa mme wangu Cyborg yupo kwenye kituo chetu cha kazi na anamsubiri mkuu wetu ili aweze kufanya yake. Nilimuuliza amejua kama ana mpango wa kuja kumdhulu mkuu wetu.
Afande Neema aliniambia kuwa amemwona Cyborg akiwa ameficha kisu ila uzuri hakutaka kuwaambia asikari wenzetu.

Baada ya kupokea taarifa hizo kutoka kwa Afande Neema niliona mambo yanazidi kuwa mabaya zaidi hivyo nilijiandaa haraka kwa ajili ya kwenda kumzuia Cyborg.

Nilitaka kuwahi kituoni kabra ya mkuu wetu wa kazi hajafika na bahati nzuri nilifanikiwa kuwahi kabra yake.

Haraka nilielekea sehemu aliyokuwa amekaa Cyborg huku baadhi ya asikari wakimpita bira kujua kama analengo baya na waliamini amekuja pale kwa ajili ya mambo mengine tu.

Nilimfikia na kuanza kumwambia arudi nyumbani kwanza na asifanye vulugu mbele ya kituo cha polisi.
"Siwezi kwenda nyumbani mpaka nimfundishe adabu huyo mkuu wako na aniambie kwanini anakufatilia wewe" Cyborg aliongea na alionesha hana utani.

Kelvin au Cyborg kama nilivyokuwa nimezoea kumwita nilimwambia "ivi unajua kama upo kituoni na ni kosa kubwa sana kupigana na mkuu wetu kuna hatari ya wewe kwenda jela na nisikuone tena"
"Bora niende jela Malaika ila yule mjinga lazima nimuoneshe" Cyborg aliongea kwa mara nyingine.

Nikiwa kama mwanamke wake niliamua kumbembeleza na kumwambia maneno ya kila aina na machache niliyomwambia yalikuwa ni haya.
"Cyborg ukienda gerezani nani atakayenipa penzi kama unalonipa wewe!? na vipi kuhusu mtoto wetu huoni kama atakuwa mpyeke siku akikua na kugundua kuwa baba yake yupo gerezani!?"

Maneno yangu niliyoongea yalianza kubadilisha akili ya Cyborg na nilifanikiwa kumtuliza.

"Naondoka ila leo nahitaji urudi nyumbani mapema na akikwambia kwenda sehemu yoyote ile usikubali kwenda" Cyborg aliongea na kuondoka........ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 11.

PENZI LA MHALIFU 11.

Nilitoka ndani ya chumba hicho nikiwa na hasira na nilivyofika nje nilimkuta mkuu wangu kwenye gari akihangaika kubadilisha nguo kwa kuvua nguo zake za kazi, moja kwa moja nielewe kuwa ulikuwa ni mpango na hakukuwa na kazi yoyote ile iliyokuwa inatakiwa ifanyike.

Mkuu alishituka kuniona sababu hakutegemea kuniona mda huo hivyo aliamua kuniuliza.
"Mbona umerudi sasa ivi umeshakamilisha kazi!?"
Baada ya yeye kuniuliza na mimi kwa dharau niliamua kumjibu.
"Kazi ya kuja kunibaka sio!?"
Jibu langu kwake aliona kama dharau hivyo alichukua mfuko uliokuwa na sare zangu za kazi nakuamua kunitupia bira kunipa nafasi ya kuingia kwenye gari.
"Subiri utaona na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*

1.06K
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

756
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60

623
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

408
*REALLY LOVE Chapter 20

*REALLY LOVE Chapter 20

230
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

148
MY CRAZY BOSS 07

MY CRAZY BOSS 07

132
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

120
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

83
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

81

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.94K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.49K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘
@majario LIVE

Ucjali lia mimi tayari nimeshakusamehe na ninakuombea kwa mwenyezi mungu akuponye uweze kurudi kwenye hali yako ya kawaida.... lia aliomba msamaha kwa paschal kutokana na vishawishi alivyokuwa akimpatia na hivyo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
@majario LIVE

Nikasem na mm pia simkumbuki. Rahul akasema unamkumbuka mma.si yule alikua nanibeba . Nikasema simjuh mbona unanilazimisha. Mwanangu si ndo akakumbuk akasema ni elly bibi. Anaitwa bab elly. Uzuri...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Basi kama mwalimu nikamwambia Lizy apite akae, kweli na yeye akaenda na kukaa, kisha nikawatazama hao wanafunzi sasa walikuwa wananiangalia hao na mimi nikatoa mimacho yangu yote nje na...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6
@majario LIVE

Chapter 5 Kulikucha ila hata leo nilichelewa kuamka maaana dada pia inavyoonekana jana alichoka sana hivyoo na yeye pia alilala sana hakuamka pia nikajikuta nimeshtuka saaa moja ikabidi tu niwahi kujiandaa...

Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig Post Mpya
Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig
@majario LIVE

, she began acting when she was just three years old and quickly became a favorite among audiences for her innocent charm and natural expressions. During the 1970s and early...

Sad 😢 : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood  M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu, Post Mpya
Sad 😢 : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu,
@majario LIVE

na aliyeshiriki katika kutayarisha filamu kama Razia Sultan pamoja na kuongoza filamu ya Chhoti Bahu, alikutwa akiwa amefariki nyumbani kwake, msemaji wake bwana Hanif Zaveri amethibitisha. Kwa mujibu wa taarifa Baig...

Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. Post Mpya
Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie.
@majario LIVE

Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. The Vítor Pereira era is off to a winning start ✅

Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school Post Mpya
Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school
@majario LIVE

. They met back in the 1980s and dated for almost nine years before getting married. Coming from different cultural backgrounds, their relationship did face resistance initially, but love and...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest