Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 09
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 09

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 09.

Upendo ndani ya ndoa yangu uliongezeka na kuwa wa kipekee zaidi, tangu mara ya mwisho nimuone Cyborg akivuta bangi sikuwahi kumuona tena akivuta bangi hali iliyonifurahisha zaidi.

Siku kadhaa zilipita na kwenye kituo changu cha kazi kulitokea mabadiliko na hapo ndipo kimbembe kingine kilipoanzia kwani mkuu wetu wa kazi aliyekuwepo mwanzo alibadilishwa na kuletwa mwingine aliyekuwa akiitwa Robert.

Akiwa ana siku mbili tu kwenye kituo chetu alituitisha kikao na tulipokuwa kwenye kikao nilishangaa kuona akiniangalia kwa macho ya matamanio huku akichezesha miguu yake nahisi alikuwa ameshasimamisha tayari.

Alitupa utaratibu mpya wa kazi na baada ya kikao kumalizika nilisikia jina langu likitajwa.
"Angel unatakiwa ubaki na maongezi na wewe" Robert aliongea na Asikari wenzangu waliondoka na kuniacha mwenyewe nikiwa na mkuu huyo mpya.

Baada ya kubaki wawili Mkuu aliniambia nisogee sehemu aliyokuwa amekaa kitu kilichozidi kunichanganya. Nilifanya kama alivyoniambia kwa kusogea karibu yake ili nisikilize kitu alichotaka kuniambia.

Nilishangaa kuona akianza kushika makalio yangu na hakutosheka kwani mikono yake alianza kuipeleka kwenye kisima changu, haraka nilisimama na kusogea pembeni ila mkuu alinizuia na kuongea.
"Unaenda wapi Angel sogea basi hapa leo nataka nikupashe" mkuu aliongea bira kuwa na aibu.

Niliona anataka kunitania kwanza alishika makalio yangu bira ruhusa yangu na mtu aliyekuwa na haki ya kushika makalio yangu ni Cyborg tu na sio mwanaume mwingine.

"Mkuu kuwa na adabu unataka umpashe nani!?" Nilimuuliza huku nikiwa sina masihara ata kidogo.
"Mimi ndiyo mkuu wako wa kazi lazima ukubali kutiwa na mimi lasivyo unajitafutia matatizo kwenye hichi kituo na sio wewe tu wanawake wote hapa lazima nipashe kwenye miili yao"
Mkuu huyo aliongea kwa majigambo na mimi niliona kama ni kazi basi ndiyo imeanza.

Nilitaka kutoka nje lakini aliniwahi na kunishika.
"Unaenda wapi huku bado hatujamalizana!?" aliongea huku akiwa kaushika mkono wangu.
"Achia mkono wangu kabra sijapiga kelele kuwa unataka kunibaka bira ridhaa yangu" nilimwambia na vitisho vyangu vilisaidia kwani mkuu aliniachia na mimi nilipata nafasi ya kuondoka huku akiniambia lazima anikomeshe na nitajuta kukataa kumpa utamu.

Nilifika kwenye ofisi yetu ya kazi na kumkuta Afande Neema, aliyeshitushwa kwa ujio wangu kwani sura niliikunja kwa hasira nilizokuwa nazo ata lile tabasamu langu linalowavutia wanaume wengi sikuwa nalo tena.

Afande Neema hakuzoea kuniona nikiwa kwenye hali hiyo hivyo aliamua kuniuliza.
"Afande Angel kuna tatizo gani huko ulikotoka!?"
"Huyu mkuu mpya mjinga sana anataka anitie" nilimwambia bira kumficha Afande Neema.
"Makubwa!!! jana tu kuna asikari mwenzetu nasikia amemzagamua kwenye ofisi yake"
Afande Neema alizungumza na tuliendelea kumjadili mkuu wetu mpya ambae ata wiki alikuwa hajamaliza kwenye kituo chetu lakini tayari alikuwa ameshamzagamua mmoja wetu.

Mda wa kazi uliisha na niliporudi nyumbani sikumkuta Cyborg kwani alikuwa bado hajarudi.

Mida ya saa tatu usiku Cyborg alirudi na alionekana ni mtu mwenye mawazo kitu kilichonishangaza hivyo ilibidi nimuulize.
"Kipenzi unatatizo gani!?"
Nilimuuliza lakini kabra hajanijibu aliniangalia kwanza nakuongea.
"Nimepata habari kuwa kuna mkuu wenu wa kazi mpya anataka umpatie penzi huko kazini kwenu" Cyborg aliongea na kunifanya nishituke sababu ndiyo ilikuwa siku ya kwanza na sikujua nani kampa taarifa zile.

Nilimuuliza lakini hakutaka kuniambia mtu aliyemwambia ila aliniambia atamuua huyo mkuu endapo atajaribu kunizagamua.

Usiku huo ulipita na ilipofika asubuhi nilikuwa na hamu ya kufika kazini mapema ili nikamuulize Afande Neema kama ndiye aliyemwambia Cyborg.

Nilifika kwenye kituoni na nilienda kumuuliza moja kwa moja Afande Neema.

Afande Neema alikubali kuwa ni yeye ndiye aliyemwambia Cyborg ili aweze kunichunga zaidi kitu ambacho sikukubaliana nacho kabisa.
ilibidi nimwambie Afande Neema "usije tena kumwambia habari zangu Cyborg sababu anahasira za karibu ipo siku atasababisha matatizo mwisho anisababishie mimi kuwa kwenye wakati mgumu"
Nilimwambia na Afande Neema alinijibu kuwa hatarudia tena kumwambia Cyborg.

Nakumbuka ilikuwa ni mida
ya saa 8 mchana nililetewa taarifa kuwa nahitajika nje na mkuu wetu wa kazi, nilienda nakumkuta akiwa ndani ya gari lake.

"Panda twende" mkuu aliongea bira kuniangalia machoni.

Niliamua kupanda kwenye gari lake huku nikiwa sujui ni wapi tunapoenda japo niliamini kuwa tunaenda kwenye mambo yetu ya kikazi. nikiwa ndani ya gari nilitumiwa ujumbe na Afande Davi.
"Wengine siunatunyima utamu wako, ngoja tuone kama na huyo utamnyima leo lazima ukaliwe" ulikuwa ni ujumbe wa Afande Davi ulionishitua na kunifanya nitambue kuwa mkuu hana nia njema na mimi.

Ilibidi nimuulize baada ya kusoma ujumbee niliotumiwa na Afande Davi " mkuu kwani tunaenda wapi!?"

Aliniangalia na kunijibu " subiri utaona mwenyewe, ila jua tu tunaenda kwenye mambo ya kikazi" aliongea na baadae alikaa kimya.......ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 09

PENZI LA MHALIFU 09.

Upendo ndani ya ndoa yangu uliongezeka na kuwa wa kipekee zaidi, tangu mara ya mwisho nimuone Cyborg akivuta bangi sikuwahi kumuona tena akivuta bangi hali iliyonifurahisha zaidi.

Siku kadhaa zilipita na kwenye kituo changu cha kazi kulitokea mabadiliko na hapo ndipo kimbembe kingine kilipoanzia kwani mkuu wetu wa kazi aliyekuwepo mwanzo alibadilishwa na kuletwa mwingine aliyekuwa akiitwa Robert.

Akiwa ana siku mbili tu kwenye kituo chetu alituitisha kikao na tulipokuwa kwenye kikao nilishangaa kuona akiniangalia kwa macho ya matamanio huku akichezesha miguu yake nahisi alikuwa ameshasimamisha tayari.

Alitupa utaratibu mpya wa kazi na baada ya kikao kumalizika nilisikia jina...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-09

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

1.37K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

673
LETICIA 15:16

LETICIA 15:16

263
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

256
CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10

CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10

191
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

141
NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

76
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

34
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

18
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.93K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.63K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.79K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.66K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema “mimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest