Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 03
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 03

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 03

Tulifika nyumbani nikaamua kumuuliza Cyborg ni wapi alipolala usiku wa jana nae alinijibu.
"Jana nilipata dili la usiku kipenzi ndiyo maana sikurudi nyumbani"
"Dili gani hilo la usiku au uliwakumbuka malaya zako wa zamani na uliamua kulala huko huko" nilimwambia sababu tayari nilikuwa na wivu dhidi yake hasa wa kulala nje.

Sijui Cyborg alinipa nini kwani upendo niliokuwa naye kwake ulikuwa ni wa kipekee ndiyo sababu iliyonifanya nikubali kuolewa nae.

Cyborg badala ya kunijibu kile nilichomuuliza alinisogelea karibu na kushika kiunoni changu. Mapigo yangu ya moyo yalianza kwenda kasi.
"Hakuna malaya anayeweza kufikia utamu wako mke wangu"
"Kwani mimi na utamu gani mpaka uniambie hayo yote!?" nilimuuliza lakini mwenzangu alianza kuvua shati lake.
"Subiri nikuonyeshe utamu ulionao Malaika wangu"
Jamani jamani nilikuwa sijiwezi kwa Cyborg kwani alijua kuziamusha hisia zangu.

Siku hiyo sijui ata utundu wa kumchezea mwanamke aliutoa wapi, nilihisi labda ametoka kuongeza ujuzi kwa kuangalia picha za X.

Cyborg alinichezea kwa usitadi mkubwa na kunifanya nisikie raha ambazo sijawahi kuzisikia toka nizaliwe.

Tulifanya mapenzi na baadae kila mtu alilidhika na kuendelea na mambo yake.

Yakiwa ni majira yaย  usiku kuna kijana alikuja nyumbani na alihitaji kuongea na Cyborg.

Cyborg alitoka na kwenda kuongea na kijana aliyekuja pale nyumbani na sikujua waliongea kitu gani ila Cyborg alirudi ndani na kuniambia.
"Malaika kuna sehemu naenda na nikirudi kitu cha kwanza nitakachokifanya nikukuzagamua mke wangu"
"Kwani unasafari ya kwenda wapi usiku huu!?" nilimuuliza ila Cyborg hakutaka kunijibu, aliondoka na kuniacha njia panda.

Nilishindwa kuelewa ni wapi anapoenda na nilianza kuhisi amerudi kwenye kazi zake za kiharifu tena kwa mara nyingi. nikiwa kama asikari nilipanga kumpeleleza mme wangu ili nijue nisehemu gani anayoenda usiku.

Mda wa kulala ulifika pasipo Cyborg kurudi nyumbani na nikiwa nimelala nilisikia nikipapaswa hivyo ilinibidi nishituke, nilimshuhudia Cyborg akiwa tayari amesharudi na ndiye aliyekuwa akinipapasa kwenye mkalio yangu.
"Kabra hujaanza kunizagamua niambie kwanza ni wapi ulipokuwa umeenda!?"
"Kwani una wasiwasi na mimi Malaika wangu!?, siunajua kabisa kwako sijiwezi mpenzi!?. kipindi naingia chumbani nimekukuta umelala huku umebinua makalio yako juu hapa nilipo nimepandwa na stimu za kukutia kipenzi"
Cyborg aliongea huku akijiandaa kunizagamua.

Nilimtuliza kwanza nakumwambia mpaka aniambie ni wapi alipokuwa ndipo na mimi nitamruhusu anitie. Cyborg aliniambia.
"Malaika wangu kwani umesahau kipindi nakufukuzia nilikuambia nini!?"
Cyborg aliniuliza na mimi nilishindwa kumwelewa sababu kabra hatujaoana aliniahidi vitu vingi.

Nilimwambia anikumbushe ni kitu gani ndipo alipoamua kusema.
"Tukiachana na kuzagamuana kila mda nilikuahidi nitakufanya ufurahi Malaika, kwahiyo nimeamua kurudi kwenye kazi yangu ya zamani"
"Kelvin umeamua kurudi kwenye kazi zako za wizi!?"
"Kwa ajili yako Malaika nataka nikununulie gari na kazi ya kunipa hela ya haraka nikuiba na kupola watu"
Cyborg aliongea bira ata kuogopa kuwa na mimi ni asikari.

Niliona kama anataka kunitania hivyo niliamua kumwambia.
"Nataka uninunulia zawadi kama hiyo kwa pesa za halali na sio za wizi, kama unataka niendelee kuwa mke wako acha kazi unayoifanya"
Nilimwambia na Cyborg aliniahidi ataacha kuiba kuanzia siku hiyo.

Tulilala na ilipofika asubuhi nilijiandaa na kwenda kazini kwangu. Nilifika nakukutana na malalamishi ya mtu aliyekuwa amekuja kufungua kesi. Mtu yule alidai alivamiwa usiku uliopita na vibaka na walichukua vitu vya thamani ikiwemo pesa, cheni za dhahabu na vinginevyo.

Mkuu aliniita nakuniambia natakiwa nifanye kazi ya kupeleleza kwa kina vibaka walioiba hivyo vitu.

Nilienda kuchukua maelezo kwa aliyeibiwa ili nipate pakuanzia ila nikiwa namhoji Afande Davi aliweza kufika akiwa kaongozana na Afande Maria aliyekuwa akimtaka mme wangu Cyborg kipindi cha nyuma.

Afande Davi kwa dharau alisogea mahali nilipokuwa nakumwongelesha mtu niliyekuwa namhoji.
"Pole sana ndugu yangu ila unatakiwa uwe makini tu kwani kuna asikari wengine wanaishi na wezi hivyo unaweza kujikuta ukiibiwa kwa mara nyingine tena" Afande Davi aliongea kimafumbo na moja kwa moja nilijua ananilenga mimi.

Nilijiuliza ina maana huyu afande kumnyima kitumbua changu imekuwa kesi mpaka awe ananiongelea vibaya na kusahau kama mimi ni asikari mwenzake!?.

Sikutaka kuongea kitu bali niliendelea kuchukua maelezo kwa mhusika aliyekuja kureport.

Mda wa kazi ulipoisha nilirudi nyumbani na siku hiyo nilimkuta Cyborg akiwa amesharudi kutoka kwenye mihangaiko yake na alikuwa kambeba mtoto wetu huku akicheza nae.
Alimkabizi mtoto kwa mfanyakazi wetu nakuniambia "twende chumbani mke wangu".

Sijui Cyborg alikuwa akitumia vitu gani kwani kila mda alikuwa akishikwa na upwiru ni tofauti na baadhi ya wanaume ambao kushikwa na hamu ya kuweza kumtia mwanamke mpaka watumie dawa za kujibust.........ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 03

PENZI LA MHALIFU 03

Tulifika nyumbani nikaamua kumuuliza Cyborg ni wapi alipolala usiku wa jana nae alinijibu.
"Jana nilipata dili la usiku kipenzi ndiyo maana sikurudi nyumbani"
"Dili gani hilo la usiku au uliwakumbuka malaya zako wa zamani na uliamua kulala huko huko" nilimwambia sababu tayari nilikuwa na wivu dhidi yake hasa wa kulala nje.

Sijui Cyborg alinipa nini kwani upendo niliokuwa naye kwake ulikuwa ni wa kipekee ndiyo sababu iliyonifanya nikubali kuolewa nae.

Cyborg badala ya kunijibu kile nilichomuuliza alinisogelea karibu na kushika kiunoni changu. Mapigo yangu ya moyo yalianza kwenda kasi.
"Hakuna malaya anayeweza kufikia utamu wako mke wangu"
"Kwani mimi na utamu gani mpaka...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-03

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35

1K
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

231
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

199
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

195
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

147
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

140
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1

131
Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine

Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine

9

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.78K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.66K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.59K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. ๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest