Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 03
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 03

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 03

Tulifika nyumbani nikaamua kumuuliza Cyborg ni wapi alipolala usiku wa jana nae alinijibu.
"Jana nilipata dili la usiku kipenzi ndiyo maana sikurudi nyumbani"
"Dili gani hilo la usiku au uliwakumbuka malaya zako wa zamani na uliamua kulala huko huko" nilimwambia sababu tayari nilikuwa na wivu dhidi yake hasa wa kulala nje.

Sijui Cyborg alinipa nini kwani upendo niliokuwa naye kwake ulikuwa ni wa kipekee ndiyo sababu iliyonifanya nikubali kuolewa nae.

Cyborg badala ya kunijibu kile nilichomuuliza alinisogelea karibu na kushika kiunoni changu. Mapigo yangu ya moyo yalianza kwenda kasi.
"Hakuna malaya anayeweza kufikia utamu wako mke wangu"
"Kwani mimi na utamu gani mpaka uniambie hayo yote!?" nilimuuliza lakini mwenzangu alianza kuvua shati lake.
"Subiri nikuonyeshe utamu ulionao Malaika wangu"
Jamani jamani nilikuwa sijiwezi kwa Cyborg kwani alijua kuziamusha hisia zangu.

Siku hiyo sijui ata utundu wa kumchezea mwanamke aliutoa wapi, nilihisi labda ametoka kuongeza ujuzi kwa kuangalia picha za X.

Cyborg alinichezea kwa usitadi mkubwa na kunifanya nisikie raha ambazo sijawahi kuzisikia toka nizaliwe.

Tulifanya mapenzi na baadae kila mtu alilidhika na kuendelea na mambo yake.

Yakiwa ni majira ya  usiku kuna kijana alikuja nyumbani na alihitaji kuongea na Cyborg.

Cyborg alitoka na kwenda kuongea na kijana aliyekuja pale nyumbani na sikujua waliongea kitu gani ila Cyborg alirudi ndani na kuniambia.
"Malaika kuna sehemu naenda na nikirudi kitu cha kwanza nitakachokifanya nikukuzagamua mke wangu"
"Kwani unasafari ya kwenda wapi usiku huu!?" nilimuuliza ila Cyborg hakutaka kunijibu, aliondoka na kuniacha njia panda.

Nilishindwa kuelewa ni wapi anapoenda na nilianza kuhisi amerudi kwenye kazi zake za kiharifu tena kwa mara nyingi. nikiwa kama asikari nilipanga kumpeleleza mme wangu ili nijue nisehemu gani anayoenda usiku.

Mda wa kulala ulifika pasipo Cyborg kurudi nyumbani na nikiwa nimelala nilisikia nikipapaswa hivyo ilinibidi nishituke, nilimshuhudia Cyborg akiwa tayari amesharudi na ndiye aliyekuwa akinipapasa kwenye mkalio yangu.
"Kabra hujaanza kunizagamua niambie kwanza ni wapi ulipokuwa umeenda!?"
"Kwani una wasiwasi na mimi Malaika wangu!?, siunajua kabisa kwako sijiwezi mpenzi!?. kipindi naingia chumbani nimekukuta umelala huku umebinua makalio yako juu hapa nilipo nimepandwa na stimu za kukutia kipenzi"
Cyborg aliongea huku akijiandaa kunizagamua.

Nilimtuliza kwanza nakumwambia mpaka aniambie ni wapi alipokuwa ndipo na mimi nitamruhusu anitie. Cyborg aliniambia.
"Malaika wangu kwani umesahau kipindi nakufukuzia nilikuambia nini!?"
Cyborg aliniuliza na mimi nilishindwa kumwelewa sababu kabra hatujaoana aliniahidi vitu vingi.

Nilimwambia anikumbushe ni kitu gani ndipo alipoamua kusema.
"Tukiachana na kuzagamuana kila mda nilikuahidi nitakufanya ufurahi Malaika, kwahiyo nimeamua kurudi kwenye kazi yangu ya zamani"
"Kelvin umeamua kurudi kwenye kazi zako za wizi!?"
"Kwa ajili yako Malaika nataka nikununulie gari na kazi ya kunipa hela ya haraka nikuiba na kupola watu"
Cyborg aliongea bira ata kuogopa kuwa na mimi ni asikari.

Niliona kama anataka kunitania hivyo niliamua kumwambia.
"Nataka uninunulia zawadi kama hiyo kwa pesa za halali na sio za wizi, kama unataka niendelee kuwa mke wako acha kazi unayoifanya"
Nilimwambia na Cyborg aliniahidi ataacha kuiba kuanzia siku hiyo.

Tulilala na ilipofika asubuhi nilijiandaa na kwenda kazini kwangu. Nilifika nakukutana na malalamishi ya mtu aliyekuwa amekuja kufungua kesi. Mtu yule alidai alivamiwa usiku uliopita na vibaka na walichukua vitu vya thamani ikiwemo pesa, cheni za dhahabu na vinginevyo.

Mkuu aliniita nakuniambia natakiwa nifanye kazi ya kupeleleza kwa kina vibaka walioiba hivyo vitu.

Nilienda kuchukua maelezo kwa aliyeibiwa ili nipate pakuanzia ila nikiwa namhoji Afande Davi aliweza kufika akiwa kaongozana na Afande Maria aliyekuwa akimtaka mme wangu Cyborg kipindi cha nyuma.

Afande Davi kwa dharau alisogea mahali nilipokuwa nakumwongelesha mtu niliyekuwa namhoji.
"Pole sana ndugu yangu ila unatakiwa uwe makini tu kwani kuna asikari wengine wanaishi na wezi hivyo unaweza kujikuta ukiibiwa kwa mara nyingine tena" Afande Davi aliongea kimafumbo na moja kwa moja nilijua ananilenga mimi.

Nilijiuliza ina maana huyu afande kumnyima kitumbua changu imekuwa kesi mpaka awe ananiongelea vibaya na kusahau kama mimi ni asikari mwenzake!?.

Sikutaka kuongea kitu bali niliendelea kuchukua maelezo kwa mhusika aliyekuja kureport.

Mda wa kazi ulipoisha nilirudi nyumbani na siku hiyo nilimkuta Cyborg akiwa amesharudi kutoka kwenye mihangaiko yake na alikuwa kambeba mtoto wetu huku akicheza nae.
Alimkabizi mtoto kwa mfanyakazi wetu nakuniambia "twende chumbani mke wangu".

Sijui Cyborg alikuwa akitumia vitu gani kwani kila mda alikuwa akishikwa na upwiru ni tofauti na baadhi ya wanaume ambao kushikwa na hamu ya kuweza kumtia mwanamke mpaka watumie dawa za kujibust.........ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 03

PENZI LA MHALIFU 03

Tulifika nyumbani nikaamua kumuuliza Cyborg ni wapi alipolala usiku wa jana nae alinijibu.
"Jana nilipata dili la usiku kipenzi ndiyo maana sikurudi nyumbani"
"Dili gani hilo la usiku au uliwakumbuka malaya zako wa zamani na uliamua kulala huko huko" nilimwambia sababu tayari nilikuwa na wivu dhidi yake hasa wa kulala nje.

Sijui Cyborg alinipa nini kwani upendo niliokuwa naye kwake ulikuwa ni wa kipekee ndiyo sababu iliyonifanya nikubali kuolewa nae.

Cyborg badala ya kunijibu kile nilichomuuliza alinisogelea karibu na kushika kiunoni changu. Mapigo yangu ya moyo yalianza kwenda kasi.
"Hakuna malaya anayeweza kufikia utamu wako mke wangu"
"Kwani mimi na utamu gani mpaka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-03

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

536
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

466
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

436
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

413
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

212
REAL LOVE  Chapter 15

REAL LOVE Chapter 15

187
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

90
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

68
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

65

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.16K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
@majario LIVE

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴 Basi bibi mie nikaanzaa safari ya kagera uo mdaa ulikuwa jioni . Nakumbuka gari ilitoka pale stand jioni saa 12. Nilikuwa na mawazo mnoo. Rahul ananiuliza mama tunaenda...

REALLY LOVE* 16 Post Mpya
REALLY LOVE* 16
@majario LIVE

waliondoka wakiwaacha familia ya cathe wakiwa na majonzi makubwa sana hawakuamini kabisa kilichotokea walitamani iwe ndoto upande mwingine kwa mama fatuma alikuwa akimshangaa mumewe tangu asubuhi yuko ndani tu hakutaka kula...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Aseeee akanmbia basi sawa hkuna shida. Ntajalibu kufatilia aseeee hii siku .nilipata amani ya moyo ambayo niliikoss kwa mda sana. Mana jamaa alinihakikishia kabisa kuwa ni wanangi na nimefanana...

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
@majario LIVE

Basi mi nikanyamaza . Nikainuka nikaenda kuoga .nikaja kupumzika na maumivu na mtoto wangu. Yani mtoto ananingalia ananambia pole mama. Pole mama yangu. Basi namwambia usijali sijaumia lala mwanagu....

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47
@majario LIVE

Aseeeee nililudi mpka kwangu. Uko njiani ni fatuma tu ndo ambae ananipigia kweli kweli . Mi.wala sikuangaika nae na nilipoona usumbufu umezidi . Nikablock namba yake . Baada ya kufika...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘
@majario LIVE

""Nini hii🤨🤨?"" ""Aliniuliza paschal baada ya kumpatia zile barua"" ""Fungua usome😏😏"" ""Nilimjibu kwa kumnyali"" ""Pendo umewaza nini hadi kwenda kufungua madai ya talaka mahakamani🤨🤨"" ""Ulitaka niwaze nini Mr paschal 😝😝"" ""Kwa hiyo huyu mshenzi ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09
@majario LIVE

SONGA NAYO.................. Haraka nilijilaza na kujifanya nimelala, aunt Vero ambae ndo alifungua mlango aliingia na kufika anasimama bila kuongea wala kufanya kitu akaniangaliaa karibu dakika tatu. Kinyonge akashusha pumzi na kuondoka ,...

REAL LOVE  Chapter 15 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 15
@majario LIVE

"unafanya nini wewe unataka kujiua" alisema fahima kwa uchungu *ndio tena uniue wewe ambaye hunipendi si nakukera sana niue nipo hapa" alisema seven. sikia mimi kukuua siwezi na kuishi hapa sitaki alisem...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Mama aksema nini iki nasikia . Ni nn unaongea haji. Nikasema mam mimi uyu mwanamke kanifanyia mambo mengi mazuri ila kwa hili hapna. Mda wote nalea mtoto kwa upendo na...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘
@majario LIVE

Baada ya paschal kunifungia kule chumbani mwenzenu ata sikuumia😁😁 nilifurahi namimi nimepata kitu cha kumnyong'onyesha paschal..... baada ya kumfukuza lia paschal alikuja kule chumbani alikonifungia mie nilikuwa zangu nimesimama dirishani...

REAL LOVE  Chapter 14 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 14
@majario LIVE

John allikasirika kwelikweli alimuangalia devi kwa hasira sana kisha akamuangalia mwanasheria kwa hasira sana alijiuliza uyo ni mwanasheria wa seven imekuwaje kawa hapa na kafata nini "devi umefuata nini hapa alisema...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Daktari akanmbia tulia haji. Ulipata ajari mbaya sana. Ila.unaendelea vizuri umepata michubuo sehemu chache tulia asee umeumia maeneo ya kiuno ila itachukua mwez tu utarecover kbisa so kuwa na...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka" Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia...

MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41* Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
@majario LIVE

Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘
@majario LIVE

0742133100 Baada ya hemed kupata likizo tulisafiri kuelekea ufaransa kwa ajiri ya kwenda kumchukua mtoto wangu nice, mom Elizabeth alimkatalia nice 🤣🤣 hata mimi hawakutaka niondoke kwenye familia yao😄😄Tristan ndo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest