PENZI LA MHALIFU 01.
ilibaki miezi michache ili niweze kujifungua na kiukweli mme wangu Cyborg alikuwa akinijali na kunipenda.
Nilikuwa nikisikia raha kwa upendo aliokuwa akinionyesha nakujiona ni mwanamke ninayependwa zaidi dunia nzima.
Siku hiyo nilikuwa nimekaa na Cyborg, mikono yake ililipapasa tumbo langu na alilibusu na kuniambia.
"Unajua nini! Malaika! ukishajifungua nataka nikutie tena upate mimba nyingine"
Cyborg aliniambia huku akiendelea kupapasa tumbo langu na kunishika sehemu zingine za mwili wangu.
"Mimi tayari nimeshakuwa mke wako haraka ya nini mme wangu?" Nilimjibu maana sikutaka kuzaa kwa mkupuo kama alivyokuwa akihitaji.
"Nataka tuwakomeshe wachawi wa penzi letu hasa Afande Davi asitamani kukufatilia tena"
Sikutaka kumbishia kwa sababu nilikuwa nimeshazoea maneno ya mme wangu.
Tukiwa kwenye maongezi Cyborg aliniambia kuwa ameshikwa na upwiru na anataka anitie, hakutaka kujali kama nimebakizi mda mchache ili niweze kujifungua.
Alinilaza kitandani vizuri na kwakuwa nilikuwa sijavaa chupi alipanua miguu yangu kwaajili ya kuingiza mpini wake kwenye uchi wake.
"Malaika wangu usijali nitakufanya taratibu, sitaki kabisa kwenda kununua malaya wa kupunguza upwiru wangu wakati Malaika wangu upo" Cyborg aliongea huku akiendelea kunishughulikia.
Sijui niseme nini tatizo alilokuwa nalo mme wangu nikushindwa kujicontrol akiwa kwenye mizagamuo yani akili zake zilikuwa zikimtoka kabisa nakuanza kuongea maneno ya kila aina.
Cyborg utamu ulimzidia nakuanza kunikandamizi tumbo langu baada ya kuniweka style ya kifo cha mende.
"Naumia mme wangu" nilimwambia aache kulikandamiza tumbo langu lakini bado alikuwa akiendelea kunipambu na kuongea maneno ya kila aina.
"Malaika wangu wewe mtamu, siku Afande Dav nikimsikia amekuonja lazima nimuue, nataka uwe wa kwangu tu" ni maneno aliyokuwa akiongea Cyborg na baadae aliweza kufunga goli na kujitupa pembeni ya kitanda chetu.
Maumivu niliyokuwa nayasikia hayakuwa ya kawaida nahisi ata mwanangu tumboni alikuwa akimtukana baba yake kwa mateso aliyokuwa akimpa yani upwiru wake ulikuwa ni mateso kwetu mimi pamoja na mwanangu aliyekuwa tumboni.
"Sijapenda kabisa mme wangu kunikandamiza tumbo huku unajua nimebakiza mda mchache tu nijifungue"
"Nisamehe Malaika wangu ni stimu tu zilikuwa zimenipanda siunajua tena jinsi ulivyo mtamu kipenzi!?" Cyborg aliongea huku akinibembeleza.
Siku kadhaa zilipita na ilifika siku ya mimi kwenda kujifungua. bahati nzuri nilibahatika kujifungua salama mtoto wa kike kitu kilichonifurahisha zaidi.
Majukumu kwa mme wangu yaliongezeka na alizidi kupambana kwa ajili ya kutafuta pesa ya kutuhudumia mimi pamoja na mwanangu.
Siku kadhaa zilipita na hali yangu ilirudi kwenye utimamu wake hivyo tulitafuta binti mdogo wa kazi kwa ajili ya kumhudumia mtoto wetu.
Nakumbuka ilikuwa ni jumatatu nilienda kwenye kituo changu cha kazi na kumkuta Afande Davi aliyekuwa akiniangalia kila dekika na baada ya mda aliingia Afande mwingine wa kike na afande Davi alipomuona alianza kumwongelesha kwa sauti ya juu iliyonifikia mpaka mimi mahali nilipokuwa.
"Wanawake mna moyo ivi Afande Lucy unaweza kuolewa na mwanaume jambazi?"
Afande Davi alimuuliza kwa sauti ya juu.
"Siwezi kumfunulia chupi yangu mimi jambazi maana nitazaa mtoto jambazi bora nijichue mpaka muwasho uishe kwenye mwili wangu"
Maongezi ya Afande Davi pamoja na Afande Lucy nilijua yananilenga mimi ila sikutaka kujali zaidi ya kuendelea na mambo yangu.
Nilitamani mkuu wetu atupe maagizo ya kwenda kuzunguka mitaani kwa ajili ya kutafuta waharifu kwani walikuwa wananikera kuniongea na mimi nikiwepo.
Siku hiyo nilirudi nyumbani na nilipofika nilimkuta binti wa kazi akimbembeleza mtoto wangu.
Mida ya usiku ilifika pasipo Cyborg kurudi nyumbani nilijiuliza amekubwa na msala gani mpaka achelewe kurudi nyumbani. siku hiyo ilipita pasipo Cyborg kurudi nyumbani na ilipofika asubuhi nilielekea kwenye kituo changu cha kazi. baada ya mimi kufika nilikutana na taarifa kutoka kwa mkuu wetu.
"Angel kuna kazi mnayotakiwa kwenda kuifanya sasa ivi ya kukamata vijana wanaovuta bangi" sikutaka kukataa nilienda nikiwa na asikari wenzangu na ata Afande Davi nae tulikuwa nae.
Tulifika kwenye uchochoro na kukutana na kundi la vijana kadhaa waliokuwa wakivuta bangi.
Vijana baadhi walikimbia na wengine walianza kupigana na sisi kwa ajili ya kujitetea. bahati mbaya mmoja wao alinikata na kisu kwenye mkono wangu na kunisababishia nipate jeraha kwenye mkono wangu, nilijikaza nakuendelea kuifanya kazi mpaka pale tulipofanikiwa kuwakamata wote.
"Pole, ila ungekuwa unanipa utamu kama unavyompa jambazi wako huenda leo usingeumia"
Afande Davi aliniambia sababu alikuwa na uwezo wa kunisaidia nisikatwe na kisu lakini hakutaka kufanya hivyo.
"Afande Davi unaongea nini!? huoni kama Afande Angel anahali mbaya na anahitaji msaada wetu hapo alipo!?" Afande mwenzetu aliongea lakini Afande Davi hakutaka kujali kwani aliwapeleka vijana tuliowakamata kwenye gari kwa ajili ya kuwapeleka kituoni.........ITAENDELEA
Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????
0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.
0755271203 M-pesa Jina John Bugumba..