Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 14
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 14

Asikari wengi wa kike na baadhi ya wanawake waliokuwa wanakuja pale kwa ajili ya kuleta kesi zao, wengi wao walikuwa wameshafanya mapenzi na mkuu wetu na alikuwa akitumia cheo chake kwa ajili ya kuwazagamua.

Siku moja yakiwa ni majira ya usiku, nikiwa ndani nikiangalia tv pamoja na mfanyakazi wangu tulisikia sauti ya mwanamke nje akibisha hodi.

Mfanyakazi alienda kufungua na baadae aliingia binti mwenye miaka isiyopungua 27 akiwa kabeba mkoba mdogo begani kwake.

Binti huyo alinisalimia na baadae aliniuliza kama hapo ni nyumbani kwa Cyborg na mimi nilimjibu hajakosea kwani ndiyo kwake hivyo nilishangaa kumuona akikaa pasipo kukaribishwa.
"Ulikuwa na shida nae au sababu mimi ni mke wake!?" nilimuuliza lakini alinijibu kuwa anashida na Cyborg na angependa kuongea mbele ya Cyborg mwenyewe na sio mimi.

Nilishindwa kuelewa anashida gani na nilikuwa na hamu ya kujua kilichomleta hivyo wote tuliamua kumsubiri Cyborg.

Baada ya mda kupita Cyborg aliweza kufika nyumbani, naye alishangaa kumuona binti huyo ndani ya nyumba yetu.
"Sarah umeijia nini hapa!?" Cyborg alimuuliza na ndipo nilipomtambua kuwa anaitwa Sara.
"Nimeijia mahitaji ya mtoto, mda wote nahangaika kumlea mtoto mwenyewe alafu wewe unakula raha huku na mkeo" Sara aliongea na mimi nilishituka baada ya kusikia hivyo.

Cyborg alienda kumnyenyua Sara na kuanza kumvuta akimpeleka nje. kulikuwa na kila dalili za kumuumiza binti wa watu hivyo niliamua kumuwahi na kwenda kumzuia.
"Acha usimvute hivyo utamuumiza, pia unatakiwa uniambie huyu mwanamke anachokisema ni ukweli au uongo!?" nilimwambia Cyborg lakini hakutaka ata kusikia zaidi ya kuendelea kumpeleka nje Sara.

Alimfikisha nje na Cyborg alimwambia hataki kuiona sura yake nyumbani kwetu, hakuishia hapo kwani pia alimkataa mtoto na kusema sio wake amtafute baba halisi wa mtoto.

Sikutaka kuingilia mambo yao ila nilitaka wamalize mazungumzo yao na mimi nimuulize vizuri Cyborg aniambie juu ya habari hizo.

Baadae Sara aliondoka huku akilia na kudai lazima aende polisi kufungua kesi ya Cyborg kukataa kumhudumia mtoto.

Baada ya Sara kuondoka Cyborg alirudi ndani na mimi niliona ndiyo nafasi yangu ya kumuuliza vizuri.
"Naomba uniambie bira kunificha chochote kile Cyborg juu ya mwanamke aliyeondoka mda mfupi uliopita" nilimwambia na nilichokuwa nikisubiria ni jibu kutoka kwa Cyborg.

"Malaika siwezi kukudanganya, yule manzi kweli aliwahi kuwa demu wangu ila hakuwa wangu peke yangu alikuwa ni demu wa masela, yani kiufupi kila mvuta bangi kipindi hicho alikuwa akitembea nae, nashangaa anang'ang'ania nakusema mtoto ni wangu utafikiri alilala na mimi peke yangu!!" Cyborg aliongea.
"Una uhakika gani kuwa mtoto sio wako!? maana yeye ndiye anayefahamu baba wa mtoto ni nani!?"

Cyborg alicheka baada ya mimi kumuuliza vile nakunijibu "Yule alikuwa anaelewa show yangu na ata ujio wake hapa itakuwa ni kwa sababu ya kukumbuka penzi langu na sio mtoto"
Cyborg alinijibu na mimi nilifikiria kwa mda nakuona anachoongea ni cha kweli kwani ni ngumu kwa mwanamke yoyote yule kusahau penzi la Cyborg

Alikuwa na ufundi wa kipekee kitandani na kama angetembea na mwanamke aliyekuwa hamjui basi lazima angeamini Cyborg ni mcheza X.

Siku hiyo ilipita na ilipofika asubuhi nilipigiwa simu na kuambiwa niende na Cyborg kwenye kituo changu cha kazi huku ikisemekanaย  kuna kesi inayomhusu ya kukataa kulea mtoto.

Nilimwambia Cyborg kuhusu taarifa ile na aliongea huku akiwa na hasira.
"Unaona mipango ya huyo mwanamke kwanini asingeenda kwenye kituo kingine cha polisi mpaka kaamua kwenda kwenye kituo unachofanyia wewe kazi!?, hii ni mipango yake na subiri ataona" Cyborg aliongea ila nilimwambia ni mambo madogo hayo na haina haja ya kuwa na hasira.

Tuliondoka kwa kuongozana pamoja mpaka kituoni na Mkuu alivyo na dharau baada ya kusikia kesi inamhusu mme wangu aliniambia nichukue maelezo mwenyewe kutoka kwake ya kumuuliza kwanini kakataa kulea mtoto.

Nilimuuliza ilimradi ili ionekana kama nafanya kazi, na Cyborg aliniambia tukapime DNA na kama mtoto atakuwa wake basi atakubali kumlea ila kama sio wake kamwe hawezi kumlea.

Makubaliano yaliwekwa kati ya Cyborg na Sara ya kwenda kupima DNA na baadae majibu yalionesha mtoto sio wa Cyborg.

Sara alibaki ni mwenye aibu kwa majibu yale na Cyborg aliamua kumwambia.
"Mimi nilijua tu umekumbuka show yangu ndiyo maana ukaamua kuja na mbinu hii, sasa ivi nimebadilika sio Cyborg yule wa zamani sababu nimeshaoa. sitaki kukuona ukijitokeza tena mbele yangu Sara" Cyborg alimwambia Sara nakunishika mkono kisha baada ya hapo tuliondoka huku tukimuacha Sara akituangalia.

Tukiwa njiani Cyborg aliamua kuniuliza.
"Umeamini kile nilichokuwa nakwambia Malaika!?"
"Kipi hicho mpenzi!?" ilibidi nimuulize.
"Kuhusu mtoto wa Sara kuwa sio mtoto wangu"
"Ndio mme wangu nimeamini" nilimjibu na tulijikuta tukikumbatiana bira kujali kama tupo barabarani.

Kiujmla ningekuwa kwenye wakati mgumu kama mtoto angekuwa ni wa Cyborg kwani nilitamani Cyborg asiwe na watoto wengine wa nje zaidi ya mtoto mmoja tuliyekuwa nae......ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 14

PENZI LA MHALIFU 14

Asikari wengi wa kike na baadhi ya wanawake waliokuwa wanakuja pale kwa ajili ya kuleta kesi zao, wengi wao walikuwa wameshafanya mapenzi na mkuu wetu na alikuwa akitumia cheo chake kwa ajili ya kuwazagamua.

Siku moja yakiwa ni majira ya usiku, nikiwa ndani nikiangalia tv pamoja na mfanyakazi wangu tulisikia sauti ya mwanamke nje akibisha hodi.

Mfanyakazi alienda kufungua na baadae aliingia binti mwenye miaka isiyopungua 27 akiwa kabeba mkoba mdogo begani kwake.

Binti huyo alinisalimia na baadae aliniuliza kama hapo ni nyumbani kwa Cyborg na mimi nilimjibu hajakosea kwani ndiyo kwake hivyo nilishangaa kumuona akikaa pasipo kukaribishwa.
"Ulikuwa na...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*

792
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*

648
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15

265
REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*

264
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5

145
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 13

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 13

144
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19   na 20.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19 na 20.

132
SHAMIRA sehemu ya 29&30

SHAMIRA sehemu ya 29&30

122
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14

61
THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ05

THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ05

59

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.36K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.13K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.73K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.17K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.41K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.36K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.3K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 15 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 15
@majario LIVE

Aliendelea kunipa juice kwa utaratibu, huku anaaacha ananitizima nikitaka kuongea ananipa tena juice, aweee hii ilikuwa tofauti kwangu asee ilikuwa tamu kuliko ya siku ile, nilijikuta natoa ushirikiano hasaaa kwenye...

SHAMIRA sehemu ya 29&30 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 29&30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi aisha akasema sawa akasema sasa jambo ndo linakalibia na bado siku 2 tu kama una agaa anza kumbembeleza mapema.nikasema sawa shoga ngoja leo akirudi niongee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Kwaiyo Mr Marvel akahairisha kwenda eneo la pool, badala yake akamfuata Noela nyuma na kumuona akiingia chooni. Huko ndani Chooni, Noela alikua anatoa tu machozi kama hana akili nzuri. Moyo ulimuuma...

Mother India (1957) is not just a film, itโ€™s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar Post Mpya
Mother India (1957) is not just a film, itโ€™s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar
@majario LIVE

. It was actually a remake of Khanโ€™s earlier film Aurat (1940), but Mother India became much bigger in scale and impact. The story revolves around Radha, a poor village woman...

THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ05 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE ๐Ÿ’ฌ05
@majario LIVE

Alinitazama akiuma midomo yake akisema โ€œChiddy unaweza acha pikipiki mahali, ukaingia kwa gari unisindikize mahali?โ€ Niliona tayari fursa hii, nilitabasamu na kusema โ€œbila shaka dada yangu mzuri.โ€ Alitabasamu, basi kidume sikuwawia. Haraka...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  Chapter 13 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 13
@majario LIVE

"Wee nae nilikuwa nakwambia kila siku yule sio mwanaume, unaanza kusema ooh amenitolea barua, mimi nilijua tu hili litakuja litokee siku tuu yaani huyoo mkaaka ni mpuuzi sana kha! Mh...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19   na 20. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19 na 20.
@majario LIVE

19 MPAKA 20 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Mama akasema mungu wangu hajafanikiwa eewh hajafanikiwa. Nikasema ndio mama. Baraka akasema sio kweli shangazi . Mimi siwez kumfanyia hivyo shakira. Apo mimi...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
@majario LIVE

"Habari za hapa?" Aliuliza Suzy baada ya kutufikia Mimi na pili. "Salama" Alijibu pili na Mimi Nikabaki nikimuangalia Suzy kwa dharau sana Maana huyu msichana amejua kuninyanyasa sana NYUMBANI kwao. "Nikusaidie nini Nilimuuliza Hapo pili akaniangalia...

So excited to see Akshay Kumar and Saif Ali Khan coming back together on screen! Post Mpya
So excited to see Akshay Kumar and Saif Ali Khan coming back together on screen!
@majario LIVE

If you grew up in the 90s, you know this duo was pure entertainment. From Main Khiladi Tu Anari to Yeh Dillagi, Tu Chor Main Sipahi, and Keemat, they gave...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 15
@majario LIVE

D alitoka hukoo kasi akataka kumpiga Veda Tinner akazuiaaa nae alitoka .. "Veda wewe kumbe ni mshenziii eeeh!!" Veda yupo kimyaa ananikata jichoo kaliii yaani hamtazami D anaembwatukia jicho lote lipo...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 1 na 5
@majario LIVE

Sehemu ya 1 Aseeee bwana.. mie nilipozi kwanza . Nikaamuangalia uyu demu mkari kisenge. Yani mtoto mzuri mzuri kwli. Sio masihara. Kisha sasa ana vitu. Vyaangu. Bwana mi sjawaahi kumuangalia mwanamke...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 14
@majario LIVE

Nikasogea hadi karibu na Geti yeye alikuwa kwa nje akanifanya na mie nivuke geti kidogo yaani mguu mmoja ukawa nje ya Geti mwingine ndani "Enhee" yaani nilikuwa makini nae mno "Aunt, Unaitwa...

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 37* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 37*
@majario LIVE

basi ikabidi mzee fahad awaeleze wote juu ya taarifa za msiba huo, kwakuwa harusi ilikuwa Imeisha haraka watu walijiandaa kwenda hospitari, familia ya cathe ilikuwa na majonzi sana haikuamini kama...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
@majario LIVE

Nilipanda kwenye gari ya Enzo, nikiwa na hasira ya usoni tu lakini nilikuwa Nina Furaha sana moyoni kwangu, my zangu huyu kaka nampenda na sio utani, Yaani nampenda kutoka moyoni,...

IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS Post Mpya
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS
@majario LIVE

First and foremost, this collaboration hurt many Kenyans. They didnโ€™t see me coming. No one from Kenya or Tanzania pulled this project together. The entire thing was organized by...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest