Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 31
Gonga94 Β· Stories

PENZI LA MHALIFU 31

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 31

Cyborg aliniambia kuwa ata yeye alishangaa kuona boss wake Salome akitengeneza ukaribu na yeye na ilifika kipindi alikuwa akimruhusu kuondoka na gari lake Cyborg aliniambia ndiyo sababu iliyopelekea yeye na Afande Joel wawe kwenye ugomvi.
"Basi kama ni hivyo sitaki kukuona tena ukitengeneza mazoea na huyo boss wako sababu mda wowote ule mnaweza kuzagamuana" nilimwambia kama yeye alivyokuwa akinikataza kuwa karibu na asikari wenzangu wa kiume na mimi sikutaka kumuona akiwa karibu na boss wake lakini Cyborg alinihakikishia hakuna chochote kile kilichokuwa kikiendelea kati yao.

Baada ya kuniambia hivyo nilikumbuka kitu na kuamua kumuuliza.
"Kwanini ile siku hukutaka ata kunishika na wala hukuwa na habari na mimi!?" Nilimuuliza nikimaanisha ile siku tuliyolala bira Cyborg kunishika wala kufanya chochote na mimi.
"Malaika ile siku nilikuwa na mawazo tu na kilichokuwa kinanifanya niwaze ni lini na mimi nitakuwa na gari langu na kununulia wewe sababu nimeshaanza kuuona umhimu wa kumiliki gari" Cyborg aliongea na mimi ilibidi nikubaliane na maneno yake japo sikulidhika nayo.

Baada ya kuona nimemuuliza kuhusu sisi kutokufanya mapenzi Cyborg alianzisha palepale utundu wake kwa kunibeba na kunipeleka chumbani na tulivyofika huko tulianza mizagamuo.

Siku hiyo ilipita na siku iliyofata asubuhi na mapema nilipigiwa simu na mama na aliniambia kuwa mdogo wangu wa kike anayeitwa Anna atakuja kunitembelea hivyo nijiandae kwenda kumpokea.

Sikutaka kukataa sababu ndiye mdogo wangu wa pekee niliyekuwa nae hivyo niliacha maagizo kwa dada wa kazi ya kwenda kumpokea na mimi nilielekea moja kwa moja kazini kwangu.

Anna alikuwa bado akisubiri ajira na kwa wakati huo hakuwa na kazi yoyote ile ya maana na kiukweli mimi pamoja na mdogo wangu tulikuwa tukifanana karibu kila kitu.

Nilifika kazini na kuendelea na kazi zangu kumbeΒ  Afande Joel alikuwa bado ana lake kichwani, nilishangaa kumuona akinifata nakuanzaΒ  kuniongelesha kwa hasira.
"Mme wako anajifanya mjanja na anataka kushindana na mimi sio!? subiri ataona" aliongea bira kujali kama kuna asikari wengine waliokuwa wakitusikia.
"Kwani umechanganyikiwa au!? emu nitolee umalaya wako hapa" ilibidi nimwambie na alikasirika baada ya mimi kumuita malaya.
"Unaniita malaya!?" aliongea na kunyenyua mkono wake ili anipige lakini tayari nilikuwa nimeshamgundua.

Haraka niliuzuia mkono wake na baadae asikari wenzetu walisogea kwa ajili ya kututuliza.
Kiukweli Afande Joel alinifanya nichukue siku hiyo na kuna mda nilikuwa nikikikumbuka kituo changu cha kazi nilichokuwa nikifanyia kazi mwanzo.

"Afande Joel una matatizo gani mbona unamletea vulugu Afande Angel!?" Afande mwenzetu alimuuliza na Afande Joel aliishia kumwambia maneno ambayo hayaeleweki.

Kelele zetu zilimfikia mpaka mkuu wetu na haraka tuliletewa taarifa za kuhitajika na mkuu mwenyewe.

Baada ya kupewa taarifa tuliamua kuongozana na njiani hamna aliyekuwa anamwongelesha mwenzake mpaka tulipofika kwenye ofisi ya mkuu wetu.

Tulifika na mkuu alituuliza shida nini na kwanini tunapiga kelele kwenye kituo cha kazi!?.
Mkuu alionekana kutofurahishwa na kile kilichotokea ila mimi niliamua kumwambia ukweli ili kama yakitokea matatizo mengine niwe na sehemu ya kujitetea.

Nilimwambia yote kuanzia pale Afande Joel alipokuwa akinishawishi tuweze kufanya mapenzi na yote aliyomfanyia Cyborg ya kumloga ili asiweze kusimamisha.

Baada ya kumwambia mkuu alimtazama Afande Joel.
"Afande Joel wewe siumeoa kabisa mbona bado unatamani kumzagamua Angel hujui kama ni asikari mwenzako na unatakiwa kumheshimu!?" alimuuliza ila Afande Joel alikuwa kimya tu.
"Nisamehe mkuu" Afande Joel aliamua kumjibu.
"Sio nikusamehe mwambie hapa hapa kuwa hutomsumbua tena na hutomfatilia mme wake" Mkuu alimwambia na Afande Joel alinigeukia na kuniambia kama alivyoambiwa aongee mbele yangu.
"Hii iwe mara ya mwisho fanya kilichokuleta hapa lasivyo utakuja kunilaumu baadae kwa maamuzi nitakayoyachukua ikiwa utaendelea na tabia hii" baada ya mkuu kuongea alimwambia Afande Joel aondoke na kuniacha mimi mwenyewe ofisini kwa mkuu kwani alidai kuna kitu anachohitaji kuniambia.

Kiukweli nilikuwa kwenye hofu sababu sikujua mkuu anataka kuniambia kitu gani, niliogopa na niliombea asije kunitongoza na kuomba afanye mapenzi na mimi.

Mkuu aliniambia nikae kwa ajili ya kufanya nae maongezi.
"Angel unajua wewe ni mwanamke mzuri na unavutia sana" mkuu aliongea na mimi ndani ya moyo wangu niliona sasa pamekucha kwani niliamini Mkuu nae anaelekea kunitongoza mda sio mrefu.

Niliamua kumjibu baada ya kunisifia kuwa mimi ni mzuri "hapana mkuu mimi ni mwanamke wa kawaida tu"
"Wewe unaweza kujiona ni mwanamke wa kawaida ila sisi wanaume ndiyo tunaujua ukweli ata mimi huwa natamani kukufanya uwe mchepuko wangu lakini nakuheshimu kwakuwa naipenda kazi yangu na kuheshimu wafanyakazi wangu" Mkuu aliongea lakini bado nilikuwa njia panda.
"Mkuu kwanini umeniambia hivyo"

Niliamua kumuuliza sababu niliona ananiambia mambo yasiyo na maana huku nikiomba asije kuniomba kitumbua changu sababu ingekuwa balaa jingine tena......ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 31

PENZI LA MHALIFU 31

Cyborg aliniambia kuwa ata yeye alishangaa kuona boss wake Salome akitengeneza ukaribu na yeye na ilifika kipindi alikuwa akimruhusu kuondoka na gari lake Cyborg aliniambia ndiyo sababu iliyopelekea yeye na Afande Joel wawe kwenye ugomvi.
"Basi kama ni hivyo sitaki kukuona tena ukitengeneza mazoea na huyo boss wako sababu mda wowote ule mnaweza kuzagamuana" nilimwambia kama yeye alivyokuwa akinikataza kuwa karibu na asikari wenzangu wa kiume na mimi sikutaka kumuona akiwa karibu na boss wake lakini Cyborg alinihakikishia hakuna chochote kile kilichokuwa kikiendelea kati yao.

Baada ya kuniambia hivyo nilikumbuka kitu na kuamua kumuuliza.
"Kwanini ile siku hukutaka ata kunishika...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-31

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

1.04K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

831
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

670
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

195
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.

164
SHAMIRA Sehemu ya 47

SHAMIRA Sehemu ya 47

143
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

143
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

116
SHAMIRA Sehemu ya 46

SHAMIRA Sehemu ya 46

114
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

13

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS πŸ₯° yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest