Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 31
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 31

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 31

Cyborg aliniambia kuwa ata yeye alishangaa kuona boss wake Salome akitengeneza ukaribu na yeye na ilifika kipindi alikuwa akimruhusu kuondoka na gari lake Cyborg aliniambia ndiyo sababu iliyopelekea yeye na Afande Joel wawe kwenye ugomvi.
"Basi kama ni hivyo sitaki kukuona tena ukitengeneza mazoea na huyo boss wako sababu mda wowote ule mnaweza kuzagamuana" nilimwambia kama yeye alivyokuwa akinikataza kuwa karibu na asikari wenzangu wa kiume na mimi sikutaka kumuona akiwa karibu na boss wake lakini Cyborg alinihakikishia hakuna chochote kile kilichokuwa kikiendelea kati yao.

Baada ya kuniambia hivyo nilikumbuka kitu na kuamua kumuuliza.
"Kwanini ile siku hukutaka ata kunishika na wala hukuwa na habari na mimi!?" Nilimuuliza nikimaanisha ile siku tuliyolala bira Cyborg kunishika wala kufanya chochote na mimi.
"Malaika ile siku nilikuwa na mawazo tu na kilichokuwa kinanifanya niwaze ni lini na mimi nitakuwa na gari langu na kununulia wewe sababu nimeshaanza kuuona umhimu wa kumiliki gari" Cyborg aliongea na mimi ilibidi nikubaliane na maneno yake japo sikulidhika nayo.

Baada ya kuona nimemuuliza kuhusu sisi kutokufanya mapenzi Cyborg alianzisha palepale utundu wake kwa kunibeba na kunipeleka chumbani na tulivyofika huko tulianza mizagamuo.

Siku hiyo ilipita na siku iliyofata asubuhi na mapema nilipigiwa simu na mama na aliniambia kuwa mdogo wangu wa kike anayeitwa Anna atakuja kunitembelea hivyo nijiandae kwenda kumpokea.

Sikutaka kukataa sababu ndiye mdogo wangu wa pekee niliyekuwa nae hivyo niliacha maagizo kwa dada wa kazi ya kwenda kumpokea na mimi nilielekea moja kwa moja kazini kwangu.

Anna alikuwa bado akisubiri ajira na kwa wakati huo hakuwa na kazi yoyote ile ya maana na kiukweli mimi pamoja na mdogo wangu tulikuwa tukifanana karibu kila kitu.

Nilifika kazini na kuendelea na kazi zangu kumbe  Afande Joel alikuwa bado ana lake kichwani, nilishangaa kumuona akinifata nakuanza  kuniongelesha kwa hasira.
"Mme wako anajifanya mjanja na anataka kushindana na mimi sio!? subiri ataona" aliongea bira kujali kama kuna asikari wengine waliokuwa wakitusikia.
"Kwani umechanganyikiwa au!? emu nitolee umalaya wako hapa" ilibidi nimwambie na alikasirika baada ya mimi kumuita malaya.
"Unaniita malaya!?" aliongea na kunyenyua mkono wake ili anipige lakini tayari nilikuwa nimeshamgundua.

Haraka niliuzuia mkono wake na baadae asikari wenzetu walisogea kwa ajili ya kututuliza.
Kiukweli Afande Joel alinifanya nichukue siku hiyo na kuna mda nilikuwa nikikikumbuka kituo changu cha kazi nilichokuwa nikifanyia kazi mwanzo.

"Afande Joel una matatizo gani mbona unamletea vulugu Afande Angel!?" Afande mwenzetu alimuuliza na Afande Joel aliishia kumwambia maneno ambayo hayaeleweki.

Kelele zetu zilimfikia mpaka mkuu wetu na haraka tuliletewa taarifa za kuhitajika na mkuu mwenyewe.

Baada ya kupewa taarifa tuliamua kuongozana na njiani hamna aliyekuwa anamwongelesha mwenzake mpaka tulipofika kwenye ofisi ya mkuu wetu.

Tulifika na mkuu alituuliza shida nini na kwanini tunapiga kelele kwenye kituo cha kazi!?.
Mkuu alionekana kutofurahishwa na kile kilichotokea ila mimi niliamua kumwambia ukweli ili kama yakitokea matatizo mengine niwe na sehemu ya kujitetea.

Nilimwambia yote kuanzia pale Afande Joel alipokuwa akinishawishi tuweze kufanya mapenzi na yote aliyomfanyia Cyborg ya kumloga ili asiweze kusimamisha.

Baada ya kumwambia mkuu alimtazama Afande Joel.
"Afande Joel wewe siumeoa kabisa mbona bado unatamani kumzagamua Angel hujui kama ni asikari mwenzako na unatakiwa kumheshimu!?" alimuuliza ila Afande Joel alikuwa kimya tu.
"Nisamehe mkuu" Afande Joel aliamua kumjibu.
"Sio nikusamehe mwambie hapa hapa kuwa hutomsumbua tena na hutomfatilia mme wake" Mkuu alimwambia na Afande Joel alinigeukia na kuniambia kama alivyoambiwa aongee mbele yangu.
"Hii iwe mara ya mwisho fanya kilichokuleta hapa lasivyo utakuja kunilaumu baadae kwa maamuzi nitakayoyachukua ikiwa utaendelea na tabia hii" baada ya mkuu kuongea alimwambia Afande Joel aondoke na kuniacha mimi mwenyewe ofisini kwa mkuu kwani alidai kuna kitu anachohitaji kuniambia.

Kiukweli nilikuwa kwenye hofu sababu sikujua mkuu anataka kuniambia kitu gani, niliogopa na niliombea asije kunitongoza na kuomba afanye mapenzi na mimi.

Mkuu aliniambia nikae kwa ajili ya kufanya nae maongezi.
"Angel unajua wewe ni mwanamke mzuri na unavutia sana" mkuu aliongea na mimi ndani ya moyo wangu niliona sasa pamekucha kwani niliamini Mkuu nae anaelekea kunitongoza mda sio mrefu.

Niliamua kumjibu baada ya kunisifia kuwa mimi ni mzuri "hapana mkuu mimi ni mwanamke wa kawaida tu"
"Wewe unaweza kujiona ni mwanamke wa kawaida ila sisi wanaume ndiyo tunaujua ukweli ata mimi huwa natamani kukufanya uwe mchepuko wangu lakini nakuheshimu kwakuwa naipenda kazi yangu na kuheshimu wafanyakazi wangu" Mkuu aliongea lakini bado nilikuwa njia panda.
"Mkuu kwanini umeniambia hivyo"

Niliamua kumuuliza sababu niliona ananiambia mambo yasiyo na maana huku nikiomba asije kuniomba kitumbua changu sababu ingekuwa balaa jingine tena......ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 31

PENZI LA MHALIFU 31

Cyborg aliniambia kuwa ata yeye alishangaa kuona boss wake Salome akitengeneza ukaribu na yeye na ilifika kipindi alikuwa akimruhusu kuondoka na gari lake Cyborg aliniambia ndiyo sababu iliyopelekea yeye na Afande Joel wawe kwenye ugomvi.
"Basi kama ni hivyo sitaki kukuona tena ukitengeneza mazoea na huyo boss wako sababu mda wowote ule mnaweza kuzagamuana" nilimwambia kama yeye alivyokuwa akinikataza kuwa karibu na asikari wenzangu wa kiume na mimi sikutaka kumuona akiwa karibu na boss wake lakini Cyborg alinihakikishia hakuna chochote kile kilichokuwa kikiendelea kati yao.

Baada ya kuniambia hivyo nilikumbuka kitu na kuamua kumuuliza.
"Kwanini ile siku hukutaka ata kunishika...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-31

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

363
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

331
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

316
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

172
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

50
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

30
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

29
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

28
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

27
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

25

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.69K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.09K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.7K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108
@majario LIVE

:101 Nimeingia tu chumbani, rafiki yangu alikuwa amejilaza akakaa ananitazama, ni kweli alionekana kama vile katoka kulia. Hakunipa nafasi hata akasema “wewe mtoto, unanukia kama kajini kakitajiri.” Nikacheka nikisema “upoje jini la...

mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan. Post Mpya
mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan.
@majario LIVE

💥Kamera zilikuwa zikiwanasa mara nyingi wakiishangilia kwa pamoja katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahçe, na wakawa kama moja ya kielelezo cha mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 16 -- 17 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 16 -- 17
@majario LIVE

SEHEMU YA 16 Denis hakujibu kitu alikata simu 📱 hapo hapo nilishikwa na machungu 😔 sana nilifuta namba yake kwa hasira😡nikaanza kulia 😭 kilichokuwa kinaniumiza zaidi ni kuachwa bila kutarajiwa halafu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest