Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

SIMULIZI; MIMI KWANGU HACHOMOKI, CHOCHOTE NINACHOTAKA ANAFANYA!

14th Apr, 2025 Views 66

SIMULIZI; MIMI KWANGU HACHOMOKI, CHOCHOTE NINACHOTAKA ANAFANYA!

Wakati mmoja, kuna dada mmoja alikua ana mdate rafiki yangu, walikua wanapendana sana, labda niseme dada alikua akimpenda sana jamaa. Kale kamdada lakikuaga na nyodo sana, na kama kawaida yangu mimi huwa sina mbwembwe, napenda kuonekana kama fala flani, nakupa nafasi ya wewe kunidharau na kama nikikuona una nyodo nakua fala kabisa, ndiyo nilivyo ila mara nyingi huwa nikiona mtu anaharibikiwa nampa ushauri wa maana ambao atashangaa huyu hi huyu huyu Iddi ninayemjua au kuna mwingine.

So huyu dada niliona kama anapotea, halafu kalikua kadogo (si kiumri bali kupevuka) alikua anampenda sana jamaa, ni wale wadada wakipendwa kidogo wanajiozesha wenyewe huko vichwani mwao. Anampeleka mwanaume kujitambulisha, anajivalisha pete, anajifungishia ndoa na anajizalisha na watoto kule kichwani kwao. Ubaya ni kwamba wadada wa namna hii wakishahidi wamempenda mwanaume na mwanaume anampenda huanza kuona marafiki zake kama ni tatizo.

Alikua na kauli moja “Flani hawezi kuniacha labda nimuache mimi!” I was liken”Mhhh kweli! Lakini jamaa anakupenda!” wakati huo dada wa watu anajiona kama yuko peke yake, ukweli nikuwa, sio kwamba tu hakua njia kuu, lakini pia hata hakua mchepuko na wala hata hakua uchochoro wa jamaa, na ukiangalia alikua tu ni kama kanji aka mkato basi! So unajua wale wadada ambao anatembea na mshikaji wako mpaka anafikiria wewe ni mke mwenza wake, anaanza kukuonea wivu anaanza kukuambia mipango yake na jamaa mpaka unaboreka.

“Mimi na flani, tumepanga hivi, mwaka huu kuna hiki, kuna kile…” anakuambia mipango mingi sana kama anataka kukuchoma! Wanakua wanataka ujue kwamba, jamaa yake anawasikiliza wao kuliko anavyokusikiliza wewe! Ni kama anataka kukupa wivu kuwa yeye ni wa muhimu kwa mshikaji kuliko wewe! Kalikua kazuri kale kdada lakini, ndiyo maana nakaita ‘ka dada’ si kwa kukadharau lakini jinsi kalivyokua kakali na vinyodo nyodo flani. Kalikua na tabia ya kuniambia “Yaani falani hawezi kuniacha labda nimuache mimi! Mwaka huu tumapenga tufanye hiki, kile na kile!” nikimuangalia jamaa wala alikua hana mpango wowote ana wapenzi wake wa kutosha Mungu tu ndiyo anajua!

So pamoja na nyodo za huyu dada lakini nilikua namuonea huruma namna alivyokua anajitoa kwa mshikaji. Lakini kama unavyojua huwezi ku msnichi mshikaji wako, ni code flani ya urafiki, iwe nzuri au iwe mbaya lakini ndiyo hivyo. So nilichofanya nilimuambia, “Aisee muache flani…” mshikaji aliniambia kwanini, nikamjibu kwakua anakupenda. Alishangaa, nilimuambia, flani ana haribu maisha yake kwaajili yako, na siku zote kama unataka kuwa na amani, kuwa muwazi kwa mtu, usiruhusu mwanamke kuharibu maisha yake kwaajili yako.

Haikusaidii chochote wala haikufanyi kuwa mwanaume zaidi, upo na mwanamke, unajua kabisa anakupenda, unaona anajitoa kwa kila kitu kwako, unaona anawekeza kwako, anaharibu maisha yake halafu unakaa na kuendelea kumdanganya wakati unajua kuwa unamharibia maisha yake, achana na hayo mambo. Wewe bado una danga, bado hujafikiria kuoa, bado huajwaza hata kuwa na watu wawili achilia mbali mmoja, lakini yule binti anajitoa kwa kila kitu kwako na wewe unajua, muache au nitakusaidia kumuacha.

“Unajua nikikwama huwa ananitoa sana…. Hapana siwezi kumuacha.” Aliniambia, hicho ndiyo kiliniuma zaidi, wakati dada wa watu alikua akijitoa kwa mume wake mtarajiwa, jamaa alikua kwa yule dada kwakua alikua anamtoa sana. Ni moja kati ya wakati mgumu sana, kuchagua kati ya urafiki na kuwa mkweli. Ubaya zaidi ni kama yule dada alikua anadhani tunashea bwana, yaani kila kitu alichokua anamfanyia mhikaji alikua ananiambia, mara nataka hivi, nataka vile, niimempa hiki nimempa vile. Ilinikera na nilikua nakaonmea huruma kale kadada Mungu anajua kalikua kazuri.

sikutaka ku msnich mshikaji lakini sikutaka dada aendelee kupoteza muda wake. Kuna siku Dada aliniambia washaongea na jamaa na anataka kumtambulisha kwao, jamaa alishakubali kwakua alikua kila kitu anatoa dada, nilimuambia mshikaji sio fresh huyu dada anaweza kujiua ukimuacha, aliniambia hapana, kwani namleta kwetu au ananipeleka kwao, kama ni aibu ni yeye mimi sikumlazimisha. So dada alikua anataka mimi niende huko kwao wakati anatambulisha mchumba.

That day Nilimuambia Dada hapana, ishu si kumpeleka kwenu ishu ni nani alalipia gharama, nilimuambia, jamaa anakupenda kweli lakini mambo unayofanya unamfanya ajione kama mwanamke hajisikii vizuri. Aliniuliza kivipi, nilimuambia, kiasilia mwanaume ndiyo anatakiwa kugharamia hiyo safari, kutoa kila kitu ili ajisikie kaoa, unavyomlazimishia anashindwa kukuambia kwakua hapendi kukuudhi lakini anakua anajisikia vibaya, sasa hivi hana pesa, ahirisha kwanza mpaka akipata apange yeye.

Dada alikua mgumu kukubali, ni kama alihisi kama namuonea wivu, nilimuambia kama unataka mahusiano yenu ya dumu, acha kumpangia kla kitu, anakusikiliza kwakua anakupenda lakini hafurahii, tangu lini uliona mwanaume analipiwa nauli, wewe unampa pesa mpaka ya kula, utajuaje anakupenda, raha ya mwanamke kuhongwa, hembu uliza marafiki zako wote kama kuna hata mmoja ambaye anamhonga mwanaume, si kwamba hawana pesa lakini wanajua nafasi zao. Muache jamaa apumue, kama anakupenda atakupa kila kitu, acha kupiga piga simu mara kumi kwa siku, jamaa atakuchoka mapema.

Nilimuambia hivyo nikijua kuwa, akiacha kumhudumia tu yule jamaa na yeye kaachwa. Nilimfundisha namna ya kuwa mwanamke katika mahusiano, nilimfundisha mambo makuu mawili. Kwanza huwezi kujua kama mwanaume anakupenda kama unamhudumia kwa kila kitu, kwamba akiwa na shida wewe unatoa lakini ukiwa na shida wewe hajali, au unatatua mwenyewe. Kama unataka kujua kuwa anakupenda basi acha kumpa pesa na kama ni kumsaidia basi muwe mnasaidiana na si kila wakati wewe unatoa kumsaidia wakati yeye hasaidii.

Pili, hakuna mwanaume anayependa kupewa kila kitu na mwanamke, hata kama alikua anampenda basi anakinahi na katika hayo mahusiano basi yeye anajiona kama mwanamke na hawi na raha. Nilimuambia badilika na acha kumhudumia. Kwa bahati alinisikiliza, aliacha ule mpango na kuanza kusema sina pesa, alipunguza kumhudumia. Haikuchukua hata miezi miwili aligundua kuwa mshikaji ana wanawake wengine, alijuaje, ni kwasababu baada ya kuacha kumpa pesa mshikaji alikua hana sababu ya kuendelea kuwa naye tena.

Hakujali tena, hata kuficha meseji hakutaka, mwanzoni alikua anaficha kwakua alijua kuwa, akifumaniwa atakosa pesa kwa dada, lakini baada ya kukosa pesa, hakujali tena alikua akichat hata na wanawake wengine mbele yake. Dada alikuja kwangu kulia kuwa ana mwanamke mwingine, kama kawaida nilijifanya kushtuka, lakini nilimuambia namna ya ku move on. Lakini jamaa aliniambia nimeona nikaache tu kwakua kanasumbua na kenyewe pesa siku hizi hakana. Jamaa hakujua kuwa nimeongea na mpenzi wake.

Nilichofanya nilimuambia yule dada, acha kuwa na pupa, usimuambie sina pesa, bali kwakua anajua kuwa huna kazi pesa unachukulia kwa Baba yako basi anza kumtafutia matatizo Baba nyako. Mkiongea lalamika kuwa labda Biashara za dingi haziendi vizuri, kuna mkopo alichukua benki unamsumbua. Jifanye una wasiwasi sana, baada ya siku mbili muambie, mdogo wako kakupigia simu kuwa ana shida ya kiasi flani. Muambie “Unajua anajua kuwa chuoni tunalipwa pesa nyingi…” Lalamika huna pesa ya kumpa. Kwa kifupi nilimfundisha namna ya kulalamika.

Dada alikuja kunishukuru kwa kumfungua macho, na hakuumia sana kwakua kwanza kuachwa kulikua kwa taratibu na pili bado umri ulikua mdogo, alikua hajawekeza sana na alikua hajaharibu maisha yake. Je, nilimsinich mshikaji, hata sijui ila sidhani maana mpaka leo, labda dada akisoma ndiyo anajua kuwa nilikua najua kuwa mshikaji anachepuka. Lakini hata kama ni kweli, ila katika yote hayo kuna kitu ambacho kilinisukuma, kwanza binti wa watu alikua bado mdogo, yupo chuo hata hajajua maisha, hata hajadanga vizuri halafu unamharibia maisha.

Lakini pili binti alikua anataka kubadilisha dini ili kumfuata mwanaume. Yes alishaanza mchakato na alishaanza kuongea na Mama yake kumshawishi, Mama yake alikataa lakini binti alikomaa, na alichokua kabakiza ni kuongea na Baba yake. Jamaa alikua anajua na kwakua alikua akipata vipesa alikua yupo tayari kumharibia maisha yake. Si mlaumu sana kwani ulikua ujana, na hakuchukulia siriasi kihivyo ila mimi niliona usiriasi. Sasa kama wewe ni aina ya wale wadada wanasema “Flani kwangu hachomoki! Kila kitu ananisikiliza!” basi hakikisha huyo mwaume wako umemuumba wewe!

Wadada wengi wanapopenda wanajisahau sana, ni nadara usikie mwanaume kachukua mkopo kampa mwanamke, wapo ila ni wachache na ukiangalia kuna dawa zinatumika, ni nadara kusikia mwanaume kagombana na ndugu zake wote kisa mwanamke, wapo ila wachache ni nadra kusikia mwanaume anaacha kazi kisa mwanamke, wanaume tunajua kuwa huwezi kumuamini mtu asilimia 100, kama alimuacha X wake wewe ni nani asikuache! Kama wewe uliweza kumtongoza akakubali kwanini ashindwe kuwakubali hao wanaume wengine!

Dada kama upo kwenye mahusiano, au ndoa ushaanza kuwaza huyu ni wakwangu, hawezi kuniacha, namuamini kwa asilimia 100. Hembu toka hapo nnje, zunguka mjini hesabu wanawake kumi utakaokutana nao, kisha rudi ndani na jiulize una kitu kikubwa kipi cha maana kuwazidi mpaka asikuache? Sisemi uishi kwa wasiwasi wa kuachwa hapana, ila ishi kwaakili kuwa mwisho wa siku hata kuachwa kukija lakini na mimi nina kakitu kangu ka kujivunia sijajitoa sana, sio unafanya kazi lakini unaachwa kila kitu kina jina la mwanaume, unaachwa unarudi kwenu kusumbua ndugu zako tu na wanao!

***MWISHO;

*???????????????????????? ???????????????? ???????????????????? ???????????????? ???????????? ????,????????????
1. Mama Amina ????
2. ?anti asu ????
3. ?shule ya uchafu ????
4. ?shemeji ????
5. ?nilivyosagwa na mke mdogo wa baba ????
6. ?shamba boy ????
7. ?hatuachani ????
8. ?binamu ????
9. ?kaka wa damu ????
10. ?nayma ( binti wa kungwi)????
11. ?happy ending ??
12. ?Belinda ??
13. ?asali??
14. ?handsome wa kijiji ??
15. ?kijijini kwetu????
16. ?House boy ????
17. ?kivuruge ????
18. ?my sponsor ??
19. ?forever my man ??
20. ?nilijifanya kipofu ilinijuwe Kama kweli mke wangu ana mahusiano na mdogo wangu ??
21. ?Husna ??
22. ?mkundu wa mama mkwe mnato ????
23. ?ni yeye ??
24. ?dear heart ??
25. ?it is you ??
26. ?full penzi ??
27. ?Fake love ??
28. ?huruma ya dudu ????
29. ?dada wa kambo ????
30. ?daladala la kichawi
31. ?sio mchoyo ????
32. ?kigodoro ndani ya treni ????
33. ?bunga
34. ?mubaba wangu
35. ?nini maana ya mapenzi
36. ?you stolen my heart
37. ?jinsi binti yangu alivyonisaga ????
38. ?mr man
39. ?wrong number
40. ?sista magreth
41. ?mahaba niue ????
42. ?the promise
43. ?second chance
44. ?this love
45. ?wa moyo
46. ?mkundu wa mganga mtamu ????
47. ?ulaaniwe mama mkwe kwa kunifundisha usagaji ????
48. ?kisasi cha dudu ????
49. ?Utamu wa jirani mcharuko ????
50. ?my dream
51. ?mique
52. ?Utamu wa kisamvu ????
53. ?Mtoto wa mchungaji ????
54. ?mchezo wa ngono ????
55. ?Amor Baby
56. ?nasra
57. ?ceo jeuri
58. ?cecy
59. ?neria
60. ?mama mkwe ????
61. ?unanitekenya ????
62. ?nilipata mimba ya Jini ndotoni nikaja kukutana nae live baada ya kujifungua ????
63. ?siwema
64. ?Catherine
65. ?teamo
66. ?Ndoa ya mashaka
67. ?before I die
68. ?mama mkwe ????
69. ?penzi la kikomando
70. ?yatapita
71. ?doctor abbas
72. ?Barafu wa moyo
73. ?revenge in love
74. ?NILIVYOANZA KUFANYA MAPENZI NA KAKA YANGU KWA MARA YA KWANZA ILIKUWA NI BEACH NDANI YA MAJI ????
75. ?mjeda penzi
76. ?pacha wangu
77. ?vichanga 20 kwenye chumba cha boyfriend
78. ?until forever
79. ?ulaaniwe marehemu kaka alaaniwe na bibi harusi wako pia
80. ?mahaba ya dhati
81. ?sakina
82. ?nilivyoanza kuingiliwa kinyume na maumbile ????
83. ?Katrina
84. ?yataniua
85. ?our story
86. ?trinity
87. ?Mboo ya mgeni Tamu ????
88. ?wangu wa halali
89. ?kaka msoja
90. ?my flower
91. ?penzi la kapten
92. ?new love
93. ?moyo
94. ?binti wa kazi
95. ?Samira
96. ?Yusra
97. ?Julieth
98. ?house boy (lauson)????
99. ?salma wangu ????
100. Shujaa
101. Amran kichaaa
102. Mboo ya mgeni tamu????
103.The husband between us
104.I love him
105.Safari ya uturuki
106.Shule ilinifanya kuwa shoga ????
107.Mama adella
108.Happy and sad
109.Love by chance
110.Hata kama ni mchafu moyo wangu umezama kwake tu
111.Boy of my dreams
112.Maya (penzi lililo pingwa)
113.Billioner hidden son
114.Jaman boss asante
115.Penzi la kibabe
116.True love
117.Umenibadilisha wewe
118.I will never leave you alone
119.The best couple of the year
120.King of love
121.Two bosses in love
122.Usiniache mimi tafadhali nakupenda
123. Ndoa ya kulazimishwa
124.Desire
125.Asha mfariji wangu
126.Mtoto wa porini
127.Duuuh kumbe baba mfiraji ????
128. Nakupenda madam
129.Just a kiss
130.Ndoa ya mashaka (Amir)
131.Nyumba yetu
132.Livia
133.Changudoa aliyegeuka kuwa mke mwema
134.Salma mtoto wa kitanga ????
135.Mamu
136.Shosti tuchat ????
137.Mtoto wa maajabu
138.For the rest of my life
139.Binti wa mchungaji ????
140.House girl hadi mama mjengo
141.Ndoto nyevu ????
142.Joto la bodaboda wangu ????
143.Pete ya miujiza ????
144.Nilitembea na mama yangu mzazi ili Diamond ashuke kimziki
145.Penzi la chizi lilivyonitajirisha ????
146.Mapenzi yananitesa
147.Niliishi ndani ya ndoa nikiwa na bikra yangu
148.Nimekoma sidangi tena
149.Safari yangu
150.Jimama msoma chombezo ????
151.Panua ????
152.Bora nipate laana kuliko nikuache baba yangu uteseke
153.Alijifanya muuza mikate kumbe ni binti mwenye mali nyingi anayetafuta mume sahihi
154.Nchi ya dhambi ????
155.Jirani ????
156.Kifo cha Mende ????
157.Sitasahau jinsi kibamia kilivyotaka kunitoa roho ????
158.Mke wa mganga ????
159.Utelezi ????
160.Bongo to korea
161.Mimba ya kichaa
162.Warembo wa david
163.Nilipendwa na jini
164.Penzi la customer care
165.Mwanaume wa ndoto zangu
166.Alinipiga picha za utupu akanifanya mtumwa wa ngono kwa miaka 10????
167. Ikulu
168.Hatuachani
169. Lijendi mgalilaya
170. Ilibidi uwe wewe aimer (nipo tayari kumuacha mke wangu)
171. Muuaji mwenye tabasamu
172. Nakiri
173. More than pain
174. Moyo wa dhahabu
175. Kazi ya mochwari ilivyonitoa jasho
176. Utamu wa kuma ????
177. Jinsia mbili zinanitesa ????
178. House boy ????
179. Nani amenipa mimba
180. Duduke ????
181. Mama aliposhikwa tako mbele yangu
182. Mchoraji yasini
183. Mrembo kutoka jalalani
184. Chizi fresh
185. Siku ya kwanza kuingia kuzimu
186. Chupi mkononi ????
187. Tamu ya mamdogo ????
188. Hukumu yangu
189. Limbwata
190. Taratibu shemeji naumia ????
191. Uji mzito ????
192. Nilipanga nyumba moja na majini
193. Ndoa yangu (janeth)
194. Amka mama
195. Mtoto wa mchawi
196. Rahma
197. Upendo wangu
198. Love bite
199. Tetemeko la moyo
200. Kahaba ????
201. Moyo usinidanganye
202. Mwangaza
203. Boti la valentine
204. Daraja salama
205. Safari na mapenzi
206. Mauaji ya halaiki
207. Ulikuwa wapi
208. Mapenzi yalivyonitesa
209. Sitosahau nilipo agizwa sehemu za siri za mchungaji
210. Sitoweza kukusahau salma
211. Nimeshaukalia itoe iingie
212. Busu la kifo
213. We mkaka ninyandue kama kaka ????
214. Dear ex
215. Uchawi wa kurithi
216. Mke wangu alinifanya nikawa mchawi
217. Niligawa sana baada ya kujua nina ukimwi
218. Utamu wa kitumbua ????
219. Jike dume ????
220. Mchepuko na mkewe walivyokaribia kuniua ????
221. Danga la mtaa ????
222. Tamu utamuni ????
223. Kama inauma chomoa ????
224. Secondary school ????
225. Babu mwenye nyumba ????
226. Mke wa mtu
227. Mmmmh Shemeji aya weka ????
228. Yako wapi mapenzi
229. Chozi la mke laana
230. Sitasahau siku niliyokimbia kwenye sita kwa sita ????
231. Nimekusamehe lakini sitakusahau
232. Nilitaka kumuua mume wangu
233. Najuta nikivyomtelekeza mpenzi wangu baharini
234. Penzi lisilo sahaulika
235. Beauty and the beast
236. Kichaa cha mapenzi
237. Ukifirwa muwasho unaisha ????
238. Penyua tako ????
239. Kaka mfiraji ????
240. Sitasahau alipochomeka nyuma ????
241. Nilimpa mpaka mkundu lakini ????
242. Bao la mkunduni ????
243. Siku aliponyonya nyuma????
244. Show ya side mboo ndefu ????
245. Shemeji umechomeka kweli ????
246. Staili 8 bao moja ????
247. Mguu juu acha nipate laana ????
248. Natalia
249. Sogea tuishi
250. Only one
251. Treni ya kigoma
252. Mr handsome (mtoto wa mama)
253. Still the one season 1
254. Still the one season 2
256. Nico (penzi la jambazi )
257. Nampenda alex Season 1,2&3
258. The director (I declare you rommy)
259. Nilifanya mapenzi na mwanamke kwenye Hospital ya vichaa ????
260. Princess season 1-4
261. Peace of mind
262. Zubeda (house maid)
263. Utamu wa vanilla ????
264. Kijiji cha tombokwa ????
265. Divine
266. Maria ????
267. Married to the rude billionea
268. Savvy
269. Black butterfly
270. Muhogo wa jang’ombe ????
271. Baba J (doctor of my heart)
272. Safari yangu
273. My boss
274. Niliolewa na mwanaume utajiri wake ni wa kafara ????????
275. Mchepuko wa mke wangu ????
276. Zamda
278. Shule ya bweni ????
279. Damu yangu
280. My boss my love
281. Siku mbili kabla ya harusi
282. Vijana saba tulioteuliwa kumridhisha mke wa mchungaji
283. Vichanga vyangu vilitumika kumtajirisha mume wangu
284. Sikujua kama mume wangu ameshafariki
285. Mama weee utanichana ????
286. Kijiji cha tombokwa ????
287. Hilna (mganga mpambania penzi)
288. Penzi la mke wa baba ????
289. Demu muuza uboo ????
290. Mke mwenza shoga ????
291. Rushayna
292. Niliyoyaona ndani ya kanisa la freemason sitasahau
293. Mainda
294. Shemeji kula nyama nyamaza S1????
295. Shemeji kula nyama nyamaza S2????
296. Crazy couple
297. Lizer fundi garage wa roho yangu
298. Mwanaume wa dar
299. Jicho langu
300. Desmond
301. Sista greta
302. Mwanaheri binti kijakazi
303. Sababu I love you
304. Nakubaliano ya mauaji
305. Binti mfalme mwenye pembe za kondoo
306. Yalaaniwe mapenzi
307. Siri ya chumba changu
308. Ndoa ya mkataba
309. Kivuruge
310. Milele
311. Still the one
312. Kreya binti kizizi
313. Najuta
314. Nakaaya
315. Dark birthday
316. Ndoa yangu
317. Hey Loveness
318. Brianca
319. Washa taa ????
320. Somo yangu
321. Chozi la mke mwenza
322. Nimeolewa na nani
323. Moyo wangu ??
324. Njia panda
325. Sugar dady ??
326. Handsome boy ????
327. For you mama ??
328. Till death ??
329. He was mine ??
330. Warembo wa david ??
331. Puh ushikilie moyo wangu ??
332. Mahabuba ??
333. Nilijigeuza mwanamke ili kulipiza kisasi ????
334. Nastahili hukumu
335. Chizi wa kike
336. Undugu kufanana ??
337. Peace ??
338. My sugar ??
339. Safari yangu
340. Hey Loveness ??
341. For you mama ????
342. Malkia wangu ??
343. Sina bahati ya kupendwa ??
344. Rahma ??
345. Doctor ( dr)??
346. My twin ??
347. Desire ??
348. Nomaraa waaaa ??
349. Moyo umependa ??
350. Moyo uliopotea
351. Siri ya madam matroni ????
352. Nilijifanya kipofu ilikuona Kama kweli mke wangu anamahusiano na mdogo wangu
353. Tumaini jipya
354. Mapito yangu
355. Sanda na maiti Utamu wa nyama za watu
356. Mimi mwadawa
357. Boss lady ??
358. Happy birthday selina ??
359. Meeting point
360. Mrembo wa kisambaa
361. Uvumilivu wangu
362. Nacheka Kama mazuri nilimwita mke mwenza wifi
363. Mama wa kambo
364. Nilishakufa nikafufuka
365. Maiti yangu
366. My Ian ??
367. Barua kwa ex wangu
368. Mchongo
369. Dave
370. Nilize na mimi shemeji ????
371. The bilionea girl ??
372. Pito langu
373. Kisiwa cha ajabu ????
374. My life ??
375. Love debate ??
376. Alice ??
377. Mwanaume wa ndoto zangu ??
378. Fiona ??
379. Sitasahau mwanaume wa ndoto zangu alichonifanyia ??
380. Mr travis ??
381. Mwalii ??
382. Mama ntilie ??
383. Kipofu wa mapenzi ??
384. Nampenda boss ??
385. Nampenda sitaki kumkosa
386. Tabasamu la dhahabu
387. Makosa yako mama
388. Sitosahau nilivyoolewa na mwanaume mwenye jinsia mbili bila kujua
389. Single again ??
390. Kishtobe ??
391. My crush ??
392. Mume wangu alibadili dini iliaoe mke wa pili ??
393. Nyuma ya pazia
394. Ramona (najuta kumtenga mwanangu kisa mwanaume tajiri)??
395. Do salale ??
396. Sarah ??
397. General ??
398. Penzi la moyoni ??
399. Hate me now love me later s1& s2??
400. Young bilionea ??
401. Jirani yangu wa kule goba hakuwa mtu wa kawaida
402. Wema ??
403. Mdogo wangu alivyovunja ndoa yangu kisa muhogo??
404. The director ??
405. My kingbae ??
406. My dream ??
407. Am sorry binamu siwezi ??
408. Bora nisinge zaliwa ??
409. Be with you ??
410. Habibi ??
411. My boss my love ??
412. Mama mkwe wangu alivyonizalisha watoto kwa uume bandia ????
413. Siku aliponyonywa kwa mpalange ????
414. G Baby ingiza k yangu imelowana ????
415. Ilaaniwe mboo ya mume wangu ????
416. Kaka umedhamiria kunitomba ????
417. Mjomba naye anataka ????
418. Baba Kama punda ????
419. Urojo wa kipemba ????
420. Maajabu ya mgeni ????
421. Danga la mama ????
422. Bedroom ????
423. Kiepe yai ????
424. Ladyboy ????
425. Muuaji
426. Simulizi ya kichawi Maiti yangu
427. Zombie wa dar ???????
428. Chakudeka ??
429. Ni yeye season 1&2 ??
430. Melissa natamani ningekua mume wako ??
431. Ndoa ya mchongo ??
432. Call me by your name ??
433. Hatima ya utabiri
434. Sikujua kichaa anaelala nje ya jengo langu ni Mpelelezi anaemtafuta gaidi wa kizungu niliyemuoa bila mimi kujua ni gaidi??
435. Just a kiss ????
436.Chizi wa mapenzi ??
437. Make me smile ??
438. Ryine ??
439. Allooh
440. Muhogo wa kijakazi ????
441. Baamedi msagaji ????
442. Odo msagaji ????
443. Usiku wa mwaka mpya
444. Dunia nyingine
445. Diella
446. Najuta kwenda honey moon nilichofanyiwa sitakuja kusahau
447. My boo
448. Bianca binti kipofu
449. Looool
450. Baraka wangu
451. Nilivyopata danga usiku wa manane
452. Cay
453. Dirty family
454. Jei
455. Laana ya utamu
456. Sikitu
457. Jini sandra
458. Nilifanya mapenzi na maiti 20 nitajirike
459. Siri ya familia yangu
460. Kaka yangu wa damu aliegeuka na kuwa mwiba ????
461. Nimemfira shetani ????
462. Penzi la mtekaji
463. Nyuma ya maajabu
464. Hamu ya mamu
465. Arafa wa arafat
466. Adrian (handsome kipofu)
467. Chiara
468. Zaza
469. Jogoo wa kienyeji
470. Riziki mafungu Saba
471. Msela
472. Bridge of love
473. Kifo cha mwanangu
474.Aaah sikuachi
475. Raveen (namuoa tamari)

???????????????? ???????? ????????????????????/???????????????????????????????? ???????? ????????????????????????????????
1. Mkimbizi
2. ?kikosi cha Siri
3. ?Siri
4. ?the football
5. ?Ikulu
6. ?tai nyekundu
7. ?Mellanie chuma
8. ?Secret society
9. ?Mathew mulumbi
10. Mwamba
11. ?capture or kill
12. ?peniela
13. ?kikosi cha Siri
14. ?jasusi gaidi
15. ?I died to save president
16. ?scandal
17. ?queen monica

*MALIPO* ????
NAMBA YA MALIPO VODACOM(MPESA)
0759371533
JINA DICKSON

NAMBA YA MALIPO TIGO(TIGOPESA) 0656495952
JINA DICKSON

??WhatsApp 0772961822 ????.

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest