Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

KIKOBA CHANZO CHA MIMI KULIWA sifuli???? Sehemu ya kwanza.

14th Apr, 2025 Views 16

???????? KIKOBA CHANZO CHA MIMI KULIWA sifuli????

Sehemu ya kwanza.

Nilitamani ninyamaze aya ya aibu nisiseme ila acha niseme ukweli wangu labla nitasaidia watu wenye akili kama zangu au wanaofikilia kuingia kwenye vikoba pasipo kuwa na kazi...simulizi ya maisha yangu inaanzia yombo dovya ndio nilipozaliwa...nilichukia sana nyumba yetu kuchakaa wakati mimi ni sista duu ilifikia atua ata rafiki zangu tuliojuana ukubwani siwaleti nyumbani kwetu...siku moja naenda kwa shoga yangu mmoja anaitwa Tina anakaa buza kwa rulenge amepanga chumba kizuri kila kitu ndani nilitamani maisha yake nikamuuliza)

" Tina umefanyaje fanyaje mpaka umekuwa na maisha aya?

" Zabibu mwenzio nipo vikoba viwili tulipovunja ndio nimekuja kupanga.

" Vikoba ivyo unavimudu vipi shoga yangu?

" Zabibu na wewe unakuwa kama mtoto vile wanaoshindwa vikoba wengi wake za watu ila sisi kokote kambi unashindwaje kulipa kikoba.

" Niambie basi shoga na mimi niingie kwenye vikoba natamani ninyanyue pale nyumbani kwetu.

" Zabibu unatafutwa kurogwa wewe kaka yako kwani aoni pale nyumbani kwenu mbona apanyanyui anajenga kwake.

" Kaka yeye ajakaa sana pale alikuwa anakaa kwa bibi tuachane na ayo nipe njia mwenzio na mimi nicheze vikoba.

" Njia inatakiwa uwe jasiri tu mambo yanaenda kwani zabibu wewe unaye bwana.

" Kama niseme sina tu maana bwana mwenyewe anijari kwa chochote.

" Zabibu sasa jiongeze.

" Najiongezaje sasa niambie.

" Shika simu yangu iyo uone nachofanya.

" Nielekeze.

" Au basi usije ukanitangazia bule.

" Tina naapa sitokutangazia nitafanya unachofanya.

" Kama kweli unataka kufanya nachofanya nenda kwenu kachukue begi la nguo tuje tuishi wote tutoke wote.

" Sawa.

( Buza na yombo dovya sio mbali nilitoka na bajaj tu 500 uyo nikaenda zangu nyumbani nikamuaga mama naenda kuishi kwa rafiki yangu Zabibu na mama akasema)

" Nenda kama wewe mwenyewe umeamua ivyo ila uwe makini tu mwanangu.

( Sikutaka kumuuliza umakini wa nini uyo nikaenda zangu kwa rafiki yangu zabibu nikamkuta mwenyewe anaangalia movie )

" Karibu zabibu.

" Asante.

" Aya weka begi twende kwa mwenyekiti wa kikoba ukaandike jina lako ndio tunataka kuanza tena vikoba vyote viwili.

" Sawa.

( Tulienda kote akaniandikisha kama mwanachama mpya uku mimi sijui iyo pesa nitaipataje...tukarudi nyumbani akaniambia)

" Zabibu kesho tunatoka tunaenda dodoma kutafuta pesa.

" Sawa mimi sina nauli.

" Nauli juu yangu.

" Sawa.

( Swali aliloniuliza likanipa wasiwasi)

" Zabibu aupo mwezini?

" Nimemaliza juzi tu.

( Nashangaa anashangilia)

" Zabibu wewe tajili weweeee nimependa umemaliza juzi tunaenda tukiwa fresh kikazi nipe tano.

( Mimi natoa tano ila nipo kwenye sitofahamu kazi gani iyo nawaza au kazi za imani azitaki mwanamke awe mwezini nawaza nawazua yeye ananiambia)

" Shika elfu kumi ukale chakula uje ulale.

" Nikale elfu kumi yote hii.

" Ndio mbona ndogo sana hii zabibu.

" Sawa.

( Nilitoka nikaenda kula chakula cha 2000 nikapanda bajaj nikampelekea mama yangu elfu tano...alafu nikarudi Tina akawa amelala nikamgongea mlango akanifungulia tukalala wote...asubuhi tunaenda dodoma sasa uku mimi sijui naenda kufanya kazi gani tulipofika dodoma tukafikia kwenye hotel moja nzuri tukakaa nje ya ile hotel tukawa tunakula ndio ananiambia)

" Hapa ndio kazini uku kuna mtu unajuana nae?

" Sina mtu nayejuana nae.

" Sasa ukitaka kuvimudu vile vikoba vyote viwili bila tatizo ujitoe.

" Najitoaje?

" Zabibu si unaona wenzetu wale pale unazani wamekuja kufanyaje kuwapa burudani wanaume na wanaume wanatoa pesa.

" Tina mimi kucheza mziki sijui.

" Mziki wa nini tena?

" Tina si umesema kuwapa burudani wanaume.

" Zabibu unataka kunitia aibu wewe kwani bwana ako unampaga nini?

( Lilinishuka sasa nishajua anachomaanisha duu nikubali kweli nachompa bwana angu ndio nitoe kwa wanaume wengine)

Itaendelea..
Hii ni simulizi ya kikubwa..
Kama shabiki wa chombezo..ngumu zile zisivyoficha maneno yoyote karibu inbox kwa...tsh 1000.

Namba ya malipo ni 0657774735.
Jina mkegani mponda..

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest