𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊:....:
SONGA NAYO...............
nilibak naitazama Ile simu iliyopo mkononi mwangu ambayo Kwa mda uo ilikua imeshakatwa nikawa najiulz uyu amemaanisha au ananitania isije kuwa Ndo kachkulia serious afu ananiacha kweli🤔🤔🤔 ..... nilitafakari kwa muda nikaona ngoja niondoke nikabeba vitu vyangu nikaenda kwanza nyumbn Ile nafika tu Maggie akanifata chumbani akaniambia kimenuka🙄🙄🙄 kimenuka nn tena nilimuuliza akasema Jana brie alikuja na Diana apa wakat tunaongea ongea sa ngp wasimwambie mama ako ww unatembea na cliff😳😳😳 Nini niliuliza Kwa kuhamaki Yan kama vile cjaskia kilichosemwa Maggie akaniambia wamemwambia tena Diana ndo alianza mada akawa anasema Anna ameenda kwa mchumba ake mbona simuon ndo mama akauliza mchumba gani jamn Anna ameenda katk sherehe ya rafk Ake anavalishwa Pete akadakia brie Sasa kajibu ndo alivyokuaga 😂😂😂 akawa anacheka mama akasema ndio na alichelewa kulud amelala kwa kaka ake cliff Diana akasema sio kaka ake ni mkwe wako yule mama akasema ukwe wa wapi wakat yule binam yake labda wawe wanataniana Diana akamwambia mama ni mwanaume wake wanatembea Mimi ni shahid nalijua ilo kama wanawaficha sawa lkn cliff na Anabel ni wapenz na huwaga analalaga uko kila mara msipokua nyumban 😳😳😳 jamn nini iki awa washenz wameona wanialibie mungu wangu itakuaje Sasa nikamuulz Maggie kwaio mama angu amesemaje akaniambia akusema kitu alibaki kimya tu lakini kama mtu mzima nilijua tu Kuna kitu anakiwaza mmmmh🤔🤔🤔 nikasema nimekwishwa nikakaa kitandani nahema juu juu Maggie akaniambia em skiza kama mama atakuulza mwambie sio mwanaume wangu huwa ananitania tu na Wala clalag uko yani kana ukatae kataka usikubal ata kimoja umkane cliff kama aumjui bila ivyo utapigwa umu c unamjua mama Ako afu hii inshu imekaa vibaya ww na Cliff ni ndugu bola ingekua ni jiran ttz nynyi ni ndugu kwanza ni swala la aibu mama Ako ataona umemdhalilisha kwaio jitahid ukatae dada mi nakushaul ivo... nikamwambia saw nmekuelew akasema aya mi naenda zangu jikon nkamwambia sawa bas nikawa nmekaa kitandan nawaza itakuaje Sasa uyu mama nnavyojua mkali atakagi kuamini kama mpaka Leo watoto wake tunafanya mchezo mbaya na ukubwa huu tulionao
Basi kidogo mlango wa chumban kwangu ukagongwa nikashtuka alikua ni Maggie akaniambia dada mama anakwita yupo seblen nikasema toooba nimekwishwa nikamwambia Maggie saw nakuja bas nikatoka nikaenda mpk alipo mama nikakaa kalibu yake katk sofa nikamsalimia akaitikia akaniambia ndo unarud nikajibu ndio mama ndo narud akaniulz ulilala Kwa cliff 🙄🙄🙄 nilibak namtazam tu Yan Moyo wangu ulishaingiwa uoga namjua uyu mama alivyo chiz akaniambia mbona aujibu ataivyo cliff aliniambia mlichelewa kutoka katk party Jana ulilala kwake kwani ulienda nae katk party nikamwambia ndio mama tukienda ote akasema ooooh saw akaniulz Anna unajua kama cliff ni kaka Ako nikamwambia najua mama najua mama akaniambia nyie ni ndugu Tena sio undugu wa kuokota nyny ni ndugu wa dam kabisa ata kama amjazaliea tumbo Moja baba Ako na mama ake cliff ni baba mmoja na mama mmoja achana na ubinam uliokuepo kat yenu uo ni ujinga Ile dhana ya kusema binam kinyama Cha ham sijui binam anaweza kuolewa na binam yake ni uongo na aibu Kwa jamiii ayo mambo yalikuaga zaman na ata kama yapo basi yanafanywa na uko uswahilini au na ayo makabila ya pwani sisi atunaga ayo mambo Sasa baada ya kusema aya nataka kujua ww na cliff ni wapenz?😳😳😳 apo aliniulza yupo serious acheki Wala apepesi macho nikamwambia apana mama mm na cliff tunaeshimiana sio mwanaume wangu namueshim kama kaka tu mama akaniambia Annabell najua kama nyiny ni watu wazima na mmekua mnahaki ya kufanya ayo mambo lakn mnatakiwa kuwa na heshima Kwa umri ulipokua nao ulitakiwa uwe na watoto na mume lakn mungu bado ajakujaalia Sasa kama uyu mjinga brie analeta wanaume mpk ndan anafanya nao mapenz sembuse ww mkubwa wake😳😳😳 nilishangaa mama
kajuaje brie analeta wanaume ndan au Maggie kamwambia mana Maggie nae Yuko vizur Kwa umbea bas mama akaniambia briela analeta wanaume umu ndani yani ni mpumbavu Sana uyu mtoto nimeingia chumbn kwake Leo asubh nmekuta kondom iliyotumika chin ya kitanda chake😳😳😳😳😳 tobaaa nilishtuka nikasema kimoyomoyo Leo brie kaz anayo mama akaendelea kusema kumaanisha anafanya na wanaume umu ndan na anasahau dhana aliyoitumia ivi uyu brie anaenda chuo kwel mbona kama tunatupa pesa ya bule hana ata akili anawezaje kuleta wanaume ndan na sio ndan tu ni nyumban kwa wazaz wake unafkili hizo taarifa akizijua kivike Mimi ntaonekana ni mama wa aina gan ni kwamba najali biashara kuliko kuwajali watoto wangu.....nilikua kimya namskilizia mama alikua anaongea kwa upole lakn saut yake ilionyesha hasira Sana akanitazama akaniambia Annabell kama umewai kutembea na cliff au kama ushatembea nae naomba aya mahusian yaishie apa stak mnitie aibu sitaki kuonekana mzaz kituko Mimi ivi fkilia ukipata mimba apa itakuaje iyo kupata mimba ya mtu mwngine tu ambae sio mume wako naogopa je ikitokea unapata mimba ya cliff ambae ni kaka ako unataka nichekwe unataka nishindwe kutoka ndan kwa aibu yan acha kabisa uo upumbavu unaofanya yule cliff ni ndugu yako unapata wap ujasil wa kumkatia kiuno.... Anna ntakuumiza unanijua vizur stak ujinga uo upumbavu staki kuuskia na uyu tipwatipwa akilud Leo atanikoma😂😂😂 eti tipwatipwa nilicheka mama akaondoka akaingia ndan kwake
Nikanyanyuka nikaenda chumbn kwangu apo nna mawazo mara mbili kwanz cliff kaniambia maisha mema mama nae ananiambia niachane nae aaah nilivurugwa nikajikuta nasema peke angu chumbn nikasema mm siachan na cliff ata iweje staki kumkosa kabisa ntajua itakuaje uko mbele lakn Kwa saiv siachani nae nikawa nawaza bas vile Jana alivyokua ananibembeleza ananililia alivyokua anatumia hasira kuniingilia lakn nilijikuta nacheka ata sikumchukia kabsa nikawa nikikaa Ile picha inanijia bas najichekea kama mwehu😂😂😂 mda wa jion ulifika nikawa nmekaa seblen natazma Zang mitandaoni Yan apo cliff ajanipigia Wala ajanitext na sio kawaida yake kimoyo kikawa kinaenda mbio najiambia nishaachwa apa nikawa nawaza cjui nimpigie cjui nimtext ila naogopa akinishushua itakuaje aaah nikaaa nasema Sasa na Mimi kwann nmemwambia tuachane wakat nampenda daaaah itakuaje sjui ila nikapotezea bas akaingia briela akataka kunipita nikamwambia we brie njoo apa akasema bana usiniite ivyo ndo nn Sasa unaniita kama unaniweza nikamwambia koma ww jieshim ntakubaruza iyo tabia ya kuniongelesha kama vile Mimi ni mdogo wako siipendi nmekwambia njoo apa briela akaja akaniambia unasemaje nikamuulz ivi we brie mi ni mke mwenzio ivi kwann unanichukia unanionea wivu Kuna kitu nnacho ww auna siindio brie akacheka akaniambia kitu gan ambacho we unacho mi Sina 😂😂😂 em niache bana mi nimechoka nikamwambia namiliki kitu ambacho unakitaman na haujawai kukipata unafkili sijui kama ulikua unamtega cliff unaenda nyumban Kwake unamlalia uchi ili akufanyie unafkili sijui 😳😳😳 akashtuka nimejuaje nilimwambia kitu Cha ukweli ni kwel alikua anamtaka cliff cliff mwenyw aliniambia Ile siku alioniulz kama brie anaga mwanaume badae nikamuoji akaniambia ivyo kwamba brie huwa anamkalia uchi anamuonyesha kumtaaka ila anshangaa saiv anamkuwadia Diana tena bas brie akaniambia nimtake cliff mi wa nn Kwan unazan mi sijui kama cliff ni ndugu yang mi najielewa sio kama ww unaenda kulalana na kaka Ako nikamwambia ulikua unamtaka cliff amenionyesha mpk sms na video zako za uchi ulikua unamtua watsap ulivyoiona umeshindw ukaamua kuunguna na Diana ili unikomoe sa skieni nyie mbwa kamwambie na uyo Diana wako jipangeni upya mi siachani na cliff alafu sio mm ni cliff mwenyw ndio kafa kaoza apa ata umwambie nn haelew alafu unajifanya kumwambia mama Mimi natembea na cliff umesahau kumwambia kama unaingizaga wanaume umu ndan 🙄🙄🙄 nikamuona briela anshangaa akasema uyu magie ntamuumiza ndo anakwambia mi naingiza wanaume nikamwambia sio Maggie usimsingizie msubili mama Ako akija useme nae mana amekuta kondom iliyotumika chin ya kitanda chako Sasa jiandae😳😳😳 brie akasema mungu wangu aliogopa akaingia chumban kwake uku anakimbia kwenda chumbn kwake nikasonya nikakaa kwny sofa nikasema nimemkomesha 😂😂😂
Bas baada ya muda mama akalud alikua ametoka kumfatilia mambo yake akalud usiku ila baba akuepo akaja akaniulz brie kalud nikamwambia amelud Yuko uko ndan kwake nikamuulz mbona aujalud na baba akanijibu nmemwambia baba Ako asije nyumbn kwanza Kuna inshu nafanya kwaio amenielewa nataka nimshuhulikie uyu mbwa anaeleta wanaume zake uku ndan akabwaga pochi yake katk sofa akaanza kuita breeeee we brieeeee nikamsikia brie anaitikia beee akamwambia njoo apa brie akaja akamsalimia mama mama akanyamaza kimya Wala hakumjibu akamwambia umekua skuiz brie akajifanya anaulizia kwnn mama unaniulz ivo mama akamlushia limont😂😂😂 ikampata kwnye mkono akaulizwa Tena unajifanya umekua nakuuliza akamjibu apana mama uku anajililisha kiunafk mama akamuulz umenza tabia ya kuingiza wanaume zako umu ndan unaakili kwel ww unaingiza wanaume ndan kwangu yani ndani kwangu em sogea apa bas briela likawa linaogopa 😂😂 apo mi na Maggie tunatazmaa tu mama akamwambia njoo apa we si Malaya njoo apa akamfata akaanza kumpa makonde briela akawa Analia mama akamvuta maskio akamwambia unaingiza wanaume ndan unaacha na uchafu wako unataka mm nionekane na watu nikamsikia brie anasema mama sio Mimi unanionea iyo condom sio yangu muulize Annabell ndo anakujaga umu na kaka cliff😳😳😳😳 Mimi yani kanigeuzia Mimi kesi mungu wangu
Nikamuona mama amemuacha brie akawa ananitazama Mimi 🙆🙆 mungu wangu🙄🙄 nasemaje Sasa ......
Malizia mpaka mwishoooo wa simulizi kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005.
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.
Maoni
Click here to login and comments