Njooni niwasimulie hadithi yangu leo๐๐๐wangapi humu mliolewa na wachumba msiowafahamu?
Yani mi my wenu ndoa yangu ilikuja kama kimbunga ghafla tu shwaaa jiandae unaolewa kibaya zaidi mtu anaenioa wala sikuwa namfahamu๐
Yani maisha ya kijijini jamani๐๐๐unalala singo kesho unaamka unaambiwa jiandae unaolewa๐ด
That time nimehitimu form four wakati nasubilia matokeo nilikuwa tu home kwa wazazi wangu sina jipya nipo nipo tu..
Siku moja nimetoka zangu mizungukoni nikakuta gari kali pale nje kwetu mmhhh sisi mbona hatuna ndugu tajiri mwenye gari hili gari ni lanani๐๐
nikakimbilia ndani kuchungulia kunani๐ฉ๐ฉnimefika ndani nikakutana na ugeni mzito๐ณnikashangaaa hawa kina nani?? Kucheki vizuri nikamuona mama mchungaji wa kanisani kwetu na mama mwingine mzuri kweli..
Niliwasalimia kwa heshima na adabu kisha nikaingia chumbani ili nisikilize wanaongea nini๐mi nae kambea๐๐๐sitaki kupitwa
kwa bahati mbaya wakati nimefika ndo wageni walikuwa wanataka kuondoka nahisi walikuwa wanasubilia tu mimi nifike wanione..
Nimefika chumbani natega sikio nisikilize maongezi mara nikasikia mama ananiita Maya njoo mara moja mamangu..
Nikarudi tena sebleni walipo wageni๐ฉ๐ฉ nikashangaa wazazi wangu wanasema binti yetu sisi ndo huyu hapa jina lake ndo hilo Maya...
Mmhhh nikajiuliza mbona utambulisho kulikoni au nauzwaaa๐ฅบ๐ฅบ...mama kwani nimefanyaje๐ฐnilihoji kwa kutia huruma mpaka watu wote pale wakacheka๐
Mama akaniambia usijali binti yangu tutaongeaa kwa sasa tuwatoe kwanza wageni then tutarudi kuongeaa..
Basi bwana tuliwatoa wageni mpaka nje lilipo gari lao yule mama mwingine rafiki wa mama mchungaji akawa ananiangalia kweli..
Tulipofika lilipo gari tukawaaga yule mama akamwambia baba nitasubiria majibu yenu jamani msiniangushe...
Basi wageni waliondoka mimi hapo sielewi chochote natoa macho tu๐๐๐...
Baada ya wageni kusepa wazazi wakaniweka kitak wakaniambia oh binti yetu kwa sasa umeshakua unajua binti kama wewe kabla hujaanza kuharibika ni vyema uolewe ili ukayaanze maisha yako mapya kwa mumeo na wakwe zako..
Kama unavyojua kuolewa hilo ni jambo la kheri na baraka na pia ni furaha sana kwetu wazazi kuona binti yetu umekua na unaenda kuyaanza maisha yako mapya..
Mmhhh niliposikia zile kauli mbona kama za kuagwa kuagwa jamani๐ฐ๐ฐ๐ฐsikutia neno nikaendelea kusikiliza..
Baba na mama waliendelea kuongea mara ooh binti anapokua atapata mwenzi wake wataoana waende kuanzisha familia yao...
Khaaaa๐ฅบ๐ฅบ๐ฅบmbona siwaelewi mnaongea nini mbona siwaelewi๐ฅน๐ฅน..
Ikabidi wafunguke ooh huyo mama alokuja hapa alikuwa anatafuta binti kwa ajili ya kijana wake na amekupenda wewe hivo jiandae kwa ajili ya ndoa..
I was like what๐ง๐งmama mbona mnafanya vitu kwa urahisi hivyo๐ฅน๐ฅนkwani mmesahau natakiwa kuendelea na masomo??
Akadakia baba hata usome mpaka wapi binti yetu ni lazima tu utaihitaji ndoa..
Mama naye akasema ndoa haimzuii mtu kusoma binti yangu unaweza ukaolewa na bado ukaenda shule...
Lakini mama mshika mbili moja humponyoka๐ฅน๐ฅนalafu mama mimi bado ni mdogo kuingia kwenye ndoa kwanini mnarahisisha vitu?๐ฅน๐ฅน
Hebu kaa kimya maya๐ฅบ๐ฅบkwa udogo gani ulionao??...baba yako kanioa nikiwa mdogo kuliko wewe na bado niko nae na tuna furaha haya wewe ndoa inakushindaje kwani unaibeba kichwani??.
Wewe kaa ukijua mchumba ameshapatikana na ujiandae kwa ajili ya ndoa full stop...
Weee nililiaaaa๐๐๐ nilihisi kama wazee wanataka kuniuza fulani hivi... nilikimbilia chumbani huku michozi inanitoka ndi..
Nimefika chumbani ile nataka kubana mlango mara maza huyu hapa....
Akanitupia picha hapo kitandani akaniambia liaaa weeee ukitosheka ujiandae kwa ajili ya mwenzio picha yake hiyo hapoโน๏ธโน๏ธ..
Weeee๐๐hebu nimuone kwanza huyo mwenzangu anafananaje isijekuwa kinyago cha mpapule๐๐ nilichungulia ile picha huku nikijipangusa machozi nyieeee kuna watu wanazaa bwana๐๐
Likijana la watu kama limechorwa vile uuuwwwww hayo macho yake sasa kama ananiita vile๐๐
Wakati nalia na picha chumbani mara kwa mbali nikasikia mama anaongea na simu..
"Helloo eeh tayari binti yetu tumeshamwelezea kila kitu ye hana kipingamizi anataka tu kijana aje waonane...
Khaaaaaa๐ณ๐ณ๐ณ
itaendeleaaaaaa..
KWETU morogoro.
   
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.