Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Pyar Ho Jane Dushman

HAIZIMI 14 โคโค.

9th Aug, 2025 Views 2



ITAENDELEA......
Mpaka anafika kwenye benchi alilokuwa amekaa mwanzo hakujua kama tayari mambo yameshavulugika zaidi alikaa na kuwaza atatumia njia gani kuongea na Sister Mary, binti cheupe aliyekuwa amekaa alimwangalia Oscar na alishituka kuona bado imesimam**a tu na kwa mawazo yake alijua amemta...mani ndiyo maana alikuwa akimgusi...shia mtali..mbo wake kwa nyu...ma na kwa sauti ya chini alimwongelesha.
"Huoni hata aibu wewe kaka yaani unadi..ndish kanisani!"
"Heeeeeh!"
Oscar alijiziba na mikono yake na kumuuliza.
"Watu wameona!?"
"Kama mimi nimeona wengine wataachaje kuona!"
"Mamamamamamaa, aaaaaaaaaaah"
Pozi lilikata kwa Oscar na kiani alili...shika ru..ngu lake na kulibana kwenye mkanda wake.
"Mbigu utaisikia tu kama ndiyo tabia yako hii? yaani unasima...misha kanisa!"
"Nyie vijana acheni kuongea!"
Mzee aliyekuwa amekaa nyuma yao aliwanyamazisha hivyo walitulia na misa iliendelea na baada ya mda misa ilitamatika na macho ya Oscar yalikuwa kwa Sister Mary akisubiri atoke ili amfate kwa nyuma.

Mmoja baada ya mwingine walianza kuondoka akiwemo binti cheupe aliyekuwa amekaa karibu na Oscar na baada ya mda Sister Mary alinyenyuka na kutoka nje na Oscar alichomoka kama mshale na kumfata huku baadhi ya watu wakimtazama waliokuwa bado ndani ya kanisa.
"Mary Mary!"
aliita kwa sauti na Mary aligeuka na kuishika bibilia yake vizuri.
"Tumsifu ye***s kristo!"
"Amina!"
"Hatusemi Amina tunasema mile..le amina!"
"Aya milele Amina!"
"Nakusikiliza mpendwa katika bwana"
Utawa ulionekana kumtawala kabisa Sister Mary kama vile hawakuwahi kuzaga..muana kabisa kipindi cha nyuma.
"Na shida Mary!"
"Samahani mpendwa, ingekuwa vizuri kama ukaniita Sister Mary!"
"Mmmmmh, basi sawa nashida ya mhimu sana Sister Mary!"
Mary alimtazama kuanzia juu mpaka chini na alikumbuka alivyokuwa kasi...mamsha ndonga yake alipokuwa akienda kutoa sadaka kanisani na kwa mbali aliona ndonga yake ilivyokuwa imetuna.
"Nakusihi umrudie mungu kijana, haipendezi ku..simami..sha maungo yako kanisani"
"Kaanza mahubili tena!"
Kichwani aliwaza na kuamua kujitoa mwanga mbele ya Sister Mary akimwambia kuwa bado anampe..nda na alipomuona tu kanisani mashine ilinyoo....ka, sister mary aligoma na mda huo huo alifika sister mwenzake na kumchukua na kuondoka naye na Oscar hakuwa na namna zaidi ya kugeuka na kuanza kutembea taratibu ili akachukue usafiri mbele ya safari, ubongo ulivulugika akiwaza njia ya kumtong...za sistr mary mpaka amwingize kingi na akiwa anatembea zake taratibu kuna gari ilifika na ku&simama pembeni yake na kioo cha gari kikashushwa.
"Wewe kijana wa hovyo unaelekea wapi!?"
Oscar alipiga jicho na kumuona binti cheupe aliyekuwa amekaa naye kanisani.
"Huko mbele kutafta usafiri!"
"Panda nikusogeze tumefundishwa kusaidiana kanisa sijui kama unayakumbuka maneno ya padre au mda wote ulikuwa unawaza ngo..no tu!"
Alicheka na kupanda kwenye gari upande wa mbele na safari ikaanza.

Cheupe alionekana mwongeaji balaaa na maswali ya mtego yakutamani kujua kwanini ndonga yake ilisim...ama kanisani hayakukoma na Oscar alilopoka pale pale.
"Ulivyo mre...mbo mwanaume rija..li anaachaje sasa kudi..ndsha!, hapa penyewe ngoma imeshasoma!"
"Unakichaa wewe!"
"Sio kichaa ila ndiyo ukweli au nikuoneshe!?"
"Akhaaa utaenda kumuonesha mke..o ukifika nyumbani sio mimi!, kwanza unaitwa nani!?"
"Oscar!"
"Ndio maana una mambo ya ajabu"
"Kwanini!?"
"Kina Oscar mara nyingi mnashida vichwani na mnapenda ng..on...o sana!"
"Sio kweli!"
Oscar alibisha na maongezi yaliendelea, kimchezo mchezo Oscar alianza kumta...mani cheupe ukijumlisha na tatizo alilokuwa nalo la kudi..nda masaa 24 kila siku alijikuta mambo yakianza kuvulugika pale pale, kengere zilianza kumuuma na misuli ya mp..in iliuma mara mbili yake akihisi mtambo wake unataka kunyofoka.

Mikono yake aliipeleka iku...lu na kujishika na binti alimshangaa na kumuuliza baada ya kuona anahangika.
"Kuna tatizo gani!?"
"Imesi...ma...ma kwa mda mrefu mpaka imeumaa!"
"Eeeeeh makubwa, kwahiyo nikupeleke hospital!?"
"Acha tu!"
Alizidi kugugumia kwa maumivu makali na binti aliipaki gari yake pembeni.
"Nikusaidieje sasa!?"
"Nipeleke karibu na duka la madawa!"
Binti alikubali na kuondoa gari na baada ya mda walifika lilipo duka la madawa na Oscar alimwagiza vidonge anavyotumia.

Binti alishuka kwenye gari na kwenda kununua vidonge pamoja na maji na baada ya mda alirudi na kumpatia na Oscar alivifakamia kwa kuvimeza haraka pamoja na maji na kutulia aone kama maumivu yatakata.
"Mmmmh ugonjwa wako ni wa ajabu maana sijawahi kukutuna na mtu anaumwa huko chini kama ulivyo wewe!"
Oscar hakutaka kumwambia ni tatizo gani linalomsumbua ila baada ya mda walitengana na kila mtu alipita njia yake.

Oscar alijikuta anakuwa muumini mzuri tu wa dini ya kikri...sto ili tu amwingize Sister Mary kwenye mtego wake na alionesha kudhamilia kumrudia mungu na aliacha kum...tongoza hovyo Sister Mary, siku hiyo kama kawaida alijiandaa asubuhi na mapema kwenda kwenye misa na Vero aliongea.
"Unajua sikuelewi mme wangu!"
"Kwanini?"
"Karibu kila siku unaenda kusali kwenye kanisa la romani tena mbali kabisa ikiwa kuna kanisa jingine lipo karibu hapo!"
"Na sababu yangu Vero"
"Sababu ipi hiyo!?"
"Kidogo nikienda kusali kwenye lile kanisa mwili unakuwa sawa na sisikii maumivu hovyo"
"Mmmh aya ibada njema!"
Oscar aliondoka na alipofika kanisani alisali kama kawaida ila siku hiyo hakumuona Sister Mary na baada ya misa kuisha alimfata sister mmoja kwa ajili ya kumuulizia na kumbe mpi..ni wake ulikuwa umetu..na na sister wa watu aliachama mdomo kama kaningwa na kitu kwenye koo lake akimtazama Oscar akija upande wake............ITAENDELEA.

Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801

Namba za Malipo ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

0613083801 HALOPESA JINA JOHN
0748697173 M-PESA JINA JOHN..
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

HAIZIMI 14 โคโค.  >>> https://gonga94.com/semajambo/haizimi-14
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Pyar Ho Jane Dushman
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest