Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

๐’๐ข๐ฆ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ข: ๐Œ๐€๐…๐”๐“๐€ ๐˜๐€ ๐Œ๐€๐’๐€๐‰๐ˆ ๐€๐ข๐ง๐š: Chombezo/Maisha/Visasi/Mauaji _____________ Na hii ni sehemu ya tano.

1st Aug, 2025 Views 4


ILIPOISHIA.....
Tayari moyo wa kijana ulianza kupiga kwa kasi ya matamanio, kama vile moyo wa Madam sandra unavyopiga kwa kasi baada ya kupokea picha ile yenye ujumbe wenye utata.
Mioyo hii miwili mmoja wa hofu, mwingine wa hisia za mapenzi.

SASA ENDELEA....
Madam Sandra aliendelea kuitazama ile picha aliyokabidhiwa na yule mtoto asiyemfahamu. Alikuwa bado hajapata majibu. Macho yake yalikuwa yamejaa mshituko, na moyoni wingu zito la hofu lilikuwa linamzonga. Aliishika ile picha kwa vidole vyake vya upole, akaipindua na kusoma tena yale maandishi
"Yuko wapi?"

Alijikuta akitetemeka kwa hofu. Mapigo ya moyo wake yalikuwa kama ngoma ya vita kwenye filamu ya kituruki. Bila kupoteza muda, alichukua simu yake na kumpigia rafiki yake wa karibu, nani mwingine kama sio Dkt Marry. Ilikuwa ni kawaida kwake kumweleza mambo yanayomsibu. Alipiga zaidi ya mara moja simu haikupokelewa.

โ€œKwa nini hapokei?โ€ aliwaza kwa sauti ya ndani, akiiangalia simu kana kwamba ingetamka jibu. Hakujua kuwa kwa wakati huo Dkt Marry alikuwa bize sana na mgonjwa wake Onesmo, wanatibiana.
______________

Tayari Onesmo na mjomba wake walikuwa wameshafika nyumbani kwa Dkt Marry. Mara tu walipowasili, Dkt Marry alitoka kwa bashasha kuwakaribisha. Akafungua mlango huku akitabasamu.
Dkt Marry alivaa gauni fupi la bluu bahari. Pamoja na ufupi wa gauni hilo lakini bado lilikuwa na mpasuo unaofika karibu na kiuno chake. Paja lake likawa wazi. Mjomba P alishindwa kumtazama kwa muda mrefu. Akaogopa shemeji yake kumtia majaribuni.
Waliingia ndani akawakaribisha katika ukumbi mpana wa nyumba yake.

"Broh yuko wapi?" Aliuliza Mjomba p.

"Kaenda kazini, muda huu huwezi kumpata nyumbani"

"Aah! Lakini si yuko likizo?"

"Hahaha anakuwaga na likizo basi, si unamjua lakini. Hakaliki yule..."
Baada ya stori kidogo Dkt Marry akasimama

โ€œNaomba dakika chache tu, nikamchome sindano mgonjwa wangu" Dkt alieleza kwa utulivu, huku akimshika Onesmo mkono na kumpeleka chumba kingine.
Mjomba p akawaacha waende wala hakuwa na pingamizi akajua mgonjwa anakwenda kutibiwa.
Lakini badala ya kuelekea kwenye chumba cha kawaida cha matibabu, walijikuta wakielekea jikoni.

โ€œmbona jikoni tena Dokta?โ€ Onesmo aliuliza kwa mshangao.

โ€œHiki ndio chumba salama zaidi. Mjomba wako hawezi hata kuwaza kama nitakuleta hapa" alijibu Dkt Marry huku akimkodolea macho Onesmo kwa namna ya kuvutia.

"Nimekumiss sana, tangu ile jana nakuwaza wewe tu Onesmo..."

"Sasa mbona hukuniambia kama kuna habari za dozi za sindano, mjomba kanishtukiza tu ujue"

"Nimepata hilo wazo asubuhi kipenzi! Nikawaza nakupataje tena kama sio kusingizia sindano"

"Mmmh! Dokta unamambo"

"Hata ungekuwa wewe ungetaka tena, sio kwa utamu ule wa jana. Au wewe hujamiss"

"Ndio maana niko hapa Dr"

"Haya tufanye chapu kabla mjomba wako hajashtuka..."

Ndani ya sekunde chache, alinyanyua gauni lake taratibuโ€ฆ na hapo ndipo Onesmo alipogundua kwamba Marry hakuvaa nguo yoyote ya ndani. Mwili wake mtupu ulijitokeza kwa mvuto wa ajabu mweupe, laini, wenye harufu ya asili na uzuri usioelezeka.

Onesmo alitoa macho ya matamanio makubwa. Hisia zilizokuwa zimelala ndani yake zilianza kuamka kwa kasi. Walikumbatiana upesi midomo yao ikakutana. Walinyonyana mate kwa fujo na kupapasa miili yao kwa kasi kama wapenzi waliokutana mara ya mwisho miaka miwili iliyopita.

Onesmo alipitisha vidole vyake taratibu kwenye eneo la ikulu ya Dkt Marry. Wakati Onesmo kiendelea kuchezesha vidole vyake eneo la chini la Dkt Marry yeye aliendelea kumnyonya kila sehemu ya mwili wake, akifanya kazi hii kwa ustadi wa kipekee, kana kwamba alizaliwa kwa kazi hiyo.

Dkt Marry akiwa amelegea karibu viungo vyote vya mwili wake alijiegemeza kwenye kabati la vyombo, akalishikilia na kuinama taratibu. Onesmo hakuchelewa akashika rungu lake akasogea na kuanza kulipitisha taratibu juu ya makalio makubwa ya Dkt Marry. Wakati huo aliendelea kumchezea eneo la chini kwa vidole vyake. Tayari mwanamke alishalowa mda mrefu. Taratibu akaingiza rungu lake kubwa katikati ya ikulu ya Moto ya Dkt Marry. Akaanza kusukuma na kutoa taratibu huku akiongeza kasi kadri muda ulivyosogea. Dakika mbili baadae alichochea moto na kuongeza spidi.
Dkt Marry alitoa miguno ya kimahaba huku akiachama mdomo wake na kulitaja jina la Onesmo kila mara. Dozi ya asubuhi hii inakuwa kubwa kuliko ile ya usiku pale hospitali.
Alipochoka kuinamba Dkt Marry alilala chali sakafuni kisha akachanua miguu yake. Onesmo akasogea na kumlalia kwa juu, akaingiza rungu lake na kuendelea kuchochea moto wakitumia staili hii pendwa tamu isiyo na mambo mengi.
Wakati huu wote, simu ya Dkt ilikuwa ikiita kwa mbali. Madam Sandra alipiga na kupiga tena lakini simu haikupokelewa. Akiwa ndani ya gari lake, moyo wake ukiwa umejaa mchanganyiko wa hofu, maswali na wasiwasi.

Mjomba P naye, aliyekuwa ameegemea kwenye sofa sebuleni, alianza kuona muda ukizidi kwenda. Alisimama, akaanza kumuita Dkt Marry. Akawa anazunguuka kwenye milango ya vyumba tofauti tofauti akiita.

โ€œDkt? Kwema? Mbona kimya?โ€ aliita huku safari hii akisogea kuelekea upande wa jikoni.
Sauti yake ikawafikia Onesmo na Dkt Marry jikoni.
Kwa haraka, Dkt Marry alijilegeza kutoka kwa Onesmo, akavaa haraka huku akijipangusa uso wake kwa kutumia mtandio. Alijitahidi kutabasamu, japo pumzi zilikuwa zinamuishia, jasho kidogo usoni.
Akatoka jikoni kwa haraka, akamkuta Mjomba P mlangoni.

โ€œOh, pole shem. Onesmo kapumzika chumbani kule, Sindano ilimpa shida kidogo. Nimeamua kuja kupika chakula kidogo angalau ale apate nguvuโ€

โ€œAh, sawa. Kwa hiyo yuko wapi nikamuone?โ€ mjomba alijibu huku akijaribu kuangalia upande wa jiko.

"Kwa sasa amelala chumba cha wageni usijali ngoja nipike chapu utamuona shem" Dkt Marry akaendelea kudanganya.
Mjomba p hakuwa na maswali zaidi akaondoka kurudi sebuleni akaendelea kuangalia Tv.

Dkt Marry alirudi jikoni. Onesmo naye alikuwa bado amepotea kwenye dimbwi la ashki. Alisimama mbele ya kabati akiwa mtupu anamsubiri Dkt Marry.

"Ni nani anko au?" Aliuliza Onesmo akiwa na hofu kiasi machoni.

"Eeh kwani unamuogopa...!?"

"Aah! Dokta nitaachaje kuogopa"
Dkt Marry akatabasamu huku akichuchumaa mbele ya Onesmo. Akashika rungu lake na kuanza kulisugua taratibu kwa viganja laini vya mikono yake.

"Haya njoo basi unipe mara ya mwisho wakati nawapikia hapa?"

"wakati unapika tena, kivipi!?"

"Sogea..." Alisema Dkt Marry huku akiandaa upesi vyombo na nyezo nyingine muhimu za mapishi. Akavuta kiti na kuweka juu mguu wake mmoja. Akapandisha juu gauni lake, akainama kidogo. Onesmo hakutaka kuuliza nini afanye, tayari mshawasha wa mapenzi ulikuwa juu hasa baada ya kuona pozi hili lenye mtego wa haja kutoka kwa Dkt Marry. Akasogea na kumshika kiuno kisha kuchomeka rungu lake kwa nguvu. Kazi ikaanza upyaaa...!
Sauti za miguno ya mahaba zikashika kasi wakati Onesmo akiendelea kushughulika Dkt Marry akawa bize na mapishi huku akisikilizia radha ya msuguo wa nguvu kutoka kwa Onesmo. Mwanamke amekubuhu huyu.
Simu ya Dkt Marry ikaendelea kuita mfululizo, Madam Sandra akapiga na kupiga tena lakini wala haikupokelewa. Mwisho akaandika ujumbe huu wa maandishi.

,,,,,Hupokei simu kuna jambo haliko sawa ni kuhusu lile swala tulilifanya mwaka juzi, nipigie haraka,,,,,,

Kutokana na sheria ngumu za FACEBOOK ambao mara nyingi hawaruhusu simulizi za chombezo wanaweza kuifuta au kuizuia simulizi hii kuendelea, ili kuhakikisha unaendelea kusoma hakikisha ume-follow channel hii ya WhatsApp bonyeza link hapa chini. Au nicheki kwa namba 0756862047.
https://whatsapp.com/channel/0029VaylcIKAInPiI2v4Cc0R

Unaweza pia kusoma vipande 20 kwa tsh 700 tu. Karibu. 0756862047.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐’๐ข๐ฆ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ข: ๐Œ๐€๐…๐”๐“๐€ ๐˜๐€ ๐Œ๐€๐’๐€๐‰๐ˆ ๐€๐ข๐ง๐š: Chombezo/Maisha/Visasi/Mauaji _____________ Na hii ni sehemu ya tano.  >>> https://gonga94.com/semajambo/simulizi-mafuta-ya-masaji-aina-chombezo-maisha-visasi-mauaji-_____________-na-hii-ni-sehemu-ya-tano
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 03

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 02

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 01

majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest