Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

PENZI LA MUBABA ❣️ 6

31st Jul, 2025 Views 44



Nilishtuliwa na sim ilikuwa inaita kutizama muda tayari saa kumi na moja na nusu

Na aliekuwa anapiga alikuwa daddy Henry nikaipokea

Haloo daddy Henry nimesha amka tayari

Alijibu safi haya jiandae na uwahi basi sasa

Nilimjibu ok naenda kuoga chapu kwa haraka

Henry alicheka na kuniambia vizuri ngoja nikate sim nisiku cheleweshe

Niliingia bafuni na kuoga kisha nikatoka na kuvaa na baada ya hapo nilibeba kibegi changu kidogo mgongoni niliweka nguo na laptop yangu

Kisha nilibeba kichupa changu cha juice na niliondoka huku nikinywa napenda sana juice inayo tengenezwa na mamaangu

Nilichukuwa boda sikuwaamsha hata mama nikaondoka mbio na boda hadi stand

Nilipofika nilikuta gari ndio linajiandaa kutoka kulikuwa na siti moja tuu nikaingia na hapo hapo lilianza safari

Niilimtumia msg Henry na kumuambia nipo njiani tayari safari nimeianza

Alinijibu nakutakia safari njema rafiki nakusubilia

Nilijibu asante nitafurahi sana kuwa nawewe hapo

Alicheka na kujibu ok sawaπŸ˜‚mimi pia

Kisha nilimtumia msg mama ndio naanza safari kuwa na amani kip.nzi chako kakuwa sasa usiogope

Tulitembea muda kidogo tulifika sehem tukaruhusiwa kuchukua chakula na wenye kwenda kuchimba dawa waende

Nilishuka na kwenda kuchukuwa vitu vikavu kama viazi chips na nyama mishikaki

Kisha nililudi kwenyegari na kuendelea na safari niliingia dodoma mida ya jioni sana

Daddy Henry alikuwa kituoni ananisubilia na gari yake niliposhuka tuu nikamuona

Nilimkimbilia na kumrukia kwa kumuhagi huwezi amini nikama nilijuana nae miaka mingi

Akanikumbatia nae alishindwa kujizuia kisha alinishika mkono na kunifungulia mlango wa gari kisha nikaingia

Akaniuliza umetembea sarama sio

Nilimjibu hakika niko sarama kabisa vipi wewe

Alinijibu niko poa kabisa nilikuwa nimemisi kukuonatuu

Kisha tulicheka kwa furaha πŸ˜‚wote tulielekea hotelini alipofikia yeye na kumuomba muhudumu anipatie chumba na mimi

Nilipewa funguo ya chumba ambacho kilikuwa jirani na chumbani kwa Henry

Walinipeleka hadi chumbani na kupakagua na muhudumu kisha muhudumu aliondoka na kuniacha na daddy Henry

Kisha Henry aliniambia haya sasa naomba nikuache ujiandae twende tukale nipo chumba chapilituu

Nilimuitikia sawa kisha aliondoka namimi niliingia bafuni kuoga baada hapo nilitoka nikavaa na kisha nilienda kumgongea Henry

Daddy Henry alinifungulia na kuniambia karibu akaniambia namalizia kuvaa tuondoke

Alitoka kifu.a wazi jamani asikuambie mtu kifu.a chake sasa kinavutia hatari

Alienda na kuchukuwa tishet na kujipulizia mapafyum kisha akaniambia twende tukapate chakula cha jioni

Tulienda restaurant ya hapo hapo hotelini tulikaa na kuletewa menu

Tukachagua na kisha kililetwa chakula tulikula nilikuwa nafuraha mnoo kuwa karibu na Henry

Tulipo maliza tuliludi chumbani Mr Henry aliniambia njoo chu.mbani kwangu tupige story kabla ya kwenda kulala au umechoka sana

Milimjibu hapana niko sawa alini.shika mkono na tuliingia chum.bani kwake tulipofika

Daddy Henry alikaa kitandani mimi nilikaa kwenye sofa na TV tuliwasha

Daddy Henry alianza natamani ningekuwa karibu na binti yangu unanikumbusha yeye muda mwingi anapenda kuwa karibu yangu

Nilicheka na kumuambia chukulia mimi ndio yeye

Daddy Henry alicheka πŸ˜‚na kisha aliniambia nimkubwa kwako

Ila sio mbaya nikimkumbuka nitakuwa karibu nawewe tuu kama hivi nampenda sana na dio maana naku.penda sana Lisa

Nilishtuka kusikia hivyo kisha nilijiweka sawa maana nikama kaugusa moyo wangu

Tukaanza kupiga story mbali mbali

Lakini nilikuwa namkwepa kumtizama machoni hata yeye aligundua hilo hivyo alikuwa ananivizia

Akaniuliza Lisa samahani kwa swali unampnzi tayari

Nilimjibu huku nikitizama chini hapana sina mpnzi yaani nilikuwa naona aibu sana niukweli mapigo ya moyo pia yalikuwa yanaenda kasi

Daddy alicheka na kuniambia vizuri ukipata mpnzi utaniambia Daddy wako

Ila kwajinsi ulivyo na aibu hivyo sizani kama utaniambia wewe kisha alicheka Daddy Henry πŸ˜‚

Nilimjibu sawa huku nikitizama chini

Henry akaniambia ninafuraha sana hivyo tunaweza kwenda kucheza mziki chini hapo wanapiga live bend

Nilimjibu sawa haina shida nitaenda nawewe

Akaniambia haya nenda ujiandae kisha tukutane hapo chini sawa

Nilimjibu ok sawa nikasimama

Akaniambia jitahidi upendeze sana kuzidi woote wewe nimtoto wa dar bwana

Nilicheka tu πŸ˜‚na kuondoka nilienda chumbani nikafungua bag langu na kutoa nguo

Kisha mecap na baada ya hapo nilivaa na kisha nilifanya mecap vizuri na kuvaa kiatu changu kirefu hatari

Na nilivyokuwa mwembamba na kijishep chauchokozi

Niliziachia raster mgongoni gauni nilioivaa ilikuwa fupi sio ndefu hakika nilijua kupendeza sikuhiyo

Nikatoka hadi kule bend inapiga watu walikuwa wengi na walikuwa wanacheza mziki

Nilipofika nili washangaza watu woote waligeuka kutaka kujua nani huyo

Hadi daddy Henry alitoa macho na huku akijisemea hakika binti huyu nimrembo sana

Alibaki akishangaa nilikwenda hadi kwake na kumshika mkono

Alibaki akishangaa nikamuita daddy Henry

Alishtuka na kuniita Lisa

Niliitika naam nimimi Lisa

Alijiongelea mwenyewe ila aliongea kwa sauti bila kujua

Alisema hakika wewe nimrembo sana

Nilismail 😊tuu na kumshika asante daddy Henry

Alishtuka na kuniambia tunaweza kucheza mziki kidogo

Nilimuitikia na kumuambia sawa tunaweza kucheza

Alinishika vizuri kiu😁😁no na mimi nilimshika begani asikuambie mtu nilijiona tayari ameshakuwa wangu Mr Henry

Watu walitushangaa kutuona tunacheza mziki kwani tuliwavutia sana wengi

Hakika daddy Henry alikuwa na furaha mno tulipochoka kucheza tulikaa na kuagiza vinywaji

Daddy aliniambia usinywe pombetuu nilimjibu sawa siwezi kunywa tukawa tunapiga story na kucheka kwa furaha pia tulikuwa na furaha sana kusikiliza muziki... sasa bwana ukafika muda wa kwenda kulala🀣🀣🀣

Endelea kufuatilia........

Full 1000
WhatsApp 0742133100.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MUBABA ❣️ 6  >>> https://gonga94.com/semajambo/penzi-la-mubaba-6
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest