Yani baba kule akafoka sana mpaka wale walioniluusu mimi wakaona moto umewaka sasa si mchezo baba akafunguka aliyoyaficha yani mnataka mwanangu aolewe na chizi yani nimefanya mpango wa kumleta hapa mmefanya udhembe kaludi kwa chizi unafikiri kashajuwa nilimuongopea sasa si atamwambia chizi wake kuwa mimi muongo unajuwa chizi asira zake kampiga mbabe wa kijiji hapa itakuwa mimi kimbau mbau mmefanya nini nyinyi.
Akatokea mzee mwengine akasema kwani chizi si mtu mpaka umziaki ivyo ukisikia Tanzania tupo watu milioni 60 ujuwe na machizi wamo kwenye iyo hesabu ushawai kusikia lina hesabu idadi ya machizi au ushawai kuona makabuli ya machizi.
Baba akasema acha maneno ya kijinga mbona machizi wana wodi yao osp inaitwa milembe.
Yule mzee akasema acha kutoa mifano ya kijinga ata uko osp kuna wodi ya wagonjwa wa vidonda miguu na mambo kadhaa kutengewa wodi ni maladhi yakusumbuayo ndio maana kuna wodi ya moyo na kz.
Sasa nikuulize ushawai kusikia leba ya machizi??
Baba na yeye akasema ushawai kusikia chizi wa kiume ana mtoto nakuuliza??
Yule mzee akasema sijawai kusikia ila nimeona kwa macho yangu chizi wa kiume kampa ujauzito mwanamke naomba uhai mrefu nione uyo mtoto.
Baba akauliza umeona wapi??
Yule mzee akajibu si mwanao namaana unajisaulisha tena wewe una tabia mbaya sana yani mwanao alikuwa anakula kitu roho inapenda umeenda kumtoa umemleta uku aolewe na uyu binamu si kwamba anampenda mwanao uyu kasukumwa na tamaa ya kingono tu ana lolote.
Baba akasema naona heshima INASHUKA naomba muondoke hapa kwangu.
Wakaondoka.
Upande wa babu akampigia simu mama mkwe akamwambia kuwa chizi kaja kutekwa ila baba yake ndio kawatuma wamlete mjini.
Mama mkwe akachanganyikiwa akampigia simu baba mkwe akamwambia kama umemteka mwanangu na unataka ukamchome sindano ya kumvunja nguvu za kiume tutaonana wabaya umeelewa uyo ni mwanaume anaitajika kuwa na family yake na amlidhishe mkewe sasa chonde chonde tusije tukatangazwa magazetini mwanangu adindi ba wewe nakuvunja mwenyewe kwa mikono yangu nguvu za kiume wote muwe na vikojoleo sio vifanyio sawa yani sikubari.
Baba mkwe akasema wewe umekosa adabu unafikiri kama wanawake washaanza tabia ya kusingizia machizi watoto hapo tutakuwa na wajukuu wangapi si kila mtu atasema ana mimba ya uyu chizi nasema ivi naenda kumpiga sindano kwa usalama wa afya yake na kwa kukata watoto watakao kuwa wanamsingizia sitaki naenda kumpiga sindano.
Mama mkwe akasema umpige sindano ili asifanye wamfanye si ndio unamaanisha??
Baba mkwe akasema wewe mwanamke ushakuwa chizi kama mwanao au mbona unaongea maneno ya kijinga sana yani mimi nisababishe mwanangu aliwe.
Mama mkwe akasema sasa unapoenda kumvunja nguvu za kiume asifanye wewe unataka afanyeje si aliwe.
Baba mkwe akasema mke wangu punguza ukari wa maneno sijapenda izo kauri zako usiludie tena nimekwambia.
Mama mkwe akasema naludia tena mwanangu akiliwa na wewe lazima uliwe.
Baba mkwe akakasilika akamfata sasa nyumbani alikuwa osp anamsubili chizi sasa kapanda asila kaja nyumbani mama mkwe aliacha mlango wazi baba mkwe alipoingia akatoa simu akaweka pembeni nia yake ampige mama mkwe akavua fulana sasa.
Sasa fulana ilivyokuwa imeziba USO wakati inavuliwa mama mkwe alichukua simu ya baba mkwe akatoka nje akamfungia kwa ndani.
Mala simu inaita mama mkwe anapokea wale jamaa washafika osp.
Mama mkwe anasema mleteni nyumbani baba yake kashikwa na tumbo la kuara.
Wale jamaa wakasema dah sijui itakuwaje maana tulitegemea hapa osp apigwe sindano ya kulegezwa kwanza maana jamaa ana nguvu nyingi sana.
Mama akasema nyinyi mleteni tu ana shida akaniona mimi.
Wale jamaa wakasema poa.
Baba mkwe akasema yani wewe naomba uyo mwanao akubake kwanza ndio utajuwa kwanini hao machizi wanachomwagwa sindano yani wewe umenifungia mimi ndani.
Mama mkwe akasema tulia nimealibu nia yako ulitaka umfanye mwanangu kitu kibaya sana yani wewe ushamkatia tamaa kwamba atapona atakuwa chizi milele kazaliwa na uchizi uyu mpaka umkatie tamaa yani ukamvunje urijali wake.
Mala gali imefika mabaunsa wakamfungulia chizi chizi akasema nyinyi sio kwamba niliwashindwa sema muliposema mmetumwa na baba wakati mnamwambia babu ndio kilichowaponya nyinyi bila ivyo ningewaua wote akuna mse..yoyote anayeniweza hapa mimi sio chuma munyanyue vyuma akili zenu ziliweza kuwadanganya mnaweza kuninyanyua mimi.
Lengo lilikuwa nije kumsikiliza baba alikuwa anasemaje sasa kumbe nia yake mimi nanii yangu isisimame mwambieni ama zake AMA zangu asinifatilie nitamnyonga adhalani nasema tena nitamnyonga adhalani naludi kijijini kwa mguu kumfata dear dear dear wangu.
Mabaunsa washalipwa mda mlefu.
Wakaondoka zao.
Mama anamwambia mumewe umemsikia mwanao ndio uyo anaondoka aki amungu naenda na mwanangu kijijini kwa mguu anamfata mchumba wake naenda nae.
Akampa jamaa funguo amfungulie mumewe yeye anamkimbilia mwanawe anaenda kijijini kunifata mimi.
Na baba mkwe alipofunguliwa akawa anamkimbilia mkewe.
Sasa mimi nashuka kwenye basi namuona chizi nikamwita sijajali wingi wa watu nilimwita dear dear dear.
Akageuka akanikimbilia akanikumbatia akasema dear dear dear.
Chizi chizi tu akanipa mdomo mbele za watu nikajikuta nampa ushilikiano.
Mama yake mzazi anafika akashika kichwa baba yake mzazi na yeye akashika kichwa.
Chizi alipomuona baba yake akadilisha sura sasa akawa amekasirika anaunguruma kama simba mmm nikasema anaua Leo yani....
Offfer. Leoo kwa 2000
Tu unapata simulizi tatu
Whatsapp 0657171961
KWETU morogoro.