_Tulipo ishia_ π
alikuwa anaangahika kulitoa tu kwa nje ya suruali.
*Endelea nayo* π
"Japhet naomba unitimizie mwenzio nna hali mbaya hapa nilipo, na ukikataa nitapiga makelele kwa majirani kuwa unataka kunibaka" alisema Rozi kwa sauti ndogo iliyopoa lakini ikiwa na msisitizo.
Japhet alibakia ameduwaa asiamini kabisa hiki anachokisema Rozi hapa!.
**************
"Japhet naomba unitimizie mwenzio nna hali mbaya hapa nilipo, na ukikataa nitapiga makelele kwa majirani kuwa unataka kunibaka" alisema Rozi kwa sauti ndogo iliyopoa lakini ikiwa na msisitizo.
Japhet alibakia ameduwaa asiamini kabisa hiki anachokisema Rozi hapa.
"Lakini kwanini unanifanyia hivi Rozi, nimekuambia sina hisia kabisa na hicho kitu mbona haulewi lakini?" Japhet aliuliza. Rozi akacheka kidogo kicheko cha kebehi halafu akasema: "Kumbuka lakini uliniahidi nini pale mwanzo, si uliniambia kuwa akiondoka Shemeji yako utanitimizia?" Rozi na yeye pia aliuliza.
"Sawa nakubali kama nilikuahidi hivyo, lakini naomba unihurumie mwenzio niliyoyafanya jana mchana na wewe pamoja na Shemeji Flora usiku kiukweli yameniacha hoi sana" Japhet alijitetea.
"Jana usiku nilipata wakati mgumu sana wakati nilipowachungulia chumbani mkifanya yenu, sasa na mimi leo nataka" Rozi alisema kwa msisitizo huku akiwa bado amemkalia Japhet juu ya mapaja yake. Kijana Japhet akaona huu sasa ni mtihani tena sio mtihani mdogo.
"Basi sawa Rozi nimekuelewa, naomba tufanye usiku saa hizi naomba uniache nikusanye nguvu na nijiweke sawa kihisia" Japhet alisema kwa kutia huruma.
"Hapana Japhet siwezi kusubiri hiyo usiku, najua dada Flora atakaporudi hapa nyumbani atautaka tena huo utamu wako usiku sasa bora nikufaidi mapema" alisema Rozi na kuanza tena kulazimisha kumla denda kijana huyo. Japhet akaona hapa sasa leo amepatikana hana tena ujanja wa kujinasua na huu mtego wa huyu binti (Rozi) anayeonekana kuelemewa na kupagawa kwa Mahaba.
"Ngoja tu nimridhishe kwanza, halafu ndio nitafanya mpango wa kuondoka hapa" alijisemea Japhet kwa sauti ndogo ya moyoni. Taratibu akajikuta anatoa ushirikiano kwa Rozi akaupokea mdomo wa binti huyo na kuanza kunyonyana denda huku mikono yake ikiupapasa mwili laini wa mtoto huyo wa kike.
"Ooooshiii Japhet nakupenda mwenzio usiniache jamaniiii" Rozi alisema huku akiweweseka na kujinyonganyonga juu mapajani kwa kijana Japhet.
Japhet tena hakuwa na muda wa kupoteza akaushusha mdomo wake mpaka shingoni kuwa Rozi na kuanza kuanza kumlamba kwa kutumia ulimi wake akishukia maeneo ya kifuani yalipo madodo mazuri ya binti huyo. Rozi alikuwa yupo hoi bin taabani kwa wakati huu alifumba macho yake kwa hisia kali huku akiinua kichwa chake juu akiangalia darini. Japhet baada ya kuufikisha mdomo wake hapo kifuani kwa Rozi akakutana na chuchu ngumu zilizokuwa zinasubiria tu kunyonywa. Basi bila ya kupoteza muda kijana huyo akaanza kuyalamba madodo hayo taratibu na mwishowe akayabugia kabisa mdomoni mwake na kuzimung'unya chuchu zake kama vile anamung'unya pipi ya kifua.
Hapo Rozi mizuka ikampanda akazidi kumkumbatia Japhet kwa nguvu kifuani kwake na kukikandamiza kwa nguvu kichwa cha kijana huyo hapo kwenye madodo yake alijisikia raha sana alivyokuwa ananyonywa chuchu zake na Japhet.
"Japhet nipee utamuu kakaa nipeee jamaniii mwenzio nimezidiwaa jamaniiii" Rozi alizidi kuweweseka kwa Mahaba.
Japhet sasa akaingia mzigoni rasmi akamvua sketi yake aliyovaa taratibu pamoja na Chupi yake na kumuacha mtupu kabisa binti huyo akamlaza kwenye kochi sebuleni hapo halafu na yeye akaondoa Suruali yake na T-shirt pamoja na boksa akavitupia pembeni bila ya kushangaa Mwanaume akampanua mapaja yake na kuliΓ§homeka 'Gobole' lake ndani ya 'K' ya Rozi na kuanza kulipampu kwa kusugua nje na ndani yaani kwa kulichomeka ndani na kulitoa nje 'Gobole' hilo na kumuacha binti wa watu akipiga makelele ya Utamu aliousikia.
Basi mpaka mwisho wa mchezo wakajikuta wamemalizana hapohapo sebuleni huku kila mmoja akijisikia ameridhika na huduma waliyopeana.
"Baby ahsante sana nashukuru kwa burudani yako nzuri uliyonipatia" alisema Rozi huku akitabasamu na kumlalia kifuani kijana Japhet. "Na mimi pia nashukuru, nna imani sasa umeridhika?" Japhet aliuliza huku akichezea nywele za binti huyo zilizokwa vizuri kichwani mwake. "Mmh kusema ukweli wangu nimeridhika kabisa kutoka moyoni, lakini kuna jambo moja tu ambalo ndio sijaridhika nalo" alisema Rozi. Hapo Japhet akashtuka sana na kumuuliza:
"Ni jambo jambo gani tena hilo mpenzi wangu?" Japhet aliuliza kwa umakini.
"Kuhusu wewe kufanya mamboz na Shemeji yako, hivi naomba kujua ni lini mmeanza huo mchezo?" Rozi aliuliza.
Japhet akashusha pumzi ndefu halafu akasema: "Yaani Rozi hauwezi kuamini ni Jana tu usiku ndio tulianza pale alipokuja kujigongea mlango wa chumbani" alisema Japhet. "Mmh ilikuaje sasa mpaka mkafikia hatua hiyo, augopi kama yule ni mke wa kaka yako?" Rozi alizidi kuhoji. "Najua kama yule ni Shemeji yangu na hapa nilipo najutia sana, lakini kwa mazingira ya Jana ilikuwa ngumu sana kwangu kumuepuka" Japhet alisema na akaanza kumsimulia Rozi mambo yote jinsi yalivyokuwa mpaka yeye akajikuta anafanya mamboz na Shemeji yake Flora.
"Duuh kweli hapo una kazi ngumu sana ya kumuepuka, najua atakusumbua sana" alisema Rozi kwa unyonge na wivu.
"Yaani we acha tu na leo usiku ameniambia atanijia tena na kuhitaji tufanye tena mamboz kwa mara nyingine" alisema Japhet. "Kwahiyo na wewe upo tayari kufanya naye mamboz tena?" Rozi aliuliza kwa kukasirika kidogo.
"Hapana sipo tayari hilo jambo litokee tena, nina mpango wa kuondoka hapa ndani ya hii nyumba kabla mambo ayajawa mabaya zaidi na kaka yangu akajua" Japhet alisema. Rozi akashusha pumzi na kuuliza: "Una mpango wa kwenda wapi Japhet, na vipi kuhusu mimi na wewe ina maana ndio basi tena?" Rozi alimuuliza Japhet huku akimuangalia usoni. Japhet akakohoa kidogo na halafu akasema: "Yeah itabidi iwe hivyo, kwani nina mpango wa kurudi nyumbani kwetu Dodoma kwa wazazi" alisema Japhet.
"Hapana Japhet usifanye hivyo tafadhali, ukiondoka utaniacha na maumivu makali moyoni mwangu kwani mwenzio tayari nilishajihesibia nimempata mpenzi wa kudumu ambaye ni wewe halafu tena unataka kuniacha peke yangu kwanini?" Rozi aluliza kwa uchungu huku machozi yakianza kumtiririka kwenye macho yake.
"Sasa Rozi unafikiri nitafanyaje hapa ili kumuepuka huyu Shemeji yangu?" Japhet aliuliza huku akimfuta Rozi machozi kwa kutumia viganja vyake vya mikono.
"Hapana Japhet kwa hilo la kuondoka wewe na uniache mimi peke yangu sikubaliani nalo, kama vipi tutaondoka wote" alisema Rozi kwa msisitizo.
Japhet alishangaa sana halafu akauliza:
"Uondoke na mimi kwenda wapi, na vipi kuhusu kazi yako unayoifanya hapa?" Japhet aliuliza huku akimkazia macho Rozi. "Nitaenda na wewe huko kwenu Dodoma unapotaka kwenda, na hii kazi hapa nipo tayari kuiacha sitaki nikupoteze Japhet wangu" alisema Rozi kwa hisia.
Japhet akabakia anakuna kichwa chake na kujisemea moyoni mwake: "Duuh na huyu binti naye ameniganda sijui hata nitafanya nini" alijisemea Japhet.
"Basi sawa nimekuelewa mpenzi wangu, twende bafuni tukaoge halafu upike chakula tutalijadili hili jambo vizuri hapo baadaye" alisema Japhet na baada ya hapo wakainuka kwenye kochi hapo sebuleni na kuelekea bafuni kuoga.
Japhet kichwani mwake alikuwa na wazo moja tu la kuondoka hapa nyumbani kwa kaka yake ikiwezekana hata kutoroka ikibidi. "Na huyu binti naye nitamtoroka, siwezi kuondoka naye halafu nikaonekana nimemtorosha na ikaja kuniletea matatizo hapo baadaye" alijisemea moyoni kijana Japhet huku wakiingia bafuni kuoga wakiwa wamekumbatiana kwa Mahaba.
*ITAENDELEA* ππ¦ποΈ
Full story sh 1000
Njoo WhatsApp 0781858056.