Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

MJEDA TARATIBU BASI* *SEHEMU YA SITA*

27th Jul, 2025 Views 69



Hii ilimshangaza sana, mshkaji wake, kulikoni Kuna tatizo Gani? Alijikuta akilia bila kujizuia tena, alishindwa kabisa kumweleza mwenzio kipi kafanya, aliamua kuweka Siri, nilikuja kupata fahamu nikiwa nimezungukwa na familia yangu, tena saa 12 asubuhi, Kila mtu kavimba macho Kwa kuliani watatu tu hawakuwepo...

Kumbe walitoka kwenda kumtafuta mjeda, hawakumpata waliludi Kila mtu na lake kichwani, niliamka nikiwa na aibu na maumivu makali mno, tulikaa tukilia tu wote, kulivyokucha tu mjomba alitoka, akaja na dawa za maumivu nilimeza nikalala, ibu alijikaza akaingia kupika...

Lakini watu wote hakuna alieonja hata kidogo, mke wa mjomba aliludi jioni yake akakuta watu wako kimya, wanahuzunihakuna ata mmoja aliemchangamkia, na ni ajabu kuwakuta wote nyumbani, alihisi tu Kuna shida kubwa Cha kwanza alitizama watu wote wapo lakini Mimi na ibu hakutuona, alianza kulia bila sababu...

Akuna aliejisumbua hata kumnyamazisha ndo kwanza wengine wakaungana nae, hapo sasa anty akajua kabisa humu ndani Kuna msiba ama kuna mtu kapotea,alizimia bila kujua hata ni nini kinaendelea, na wote ambao hatuoni ndo watoto pendwa kwake, Yaani mpaka sisi tunajua mimi na Ibu tunapendwa mno, japo ndo wafanya makosa mashuhuli kuliko wote...

Mimi na Ibu tukiwepo mama lazima apige kelele, ila ndo vipenzi vyake sasa, yaani hata kama tutakosea usituguse ila yeye anatukunja kila siku, alizimia ikabidi wampepee alivyozinduka tu akaanza tena, wakajua tu uyu ajaelewa ikabidi wawahi kumleta chumbani atuone kabla hajazimia tena, ila anty Kuona anapelekwa chumbani tena kwangu akajua mama naenda kuonyeshwa mwili wa binti yangu, pressure ikapanda....

Apo apo na kuzima hali ilikuwa mbaya, mimi kusikia sauti ya mama alafu ghafra ikakata nikatoka nduki na maumivu yangu, kufika mlangoni mama alizima tena vibaya nikawaambia tumkimbize hosptal...

Tulimkimbiza mama hosptal wakamwanzishia huduma, pamoja na maumivu yangu ilibidi nibaki na mama nikiwa na Ibu tuliwaomba madoctor wakakataa ikabidi tumpe rushwa ness akaturuhusu Kwa muda tu...

Mungu alikuwa upande wetu mama akazinduka alivyotuona akashtuka, akahisi tumekutana ahela, akatukumbatia Kwa furaha huku anasema, bola tu tumekutana wanangu, kumbe kumbe ata huku ahela tunajuana...

Ibu alishindwa kujizuia akamwambia mama acha wenge basi, tuko live duniani acha kuota ndoto za ajabu, nani anataka kwenda ahela saivi, mimi muda bado bado...

Anty alishangaa akaanza kutushika kila mmoja nakuuliza, nyie wajinga mshakufa uko wanaomboleza, adi vitanda vya jirani wakaanza kucheka muda huo ni saa moja jioni,mama akashika simu kuhakiki akampigia mme wake ikaita wakaongea, akahisi wenge akakata akampigia Isa, akapokea pia...

Alivyosikia tu sauti, akaanza mbwa wakubwa nyie mlitaka nife ili mnile nyama au, mmelizika kunitia pressure, " mama tulia basi kwani sisi tulikwambia chochote?...

Mbwa mkubwa wewe, nakwambia subiri nije apo mtafute pakulala nawambia kabisa amwezi watengenezea msiba wanangu wakiwa hai, muda huo anaongea huku anashuka kitandani, anachukua virago tuondoke bila ruhusa ya doctor...

Doctor alipita akaona mama anajipanga kuondoka, akamwambia mama, hutakiwi kuondoka bila ruhusa ya doctor, " wewe mimi sio mgonjwa ni mzima, ni mbinu tu za wapumbavu fulani tu hapa walitaka kuniua, Sasa ngoja niwakute huko huko watanitambua...

Dah ilikuwa kimbembe kumtuliza shangazi, ilibidi wamtulize Kwa nguvu na sindano ya usingizi,walimpima kwanza pressure wakakuta Iko sawa kabisa, mpaka wakashangaa mbona imekaa sawa ghafra hivyo....

Wakaamua kumtuliza tu na sindano ya usingizi make, alianza kuwashambulia mpaka madoctor, na sisi tukafukuzwa, asubuhi sana tukaamukia hosptal , familia nzima mpaka binamu zangu wawili walikuwa nje ya mkoa kikazi nao walifika...

Yani ilikuwa ni watu 11 watoto 10 na baba, tumekuja kumuona shangazi, Yani tulivyokuwa, ni kama timu, tulifika Cha kwanza , wenye kesi zao wakaanza kupokea kipigo Kwa kutumia vikombe vya uji...

Tulipewa ruhusa lakini nahisi ni Kwa sababu ya tibwili la shangazi, tumerudi njia nzima anaongea, mjomba akaamua kumtuliza lakini wapi, mjomba akaona atumie mbinu ya kivita akatuambia wote fumbeni macho��, " we ba Isa unataka kufanya nini? Ujue awa ni watoto wakubwa ba Isa...

" Sasa si hautaki kunyamaza mi nifanyeje Sasa? " Sitaki ba Isa nishanyamaza siongei tena mme wangu, ilibidi watoto tucheke tu, " msifikili yameisha Yaani tukifika nyumbani nahitaji majibu yaliyoshiba...

Umeanza tena, alivyoambiwa tu Ivo akanyamaza, anazijua akili za mjomba, hachelewi kumbusu mbele yetu, alinyamaza kimya, Isa akaropoka, Sasa Mzee ulikuwa wapi muda wote mke wako anatusumbua...

Mjomba akamjibu, yatafute yakikufika sitokusaidia tena, mchokonoe tu, nitakuacha mmalizane, Isa akajibu mmmh yaishe nimefunga mdomo��...

Tulifika nyumbani, Ile tumeshuka tu, mbele yetu tukaona...

JE NINI KITAENDELEAAA!! "
OFAAAA KUPATA YOTE NI 1000 TU UNAPATA mpk mwisho kabisa

NAMBA YA MALIPO 0755090082 mpesa jina la usajili zainabu sungita mpesa

UKISHALIPIA NJO INBOX
WHATSAP 0755090082
WHATSAP 0766030082.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MJEDA TARATIBU BASI* *SEHEMU YA SITA*  >>> https://gonga94.com/semajambo/mjeda-taratibu-basi-sehemu-ya-sita
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

gonga94 official track
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
offa ya msimu wa nanenane
offa ya msimu wa nanenane

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

majario rewards 100 Comments 0
 

A.J.A.D SE03 EP02

majario rewards 100 Comments 0
 

SEHEMU YA 32💘💘

majario rewards 100 Comments 0
 

Simulizi: MAPEPE **

majario rewards 100 Comments 0
 

SEHEMU YA 30💘💘

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest