Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Pyar Ho Jane Dushman

KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA NOTE: Ina maudhui ya watu wazima – Soma kwa umakini na ustaarabu 📲 (Based on True Story – usisahau kufollow STORY ZA Zamrata ) EPISODE 14

19th Jul, 2025 Views 31



Nilikenua… si kwa furaha ya kawaida bali kwa ile ya kishetani, ile inayotoka moyoni kwa mtu aliyepitia mateso ya kuonewa, kunyimwa nafasi ya kujitetea, na sasa amepata mtu anayemwelewa, anayeweza hata kutoa uhai kwa ajili ya penzi lake.

Mnyampara alinisogelea, akanikum hibatia kwa nguvu ile ile aliyonibusu nayo. Alinishika kiuno, akaniinamia sikioni na kusema:

"Mpenzi wangu, leo usilale na hofu. Kamanda Luca hawezi kufika kesho."

Nilimwangalia kwa jicho la tamaa, nikamshika kifua chake kipana, nikapumua kwa nguvu.

"Sawa baby… lakini hakikisha hakuna ushahidi. Sitaki kesho niwe mimi tena nikapata stress nataka umuue kabisa."

"Acha mchezo na mimi mama, unadhani hii ni mara yangu ya kwanza?" alijibu huku akinitazama kwa jicho la kijasiri.

Baada ya mazungumzo hayo mafupi, alinibusu tena taratibu… safari hii niliitikia kwa undani zaidi. Ni kama moyo wangu ulikuwa tayari umehama kutoka kwa Mchumia Juani na kuhamia kwa huyu kipenzi cha roho

Mapigo ya moyo wangu yalikuwa yakisafiri kutoka kifuani hadi sehemu ambazo siwezi kuzitaja hadharani.

Tulikaa pamoja usiku huo hadi saa tano usiku ndipo akaondoka kwa ahadi ya kurudi baada ya kazi.

"Nitakapomaliza kila kitu, nitarudi nikuambie… kama kazi imemalizika salama hivyo jiandae na kupokea msiba ......"

Nilibaki nimejilaza kitandani, nikitafakari maisha yangu. Mwanamke gani huyu? Leo hapa, kesho kule.

Mapenzi yamenifanya nikose msimamo, lakini pia yamenipa ulinzi. Wanaume wanauana kwa ajili yangu. Hata jela hii imebadilika na kuwa kama hoteli ya mateso na utamu kwa wakati mmoja.

Saa 9 usiku…

Mnyampara alirudi, uso wake haukuwa na msisimko, lakini macho yake yalionyesha ushindi.

"Imekwisha." alisema kwa sauti ya chini.

"Umemaliza?" niliuliza huku nikimkumbatia.

"Alikuwa anafungua mlango wa ofisi yake, nikamsogelea nyuma kimya kimya, nikamchoma na kitu chenye sumu kali.

Dakika tatu tu, alikuwa anahema kama mnyama aliyenaswa… akaanguka. Maiti haiongei nikamchukua na kwenda kumtupa huko porini... "

Nilishika kifuani kwa mshangao na woga, lakini pia kwa mshangao wa furaha. Nilimwangalia kwa mapenzi ambayo huwezi kuyatoa bila kuhusisha roho.

"Asante mpenzi wangu… umeniokoa tena. Lakini... ikijulikana je?"

"Usijali. Kila mtu atajua kuwa kajeruhiwa na mnyama mkali kwa namna nilivyouweka ushahidi"

" Sasa umetokaje jela kipenzi wakati mlango ni mmoja "
" Nimekaa miaka mingi hivyo naelewa mengi we elewa kazi imeisha ..."

Aliketi pembeni yangu, akanishika mkono… safari hii, kulikuwa na ukimya wa heshima, wa ushindi wa kimyakimya. Kama wa kikosi cha kazi maalum kilichomaliza dili gumu.

Lakini moyoni, nilijua hii ndiyo imefungua mlango wa damu. Ukishaingia kwenye dimbwi hili la kuchafua mikono yako kwa makosa ya wengine, huwezi kurudi mwanzo. Mimi si nesitu , bali mimi ni mhusika mkuu wa sinema ya mauaji ndani ya kambi ya kijeshi.

basi aliupeleka mkono kwenye sehemu ambayo sitaitaja na kuanza kutaliii sehemu hiyo kama mheni aliyepotea njia na hajuwi wapi kwa kwenda sio siri nyeee.... Zilikuja zenyewe

Nikajikuta nashusha kufuri mlango na kuufungua mlango tayari kwa ajili ya mnyampara kupitaaaaa ... Aaaaaaah aaaaaaah baaaaaaaby wooooow ...... Nilikuwa najihisi napaa juuu yaani kama nina mabawa hivi lakini ndio safari hiyo ya kuhama kutoka ulimwengu wa kawaida hadi ulimwengu wa raha

Kwa kuwa mchumia juani amekufa sasa nimepata dereva mpya huyu sasa uzuri wake anaendesha gari taratibu lakini mmmmmmmh wazungu nawaona kwa mbali mapema kila tunavyosonga nawaona wale pale ...

Kifo cha mende ndo kilifanya nianze kuwaona karibu na mlango wa ndogo yangu . Kadri mnyampara anavyonisafirisha ndivyo navyowakaribia wazungu .... Nilikuta naye kabadili mwendo mwanzo nilijua anaendesha tofauti na mchumia juani lakini hapa nanyosha mikono juuuu ...

Spidi ya mnyampata ni zaidi ya 5G mara ghafla maji yalitoririka kutoka kule ambako niliwambia bosi wangu kasema nisikutaje yaaaani wazungu hawapa ....nilibana mg .....

Tayari maji yalitoka bombani na hapo hapo kingora cha emergency kilisikika .....

ITAENDELEA…
📞 Kelvin Mlowe – 0699286085.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA NOTE: Ina maudhui ya watu wazima – Soma kwa umakini na ustaarabu 📲 (Based on True Story – usisahau kufollow STORY ZA Zamrata ) EPISODE 14  >>> https://gonga94.com/semajambo/kazi-ya-jela-ilinifanya-niwe-malaya-note-ina-maudhui-ya-watu-wazima-soma-kwa-umakini-na-ustaarabu-ba
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
karibu msagala furniture
karibu msagala furniture

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

SEHEMU YA 32💘💘

majario rewards 100 Comments 0
 

Simulizi: MAPEPE **

majario rewards 100 Comments 0
 

SEHEMU YA 30💘💘

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MKEKA 03

majario rewards 100 Comments 0
 

SEHEMU YA 30💘💘

majario rewards 100 Comments 0
 

TREVOR CHALOBAH 🫡

majario rewards 100 Comments 0
 

SEHEMU YA 28💘💘

majario rewards 100 Comments 0
 

🌹I MISS YOU 🌹

majario rewards 100 Comments 0
 

.BABAMKWE epsd 19.

majario rewards 100 Comments 0
 

SEHEMU YA 22💘💘

majario rewards 100 Comments 0
 

ALINIINGIA BILA IDHINI

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE..17..18

msagala rewards 100 Comments 0
 

bei sawa na bule

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 16

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 14...15

majario rewards 100 Comments 0
 

MDOLI MPENDA UTAMU...1

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest