Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Pyar Ho Jane Dushman

NILIZANI MWIZI KUMBE MMMMπŸ’˜πŸ’πŸ’˜ SEHEMU YA (18)

30th Jul, 2025 Views 20



Basi bwana kamoyo kakafanya paah😩 Alex anataka kuniuliza nini??

"Ikabidi sasa nimpe uhuru nikamwambia hakuna shida niulize tu chochote nitakujibu wala usijali"

"Okay akaitikia then akaniuliza Salma natamani kujua historia ya maisha yako,nataka kujua nyuma yako kuna ninii, kulikuwa na ninii"

"Sijaelewa alex"

Ukweli sikuelewa anataka kujua nini kuhusu mimi kama alinifumba fumba hivi ,au kwa vile mi mjinga uelewa wangu upo mbali kidogo

"Aahmm namaanisha udogo wako, yaan ulipo kuwa mdogo kuna changamoto zozote ulipitia??" Nikajifikiria kidogo ili kuchanganua huyu anataka niniii ?nikamuuliza

"Yaaani kwanini sijui kusoma..?" Nilimtupia swali nikabaki namtazama alivyokuwa anababaika😌 niliyaona macho yake hili kwake ni kama tus lilikuwa zito kuniambia moja kwa mojaaaπŸ˜₯"

"Aah sio kwa ubaya salma usinielewe vibaya Salma please "

"Alex, mimi katika watu niliowazoea ni wewe nimekuzoea sana kiasi kwamba nipo huru kwako kwa lolote lile ,sijui kwanini lakini mie sikuchukulii labda kama wewe unavyonichukulia" ,

nilikwambia sijui kusoma ,sio kwamba najivunia au napenda hapana , na sio kwamba mi sikupelekwa shule hapana!!

Mama yangu alinipeleka shule na nilienda vizuri sikuwa mvivu kusoma wala sikuwa mzembe lakini nawaza huenda mungu alinichagua mimi kupita hiyo njia na wala sijui kwanini,

nilitamani kujua kusoma sana sana sanaa lakini sikuwahi kufanikiwa walimu walijitahidi kuniweka karibu yao labda wanaweza kunisaidia bado ilikuwa ngumu,

nilikuwa napenda shule sikuwa mvivu kwenda shule na wala sikutegea kujifunza ila kwangu kutambua herufi ulikuwa ni msiba πŸ˜’πŸ’”,

nilipo fika darasa la nne hapo ndio ulikuwa mtihani kwangu nilikaa hilo darasa kwa miaka kadhaa bila kufaulu mitihani mwisho nikaamua niache tu kwenda shule..,

hata hivyo sikuichukia shule niliamini siku moja nitakujaga kujua kusoma..

"Okay okay salma inatosha kama njia hiyo ilikuwa ngumu kwako naamini kuna njia nyingine rahisi sana mungu amekuandalia ,you don't have to worry that much okayπŸ₯°πŸ₯°",

we ni mwanamke ulietulia sana Kiakili ,sijakaa nawewe muda mrefu lakini kwa hichi kipindi nilichokaa na wewe nimekuelewa salma Wewe ni bora kuliko wanawake wote ambao nimewahi kuwa karibu nao

Aise nilitabasamu πŸ₯Ήβ€οΈ nilitamani nilie sijui yani nilipata amani tele moyoni.. Alex alinigusa mkononi akaniambia salma

kwenye hili upo na mimi na siwezi kuliacha liende na atakae kudhihaki naapa sintamuacha kirahisi "

"OhπŸ₯ΉAlex sijui hata niongee nini asantee...."asantee sana sijui hata nikuite kaka au nanii"

"Vyovyote upendavyo salma nitakuwepo kwa ajili yako I promise youu❀️..."

Dah tangu nakua mpaka hapa nilipo sikuwahi kuambiwa na mtu et mimi ni bora hasa mtu anaejua wazi kuwa sijui kusoma wala kuandika ,

"kila mtu huwa ananicheka mimi mjinga hakuna aliewahi kunionea huruma ,mama yangu mzazi anajua jinsi gani nilikuwa nahangaika ili tu nijue kusoma lakini tuc lake kubwa kwangu ni Lione Akili halina kubwa zima kusoma halijui"

hili ndio tus kubwa kwangu huwa linanikumbusha mambo mengi niliyopitia naishia tu kunyongonyea moyoni nitafanya nini sasa .

kwa mara ya kwanza Alex kanambia mimi ni bora kuliko wengine hata kama sijui kusoma maneno yake yalinipa nguvu mpyaπŸ₯°β€οΈ

"Niliomba nimkumbatie huku naona aibu ila moyo wangu ndio ulichotaka kwa wakati huoπŸ™ˆ"

"Kumbato tu kingine hakunaaa!!!???" Aliniuliza huku anasmileπŸ₯°πŸ₯°"

Khee kingine gani tena jamaniπŸ™ˆπŸ™ˆnilijiuliza mwenyewe kimoyomoyo πŸ€—πŸ€— Alex aliinuka akaanza kunisogelea dah nyiee😩πŸ₯°

Alikuja akanikmbatia kwa nyuma vile vile nimekaa yani sijui niwaambieje nilivojisikia fanya kama ndo nyieeeeπŸ˜©πŸ’— ,nilikuwa natamani vingi sana vitokee lakini nilikuwa samaki siwezi fumbua mdomo wangu nikiwa ndani ya maji humo

Kimvutano fulani cha kihsia kilichukua nafasi yake ukimya wa hali ya juu ulitawala kati yetuπŸ€—πŸ™ˆulipita muda kidogo Alex akanambia..

"Unajua nini Salma, nimechomoka kidogo kazini nilitaka tu kula nawewe chakula cha mchana ngoja basi niende si nakupeleka nyumbani??"

Akawa ananimbia huku bado amenikmbatia vile vile anaongea karibu na sikio langu mh nyie hata sijui nilikuwa natamani nini kitokee hahahaa siezi kusema hapa naona aibu..nilibakia tu kusikilizia ule mvutano badae nikamwambia..

"Sawa haina shida" nilikubali tu twende nyumbani huenda huko kinaweza kutokea kile nilichokuwa nakuwazia moyoniπŸ™ˆ"

Basi mkaka wa watu kabla hajaniachia alipeleka mdmo wake shingn kwangu mmmmmm yani nyieeee nikajikaza pale maana dah sio kwa mssmko ule niloupata..

Alininaniliu shngni mpaka nikaanza kutapatapa ikabidi aniachieπŸ™ˆhii ni mara ya pili alex kuni kc kwa shingo na huwa tunazama kwenye hcia kali sanaaaaa

Basi baada ya Alex kuniachia niliinuka tukatoka mpaka kwenye gari alinipeleka mpaka nyumbani akanipa na pesa ya kutumia alionekana mwenye haraka sana hata ndani hakuingia..,

nilimuuliza hivi alex unafanya kazi gani?? Mana mi hata sijui anafanya kazi gani lakini kwa ile nyumba sijui ni yake au ya wazazi wake ,inaonekana ananafasi nzuri ya maisha , na hata gari zake mmh

Alicheka akanambia atanambia ni subiri kidogo nikasema sawa bwana, akaondoka zake mi nikabaki nimetulia..

Nilitoa pesa zangu zote kwenye begi nikawa nahesabu kwa ndoto nilizokuwa nazo hii pesa ilikiwa ndogo sana ndo nimegundua sasa ,nilikuwa najiona nina mapesa mengiii kumbe hakuna kitu ,nikaanza kukata tamaa sa nitafanya nini.

Nilichukua simu ,nikampigia mama ili nimwambie labda ye anaweza nishauri nini cha kufanya .

"Yaan hapa ndo nilitaka kukupigia umeniwahi tu jamani" mama alipokea kwa maneno kwanza hata sikuwa nimemsalimia nae sijui alisahau au vipi"

"Shikamoo !!! Kuna usalama mbona unahema hivyo"

"Usalama upo , huu ni muhemo wa furaha yaani nina furaha mpaka nahisi pumzi zinakata"

"Enhee furaha ya nini tenaa mama??"

"Kumbe unaweza kuwa mji nga lakini ukawa na faida , mwanangu we nakuonaga ni fungu la kukosa ,kumbe unabahati kiasi hiki??leo umeni heshimisha mwananguπŸ₯Ή",

Mmh kwa sifa hizi lazima kuna kubwa mama embu nambie kuna nini, unanivuruga tu!!"

"Si huyo mwanaume wako mwanangu anatuwekea umeme hapaaa nyumbani!! Yaan Salma we unabahati mtoto wangu jamani huyu kaka huyuu natamani hata muoane kesho"

Hee😳😳subiri kwanza mama mkaka gani tenaaa!!! Yani nilihisi kuchanganyikiwa nikawa najiuliza ni nani huyo?? Kama ni Alex mbona hajaniambia??

"Ndo hivo mwanangu tunawekewa umeme yaan we acha tu mwanangu leo namimi naheshimika mtaani salma umejua kunifaa mwanangu"

"Hebu mama subiri kwanza ni nani huyo kijana namaanisha jina lake ni nani???"

Ni nani huyo kijana??hahahaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NILIZANI MWIZI KUMBE MMMMπŸ’˜πŸ’πŸ’˜ SEHEMU YA (18)  >>> https://gonga94.com/semajambo/nilizani-mwizi-kumbe-mmmm-sehemu-ya-18
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Pyar Ho Jane Dushman
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
offa ya msimu wa nanenane
offa ya msimu wa nanenane

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

majario rewards 100 Comments 0
 

A.J.A.D SE03 EP02

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest