Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

πŸ”ž Onyo: Maudhui haya ni ya watu wazima (18+). Tafadhali soma kwa tahadhari. kAYLA sehemu ya 3

31st Jul, 2025 Views 46


Mwandiahi; maramoja the great
0789 824 178
Simulizi za john
1000

Basi iyi siku ilikua j pili tukapiga sana story na sharon ananielekeza mazingira ya shule nkamzoe nkamwambia kuna rafik angu anakuja anaitwa ney basi atakuja lala iki kitanda kingine sharon akasema amna shida basi ukafika mda wa kula akanambia twende tukachukua nkamwambia mh kwan akuna chips kuku uku akasema zipo wanauza ila nkampa ela nkamwambia mm naenda kuoga ww kanunue sahani 2 na soda tuje kula shoga angu wee sharon alifurah uyo akachangamkia fursa chapu akachukua ela akaenda mi nkaenda kuoga nikatoka nakuta sharon ndo analudi tukala tukapiga stry sana usiku mpka tukalala asubuh saa 11 naona sharoni kaamka ananambia tujiandae kuwah namba wanachapa hii shule vibaya sana nikasema mi ntaweza kweli cha uvivu mm nkaamka hvo hvo uku najivuta nkajiandaa nkavaaa nilipendeza na uniform nkabeba begi uyo darasana tukawah namba masomo yakaanza nilikua nimekaaa zangu na sharon nilikua nalinga vibaya sana siongei na yoyote zaidi ya sharoni ikakata week ney ajaja nkasema mh uyu ney ameenda soma shule nyengine nn mbona haji
Iyo siku tupo mapumzika namuona ney kaletwa na mama ake wee nilifurah nkamkimbilia tukakumbatiana nkamwambia kalibu shoga nkaslimiana na mama ake ney pale na mm ndo nkampokea ney nkampeleka hadi bwenin basi tukawa watatu mashost asa sie ndo sie shule tuliikamata kweli kweli mie watu wengi walikua wananiita dada maringo toka nafika sijawah kula chakula cha shule mm basi tukasoma mpka miez sita nkaludi home likizo nkawa nshazoe shule tena silii kama mwanzo hadi nkawa naludi mwenyewe shule ata baba anipeleki tulivyofika form 3 sasa ndo usista duu nilizid wee sindo nakua kua tena asa kuna uyu mkaka anaitwa rizi tunasoma darasa moja ananitaka kila siku napata vibaru vyake ila sikumpenda ata nkasema heee mi wa nn mie akaa nilikua najiona special mno siku hiyo niko zangu dom(bweni) nimelala mala namuona sharon kaja ni kapacel kabeba chips yai kuku na soda ananambia wee nna mzigo wako apa nkasema weee mzigo upi shoga ahaa kanipa riz nikuleteee nkasema hvi uyu kaka chzi anaona mm nna shida na chips yai anazqni sina ela ya kununua hvo vichps ebu aniache mie sharon na ney walicheka ney akamwambia sharon lete hvo vitu apa tuvile wakaeka wakala zao nkawaambia sio mnakula tu mjue na kcha kumwambie mwenye ametoa walicheka tu ao wakalla zao mida ya prepo uyo nipo class na kina ney tunasoma soma mala kaja riz ,riz nae kwao anaonekana wa kissua pia ila shida ni mtu ana sifa sifa sana darasan akasema mamy vp nkamuangalia tu wala sikumjibj akanambia kayla mama vp kuhusu ombi langu nikamwambia ww utakachokitafuta utakipata hv ww si nshakwambia mm sitaki mambo yako au unataka nkupelke kwa walimu akacheka akasema haaa asa apa mm kuna mwalimu ananitisha hii shule yeyhewe bab angu ana shea kubwa mm nataka kuwa na ww kayla bana plsss acha utoto nkasema uyu kaka ananizoa mm jaman nkachukua begi langu nkamwambia sharon na ney mtanikuta room uyo nkanyanyuka nkaenda dom nilichukia yani nilikua sijaona mwanaume wa kutembea nae pale shule kabisa yani nilokua najiona classic mno nkafika dom nkalala zangu prepo ikaisha saa 5 nasikia wanafunzi wanalud dom ney na sharon wakaniamsha wakanambia ww vp nkasema powa wakanambia shoga riz anatangaza ww demu wake vinaya sana nkasema hee uyu kaka jau jamani nkasema jamani mm simtaka na apa shuleni akuna wa type yangu basi kina sharon wakacheka tu tukalala zetu ,asubuh class nipo darasan na kina ney mala akaingia mwalimu akaja na mwanafunzi mpya darasan kwetu akasema jamani apa tuna mgeni ameamia mshilikiane nae anaitwa peter severini nyimbo
Wadada wakaanza eheeee mbona mzul jamani asee mzuli nkamungalia vizur kweli mzuli ana sula ya kiume alafu anaomekana mpole sana basi akapewa siti akaka ratiba zikaendelea basi ikifika mda wa kula kama kawaida yangu nkaenda nunua chips na shoga zangu asa nikiwe nimebeba chakuka changu naenda dining nipo na ney napiga stry ata mbele siangalii weee si nikamvamia yule mkaka mgeni chips zangu na juis zikamwagika
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„

🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁
KAYLA
Sehemu ya 4
Mwandishii; maramoja the great
Weeee nkamwambia ww huoni nikamsikia ney ananambia we kayla we ndo umemgonga nikasema si angekwepa ww mm sitak masihala naomba pesa nkanunua chakula changu sikuelew apa akanambia samahan we ndo umenigonga lakin nikamwambia kwa ukali ungekwepa nakwambia naomba pesa usinichanganye ww akaniuliza sh ngap nkamwambia elf 10 haikuwa ata nilitumia elf 3 na 500 nilitaka mkomoa tu akaingiza mfukoni akatoka na buku akanambia apa sina pesa mpka nikiludi class nimeeka pesa kwenye beg ntakulipa nkamwambia ww ole wako usinilipe nakwambia nkampokonya na ile buku nkamwambia lione kwanza ela alina kazi kuwakinga watu mpka wanamwaga chakula chao masikin alinyamaza kimya mie uyo naondoka zangu shoga zangu wananifata wanacheka wananambia we kayla ww mbona umemkalibisha mgeni vibaya vile nkasema kaniboa mm kule kwenye chips kuna foleni siwez ludi tena na mda wa kula umeishia yani naingia clss sijala ntaelewa kweli shoga zangu wakanambia ndo mana tulikwambia kulia kule kule kama sisi ww tena mpka ukale dining basi mda wa break ukaisha tukaingia class nkamfata sasa peter nkmwambja aya ww nipe pesa yngu si ulisema tukilid akaniangalia kwa huruma alafu akanambia nilizan nimeeka kwa begi umu apa sina itakua dom nkasema uyu ananitania ngoja yani nilimchukia gafra kaka wa watu nikamwambia ww nachukua hiz counter zako 2 zilikua mlya kaweka mezan mwenyewe utakaponipa pesa zangu ntakuludishia asa alikaa na mkaka pembeni anaitwa steve akanambia kayla nn ww mbona unamuonea jamaa nikamwambia na ww ayakuhusu nkachukua daftar zake akawa amebaki kimya tu mie uyo kwa shoga zangu nkachukua zile counter nkatia katika begi langu masomo yakaendelea tukaludi dom ney akanambia asee kayla yule kaka umemuonea leo jamani hv unajua ww ndo ulimkwaa na umemchafua nkasema alitumwa akae mbele mm leo nimeshinda njaa si angenikwepa asa simpi daftari zake mpka anilipe ela yangu ya msosi sharon alicheka uyo akasema we kayla ww mludishie bwana nimesikia stry yake nilikua napeleka daftari kwa sir jimbo nilisikia anamwambia madam kuna kijana shule imemdhamin na imemnunulia kila kitu ameingia form 3 A Leo mi nikahis atakua yeye so shoga mwenzio kazaminiwa na shule ana kitu nkacheka nkasema atakua yeye mwanaume mzima mfukoni anatoa buku weee tulicheka jamani nilikua na dharau jamani basi ney akanambia mludishie madaftar yake bwana usikute kapewa na shule pia wee tulicheka nkasema simpi siku nyengine akiona watu atakua anakwepa basi tukajiandaa tukaingia prepo basi tumefika tu nimekaa tunaanza soma naona peter kaja uyo akanambia kayla samahani ile pesa hii apa naomba zike daftar zangu nkaichukua ile pesa nkamwambia aya nenda akanambia ujanipa bado daftari zangu nkamwambia sikupi unasemaje akina ney wanacheka atali akasema lakin si nshakulipa nkamwambia umechelewa kunipa sasa akasema sawa akawa anaondoka nkamwambia we maskin shika daftari zako bwana nkamlushia akainama akaokota akaniangali sana alfu uyo akaondoka zake sharon akanambia kayla usingemtupia bana nkamwambia yule akiniona tena atakua anasimama boss nipite basi tukacheka tuu.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

πŸ”ž Onyo: Maudhui haya ni ya watu wazima (18+). Tafadhali soma kwa tahadhari. kAYLA sehemu ya 3  >>> https://gonga94.com/semajambo/onyo-maudhui-haya-ni-ya-watu-wazima-18-tafadhali-soma-kwa-tahadhari-kayla-sehemu-ya-3
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest