Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

πŸ“πŸ“ ILA KWA MPARANGE 😒 Sehemu ya tano

27th Jul, 2025 Views 79

.

πŸ‘‰ Wanagonga mlango kwa nguvu nia atoke wampige kwanza washajua fumbo...sauda anafungua mlango...πŸ‘‡

Alipomaliza kufungua wakamvuta nje atoke ndani)

" Mnataka shari.

( Kabla awajaanza kumpiga na yeye aludishe mashambulizi kaka yao anaingia)

" Dada zangu vipi mbona ivyo.

" Kaka tuache tumshikishe adabu uyu mwanaharamu.

" Mwanaharamu mwenyewe silali na tusi.

" Kaka unamsikia.

" Dada Tulia kwanza kisa nini?

" Tuache tumshone mdomo uyu anajifanya anajua kutukana.

( Kaka mtu akatumia nguvu ya ziada akamwambia mkewe aingie chumbani ndio hapo dada zake wakasema)

" Kaka sikia Sisi tumemwambia aoshe vyombo yeye anasema mpaka tuweke vyombo vyengine pale ndio ataosha bila ivyo aoshe aliyevichafua.

" Sasa hapo ametukana wapi?

" Kaka vyombo vyengine ni sehemu zetu za siri mkeo anajifanya anajua mafumbo.

" Ayo mmesema nyinyi acheni kufanya mambo kuwa makubwa nyinyi nendeni kwenu ivi vyombo vitaoshwa na nguo zitafuliwa sitaki ugomvi kwangu.

" Kaka utakuwa umerogwa uyu mwanamke atakusumbua inatakiwa apigwe kidogo.

" Iyo ni ngumu siwezi kufanya huo ujinga sijakuwa na ujinga huo nendeni.

( Waliondoka uku wana duku duku Moyoni wanasema watamkomesha...kaka mtu akamwita dobi akafua akamwita dada mwengine mtaani akaosha vyombo alafu akutaka mambo mengi akamuaga mkewe)

" Nilikuja mala moja tu acha niwai kazini my wife.

" Sawa mume wangu usiku tupike chakula gani?

" Ukipendacho ndio nikipendacho wife wangu pesa hii ya kula Sawa.

" Sawa mume wangu.

( Mume akaondoka uku sasa mkewe akampigia simu shoga yake aliyeolewa)

" Halima mtoto wa kitumba niambie.

" Mmm majanga tu sauda.

" Majanga yapi tena halima?

" Sauda wanaosema kwenye ndoa sio mbali unaweza kwenda Leo kurudi Kesho wapo sahihi.

" Niambie nini ?

" Mume wangu nilimwambia kapange ataki aya nyumba yao juu IPO wazi yani kijiko kikidondoka chumba cha pili unasikia sasa usiku najizuia kutoka miguno asubuhi Leo namsikia kwa masikio yangu mama mkwe anamwambia baba mkwe mwanetu kaoa kapu au? Mbona atusikii milio.

" Makubwa ayo Kwaiyo baba mkwe akasemaje?

" Akasema tusikilizie labla Leo tutasikia.

" Ayo maneno umemwambia Mumeo?

" Sijamwambia ndio nawaza hapa nina wakwe au nina vichaa.

" Pole sana mimi mwenyewe nimekuja nimekutana na kisanga ichi.......

( Akamwadisia yote na halima akasema)

" Umewakomesha wanatuchukuliaje watoto wa kwa mpalange tunakula dagaa na kichwa chake atuchambui mawifi machizi kuwa chizi zaidi yao.

" Sasa halima nikwambie.

" Niambie.

" Hao wakwe si wanataka milio sasa jichetue Mumeo akigusa shavu tu wewe lio lianze mpaka wajue wanayotaka yanakera.

" Yani sauda kama ulikuwepo kichwani mwangu nilipanga ilo Leo.

" Poa halima.

( Walikata simu..sauda ametulia kwenye ndoa yake...sasa uku halima amepanga lake usiku...kumbe mama mkwe na baba yake mkwe na wao wanalao usiku mama mkwe anamwambia mumewe)

" Wai kupanda juu umchungulie mwanao inawezekana asimamishi aiwezekani alale na mwanamke ata kitanda kisilie kwichikwichi.

" labla kaweka godolo chini.

" Basi mwanamke aulilie.

" Ngoja nipande mke wangu juu nitulie saizi si ameenda kuoga.

" Aya panda fasta.

( Mzee akapanda juu akatulia anaona chumba cha mwanawe chote...halima katoka kuoga ajui juu kuna nini anatoa nguo mwenyewe mwilini anapaka mafuta wala mlango ajafunga na funguo yupo chumbani kwake...sasa kainama anapaka mafuta miguuni mzee mzuka juu ukampanda akateleza...puuu kadondokea chumbani alipo halima alafu halima yupo bila nguo...na mumewe yani mtoto wa mzee anafungua mlango anaingia chumbani kwake uku halima anastuka ya mzee na mlango unafunguliwa)

" Mke wangu 😳😳..

ITAENDELEA

FULL TSH 1000
0657774735
JINA MKEGANI MPONDA.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

πŸ“πŸ“ ILA KWA MPARANGE 😒 Sehemu ya tano  >>> https://gonga94.com/semajambo/ila-kwa-mparange-sehemu-ya-tano
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

gonga94 official track
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

majario rewards 100 Comments 0
 

A.J.A.D SE03 EP02

majario rewards 100 Comments 0
 

Simulizi: MAPEPE **

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest