.
Nikaanza kujibu sasa ile naanza tu chizi akaniambia my kaa kimya.
Mmm nikaogopa sana maana imetoka sauti ya kukwaluza ya chizi yani yenye kumaanisha amekwazika na kilichoendelea pale akaniambia nimesema ukae kimya kwa sababu wamekujaza hofu my wangu wewe si mtoto mdogo useme ujitambui wewe ni mkubwa swali la mama yako lina ukakasi ndani yake awezi tumia lugha ya wewe umetanua mguu ushindwe kutanua mdomo kusema aliyekupa mimba sasa naomba muondoke wote si baba yangu si mama yangu na si nyinyi wote muondoke hapa ni kwa babu yangu nibaki na my wangu na babu yangu nafumba macho nikifumbua sitaki nimuone mtu.
wote walikimbia wanamwangushia lawama mama ona ujinga wako wa asila za kijinga umesababisha mpaka shukuru kakasilika sasa ikabidi kila mmoja aende kwake.
Sasa mambo yakawa yamebadilika kila mmoja kati ya wazazi wetu wa kiume upande wa baba akasema siwezi kukubali aibu inabidi tuongee na binamu yake amuoe mwanetu aondoke na ile mimba swala la mwanangu kuolewa na chizi sikubali.
Mama akasema inawezekana vipi binamu akamuoe mwanangu wakati unajuwa ana mimba ya shukuru??
Baba akasema nimesema ivi mimi mimi kama baba yake sitaki mwanangu aolewe na chizi sasa yule chizi watajenga maisha gani na mwanangu wewe mimi ningekuwa chizi ungenikubari nakuuliza??
Mama akasema mume wangu kweli mimi mwenyewe inaniuma roho sana uyu mwanangu sababu katafuta sana mtoto kwa mumewe wa kwanza alikosa itakuwa ameenda kwa mganga ndio kamwambia akatembee na chizi mimi naamini ivyo ndio maana kapata mimba mwanangu mzuri awezi kutembea na chizi pasipo sababu yoyote mimi nakuunga mkono mume wangu mtoto wetu aolewe na binamu kweli tupo pamoja.
Baba akampigia binadamu simu akaja alipoambiwa akafulai sana akasema hapo sawa tunafanyaje mipango ya harusi mimi nipo tayari kulea iyo mimba ya chizi nipo tayari kabisa.
Baba akasema hapa wewe tafuta mtu wa kufungisha ndoa arafu mtakuwa mpo ndani mimi naenda kumwambia mwanangu unaitwa na mama yako anaumwa sana sasa akija tu ni kumkamata ndoa unaondoka nae ilimladi tumtenganishe na chizi sawa??
Binadamu kasema sawa mbona Leo jioni tukamilishe ili swala sawa??
Baba akasema safi sana aina aja ya kulemba waswahili wanasema mchuzi wa mbwa unaliwa ukiwa wa moto ukisubili upoe unakuwa na shombo tafuta watu wakufungisha ndoa na wakumshika kama ataleta kibuli chake.
Wakakubaliana sawa.
Upande wa baba mkwe anasema ile mimba si ya mwanangu yule binti anapewa mimba na masharobaro wamemkimbia sasa ameona ajidhalilishe ila anajuwa msaada atapata nasemaje naenda kumchukua mwanangu kijijini aje wanawake wa kijijini awana akili.
Mama mkwe akasema yule sio wa kijijini yule wa mjini kabisa mama yake kaniambia sema mtaa anaokaa mwanawe aujui tu angeujua ungetusaidia kumuulizia istoliya yake ila mimba ya mwanangu nishamwambia baba mmoja ivi nataniana nae awachunguze mwanangu anakula mzigo kaniambia anakula tena vizuri tu nasema muache mwanangu awe na mtoto.
Baba mkwe akusema kitu kumbe ana lake moyoni.
kumbe baba mkwe kaenda kukodi mabaunsa waje wambebe chizi kijijini wamlete mjini.
sasa upande wa baba na yeye kapanga safari ya kuja kunidanganya mimi mama anaumwa ili nije kuolewa na binamu.
Upande wetu mimi na my wangu chizi tunacheza cheza ndani na sidiria yangu chizi kaikusanya kusanya kama mpila vile kaifunga na kamba ya mgomba alafu tunacheza lede chumbani yani ananilushia namlushia lea raha zetu tunavuta muda tufanyaje kama kawaida yetu aichoshi aikeleketi yani tamu ikiingia tamu ikitoka tamu ikipiga nje ndani tamu tunacheza mpila tupo watupu wenyewe atuna wasiwasi.
sasa nikamfata chizi nikashika nanii yake nikaanza kuinyonya nikauweka mdomoni nanii usio na Longo longo nyingi kama wa wanaume wanaojishebedua kututukana sisi tuliochelewa kuzaa.
Nikawa nauzungusha kwenye mdomo kwa raha zangu nanii imeshiba ina uzito wa robo kg.
Ina misuli ya kukuna kwa bibi kwenye mashavu mpaka ndani ina joto la kuamsha hisia za mwanamke ukiishika jicho lenyewe linalegea kwa bibi kunaloa sio za ao wajinga zisizo na joto zinanuka jasho arafu kazi zao kutukana wanawake wakati wao ata kuosha 1200 zao awawezi.
Wakati nishapanda mzuka namwambia my wangu chizi kaa niikalie mari yangu.
Ndio tunasikia hodi babu anagonga chizi akafungua mlango akamuona babu yupo na vijana wa sokoni wakampa chizi pesa.
Wakati chizi kapokea pesa baba anakuja kumwambia babu mwambie mjukuu wako amluuusu mwanangu akamwangalie mama yake anaumwa sana.
Chizi akanipa zile pesa akaniambia nenda nazo kwa mama mimi nakuja tumpeleke osp.
Mimi nikaenda fasta kwa mama kufika pale nakamatwa niozeshwe.
Nikatumia akili nikawaambia mimi sio msafi naombeni nikaoge nije kuolewa alafu uyo binamu nilikuwa nampenda siku nyingi sogea nikubusu.
Wazee wakasema nenda kaoge kumbe mulisema itatumika nguvu kumbe mwenyewe kampenda binamu yake.
Nilichukua maji nikaenda chooni kumbe nimepekechua makuti upande wa pili nikakimbia mbio sababu nilikuwa na pesa nikasema ngoja niende mjini nikatoke kwenye kwenye ile nyumba nikapange nyumba nyengine nije nimchukue chizi wangu tukaanze maisha.
Kumbe na uku chizi katekwa na mabaunsa 7 palichimbika lakini walimtaiti wakamleta mjini.
Kumbe wote tupo mjini.
Kule kijijini moto uliwaka kati ya walioniluusu nikaoge na baba yani si mchezo baba zoezi lake limefelishwa yani..........
ITAENDELEA..NJOO UMALIZIE 500.
0657 774735.
JINA MKEGANI MPONDA.