EP 3.
Alihatalisha maisha yake mno, ili kutupa sisi nafasi ya kukimbia, na yeye akaluka tembo aliikanyaga kanyaka ile gari mmmh ikawa ujiuji, mpaka tunafika sehemu salama kila mtu hakuamini tulijua ndo basi tena historia yetu itakuwa imeishia kwenye matumbo ya wanyama,tulifika kila mtu kimya kimya tukaingia kuoga kwanza, lakini manka mimi ety nikawa na hofu na mtu nisie mjua kabisa, sijui katoka salama yani naoga roho juu juu...
Nilichukua muda mrefu sana kutoka bafuni, na ajabu nilisahau hata kuvaa ndala,nilitoka nikiwa mnyonge, ghafra namuona koku na yule kaka chumba tulichofikia, nilishangaa nikashtuka kitendo cha kushtuka tu nikashangaa nishakabwa na yule kaka, koku akasema kaka muache uyo ni manka rafiki yangu, hana shida, nikashangaa inamaana huyu ni kaka ake na kokuπ, sasa mbona ananikaba tena, wakati nashangaa na kutafakali nikashtukia tu kasindano na ufahamu wangu ukapotea nakuja kushtuka nimefungwa mahali tofauti na tulipokuwa na niko peke yangu tu na kaka ake na koku...
Nilimtizama akanitizama uku anahangaika nikabaki nashangaa anaonekana kulazimisha chuki kwangu alafu anashidwa, alinisogelea, alivyonisogelea tu akajikuta anafumba macho na kuludi nyuma, akiwa kwenye hio hali simu yake ikaita hakutaka kuipokea ila Mungu alikuwa upande wangu badala ya kukata, akapokea ikabidi tu aongee...
" Kaka endapo utamfanyia kibaya chochote rafiki yangu, ujue mimi na wewe undugu umekufa, kisha simu ikakatwa yule kaka alinitizama sana mpaka nikaona aibu,alisogea nikazima tena nakuja kushtuka niko kwa koku nimelala, hii ilinipa hofu mmmh...
Nilianza kuwaza, koku akaingia chumbani alinitizama kisha akasema, " mank najua unawaza mengi ila niamini mimi hakuna kitakachokukuta kaka alikuwa na hofu tu akahisi wewe ni mtu mbaya...
Nilimtizama kisha nikaamua kuongea, koku ujue mimi sikuelewi kabisa, wewe ulisema kaka ako ayuko tanzania hii, yuko marekani, sasa hivi dah mbona unanitisha, koku aliamua kufunguka japo alinificha kama kaka ake ni mafia, badala yake akasema tu ni tajili anaejificha, hivyo anahofia kujulikana na kuonekana na watu wake wa karibu kuhofia watu wake kutekwa ili aingie kwenye kumi na nane za maadui...
Wapinzanj ni wengi sana, hivyo anaishi kwa tahadhali mno, na yuko hapa hapa nchin japo mala moja moja sana huwa anaenda nje kwasababu anamakampuni yake huko, namuamini sana koku, hivyo sikutia tena shaka nikaamini...
Zilipita kama siku mbili, nikiwa nawauzia wadada flani shower jell, scrub, rose water, na maua rose na vitu kadhaa vya kuogea na ngozi, walikuwa wakioneshana picha nakuambiana, mkaka mzuri ila sio ridhiki, wakamjadili vibaya mno, nikatamanj kumuona kuoneshwa kwanza nikatoa macho ila nikaficha mshtuko wangu, wakaanza kusimuliana make walikuwa niwale wadada wakwenye casino, ni miaka ata mwanamke apite mbele yake uchi, haisaidii kitu...
Dah walivyoondoka tu, kimuhe muhe nikampigia koku na kumuomba aje leo kwangu,ninaumbea mzito ila unauma tunahitaji kutafuta suluhu...
Kusikia umbea ata hakusubili saa moja mbele tayali na kimkoba chake katimba dukani kwangu,ubuyu unamuwasha, nikimtizama namuona kabisa huu ubuyu unaomuwasha unaenda kumuuma zaidi ya kidonda cha oparation, wakati namkadilia atakavyopata maumivu, akaanza na yake , " unaonaje manka bithday yangu, wiki ijayo tukailie zanzibar?...
Heee keruuuuu!! Koku we umeshindikana nfugu yangu, yani tumenusulika kifo cha tembo, sasa hivi unataka tukaziweke rehani roho zetu kwenye maji mle, tutekwe na majini au maji yatuteketeze ndo utalizika? Mbona naanza kuhisi kama vile ππ€, unatumia panadol za kenya ee? Naomba uniambie siku izi panadol unazonunua kwa ajili ya kutuliza maumivu ya kiuno cha piliodi unachukua za wapi? Ninauhakika zitakuwa za kenya hizo, zishachezesha ubongo wako kiasi kwamba huogopi kifo, yani unakitaka kwa lazima kifo, hata haufikilii mala mbili mbili saivi ni kukibipu tu kifo muda wote, my dear sheree nzuri sio lazima usafili my dear sio lazima hio part tutaifanyia hapa hapa, sijui kama tunaelewana?...
" Ha ha ha ha ha Manka ujue uoga wako utafanya tusifaidi mengi, kifo kipo tu dear hatuwezi kuzama kama sio siku yetu, kiruuuuuu!! Ebu ona hii ng'ombe ya mhaya π€, usisahau kuna siku za Mungu afu kuna za binadamu sasa neng'eneka wakutoa kafara ndo utanielewa muda huo ushakuwa msukure....
Acha kunitisha, ayo mawazo yakimasiki, sijui unayatoa wapi funga twende kwanza nyumbani, nimeitizama sura yako inaonekana kabisa umbea inaotaka kunipa ni special, hivyo hauwezi kuutoa hapa, na ninavyojiona siwezi kusubiri hio subra sina...
Tulifunga chap chap, mpaka geto kwangu kwenye chumba na sebre self,tulifika cha kwanza ni kuoga, kisha tukaingia kupika tumepika, tukaoga ndipo tukaja kula,tukiwa tunakula simu ya koku ikaita, alikuwa kaka ake...
Walisalimuana akaulizwa uko wapi akajibu, akajibiwa sawa, simu ilivyokata akasema Manka naomba iki chakula tumtunzie kaka,sisi tuagize tu chips tule, uyu akiuliza tu uko wapi ujue hajala ananjaa anaogopa kula huko, sikubishia tuliweka kwenye hotpot, tukapigia toyo simu alete chakula na matunda tumwandalie kaka juice...
kabla boda hajafika, alifika kaka Darian, koku ndie alienda kufungua mlango, aliingia tukamsalimia akaitikia, hakuwa muongeaji, ika ule uzuli wake, niliona kabisa, naingiwa na tamaa, nikakumbuka kuwa haisimami, pozi likaniisha...
Kupata full bonyeza hio link hapo juu ukasome yote mpaka mwisho kwa buku tu...
Itaendelea....π₯
NIMEMUONJESHA ASALI MAFIA BOSS
EP 4.
Nikatulia tuli, ila kila nikipiga jicho ivi kumtizama nakutanisha nae macho nikama nae ananitizama π€, nikawaza uyu vipi, au ananichunguza? Nikakausha, ila nikawaz uyu ata kuongea hamna mbona anaonekana ni mtu wa ajabu sana π,boda alivyogonga hodi, yani ni sec, jamaa kapotea sebuleni na chakula chake, yani mimi nainuka...
Kwenda kufungua mlango, nahisi tu kitu kana upepo, kugeuka hakuna mtu, nilijikuta tu nacheka kwa nguvu, ata nguvu za kufungua mlango zikanikosa π,ikabidi koku akafungue akapokea nakulipia, tukaingia kuandaa juice tunaoenda kufatana kama kumbikumbi...
Uvumilivu ukanishinda, nikajikuta naanza kumsimulia koku kika kitu,koku akachoka huenda kweli manka, kaka angu ajawai kunitambulisha kwa demu yoyote, yani hata mimba tu basi nipewe mtoto shangazi lea damu yetu hio hakuna, huenda anatatizo maskini kaka angu, koku alijikuta anatoa machozi uku akisema na hivi hatuna hata wazazi huenda kaka angu hana mtu wakumweleza tatizo lake...
Nilisogea nikamkumbatia rafiki yangu, kisha nikamwambia usijali koku tutatafuta suluhisho kwa pamoja, nashauli tutafute dawa sisi wenyewe, hatuwezi shindwa tumtibu kimya kimya, " ila tuwe makini sana kwenye kutafuta dawa, tusije kuingia kwenye matatizo ama kumuingiza kwenye matatizo...
Nakuelewa koku,nafikili tukatafute vijijini huko tufunge safari kwa ajili ya hili, " hee manka ni wewe au naota? Huwa haukubali kusafilli mpaka nikuraghai na hela, ika kumbe kwenye matatizo haujali muda ee? Acha ujinga apa tunazingumzia afya na kesho ya ukoo wenu, bila kuzaa ujue ndo ukoo utakuwa umeisha ivo...
" Manka hii mala ya tatu unanisaidia bila gharama , wala kulalamika muda, ila ningesema tutoke tukatulize akili, ungeanza kunisomea mapato na matumizi hadi deni la raifa ungeliunganisha, nakuja kuinua hivi shingo nimchane koku, nakutana na jiko nyanya, kafula ananitizama..
Nikaogopa inamaana alikuwa hapa anatusikiliza muda wote? Koku alivyoona kimya, akainua kichwa na kunitizama, akaona niko kwenye mshangao, akaamua kugeuka,alivyogeuka tu kaka mtu akawa kashasepa, hivyo hakuona hofu ikabaki kwangu...
" Manka unashida gani mbona nikama umeona akitu chaa kutisha? Shoga tumeumbuka kaka ako katusikia kila kitu, " acha utani mankaπ, ndo ivo sikutanii we ulivyogeuka tu akaondoka, tuliamua kukaaaa kimyaa tuhakiki kama kaondoka...
Tulitoka tukacheki kila kona, lakini hakuwepo, aisee nilikula kwa hofu na mawazo mno, nilimaliza nijaoga nikaingia kulala, koku alitaka kuibua tena mada nikamuomba aache kwa leo imetosha,tulilala kumekucha asubuhi, nimeamka mapema nijaandaa chai, koku huwa sio mtu wakuwahi kuamka nilishamzoea, na hapendi kupika, mpe kufua utafurahi, ila mimi kufua mpaka nimualike kokuπ, au nikafue kwa dobi kila mtu na udhaifu wake aisee...
Nimemaliza kuandaa chai, nikadeki nyumba nijaongia kuoga nineoga nikatoka ile nataka nijipaje mafuta, nikakumbuka kuna mafuta ya nywere nikuja nayo jana, nimeyasahau jikoni, nijatoka nakitaulo changu kwenda kuchukua tena nikiwa na taulo kiunoni kifua wazi kabisa...
Nimeenda nikachukua wakati naludi, paaaa kaka Darian huyu hapa, kupiga kelele nikashindwa, kukimbia nikashindwa nikabaki namshtuki tu tena kibaya zaidi taulo ikadondoka chini, jamaa akawa ananitizama kwa uchu kabisa yani uwiiiii....
Kupata yote mpaka mwisho bonyeza hii link juu au chini ukaisome yote hadi mwisho kwa buku tu...
Itaendelea...π₯
Full 1000
Whatsp 0784468229.