Nilikaa pale kitandani kwa Robby huku moyo ukilia ndundundundundu.....aaah uoga jmn si mnajua ..... Robby mwenyewe alikuwa amelala chali huku amejifunika shuka kuanzia miguuni mpaka kiunoni Lkn kifuani alikua nacked hahaha....yes ...yaan alikuwa hajavaanguo yoyote nyie ...alikuwa amefunga macho huku mkono ameweka hapa kwenye paji la uso ....nadhani mnapata picha kamili jinsi alivyokuwa Kalala eee..... Ule uzuri wake ulionekana vizuri zaidi ....haya tuendelee.....nilikaa kimya kama nimemwagiwa maji.....huyu naye vipi kaniita alaf haongei kasinzia tu..... niliwaza.....nilivoona haongei nikavunja ukimya.....
kaka Robby mi naenda sebuleni nina kazi....si nikanyanyuka ili niodoke ......sikitu.....abee kaka....njoo hapa ...nikarudi...kaa ...nikakaa.....unakazi gani zaidi? Robby aliniuliza......napika kaka.....nilimdanganya....... Na kwanini upike? ....nilibaki nakodoa machoπ³.....kazi ya kupika ni ya Mwaj......wewe ni kwaajili yangu kunihudumia mimi tu ....hivyo hata nikikuita uniangalie mpaka nilale bado utakuwa upo ndani ya majukumu yako.......hahaha nilicheka .....Robby akatabasam.....relax .....
akanambia......sawa kaka Robby......tulikaa kimya wote kisha Robby akasema......
Nenda pale kwenye kabati utaona taulo dogo pamoja na dawa naomba ulete hapa....haraka niliinuka na kulifata kabati .....nilitembea kwa uoga maana tayari Robby alikua akiniangalia......hivi hapa kaka.....okay naomba unikande miguu na hii dawa najiskia vibaya sana....samahani kwa usumbufu mamy.....aliongea huku akiniangalia kwa dhati π yaan lile jicho la kumaanisha na nyie wasomaji kha mbona wagumu kuelewa nyinyi π ...hahahahaha......nilichukua ile dawa na taulo kabla sijamfunua shuka ili nimkande.....mlango uligongwa......pita pako wazi......Robby aliitikia.. alikuwa ni mama lulu.....jamani mmeamkaje? Salama mama shkamoo.... tulisalimiana kisha mama lulu akasema...sikitu naona uko vizuri msaidie kaka ako apone sawa mama......sawa mama .....mama lulu aliondoka na kutuacha pale.....
Unaweza kufanya sikitu....Sawa kaka ....naomba usindoke bila ruhusa yangu sawa mamy........sawa nilimjibu.......nilifunua shuka na kutoa miguu ya Robby iliyokuwa myekundu kutokana na daktari kuinyoosha .......aaah miguu mizuri balaa myeupe peeeee kama mwarabu .....mmh huyu Robby ana kauzungu ndani yake.... niliwaza..... Taratibu nilichukua ile dawa na kuanza kumasaji miguu ya Robby.....alijiskia vzr hadi usingizi ukampitia......π€£π€£π€£
Nilipoona amelala nilimfunika vzr nikaondoka Lkn nilipofika mlango tu nikakumbuka....naomba usiondoke bila ruhusa yangu .....ooh jmn nikarudisha komwe langu pale kitandani kumsubiri aamke π......lakini jmn nilikuwa natamani hata nihamie pale chumbani maana ni patamu anaelala mwenyewe ndo balaaπ€£π€£.
Nilirudi nikakaa kitandani ....sikuwa na cha kufanya usingizi ukanipitia π΄.Nilikuja kushtuka nimelala miguuni kwa mgonjwa na amenifunikaπ€£π€£π€£ yaan bichwa langu hili lipo kwenye miguu ya mgonjwa alaf amenifunika na shuka......hahaha niliona aibu wakati huo yeye yupo Bize anaperuzi simu yake..... mpenzi msomaji kwa aibu ile nilishindwa kuinua bichwa nikabaki nimelilaza palepale.....umeamka Sikitu .....Robby aliniuliza akiwa haniangalii.....hee kumbe ameniona ......Aaah samahani kaka bahati mbaya nimekulalia miguuni.....wala usijali ..ikiwezekana lala hata usiku mzima hakuna tatizo lolote ..next time usilale miguuni uje ulale hapa wenye garden love....mnaijua garden love nyie wamama hahahahaha yaani kifua kimejaa nywele nzuriiii nyeusiii......π³π³π³kusikia vile .... aibu jamani aibu uwii aibu mkojoukanibana ......
ITAENDELEA
FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000
NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA.