Nitamnyoosha huyu kaka mimi🤣🤣🤣🤸🏻♀️🤸🏻♀️🤸🏻♀️ napenda michezo ya kushindana yaani dawa yake ipo huyu kiumbe🤸🏻♀️🤸🏻♀️🤸🏻♀️nilimuomba Joel akanitolee picha zetu studio ambazo tulipiga kwenye simu mimi na Hakim🤸🏻♀️🤸🏻♀️🤸🏻♀️👌👌👌aninunulie na gundi😂😂😂maana nina jambo langu....joel akaenda ninunulia na kuniletea, nilimshukuru wakati huo Hakim sijui kaenda wapi,anajitia amesusa sijali wala nini👌👌👌yaani mimi nitamsamehe kirahisi vile kwakuwa yeye ni nani haswa....!???🙄🙄🙄mtu hata hajishushi......Loh...!🙄😔😔ila moyo unauma mbona kama hajajutia kivile😭😭😭anamaanisha ataendelea tu😢🥲
Nilitulia kama sio mimi,nitampa heka heka mpaka ajute😁😁😁nilikaa mpaka saa nne usiku hajarudi🥺sikumtafuta wala nini,nikaenda kulala na Hilda wangu😴😴😴 asubuhi yake niliwahi kuamka na kumuandalia chai mpaka alishangaa😁😁😁 sijui alidhani nampatia sumu😩😩
"Mke wangu ni umeamua tu kuandaa chai leo au?"
"Ndio,kwani kuna tatizo? Maana afya yangu iko sawa kwa sasa"
"Okay,but usifanye kazi kupitiliza,pia sijui nisemeje najua bado kuna vitu moyoni mwako,nikitoka niendako nitakuja tuongee"
"Hatuna cha kuongea niko sawa kwa sasa eti"
"Kweli....!?"
"Yes,amini hivyo"
"Nafurahi kama ni hivyo,ngoja niwahi kazini sasa"
"Sawa maliza chai basi"
Nikatoka nje na picha mbili,moja nikabandika kwenye mlango wa gari upande wa kushoto.....nyingine nikabandika nyuma......na nikaandika maker pen🤣🤣🤣🙌
'HUSBAND AND WIFE'💋💋💋ili mradi kumchokoza tu🤪🤪🤪
alipomaliza kunywa chai nikamsindikiza huku namzuga asije akaona ile picha nilobandika nyuma🤣🤣🙌hakuona akaingia kwenye gari na kuondoka,mlinzi aliona lile tukio nikamnyamazisha tu🤣🤣🤣nikasema najua tu atakuwa anaenda kwa watu wake, weekend yote hivi asitulie nyumbani kisa nini....!?😩😩😩au nimtishe nitasambaza picha za Agnes...!!? Maana ananiletea dharau wakati naweza mkomoa hata kama sio yeye basi ni my wake huyo Agnes🤭🤭ngoja nisubiri atakuja na sera gani akirudi nyumbani 🤸🏻♀️🤸🏻♀️🤸🏻♀️nilikunywa chai yangu ikashuka barabara🥴nasubiria ugomvi 🤣🤣🤣🤸🏻♀️
Mchana buana tumetulia sebuleni na Joel,mimi nacheza cheza na mtoto.....tunasikia Hakim ananiita kutokea nje
"Kulthum.... Kulthum.... Kulthum uko wapi" akaingia ndani heya heya🙄
"Kuna nini mbona hivyo?''' nilimuuliza wakati najua sababu
"Hujui ulichofanya? Unanitafuta wewe mwanamke....??"
"Sijui,kwani Joel mimi nimemfanya nini kaka yako"
"Kaka kuna nini kwani?" Joel aliuliza
"Shemeji yako ana mambo ya kitoto sana....!"😡😡😡
"Wewe ambaye una ya kikubwa ndio mazuri eeeeh...!"
"Kelele nitakupiga"
"Kaka msifikie huko jamani,kumbuka shemeji.ana mshono kaka angu....kwani tatizo nini lakini.....tusolve tusiwape watu faida"
"Nafika napoenda nakuta kabandika kwenye gari,kaandika andika hivi kuna mtu kamwambia anataka kuona huu ujinga wake?"
"Hahaha ujue Shem anazingua,ila sijaona ubaya si picha ni zenu na kubandika kwenye gari lenu jamani.......!?"
"Kwahiyo unaunga mkono huu upuuzi....!?"
"Yeah,lazima aunge mkono✋maana hamna baya hapo,tumuulize wewe kwanini hujapenda na upanic hivyo?'' nilimuuliza🤸🏻♀️🤸🏻♀️🤸🏻♀️
"Usiniletee kiburi please,sishindwi kukupiga"
"Si ndo unipigie sasa.....kwanza thubutu ndio utamjua baba yangu vizuri 🙌yaani hiyo ndio.imeanza introduction......tutaendelea"
"Kwani mna tatizo naombeni basi mniambie sisi ni familia moja" joel aliuliza
"Hakuna kitu chochote kile cha maana,sijapenda tu alichokifanya"
"Bas kaka msifikie hatua mbaya, msamehe bure kabisa"
"Mimi nishamsamehe wala usiwaze Joel....!"
"Sawa braza,na shem uache ukorofi mimi ulivyoniagiza nikakutolee picha sikufahamu kuwa unataka kufanya hivi hahahahaha......inaonyesha shemeji yangu una wivu.....unawahabarisha watu kwamba huyu mali ya mtu"🤪🤪🤪
Niliishia kucheka tu kisha nikaamua kunyanyuka na kuondoka zangu,nifuate simu maana simu niliiacha chumbani nilipofika nikamtumia Hakim zile picha za Agnes nimuone atachukua hatua gani.........!!!!🤣🤸🏻♀️🤸🏻♀️
ITAENDELEA
FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000
NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA.