Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

DOCTOR NITIBU NA HUKU KUNAWASHA🌹🌹❤️❤️❤️🌹 ❤👌👌11

1st Jul, 2025 Views 48



Nikamuuliza naenda wapiii ,,,
"Chukua baadhi ya nguo funga mlango tunaondoka , sikia Nasra wewe ni jikumu langu okay! siwezi kuruhusu uishi kwenye nyumba ya kipuuzi kama hii umezungukwa na maadui kibao "
Aliongea huku anavaa akanambia nivae tunaondoka mi naona kama utani sa naenda wapi jaman naacha chumba changu na ninavyokipenda hivyo jamani😥sema nilifurahi nikaona baby ananijali sana , nikaeweka nguo zangu baadhi alinambia nisichukue nyingi aya tukatoka pale nje alikuwa shoga anachamba hatari tukampita kama sio sie mpaka alipo pack piki piki haooo tukasepa hapo hata sijui napelekwa wapi mi mladi naenda ....

Safari iliishia tabata kwenye nyumba moja hivi yalishua ipo kimyaaa akafungua geti akanikaribisha " karibu kuanzia sasa hapa ndo nyumbani kwako " kamoyo kangu puuh ndo nishaolewa hivyo auu??? Na miguu yangu nani atauza jamani??? Nikawa natembea hatua nusu nusu bila hata kusema neno tunamaliza geti nakutana uso kwa uso na yule dada Martha haa!! Moyoni nikasema kumbe hata funguo za nyumba anazo au
"Aah Martha karibu sana " abbas alimkaribisha kwa kuchangamka kweli ilibidi mimi nipunguze mwendo zaidi na koba langu la nguo maana Martha alikuwa ananitazama sio poa hata karibu hakuitikia
"Nasraa njoo basi ndani" abbas alinirudia akanishika mkono kiniingiza ndani mlangoni alikuwa amesimama Martha akauliza "huyu nae vipi " huku akiibinua midomo yake
"Aah huyu anaitwa nasra kuanzia leo ndo nitakuwa naishi nae hapa ndani , twende Nasra" nikajiuliza mbon hajamwambia mimi ni mpenzi wake isije kuwa akanitambulisha kama mfanyakazi wake mie mbona nitakoma 🙌🙌
"Kama namjua???" Martha akawa ananitazama kwa makini kwelii akasema tena "oooh ni wewe tenaaa??" Huku akipisha mlangoni sie tukapita mashaallah seble ilikuwa nzuri mpaka raha sikushangaa abbas kunukia kiasi kile mana seble yake inanukia mnooo yaan mpaka rahaaa kiharufu cha kipoaji
"Mbona hupokei simu zangu leo tangu asubuhi??" Martha akamuuliza abbas
"Kuna mambo yalikuwa yananibana bana hivi mhu nambie nipo hapa"
"Njoo tuongee huku" Martha alimvuta abbas wakaingi kwenye chumba kimoja kilikuwa mbele nikawaza sijui niwafate hukoo mi hata siwaelewi hawa , yaan siwaelewi nisije kuwa natumia mimi na huyo abbas ohoo , nipo najiuliza akatoka Martha akapitia mkoba wake kama mtu mwenye hasira na kuondoka zake bila hata kuaga ,nyuma nae alitoka abbas akiwa kawaida tu yeye
"Ngoja basi tupike au sio" akanambia huku anatabasam akapiga hatua kama mbili hivi akarudi "ooh mgeni hata sijakukaribisha eeh"
Mi nikatabasam tu tabasam la hasira hapo akili yangu ishahama tayari nawaza tu matukio ya huyo Martha,
Akanishika mkono mpaka kwenye kile kile chumba ambacho aliingia na Martha
"Haya badili nguo hapo uoge hichi ndio chumba chetu mazingira mengine nitakuelekeza pumzika kwanza mamaa eeh"
Mh nikaguna tu hapo tena akili ikavurugwa mbona Martha aliingia humu kama mwenyeji sana yaan Martha anaingia chumbani kwake kwa kulala kama anaingia chooni au sebleni alarm iligonga kichwani hapa sio salama kabisaa ,, ukisikia kutelekeza biashara kisa mapenzi afu yananitokea puani ndio hapa sasa yaan sikuwa hata na ile furaha ya kupajua kwake kama ule muda natoka hom nilikuwa najitapa kwa kutembea mapana yote 6 , nimelowaaa hii picha niliyoiona mbele yangu .

Abbas alikuwa anajitahidi kweli kunichangamsha nilikuwa naziona jitihada zake lakini akuu nipo nipo tu ...
Tukala akanitembeza nyumba yote ilikuwa ni nyumba ya vyumba vitatu jiko na choo humo humo chumba kimoja mastar geti kubwa nyumba ilikuwa imejegwa vizuri mjengo wa kisasa imetulia akanambia baada ya kuajiria ndio alipanga hapo nikasema tu sawa ...
Asubuhi alitoka kwenda kazini maana ilikuwa j3 W/end zimeisha , akaniachia maelezo vizuri kila kitu kipo ndani lakini aliniachia pesa ya akiba kama nitatamani kitu kingine jamani sijawahi kuishi haya maisha et naachiwa pesa ya kula?? Mmh ile akili niliyokuwa nayo usiku kucha ya kuondoka kurudi kwangu nikajikuta inapotea yote nikaandaa zangu msosi wa asubuhi mzitooo🥰🥰 nishazoea Rakshal za mtaani kwetu mihogo imeisha au maandazi😀 .. mchana umefika hata hamu ya kupika sina baby akanitext (Queen umekula) nikatabasam haya si ndio mapenzi sasa🥰 ila sie wanawake bwana yaan zile hasira nilizo kuwa nazo jana sijui hata zilienda wapi jamani 🙌😀
(Bado wangu) nikamjibu huku nacheka cheka
(Kama haujiskii kupika kuna mtu nimemuagiza chakula hapo anakuletea)
Hee na nilivyokuwa nimeshiba jaman nikasema huu si uhalibifu wa hela huu na chakula , muda kidogo nikasikia geti linabishwa hodi nkatoka nilimkuta kijana akanambia Doctor kanambia nikuletee chakula 🤩🤩 weuweee et mi ndo mke wa Doctor sasa 😀😀 nikachukua nikarudi ndani baby akanitext umepata nikasema ndio asante sawa mke wangu kula ushibe) weeeee 🥰🥰🥰 almanusra niangushe sahani la chakula jamani mke tenaaaa👌👌👌 waniache mke wa Doctor miee tena msudanii afu handsome boyyy🤩🤩nikatamani hata tukaishi kule mabondeni kwetuu niwaosheee wale mashangingiii😜😀 mpaka wahame mitaa , sema huku ushuani hakuna anaejua Shida nilizopata kwenye mahusiano yangu🤗 ..

Nimemaliza zangu kula hapo tunachati tu na baby muda wote ananiuliza vipi uko boad sana mamaa??? Nami ndio baby ,akanambia nawahi kurudi kwa ajili yako sawa mke wangu ,hilo neno mke wangu jamani nilikuwa nahisi kuchanganyikiwa mwenzangu hapo ndo sijaolewa nikiolewa miee🙌🙌 sijui ...
Akanambia wait kidogo kuna kazi hapa nikimaliza hii natoka nakuja kukuwahi mke wangu Tutafute watoto😋 mwili ukasisimka kwanza ile movie ikapita kichwani 🤗🤗 nikasema wahi baby ushaamsha ma vitu vitu hapaaa😀😀 akasema wee usitake nipae nije mana namuona na jamaa kashaguna huku🤣 basi nikacheka nikamwambia badae fanya kazi usije ua vitoto vya watu buree😘 nikatupia simu yake pembeni kwanza nikaanza kutazama movie maana hiyo ndio mood yangu namba mojaa napenda movie hatari ....

Nipo zangu bize na movie nashangaa mlango unafunguliwa nikajua baby nainuka huku nasema kumbe ulikuwa njiani ??? Nikabaki mdomo wazi mana aloingia sio mgeni ninae mtegemea mie alikuwa martha akatupia pochi yake juu ya kochi "za hapaaa" nikasema poa , hakuongeza neno akaenda chumbani nikawa nashangaa huyu mbona anapozoea humo chumbani kiukweli nilijisikia vibaya mnoo, nikajiona mimi sina thamani kabisaa tena alipozidi kunivuruga akili huyu mwanamke akatoka amevaa Tshirt na pensi za Abbas khaa nilisikia hasira mpaka machozi yalinitoka akaenda jikoni nasikia mtu anakaanga mayai huko daah😥😥nikaona hizi ni dharau aiseee tena dharau mnoo , nikachukua simu nikampigia abbas mara kibao akawa hapokei nikapiga hapokei nikamtumia sms naenda Nyumbani kwangu na marufuku kuja kunichukua , nilikuwa na hasira lakini kila nikitaka kuondoka moyo mzitooo yaan nawaza kweli nimuache abbas hivi mwanaume ambae sijawahi hata kumuota jamani??
Au nipambane tu na huyu Martha nitakuwa nawaachia achia wanaume mpaka lini kwanza ?? Ila mimi ndio mwizi mana Martha nimemkuta na abbas !!! ...
Kichwa kilikuwa kinauma moja haisimami mbili haikai jamani , Martha akaja mpaka pale sebleni akawa anakula chips zake na mayai ,
Sasa mimi nimeweka movie akachukua limoti akaweka Dadaz khaaa😥😥 huyu mjinga hivi ananionaje mimi??
Nilikuwa naona hasira zinazidi kuondoka kumuachia nyumba?? Aah wapi hilo wazo liligoma kichwani , nikatoka zangu nje mpaka nyuma ya nyumba kule kuna miti miti hivii

Nikawa nimekaa,,, ndo nililiaa wew nililiaa yaan hasira , duku duku naapa sijawahi kulia mimi nimeachwa mpaka nimezoea kuachwa nimefumania wanaume zangu mpaka na mashoga zangu na sio mmoja lakini sijawahi kuumia roho hivi , abbas kweli nampenda nampenda mnoooo...

ITAENDELEA....
Full story sh 1000
Njoo WhatsApp 0781858056.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DOCTOR NITIBU NA HUKU KUNAWASHA🌹🌹❤️❤️❤️🌹 ❤👌👌11  >>> https://gonga94.com/semajambo/doctor-nitibu-na-huku-kunawasha-11
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

GIGY MONEY DAH😭

majario rewards 100 Comments 0
 

YOUNG AFRICANS,

majario rewards 100 Comments 0
 

BAKORA VILLAGE

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 7...8

majario rewards 100 Comments 0
 

HUYU KAKA EPISODE 2

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE...5...6

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 3...4

majario rewards 100 Comments 0
 

HUYU KAKA 1

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈21

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈20

majario rewards 100 Comments 0
 

DADA WA KAZI EPISODE 8

majario rewards 100 Comments 0
 

DADA WA KAZI EPISODE 7

majario rewards 100 Comments 0
 

Life in a Year (2020)

majario rewards 100 Comments 0
 

Kenya, Tanzania, Congo

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 40

majario rewards 100 Comments 0
 

POSHY QUEEN:

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 39

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈19

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈18

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈17

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈16

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈15

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 05 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 04 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 03 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 02 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 01 ❤❤.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 34

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈14

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈13

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TUWASHUKURU KINA BABA

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest