Pacome ilibidi amtazame Mzize kwa huruma kwamba Mdogo wangu huyo Refa ni moto niulize Mimi kwenye box pale๐
1st Jul, 2025 Views 35
Mzize alibutua mpira hapo baada ya filimbi akafuatwa akaambiwa nimehesabu nimefuta sasa kifuatacho unachezea kadi, unaambiwa ndiki imepigwa jana hakuna kulala lala hovyo uwanjani.
Madaktari jana unaambiwa wameingia mara moja tu uwanjani, sijui wale huduma ya kwanza jana wamekula hela ya bure hakuna Machela uwanjani, hawa Marefa aibu Wanangu ๐.
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
Pacome ilibidi amtazame Mzize kwa huruma kwamba Mdogo wangu huyo Refa ni moto niulize Mimi kwenye box pale๐  >>> https://gonga94.com/semajambo/pacome-ilibidi-amtazame-mzize-kwa-huruma-kwamba-mdogo-wangu-huyo-refa-ni-moto-niulize-mimi-kwenye-bo #Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war