Nikawa nimepa Go Ahead afu mvua ilikuwa imekata wakati huo kuna vi manyunyu vya mbalii vinasherehesha batiii , nilijikaza kugugumia bila kutoa sauti lakini yalinishinda wee ilibidi nianze kushindana na kelele ya bati bado yakanishinda sauti yangu ilibdi iwe juu niliimba mapambio na maomboleza naapa sijawahi kupelekewa kama hivii achana na wale wanapeleka moto ukitoka hapo kuna wakaa kwa bibi , Abbas aliniimbisha hiyo siku mpaka anamaliza nipo hoiii hata kuomba maji nilishindwa , nipo nahemea haraka haraka mlango ukagongwa nikasema huyu nae nani sa hizii kuniharibia mood kwanza anataka nini nikachukua kitenge nikatoka nilipo fungua mlango alikuwa emmy amevuta midomo kwelii
"Humu ndani wote tunajua kufanya mapenzi tukisema kila mtu amsifie mpenzi wake huyo wako mbwa tu kwahiy jitahidi mechi zenu ziishie kwenye chumba chenu"
Eeeh niliona aibuuu🤔🤦♂️🤦♂️ kumbe nilikuwa najinadi kwa sauti na vile nilikuwa natoa kila sifa nyie nimekutwa na nini?? Hata sikumjibu nilifunga tu mlango nikamuacha anasonya , nikarudi kwa Abbas wangu akanikumbatia vizur kwenye jifua lake huku maneno matamu ananipa kama yote ...
Nikamuuliza "kwahiyo unaniacha lini"
"Eeh ,,,niniii ??? Sijakuelewa??"
"Unaniacha lini?? Wanaume kawaida akitembea tu nawewe ndo mwisho kwahiyo nataka kujua kabisa ili nisikusumbue "
"Nasra came on!!!!!!!!" Alivuta akanikumbatia vizuri akanipa busu la paji la uso
"Kila kitu anapanga mungu nasra ,Mi nakupenda sijakutamani tuombe mungu tufike mbali sana sawa natamani mimi niwe mumeo nasra"
Puuuh❤❤ ni mwanaume wa kwanza kunitajia neno mume wangu 😥😥 Sijawahi mimi kudanganywa et nitakuoa hakuna jamani alie wahi atleast huyuuu moyo wangu ulipiga kwa uchungu mpaka chozi likatoka la huzuni nilijisikia huzuni sana akanikumbatia tena vizuri akawa anakiss karibu uso wote
"Naomba niwe mume wako Nasra siku za mbele please " sikuwa hata na jibu la kumpa kwanza nilijikuta natetemeka sijui kwa furaha au Huzuni au hofu sijui ...
Simu yake ndo ilinitoa kwenye ile hali ilikuwa inaita kwa umbea nikajiuliza sa hii usiku nani anampigia?? Nikahisi wivu ilikuwa pembeni ya kitanda nikapiga jicho la wizi pale anaichukua nikaona jina Martha hee huyu mwanamke tena huyu nikawaza itakuwa wanamahusiano huyuu
" mpokee Mpenzi wako huyo!!!" Nikasema huku najitoa mikononi mwake ,akanitazama tu nilivyokuwa nimekuja uso,afu akacheka akaipokea afu akaweka sauti kubwa
"We Abbas kwani upo wapi???" Ilikuwa ni swali baada tu ya kupokea simu
"Kuna sehemu nipo kwani vipi???"
"Unakuja sa ngp mi nipo hapa kwako tangu sa kumi na mbili lakini kimyaa "
"Aah Martha kwakweli leo sintarudi mpaka kesho asubuhi"
"Kwani upo wapiii???"
"Kuna mtu wangu wa karibu sana nimekuja kumcheck hukuu"
"Mmmh nielekeze nije "" hee nikashangaa hawa watu vipi mbona kama Martha amepanic sana ?? Nilihisi hawa ni wapenzi hawa sio Rahisi kupanic kama watu mnajuana tu nilimkata jicho kali abbas afu nikainuka zangu
Sehemu ya 10
"Aah Martha embu tulia nitakucheki au tunaonana asubuhi sawa" alikata simu akainuka kunifata nimekaa zangu kwenye kochi hapo nimenuna sio poa😡
Akanishika mkono akanambia "sio hivyo Nasra , mi sina mahusiano nae lakini nilikuwa na mazoea nae pindi tu nimeanza kazi pale , sijawahi hata kufikiria ipo siku nitamtaka "
"Muongo!!!"
"Kweli nasra naapa sijawahi hata kumtamani"
"Mh muongo"
"Nasra !! " akanikumbatia tu wala hakusema kitu tena!! Akanibeba juu juu akanibwaga kitandani wacha aanze kunitomasa nikalegea , mechi ikaanza nilimaliza hapo hata Martha sina shida nae tenaaa !!!
Asubuhi simu ya Martha ndio ilituamsha jamani huyu dada nimejikuta tu ananinyima raha , Abbas aliitazama akanitazama na mimi jicho nililokuwa namtazama mpaka alicheka afu akanivuta kifuani kwake
"Usije bure ukapasuka malkia wangu bwana"
"Malkia wapi, si ulimuahidi mtaonana asubuhi haya nenda zamu yake " nikamjibu huku nimevuta mdomo hatari
" nashinda hapa kwako leo au unatokaa??" Nikasema mi nipo stoki popote, kweli mapenzi kitovu cha uzembe nikasahau kabisa natakiwa kuuza utumbo wa kuku hukoo, niliamka nikaandaa chai afu nikapeleka maji bafuni sa wakati natoka kumchkua abbas tunaenda bafuni , chumba cha jirani yangu emmy nikasikia purukushani humo sec mbili tu najiuliza emmy alisukumwa nje akaanguka chalii afu kavaa nguo ya ndani tu na kama unavyojua asubuhi mishe mishe kibao watu wengi , niliona aibu mana nilipo mwangalia abbas alikuwa akimtazama nayeye
"Ndo uswahilini kwetu huku twende zetu" nikamshika zangu tena kimahabaa🥰🥰 kumuoshea emmy tukapita hapo hapo karibu yake moyoni nasema ulilochukua umenitolea chafya sasa napumua asante 👌👌 .
Mumewe alitoka ndani nae ana boxa tu yaan hawa mpaka wanatia aibu alifika akamshika shingo kwa nguvu afu kamuwekea goti kifuani abbas akanambia si anaweza muuwa kweli we Nasraa , uso wake ulikuwa na woga kwelii nikamwambia achana nao ni wapenzi haoo....
"Nakuuwa we mwanamke nakuuwaa"
"Niuwe mjinga wewe nimekuchokaa, Toka kwangu tokaaaa!!! Nikulishe kodi nilipe kazi yako kunifanya tu usiku na mchana na hilo dude lako kama punda Nenda tokaaaa!!!!"
"Unasemaje wewe maraya wewe mchawi si uliniroga mimi wewe" mika alimpiga ngumi ya uso emmy nae hakuwa kimya si tunaoga zetu huku tunasikiliza Burudani tena nasingwa mabegani mpaka mgongini Aloo👌👌🥰🥰 hilo balaa lao hukoo kuna maneno nikasikia Emmy anamwambia mika alinichefua
"Nenda kwa huyo huyo Nasra wako ulomzoea umemtanua Hilo dude lake sio mimi mjinga wewe , Nasra si ndio alizoea kukulea?? Mimi kwangu umegonga mwamba weweee !! Nenda kwa huyo maraya mwenzio aliegeuza chumba chake gest nawe nenda kapange foleni hapooo"
Khaa !!! Nikasema huyu mbona anataka kuniharibia mimi Cv tena yaan binadamu si ni yeye ndo alimchukua mika kwa mapana 60 na ndoa juu , nilijifanya kukausha Abbas akaniuliza anakuongelea wewe??? Nikamwambia achana nae mjinga tu tuogee ..
Ila emmy akaendelea yaan ni kama vile akaacha kuchambana na bwana ake akabaki kunichamba mimi ambae hata sikuwa nahisika na ugomvi wao
"Unafikiri sijui ile siku umemuita mkaongea akatoka nawe ukatoka au unafikiri hiyo taarifa sina ?? Najua sana kama unatembea na huyu Nasra najua mwenda wazimu wewe na huyo mwanamke wako "
Wakati tunatoka zetu kuoga shoga ndio alipamba moto sasa tena anaongea huku ananitazama ....
ITAENDELEA.....
Full 1000
Njoo WhatsApp 0781858056.