Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

HAIZIMI 04 โคโค.

1st Jul, 2025 Views 54



ENDELEA...........
"Hapana sijasema hivyo ila nataka tu kujaribu kuona kama nitapona, naomba nisaidie kwa hilo Sandra twende ukani.....pe mara moja tu na baada ya hapo sitakusumbua tena nitakuacha uendelee na maisha yako"
Mwonekano wa Oscar ulimtia huruma mpaka Sandra mwenyewe na kujikuta akimhurumia.
"Naku...pa mara moja tu kwakuwa uliwahi kuwa beb wangu sasa ole wako uje unisumbue tena!"
"Sitakusumbui!"
Sandra aliingia ndani na kujiandaa na baada ya hapo wakatoka wote na kuelekea kwenye lo..dge ya mbali kidogo, moyoni Oscar aliona kabisa Sandra hausiki na kumfanya yeye kuwa kwenye hali hiyo kwa jinsi alivyokuwa ila alitaka kuthibitisha kama alivyopewa maelekezo na mganga wake, walifika na Sandra alitoa ngu...o zake chapu chapu na kuongea.
"Sina mda wa kupoteza, fanya haraka haraka kabra mzungu wangu hajarudi nyumbani!"
"Sawa!"
Oscar naye alito...o ng..uo zake na kuzitupa chini na show ikaanza.

Aliyetaka wadinyane kwa mda mfupi alibadilisha mawazo na kutamani waliendeleze mpaka pale atakapotosheka na Oscar naye hakutaka kukakataa, mchezo ulichezwa ukachezeka, Sandra hakuwa mzembe mbele ya Oscar kwani alijua kui...kati..a haswa mpaka Oscar akahisi wakishamaliza kufinya basi mrija wake lazima usinyae na ulale kabisa.
"Mimi nataka iwe ivi ivi Oscar isil...ale!"
Sandra alijikuta akiongea baada ya uho..ndo kumkolea.
"Au unaonaje kipnz!?"
"Nitawahi kufa misuli inauma!"
"Huwezi kufaaa Oscar ona inaku...na mpaka huku Oscar!"
"Wapi!?"
"Huku kabisa kwa ndani!"
Oscar alitulia na kumuacha Sandra ajihudumie mpaka pale atakaposema basiiii, na baada ya mda Sandra alichoka mwenyewe baada ya kuvunja madafu ya kutosha wakati huo Oscar akiwaza atakavyopona.

Sandra aliingia bafuni na kupiga maji na baada ya hapo alitoka na kuvaa nguo zake huku Oscar akiwa kala....la kitandani vile vile mpini ukiwa bado nd..iii.
"Mmmh pole sana yaani aliyekufanyia ivi hakupendi kabisa ila hata hivyo ndiyo vizuri na mke wako anafa...idi mno Oscar!"
"Nichukulie vidonge kwenye suruali yangu!"
Sandra alisogea mpaka ilipokuwa suruali ya Oscar na kuchukua vidonge na kumpatia na Oscar alimeza na kidogo ilisaidia kupunguza maumivu ya kwenye misuli na kunyenyuka.
"Pole jamani nipe namba zako nitakutafta baadaye nikujulie hali na kama utakuwa na shida utaniambia ili nikusaidie kpnz"
Oscar hakutaka kukataa zaidi ya kumtajia namba zake na baada ya hapo kila mtu alipita njia yake.

Sandra alifika uzunguni na kuikuta gari ya mme wake ikiwa imepaki nje, moyo ulienda mbio maana alijua ni kipi atakachokutana nacho akiingia ndani ila alijikaza na kuzama ndani hivyo hivyo na kumkuta mmewe kakaa kwenye kochi akisoma zake kitabu, alimsogelea na kuanza kujibe..bisha ili asigundue kama katoka kupasha na Oscar.

Upande wa Oscar yeye alifika kwake na kutulia kwenye kochi akiwaza ni nani anayefata na atakayekuwa kamloga na kuifanya idi...nde mda wote.
"Kwema ulikotoka huko!"
"Aaaaa sio kwema!"
"Mmmh kwanini!?"
"Inauma mno!"
"Au leo hujatumia dawa ya kupungu maumivu?"
"Nimetumia ila mambo bado ni yale yale tu"
"Pole sana mme wangu alafu ngoja....
Vero aliingia chumbani na baada ya mda alitoka akiwa na begi dogo na kulifungua.
"Nimekununulia suruali pana ili watu wasiwe wanakuona hovyo"
"Mimi na suruali pana wapi na wapi?"
"Huna jinsi Oscar ona tu hapo ulipokaa linaonekana limesi...mam kabisa?, sasa kwanini ukatae kuvaa mabuga?"
Kishingo upande Oscar alikubali na kuingia zake chumbani, mawazo yalihamia kwa mwanamke yupi anayetakiwa kumtafta ili athibitishe na ndipo sura ya binti aliyekuwa akiitwa Belinda ilipokuja kichwani.

Alimkumbuka vizuri binti huyo mwenye mapepe na mpenda pesa, wewe njoo na pesa tu u..tamu utaupata mda wowote ule unaoutaka na ndiyo maana Oscar hatumia gharama kubwa kumpata, siku iliyofata alianza kazi ya kumtafta kwa kwenda mpaka sehemu aliyokuwa amepanga Belinda na kukutana na taarifa mpya za Belinda kurudi nyumbani kwao, hakuwa na njia nyingine Oscar zaidi ya kurudi kwake kufanya maandalizi kwa ajili ya safari ya kwenda kumtafta Belinda na mkewe alishangazwa na safari yake ya ghafra.
"Mbona huniambii mme wangu, safari ya wapi tena?"
"Naenda kuchukua mzigo mpya wa biashara"
"Mmmh Bon si yupo lakini na uliniambia mwenyewe kuwa mmeshayaweka sawa mambo yenu!"
"Kuwa mwelewa Vero, unaona kwa sasa nipo kwenye matatizo makubwa alafu bado tena unanichanganya na wewe au unataka nife?"
"Hapana sitaki ufe"
"Kama hutaki mbona hutaki kunielewa!"
"Basi yaishe mme wangu!"
Oscar aliliweka ru.....ngu lake vizuri na kuendelea kupumzika na siku iliyofata Vero alipanga nguo zake kwenye begi na kila kitu kilipokamilika Oscar alibeba begi lake na kuondoka na alipofika kwenye stendi ya mabasi Oscar alipanda kwenye basi la kumpeleka mpaka anapoishi Belinda na kutulia na baada ya mda pembeni ya siti aliyokuwa amekaa yeye alikaa binti mwingine mwenye miaka kama 26 ivi.
"Kaka mambo!"
"Poa tu!"
Alimjibu kiufupi na kuegemea zake kwenye siti yake akiutafta usingizi na binti katika kuangalia kwake aliona jinsi mashi...ne yake ilivyokuwa imenyooka.
"Mmmmmmh huyu kaka kanitam...ani tayari!?"
Ndio mawazo aliyokuwa nayo baada ya kuona mpini wa Oscar umesoma tena kasi ya 5G pasipo kujua kama ni gonjwa kubwa linalomsumbua mwenzake.
Safari ilianza na binti alivaa zake headphone na kuendelea kula mdundo taratibu ila macho yake hayakuacha kula chapo kwenye bako...ra ya Oscar iliyokuwa wima tu toka safari imeanza na mwisho uvumilivu wa kukaa kimya ulimshinda binti wa watu na kuongea........ITAENDELEA.

Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801

Namba za Malipo ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

0613083801 HALOPESA JINA JOHN
0748697173 M-PESA JINA JOHN..
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

HAIZIMI 04 โคโค.  >>> https://gonga94.com/semajambo/haizimi-04
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

YOUNG AFRICANS,

majario rewards 100 Comments 0
 

BAKORA VILLAGE

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 7...8

majario rewards 100 Comments 0
 

HUYU KAKA EPISODE 2

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE...5...6

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 3...4

majario rewards 100 Comments 0
 

HUYU KAKA 1

majario rewards 100 Comments 0
 

DADA WA KAZI EPISODE 8

majario rewards 100 Comments 0
 

DADA WA KAZI EPISODE 7

majario rewards 100 Comments 0
 

Life in a Year (2020)

majario rewards 100 Comments 0
 

Kenya, Tanzania, Congo

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 40

majario rewards 100 Comments 0
 

POSHY QUEEN:

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 39

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 34

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TUWASHUKURU KINA BABA

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest