By Babie LOve
Daaaaaaaaah nyieee🤣🙈nilihisi kufa si kufa yani mmhhhh Bill hakuniacha mpaka alipokojoa🙈alinikumbatia akaanza kuninyamazisha..
Mimi hapo ninatetemeka mwili mzima miguu ishaingia ganzi duh😰nilimwambia Bill sitaki tena kufanya hivi😭 umeniumiza naumiaaaaaaaaaaa
Alinibembeleza Bill wangu nikanyamaza aliamka akaenda kujisafisha dudu yake ilikuwa imejaa damu..
alinifuta futa akanivisha kijola alafu akakunja kunja zile shuka akatoka kwenda kuleta barafu anikande pale panapouma🥲baada ya Bill kutoka alikuja mama pamoja na Baila..
Walinikuta niko hoi nywele kichwani zimesha vurugwa nimeshalia macho mpaka yamekuwa mekundu mama alielewa kinachoendelea alifurahi sana aisee..
Aliniambia pole ndo ukubwa huo alimuangalia Baila akamwambia mtizame mwenzio alicho mzawadia mumewe hii ndio zawadi pekee inayompa mwanamke heshima kwa mumewe..
Baila alimwambia mama I understand mom kalikuja kakanikumbatia kawifi kangu kakanipa pole🙈Bill alirudi akawakuta pale chumbani akasubiria watoke ndo aingie..
Mama alichukua zile shuka akatoka nazo Bill aliingia na maji ya kunywa akanipatia alafu akanikanda kanda baada ya hapo akanipa dawa za maumivu..
Nilipumzika maumivu yakapoa nikaenda kuoga🙈 basi nilikaa kama siku ngapi nikawa nimerudi kwenye hali yangu ya kawaida..
nakumbuka baada ya kupona siku hiyo baba mkwe aliniita asubuhi akaniuliza unaendeleaje Paris Daaaaaaaaah 🙈niliona aibu nahisi mama alienda kumwambia habari za bikra..
Nilinyamaza nikaangalia pembeni🙈baba aliingiza mkono mfukoni akatoa wallet aliifungua akatoa card ya bank akaniambia hii ni ya kwako binti yangu..
Nilipokea nikamwambia asante baba..akasema usijali mwanangu alichukua pen na notebook akaniandikia namba ya siri akaniambia pokea hii kuwa makini usiipoteze okay..nikamwambia sawa baba nashukuru sana..
Nilifurahi sana jamani🙈huko bank niliwekewa pesa na baba mkwe wangu❤️mama mkwe yeye alinizawadia kapu la mwali💃💃 najivunia sana huyu mama ananipenda kama mwanae wa kumzaa
Mama mkwe aliandaa party akaalika ndugu zangu na ndugu upande wa Bill ilifanyika party ya kunikabidhi kapu la mwali hivi mnalijua kapu la mwali kweli??
Hilo ni kapu lililosheheni zana za chumbani ni kapu kubwa lililopambwa na kudizainiwa kwa umaridadi mkubwa
Lilijazwa vitu vya muhimu kwa mtoto wa kike aliyeolewa🙈shanga, kanga, vitambaa vya kufutia naniliu🙈chupi za kumvalia mume🙈perfume nzuri za kumvutia mume..
Mashine za kunyolea kwa bibi🙈 mashuka matamu ya kumtandikia mume🙈mito mahaba🥰lile kapu lilijazwa zana zote zinazohitajika ndani ya chumba cha mwana mwali..
Party ilibamba sana🥳🥳🥳nilizawadiwa na kupongezwa pia😍😍nilikabidhiwa kapu la mwali bila kusahau zawadi mbalimbali walizozileta ndugu waalikwa😘😘party ilikuwa ya wanawake tu
nilipewa nasaha za namna ya kumlinda na kumtuliza mume mama yangu pia alitunzwa zawadi nyingi sana kama pongezi ya malezi mazuri kwangu❤️mama alinishukuru kwa kumheshimisha..
Alikabidhiwa na zawadi ya kumpelekea baba😍😍nilifurahi jamani😍sherehe iliisha watu wakaondoka😘😘Bill alirudi nyumbani usiku akaniambia nayeye kuna zawadi kaileta kwa ajili yangu..
Alinifunga kitambaa usoni kisha akanishika mkono tukatoka nje😩 alinitoa kitambaa machoni akaniambia nifungue macho🙈 nilifungua macho nikakutana na familia nzima wako mbele yangu..
Niliangalia huku na kule sikuona zawadi yoyote wakati natizama huku na kule ghafla nikasikia supriseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ziliwashwa taa za nje alafu pale waliposimama wanafamilia ndipo ilipokuwepo zawadi yangu..
Ilikuwa zawadi ya gari nilikabidhiwa funguo na mume wangu Bill😘😘nikafunguliwa mlango nikaingia zangu kwenye gari😍😍nililia kwa furaha
nilimkumbatia mume wangu nikamshukuru kwa kila kitu❤️❤️❤️Bill aliniambia Everything is for you, my love...
Tulianza kupondana na yale Maputo yaliyokuwemo kwenye gari🤣🤣wote mpaka baba mkwe na mama mkwe🤣🤣🤣na kichaa wangu Bailaa bila kumsahau mbabe wangu Bill..
Kiukweli sijutii kuolewa kwenye hii familia ni watu wenye umoja na upendo❤️❤️❤️usiku huo mimi na Bill tulirudia kufanya mapenzi kwa mara ya pili siku hiyo wala sikuumia🙈nilisikia utamuuuuuuuu
Tulikesha tunatombana💋😋❤️ nilimvalia mume wangu shanga fulani hivi nikajinyunyizia na perfume fulani hivi inanukia kama passion nyieee haiishi utamuuuuuu
Bill alinitomba bila kuchoka kile kiharufu cha perfume kilimfanya anigande mwilini muda wote..aliniambia maisha yetu hivyo ndivyo yatavyokuwa tutabaki wawili na familia zetu tu..
Wale marafiki zote akina Morgan na wengineo Bill aliwapunguza kwenye maisha yake😍😍yule ex wake nae alihama mji baada ya Bill kushindwa kumkubalia hitaji lake aliona ni bora aende mbali akayaanze maisha mapya huko..
Mimi na mume wangu bado tunadunda InshaAllah tutaendelea kuwa pamoja mpaka mwisho. Wifi yangu Baila tayari amesha chumbiwa na mchumba wake na wanatarajia kufunga ndoa hivi karibuni..
Asanteni na hii ndo tamati ya simulizi hii tukutane katika simulizi zingine zitakazofuata..
All the best
MWISHO*.