Mi kuskia hivo nikaanza kuishia wenyewe wasolve mambo yao😂💔
Darwin : Carl wait..huskii hataki hii hotel anasema iko chini
Me : Bro.. you gave me an assignment and i delivered..wewe tuonane kesho
Darwin : Wait..nadai unisakie hotel ingine
Me : I can't do that bro
Darwin : Please..
Manze ikabidi nirudi tena tusake hotel. Tulizunguka tao hadi 10pm ndo tukapata hotel huyu manzi alikua anadai💔. Nilifeel amebiboo sana😂. Alikua mzungu wa kwanza kunisinya kwa hii dunia😂💔. Nikatoka hadi kwa gate
Soldier : Ooh ndo kuingia
Me : Yeah
Soldier : Si ungenikujia hata na kasigara bana
Me : Next time nikunbushe😂
Soldier : Sawa unajua hii baridi usiku inataka moshi kidogo😂
Kuingia tu hivi kwa compound naona Quincy amesimama mbele ya hao yao💔
Me : What's up
Quincy : Carl Darwin is my bro lakini kindly wachana na yeye..atakuingiza kwa moto...if dad knows about this utakua pabaya..i know leo halali hapa atakuja kesho na Story za uongo.. najua jana he slept at your place ju anajua hawezi tumia drugs kwa nyumba ya dad atajulikana💔
Me : Whaat?.. drugs?
Quincy : Yeah.. I'm trying to save you Carl that's why unaona hata sijalala up to now..nimekua nakungoja nikuambie..i know Darwin is using drugs.. I'm the only one who knows it na amekua addict..so chunga ju i know Darwin..akishikwa nazo ataambia dad ni wewe ulimpea..dad will pin you down akisema you have influenced his son into drugs💔
Hapa kisubmarine Quincy was right. Darwin na hizo drugs ataniweka kwa moto na vile niliambiwa huyo ndo roho ya babake💔. Ukimguza you are finished hio ni ka umeguza Marcel sehemu flani illegal 💔😂
Me : Nimeskia.. there's nothing fishy going on.. Darwin ako tu shuguli zake
Quincy : Okay..
Akaingia kwa hao na mi nikajipin kwangu. Morning nikaamshwa na makelele nje💔. Nikafungua window
Mama Bianca : Aki niliwakosea wapi jamani💔.. Marcel why are you taking my cars away 😭
Bianca : Dad why are you doing this to us?
Marcel : Mnabaki na magari mbili.. I'm taking the other three..hamna faida kwa hii boma..ni kukula tu na kunijazia choo..she.nzi sana💔..na wewe Bianca nataka nione umeanza kazi.. I can't invest in you then ukuje kukaa hapa mkini letea hasara..kama hamuendi kazi muende muolewe mabwana zenu wawalishe.. I can't be feeding three old women who bring nothing to the table..mbona msikue kama Quincy?..i gave her a job and she took it right away
Audrey : I hate you.i haate you dad😭..i regret..naregret sana kuzaliwa na mtu kama wewe
Marcel : Matusi mamako amekufunza ndo unakuja kuniambia kwa boma yangu?..nimekata WiFi, nimechukua magari na bado..mama Bianca funza watoto wako wawe na tabia sio kufanya ujinga kama yako..like mother
Britney : Dad..come inside.. Shh..dad kindly stop this you are being dramatic💔
Britney alipewa kofi hadi mate ikaruka💔. Hio before apone lazima daktari aitwe😂💔. Kisubmarine mi nilikua tu nachungulia kwa dirisha hata siwezi fungua mlango💔. Mama Bianca alikua analia mbaya sana hadi nikakua touched 🥲
Mama Bianca : Marcel k.ill me..kuja uniue mubakii na furaha na huyo mal.aya wako..mama Quincy uliniharibia marriage na kama kitu mbaya itakuja nifanyikia I'll blame you.. you ruined my marriage.. kwa hii boma sina peace, watoto wangu hawana amani kabisa.. reason being you
Mama Quincy : Aki sasa mimi natokea wapi kwa hio maneno..mbona unaniingiza kwa maneno yenu na Marcel
Mama Quincy alikua anajitoa na niliskia akimbia Marcel afanye hio mambo yote💔
Mama Bianca : Mimi si m.jinga..i am his first wife na najua Marcel vizuri..hii ni wewe ulimuambia.. you have more than 10 cars sasa hata hizi zangu tano pia mnatoa tatu?... WiFi mlikata sasa si jui next mtanikata mimi hii matako yangu mchemshe supu ama?😳
TO BE CONTINUED 🔥
The co-wives season 5 now available pdf🥳. 0793629249.