Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

BABAMKWE...5...6

1st Jul, 2025 Views 35



Tukiwa njiani tunaelekea nyumbani Baba mkwe alinikumbatia aliniweka kifuani kwake

Nilitulia lakini nikiwa namuonea aibu sana kwani kitu kilochofanyika kilikuwa chakustukiza sana kwangu sikuwa nimejiandaa kabisa

Alikuwa akinibusu busu tu kichwani na kuniambia asante sana fiona kwa kunielewa

Tulitembea mwendo kiasi tukafika nyumbani tulikuta kweli Tony mumewangu kashafika

Tuliposhuka tu baba alimwambia Tony umeshaludi

Leo nilikuwa na fiona kwenye vikao vyangu aliniambia kuwa anataka uzoefu wa biashara ninazofanya

Tony alinikumbatia kwa furaha na kunisifia safi sana mkewangu umeamua sasa

Nilikuwa nikismail tu huku nikiwa nawasi wasi

Tony akamwambia na baba asante mfanye awe karibu apate uzoefu zaidi sawa baba

Mzee devi alimuitikia sawa niyeyetuu nipo tayari kumpa uzoefu mkubwa tuu

Nilimwambia sawa nashukulu kisha tulielekea chumbani kwetu

Tulipokuwa chumbani mume wangu akaniuliza umesha kula cha jioni

Nilimjibu bado mumewangu

Tony akaniambia basi jiandae tukajumuike pamoja na wenzetu kwenye chakula cha usiku

Niliingia bafuni kuoga na baada ya hapo nilitoka nikajiandaa kisha tulishuka kwenye dinner

Walikuwepo watu wote wakiongozwa na baba mkwe

Tulikula chakula na baada ya kumaliza kula mzee devi alitutakia usiku mwema na kuinuka kwenda chumbani kwake

Tulinyanyuka na sisi kuelekea chumbani kwetu na kila mmoja alielekea chumbani kwao

Niliomba mumewangu anikumbatie tukiwa tumelala kitandani wakati Tony amelala mimi nilikuwa macho nafikilia kilichotokea mchana na baba mkwe

Hatimae usingizi ulinichukua na siku ilipita

Siku nyingine ilifuata na tulikutana kwenye kifungua kinywa mezani

Tulikuwa wote wanafamilia na baada ya kumaliza wote walielekea kwenye majukumu yao ya utafutaji

Nami nilikuwa chumbani nimekaa sina cha kufanya Eva na Lillian wote walikuwa wanafanya kazi

Nilipoona nime boeka nika mpigia dereva wa gari anipeleke ufukweni mwa bahari huwa nikiboeka napenda kwenda ufukweni nakuwa sawa

Nilijiandaa nika vaa pensi na tisheti kisha nilivaa slipaz chini nikavaa pama kichwani

Nikaingia kwenye gari na kwenda ufukweni mwa bahari

Nilikuwa pembezoni na vuta hewa safii huku nikichezea michanga

Sim ikaita nilipoitazama alikuwa baba mkwe

Nikamsalimia kisha akaniuliza

Mzee devi aliniuliza upo mwenyewe chumbani kipenzi changu

Nikamjibu kuwa hapana baba nipo ufukweni mwa bahari navuta hewa safi

Mzee devi akaniambia kuwa utakuwa upo board sana ngoja nimalizie hapa nakuja huko sasa hivi

Nikamuitikia sawa utanikuta

Endelea kufuatilia...........

BABAMKWE e 6.

Baada ya nususaa kupita alikuja Mzee devi

Alishuka kwenyegari na kuja ufukweni nilipo akanishika mkono yukaenda kukaa pembeni kwenye biti

Kisha akaniambia agiza kinywaji

Alimuita muudumu wa maeneo hayo na kumwambia yeye anataka mvinyo

Akaniambia kuwa namimi niagize kinywaji

Nilimuomba aniletee white wine

Vinywaji vililetwa tukawa tunakunywa huku tunapiga story

Mzee devi akaniambia kuwa unajua kuwa umenifanya muda woote nakufikilia wewetu hata sielewi umenipa nini

Nilipomsikia akiongea hivyo niliinama kwa aibu maana nilikuwa namuonea aibu sana Mzee devi

Yeye aliendelea kuongea fiona kipenzi cha moyo wangu uwa langu tangu mara ya kwanza unaingia ndani ya kasri langu nilipokuona tu

Uliingia moja kwa moja moyoni mwangu ukawa unaupekecha pekecha moyo wangu

Hakika fiona mama nakupenda sana aminihilo

Nilibaki kimya tuu nikiwa namuogopa akaniambia twende nikupeleke sehem nzuri najua utaifurahia

Nikainuka akanishika mkono tukaingia kwenye gari moja ile niliokuja nayo akaambiwa aludi nyumbani

Alinipeleka sehem ya hoteli anayotaka kuniandalia

Akaniambia kuwa eneo hili hapa naenda kukutengenezea hotel nzuri sana itakayokuwa inapika vyakula hadi vyaki kitaliano

Nilifurahi na akanionyesha picha ya hotel itakavyo kuwa na jina itaitwa

Mzee devi akaniuliza unajua hotel itaitwaje

Nikamuuliza itaitwaje

Mzee devi akajibu itaitwa Fiona hotel

Nilismal kisha nikamwambia asante nimeipenda

Mzee devi akaniambia usinishukulu unapaswa kupata unavyo stail hakika

Nikamwambia nashukulu pia

Mzee devi alinishika na kunitizama usoni kisha akaniambia unanitia hamu muda woote na hiyo sauti yako sasa dah

Nilianza kuona aibu kwa maneno ya Mzee devi ila yeye yuko poa kabisa

Tulipotoka hapo tulipita moja ya hotel zake ilikuwa katikati ya mji inawageni hadi wazungu

Tulipofika tuliandaliwa sehem tulivu tulikaa na kuletewa vinywaji niliagiziwa whate wine tena nikaipokea kisha tulikaa na kungoja nyama ya kuchoma ikiandaliwa

Nilikuwa mpole mno mpaka Mzee devi aliniambia tangu nimekutamkia ya moyoni napale nilipo kufanya tuu nimekufanya uwe mpole sana Fina

Nilibaki kimya tuu nikiwa na aibu

Mzee devi akaniambia najua unanionea aibu ila hupaswi kunionea aibu kwani mimi pia ninahisia kama wengine

Nilibaki nikmtizama tuu kisha muhudumu alituletea nyama tukawa tunakula

Tulikula nyama ilikuwa tam sana hakika baba mkwe alikuwa na mahaba moto moto kuliko hata Tony nilikuwa najikuta natamani tuwe wote muda mwingi

Alikuwa ananilisha nyama na kinywaji pia alikuwa ananinywesha

Hatahivyo sehem tuliyokaa ilikuwa niyakujificha maalum kwaajili yangu

Vinywaji vilikuwa vinapanda taratibu taratibu

Mzee devi alioda chumba hotel nyingine ya nje na hapo tulipokuwa tupo

Tulipomaliza kula akanichukua kwenye gari na nilivyo kuwa nimekunywa vilikuwa vinapanda taratibu

Tulienda hotelini na kwajinsi nilivyokuwa nilikuwa nimetoa aibu

Tulipofika tuliingia hadi chumbani hotelini

Endelea kufuatilia.............

FULL TSH 1000
NAMBA YA MALIPO NI 0657 774735
JINA MKEGANI MPONDA
MTANDAO NI TIGO.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BABAMKWE...5...6  >>> https://gonga94.com/semajambo/babamkwe-5-6
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

GIGY MONEY DAH😭

majario rewards 100 Comments 0
 

YOUNG AFRICANS,

majario rewards 100 Comments 0
 

BAKORA VILLAGE

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 7...8

majario rewards 100 Comments 0
 

HUYU KAKA EPISODE 2

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE...5...6

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 3...4

majario rewards 100 Comments 0
 

HUYU KAKA 1

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈21

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈20

majario rewards 100 Comments 0
 

DADA WA KAZI EPISODE 8

majario rewards 100 Comments 0
 

DADA WA KAZI EPISODE 7

majario rewards 100 Comments 0
 

Life in a Year (2020)

majario rewards 100 Comments 0
 

Kenya, Tanzania, Congo

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 40

majario rewards 100 Comments 0
 

POSHY QUEEN:

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 39

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈19

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈18

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈17

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈16

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈15

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 05 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 04 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 03 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 02 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 01 ❤❤.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 34

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈14

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈13

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TUWASHUKURU KINA BABA

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest