ENDELEA...
"Nesi!"
"Abeee!"
Nesi ilibidi aitike tu baada ya mteja wake kumwita mara kadhaaa na alimjibu kuwa anakuja.
Mteja alisubiri lakini aligundua kuwa kuna minyanduo iliyokuwa ikiendelea.
"Mmmmmh huyu nesi kumbe naye ni wa moto ivi!"
"Aaaaaaaah!"
Kwa mbali tena alisikia sauti ya nesi hivyo ilibidi anyenyuke na kutoka nje baada ya kuona anapandishwa upwi...ru na sauti ya nesi na alipofika nje alikutana mwenzake akimsubiri.
"Umechukua dawa!?"
"Wapi sasa nesi anasu..guliwa!"
"Acha uongo!"
"Ndio nakwambia sasa, yupo na lijamaa humo kwenye kale kachumba wanafa**nya yao nimeamua tu kuondoka"
"Duh kwahiyo kumbe anamsa..riti mme wake!?"
"Hiyo lazima maana kama angekuwa mme wake wasinge....fanyia humo"
"Duh, ndiyo maana sitaki kuoa kabisa kwenye maisha yangu hawa mademu wa sasa ivi jau tu"
"Kabisa hata mimi siowi ng'ooo"
Waliondoka huku wakiendelea kumuongea nesi aliyekuwa bado kwenye uhondo mzito na Oscar.
Huku ndani Oscar akiwa bado kwenye show alipatwa na kizunguzungu na kuzimia pale pale hali iliyomtia hofu nesi nakuanza kumwamsha Oscar huku akimpepea.
"Amka jamani usife nitawaambia nini mimi watu!"
Alizidi kumpepea ila ajabu mashi....ne ilikuwa bado ndiii na haikuwa na dalili za kuzima kabisa, alitumia nusu saa kumpepea Oscar mpaka pale alipokuja kuzinduka.
"Upo sawa!?"
"Nilipatwa na kizungu zungu tu!"
"Mmmmh pole inatakiwa upumzike alafu umetumia nguvu mno!"
Oscar alikubaliana naye na ku...vaa nguo zake vizuri na kuondoka licha ya kuwa nesi bado alitamani kuuendeleza mchezo ila kutokana na hali aliyokuwa nayo Oscar mche...zo uliishia njiani.
Alifika kwake na siku nzima aliimaliza akiwa ndani, siku iliyofata aliwaza ni mwanamke yupi anayefata baada ya kumalizana na Nurath na jina lililokuja kichwani ni la binti aliyekuwa akiitwa Sandra, kimbembe kingine kilianza kwa Oscar jinsi ya kumpata Sandra kwani alikuwa ni binti aliyekuwa hatulii sehemu moja.
Alishika simu yake kuangalia kama atafanikiwa kuipata namba ya Sandra lakini hakuweza kuiona na ndipo alipopata wazo la kumpigia mtu wa karibu na Sandra, alipiga lakini simu ilikuwa haipatikani na Vero alimuona jinsi alivyokuwa akihangaika.
"Kuna nini mbona kama haupo sawa?"
"Kuna mtu namtafta ila hapatikani"
"Labda atakuwa kazima simu yake, utajaribu kumpigia baadaye"
Baada ya kushauriwa Oscara alitulia na mda ulivyoenda alipiga tena kwa mara nyingine na simu iliita na kidogo moyo wake ulipumua na kuona kuna kila dalili za kumpata Sandra.
"Mmmh Oscar ni wewe!"
"Ndio ni mimi, mambo vipi Oprah!?"
"Poa za siku!"
"Njema, una namba za Sandra!"
"Namba za Sandraaaa! ngoja niangalie kama nitakuwa nazo"
"Fanya hivyo!"
Oscar alikata simu na baada ya mda Oprah alimtumia namba za Sandra ila Oscar alipojaribu kupiga namba zilikuwa hazipatikani na kuamua kumpigia Oprah kwa mara nyingine tena.
"Labda alibadilisha namba au atakuwa nchi za nje sasa ivi"
"Nchi za nje tena!?"
"Ndio kwani hujui kama alikuwa kwenye mahusi..ano na mzungu mmoja ivi baada ya kuzenguana na wewe!?"
Oscar alichoka baada ya kusikia hivyo na Oprah alifungua code zote na kumwambia sehemu alipokuwa akiishi Sandra na Oscar aliamua kufatilia mwenyewe.
Alimuaga mkewe na kuondoka mpaka alipokuwa akiishi Sandra na taarifa alizokutana nazo huko ni za Sandra kuhamia kwenye mitaa wanayoishi wazungu wanaojiweza tu, Oscar baada ya kuambiwa hivyo aliondoka na kuelekea mpaka kwenye mitaa husika kumtafta Sandra na ilimlazimu kuulizia nyumba moja baada ya nyingine tena akiwa na picha yake mpaka alijikuta anakata tamaa mwenyewe baada ya kubakiza nyumba moja tu kwenye mtaa huo aliyokuwa bado hajamuulizia Sandra, moyo mwingine ulimwambia arudi tu alikotoka kwani hawezi kumpata Sandra kamwe na moyo mwingine ulimwambie aende akaulizie kwenye nyumba hiyo huwenda akampata.
Alisogea na kugonga geti na baada ya mda mlinzi alifungua.
"Karibu nikusaidie nini!?"
"Namtafta huyu binti sijui anaishi kwenye hii nyumba?"
Mlinzi aliichukua picha ya Sandra na kuitazama.
"Wewe ni nani kwake!?"
"Kaka yake, nimepotezana naye kwa mda mrefu sana"
"Anaitwa nani!?"
"Sandra!"
"Subiri hapa!"
Mlinzi aliondoka na Oscar alipata matumaini kidogo ya kumpata Sandra, alijiweka vizuri kwa kulibana ru...ngu lake kwenye mkanda ili mambo yasije kuvulugika.
Haukupita mda mlinzi alirudi akiwa kaongozana na Sandra.
"Huyu hapa mtu mwenyewe!"
Sandra alishangaa kuona mtu mwenyewe ni Oscar aliyekuwa akihitaji kuonana naye.
"Sawa unaweza kurudi ndani!"
"Aya madamu"
Mlinzi alirudi zake ndani na Sandra alitoka nje kwa ajili ya kuongea na Oscar.
"Bora nimekupata!"
Sandra alimtazama kwa dharau kuanzia juu mpaka chini na kuongea.
"Ulivyoniacha ulifikiri nitakonda eeeh?, niangalie sasa ivi nilivyonawili!, nalishwa navishwa vizuri naendesha gari ninalotaka nalala sehemu nzuri na mzungu wangu na isitoshe hapa nilipo na mimba yake tayari!"
Oscar aliganda kama sanamu tu akimsikiliza Sandra alivyokuwa akitamba mbele yake, aliwaza aingie kwa njia gani na alivyoukumbuka udhaifu wa Sandra alianza kutupa ndo...ano pale pale bira kujali kama Sandra ni mke wa mzungu.
Oscar alilitoa ru...ngu lake alilokuwa amelibana kwenye mkanda wake na kuushika mkono wa Sandra na kuugusa kwenye mashi..ne yake iliyokuwa bado ndani sur..uali yake.
"Nimetumia gharama kubwa mno kukufata mpaka huku ili tu unipe nafasi ya mwisho Sandra, angalia inavyonisumbua d...ud yangu toka juzi hailali"
"Fyuuuuuuuu huwezi kunishawishi kijinga hivyo Oscar"
Sandra alitaka kurudi ndani na Oscar aliona afunguke ukweli tu wa tatizo lake.
"Heeeeeeh makubwa, kumbe ndiyo tatizo lililokufanya mpaka unitafte mimi!?"
"Hapa unaponiona nakaribia wiki moja ipo ivi yaani haila...li!"
"Kwahiyo unahisi mimi nimekuloga!?".........ITAENDELEA.
Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801
Namba za Malipo ๐๐๐๐
0613083801 HALOPESA JINA JOHN
0748697173 M-PESA JINA JOHN..