Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

BABA MKWE😛😛...1..2

1st Jul, 2025 Views 27



Niliolewa katika familia ya mzee devi iliyokuwa na watoto wakiume watatu na wakike mmoja

Wakiume walikuwa woote wanawake zao na wakike alikuwa kaolewa mwanza

Mzee devi alikuwa nitajili sana alikuwa ananyumba kubwa sana kama kasri na ninzuri sana

Hivyo aliona watotowake wakiume wote wakae hapo hapo nyumbani na wake zao

Hivyo tulikuwa nafuraha sana kwani hakuna tulichokikosa pale nyumbani

Kulikuwa na wafanyakazi wakutosha ambao walifanya kazi zoote za humo ndani nasisi tulio olewa tulikuwa na uhuru wakufanya kazi zetu

Yaani tuliweza kwenda kazini na wengine kwenye biashara

Mimi niliolewa na mtoto wamwisho wa mzee devi

Nilikuwa mwenye furaha sana na upendo mkubwa sana nakila mtu walikuwa wanasema mimi nimrembo sana

Hivyo hadi mzee devi babamkwe wangu alikuwa asisikie kitu chochote kuhusu mimi alijali sana alikuwa ananidekeza mno

Mpaka mumewangu Tony alikuwa anaona wivu kwamba baba alikuwa ananidekeza sana

Wake wenzangu wake wa kakazake na Tony waliona wivu mwisho walizoea maana nilikuwa napendwa sana

Nitake nini mimi ilikuwa nikisema tuu na pewa

Baba mkwe wetu alikuwa anajali sana familia yake hivyo watu wengi walitamani wawe kwenye hii familia

Sikumoja nikiwa chumbani nilijihisi kizungu zungu nikaanguka chini

Aliniona muhudumu wetu hivyo aliwaita watu wa familia

Walikuja Lillian na Eva wake wenzangu baada ya muda baba mkwe nae alikuja

Alikuwa na wasiwasi na kumpigia sim doctor aje maramoja

Na alipofika doctor alinipima na kumwambia baba mkwe ninahomatuu

Hivyo aliagiza nitibiwe haraka

Alipigiwa sim mumewangu Tony haraka alianza safari ya kuja nyumbani

Hadi anafika tayari nimesha pata matibabu nilikuwa nimetundikiwa drip

Hivyo baba mkwe alimuonya Tony asije akaniacha pekeangu anitizame kwa umakini

Niliamka na kuomba matunda niletewe

Baba mkwe aliwaambia wahudumu haraka wanikatie tunda la epo

Nililetewa nikakalitafuna kidogo na baada ya hapo niliomba nipumzike

Siku ilipita kesho yake baba mkwe aliona nipelekwe kufanyiwa chekap ya mwili mzima

Hivyo alimwambia dereva wake awashe gari kuelekea hospital tukiwa mimi na babamkwe pamoja na mumewangu

Endelea kufuatilia..................

BABAMKWE epsd 2.

Tulifika hospital na kukabiziwa kwa doctor na kuambiwa anifanyie kipimo cha mwili mzima

Nilipelekwa na kufanyiwa kipimo na baada ya muda tulipewa majibu nilikuwa na uvinbe mdogo sana tumboni

Hivyo natakiwa nianze dawa haraka

Mume wangu Tony alipopata majibu alimuomba babaake awahi kwenye kikao ofisini kwao

Hivyo baba alimruhusu tukaingia kwenye gari na kuanza safari ya kuludi nyumbani

Tukiwa njiani baba mkwe aliniambia

Fiona kipenzi usiogope sawa mama

Nilimjibu sawa baba

Aliniambia kuwa nitafanya juu chini utapona sawa

Nilimuitikia sawa

Alimwambia dereva twende hotel nzuri sana nataka mkwe wangu akale kitu kitam sana

Nilikuwa kimya tuu

Aksniuliza sindio fiona

Nilimjibundio baba

Tulienda hotel nzuri sana yakifahari tulipofika tulipokelewa vizuri sana

Tukaonyeshwa sehem ya kukaa

Tukaenda kukaa na kuletewa menu ya chakula kisha tulichagua

Na baada ya hapo tuliletewa kinywaji tukawa tunakunyw kusubili chakula kiandaliwe

Tulipokuwa pale mezani babamkwe akuniambia mkitu

Lakini Fiona kipenzi wewe nimrembo mnoo ingelikuwa enzi zangu mimi nisinge ruhusu mtu yeyote anipikunivile tu umewahiwa na mwanangu

Na pia nimesha kuwa mtu mzima

Nilismail 😊na kumjibu kwa utani utani maana nimezoea kutaniana nae

Hata hivyo hujazeeka sana ng'ombe kwani anazeeka maini baba

Mzee devi alismal😊 na kujibu hazeeki mwanangu

Nikwmwambia unaachaje Tony akushinde sasa🤣

Mzee devi alismal tena😊 nakusema hakika Fiona

Nilimjibu hakika

Hivyo na chakula kililetwa tukatengewa

Tukaanza kula na baada ya kumaliza tulienda kwenye gari na kuludi nyumbani

Nilipofika nilipandisha gorofani kwenda kupumzika

Lillian alinifuata kutaka kujua nini kimejili huko nilikotoka

Nilimjibu nimekutwa na uvimbe kidogo tumboni ila babamkwe kasema nisijali nitatumia dawa nitapona

Baada ya hapo Lillian akaniambia vipi kipenzi Gaby kapiga sim mzigo mpya umeingia kasema anavitu konki

Mwambie baba twende maana tukimwambia sisi mmh nahivi unaumwa ndio atatutimua

Nika smail😊 na kumwambia sawa ngoja niende atakuwa chumbani kwake

Nikainuka na kwenda chumbani kwa baba mkwe nikagonga

Akajibu karibu nikaingia nikamwambia baba nilikuwa nakuambia kuwa

Akaniambia Fiona njoo karibu binti yangu mrembo uniambie nini unataka

Nikasogea kisha nikamwambia baba Gaby kapiga sim anamzigo mpya umeingia

Mzee devi akauliza mzigo wa kitu gani tena kipenzi

Nikamjibu kuwa mzigo wa nguo mpya kutoka uturuki hivyo nilikuwa naomba kadi ya hela

Akavuta droo na kunipa kadi na kunipa haya umwambie dereva wangu akupeleke sawa

Nikamjibu asante baba

Mzee devi akaniambia kuwa makini sawa

Nikamjibu sawa ila nitakuwa na dada Lillian pamoja na dada Eva

Mzee devi akajibu ok basi sawa nendeni mkachukuwe mtakazo

Nilimjibu asante baba na baada ya hapo nikatoka nikamkuta Lillian nikamuonyesha kadi hii hapa

Lillian alifurahi sana na kunibusu kipenzi cha baba hicho haya ngoja tujiandae nikamwambie na Eva

Nikamjibu sawa kipenzi ngoja nijiandae na mimi hapa japo nimechoka

Lillian alienda kumwambia Eva wakajiandaa na kutoka tukaingia kwenye v8 ya baba

Tulienda tukafanya manunuzi na baada yahapo tuliludi nyumbani nikamkabizi kadi babamkwe

Endelea kufuatilia....

KWETU morogoro.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BABA MKWE😛😛...1..2  >>> https://gonga94.com/semajambo/baba-mkwe-1-2
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

GIGY MONEY DAH😭

majario rewards 100 Comments 0
 

YOUNG AFRICANS,

majario rewards 100 Comments 0
 

BAKORA VILLAGE

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 7...8

majario rewards 100 Comments 0
 

HUYU KAKA EPISODE 2

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE...5...6

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 3...4

majario rewards 100 Comments 0
 

HUYU KAKA 1

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈21

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈20

majario rewards 100 Comments 0
 

DADA WA KAZI EPISODE 8

majario rewards 100 Comments 0
 

DADA WA KAZI EPISODE 7

majario rewards 100 Comments 0
 

Life in a Year (2020)

majario rewards 100 Comments 0
 

Kenya, Tanzania, Congo

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 40

majario rewards 100 Comments 0
 

POSHY QUEEN:

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 39

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈19

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈18

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈17

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈16

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈15

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 05 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 04 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 03 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 02 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 01 ❤❤.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 34

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈14

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈13

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TUWASHUKURU KINA BABA

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest