Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

DOCTOR NITIBU NA HUKU KUNAWASHA🌹🌹❤️❤️❤️🌹 ❤👌👌08

1st Jul, 2025 Views 78



Mapigo ya moyo yakaanza kudunda kwa haraka haraka nameza mate tu yaan hapo mikono yake kanishika kiuno afu mi nimemshika kwenye mabega kwenye shingoni
"Nasra do you have a boyfriend???" Alirudia tena safari hii alitumia lugha tofauti moyo ukapiga tena Puuuh×2❤ almanusra niudakee yaan Asante kwa ma Ex wangu woooote maana leo najibu hili swali kwa kujiamini mnooo
"Sinaa!!" Nilijibu bado namtazama usoni tena nimemkazia machoo
"Really???"
"Ndio"
"Nasra Ahmm!! Mi nakupenda Really nakupenda sana Nasra Amh Nlikuwa naomba nikae karibu yako zaidi yaan ...." moyo wangu ulikuwa unaenda Puuh ,puuuh,puuuh puuuh❤❤nameza mate sio poa natamani kushangilia kama wahidi wakiambiwa wanapenda wananza kuimba nyimbo za furaha yaan nilitamani hata ningekuwa muhindi hapa ningeangusha masongi ya kufa mtuu
"Abbas ukanipende mimi kwelii?? Mbona mi sio staili ya mwanamke unatakiwa kuwa nae" nilivunga tu lakini moyoni wee nilitaka kusema baby love you more 😀nikajituliza mchecheto wewe ..

"Nasraa!! Embu niambie huyo mwanamke naetakiwa kuwa nae awe na mapembe au asiwe na mwanya Come one!!!!" Wakati anaongea akanipakata vizuri yaan akanivuta mbele zaidi eeh Thi nikagusa chululu yake bahati sio mbaya sijui nzuri 🤦‍♂️ nikahisi mwili wote umepigwa shotii🤗 nikasisimkaa, wacha jicho lizidi kulegeaaa mana hapo akili ilishahama ikaenda mbaliiii🙌
"Nakupenda Nasra "
"Tujaribu"
"Unasema"
"Tuwe wapenzi tuone " we alinikumbatiaaa akanikiss shingoni hapo karibu shingo yoteee mi hapo mwenzie nshakuwa chepe chepe akanishukuru et kwa kukubali kuwa wapezi basi akanipigisha mbizi hapoo mpaka jioni kabisa tukaenda kula , tukaondoka kwenda majumbani nikafika mpaka Zakhem pale nikachukua boda ye akatafuta usafiri wa kwenda kwake sijui kwao hata sijui mie ,
Nafika home , nyumba imejaa wambea wotee wamejipanga wako wanapika mi tena nikaanza kutembea na taratibu mwendo wa minyato nikasalimia wakuitika wakaitia wa kuchuna wao hawakosi mi hata sikujali nikaingia ndani nachukua simu nakuta sms
(Hey Dearing umefika salama??) Nikatabasam kidogo nikamjibu ndio wangu vipi wewe akanambia bado kidogo nikifika tu nitakupigia nikasema poa nilikuwa nimeshiba zangu aah nikasema hapa ni kulala tu kupika kesho hata kuoga siogi nisije kuyatoa maji ya bahari buree nilale nayo yaniondolee mkosi ...
Ilipita kama nusu saa hivi Abbas akanipigia simu akawa ananisifia nimejaaliwa uzuri mashaallah 🥰🥰 basi mi nacheka cheka tuu basi ahadi ndio kama zote si mnajua penzi likiwa jipya eeh kwenye Masaa 5 mnayoongea vya maana ni dakika mbili tu vinavyofata vyotee ni utopolo pro max 😀 yaan mladi tu muongee ...

Basi huo ndo ukawa mwanzo wa penzi letu mimi na Abbas ukweli hakuwahi kunitumia si hela ya kula wala ya bundle😅 , nikawa najisemea mimi nina mkosi jamani Sijawahi kuhongwa ila tu nadet na mkaka ambae Duniani kama hayupo vile hata sijali ananijali kwa maneno , muda wote ananiuliza uko sawa?? Kuna kitu kinasumbua?? Mimi hiyo kwangu ilikuwa burdaniii ila kwenye pesa nilijua tu abbas mbahili 😅au hana hela mana ile siku kantuma maji alidai chenchi yake wakati wengine angenambia hiyo ya usumbufu haya bwana mi sikuwa najali mana pesa naingiza na kula nachotaka na akiba naweka ,mapenzi ndo kitu ambacho sipatagi kinanifanya nakuwa kama yatima vile 🤦‍♂️

W/end abbas akanambia Nasra naomba nikutembelee leo maa!! Weee nikamwambia haina shida yaan nilifurahi mtoto wa watu nilikuwa ndo natoka kutafuta biashara nilirudia njiani si nina mgeni nikaenda kutafuta masotojo nimpikie mana yeye alionekana wa kishua kishua sio nimpikie ugali mchicha 😜 nikaingia sokoni chaap nikahemea vya kuhemeleka hatari😋 Na yale maviungo viungo yale hata siyatumiagi hiyo siku nikanunua.

Mida ya sa 6 hivi mchana akanipigia simu akanambia nipo hapa tulipo achania ile siku nikamwambia naomba boda niongee nae akasema anausafiri wake ooh nikamuelekeza kweli mpaka akafika nyumbani, alikuwa amependezajee yaan kila ninapo zidi kumuona ndio anazidi kuongezeka mvuto unaweza zani labda jini maana anavutia mpaka macho yanataka kutoboka ukimtazama sana , basi majirani hee nilivimba kichwaaa mana mitaa yetu hakuna mkaka wa hadhi kama yeye aliwahi kukanyaga kule kwahiyo iyo siku nilijua kuosha vya hajaa
Alikuja na piki piki yake ,nyuma kuna mizigo kafunga akanambia ni mizigo yako shusha , uweuwee nikashusha mtoto kulikuwa na samaki mchele unga , mafuta ya kupikia Sabani za unga zile Toss nazionaga tu madukani vitu vilikuwa vingii nikamkaribisha ndani mwenyewe
Ndani kwangu mimi si haba jaman huwa napenda mno chumba changu kuwe smart mara zote japo sina vitu vingi ila sijajaza makolo kolo , nina kiledio changu ALLYTOP spika ndefuu ,Tv yangu nch32 ukutan na Showcase yake kitanda changu cha mbao cheupe kizurii na godoro Nch 10 ki friji changu na kabati la nguo na ki sofa cha double yaani mimi bora nisivae lakini chumba changu kiwe cha kisasa napenda mnooo, nikamkaribisha chumbani , nilikuwa na furaha hiyo siku basi tu jamani , nikapika pale fasta tukala zetu , ndo zikaanza story

Story nyingiii alikuwa ananiuliza maswali maswali si unajua ile anataka kunijua sasa kiundani et, nami nafunguka tu kazi yangu , mi hata sina kazi nafanya zangu tu biashara akanambia hiyo ndio kazi sasa , tukacheka mpaka mida ya sa kumi na mbili akanambia mi nakukimbia sasa kwa vile nimepajua nitakuwa mgeni wako mara kwa mara , sasa nje bwana kulikuwa na wingu hiyo siku nikamwambia ungesubiri hii mvua ipite kwanza mana inaweza kukushukia njiani akasema sawa naomba nijinyooshe nikamwambia aalale tu hapo kitandani kweli hata dakika kumi hazikupita ikaangua mvua ya maana nikawa namwambia yaan hii hata usingetoboa tunacheka mpaka sa mbili mvua haina hata dalili ya kupungua nikawa namtania unalala tu huku huku leo ..

Ilibdi na mimi sasa nijivute kulala kitandani baada ya kutoka kujimwagia maji si mpenzi wangu nikavaa zangu tu nguo ya kulalia nae nikampa maji akaenda kuoga akaja kulala pembeni yangu akanikumbatia jamani na ile mvua nje sasa🤗🤗 Moyo wangu ulikuwa unaenda Puuu Puuuh kwa kasi kweli nameza mate mpaka nikashindwa kujizuia yaan nilikuwa nahema haraka haraka hata sijui kwa nini hali yangu ilibadilika gafla baada tu ya kunikumbatia pale ,nikawa nahangaika hata sijui nataka nini mara nigeuke mara nijikune basi heka heka tu abbas ametuliaaa kama hakuna mtu yaan ..

Mwili wangu niliskia umefanya Ziiii!!! Damu ilisimama Gafla baada ya kuhisi nashikwa chuchu zangu damu ilirudi kutembea kwa kasiii mpaka nikahisi moyo unaenda kuzima sasa ,nilikuwa mimegeuka nimempa mgongo yeye kapitisha mkono wake mpaka kwenye kifua akawa anazibinya chuchu pole pole kama hataki vile aah niliona mimi hata sio mtoto bwana wa kuigiza embu anipishe ,nilijigeuza nikawa namtazama nae ananitazama kama sec mbili tu nikaingia mdomoni mwake nae akanipokea tukaanza kukiss Deeply 🥰 huku ananipapasa , nikasema jaman huyu kaka mbona anandimi tamu hivii🙌🙌🙌 afu anajua kukiss🤦‍♂️ akashika shingo yangu sasa wee alitembea na Urimi koteee mi nimenyooka , sasa hawa wapo kwenye vita mapenzi kayajulia wapiii?? Au uko wanajifunza na mapenzi ??
Wakati ananishugulikia nipo hoii afu ye yupo taratibu hana hata pupa , nikawa namkumbuka mika jamani anabonge wa mdude kama baba punda 🙄🙄lakini muda wa kutafuta utelezi hata hana ye ni vuuu!! Waa!! Kamaliza atakutemea temea Mpaka ukome ukitoka hapo shuhuri chini hunaa daah lakini niliumia alipo niacha afu kuna wanaume wazuri na wanajua kiasi hichi nikawa nawaza sa huyu akiniacha na hii raha si nitakuwa kichaa nipo kwenye dimbwi la mawazo hapo tenaa akili ikahama kwenye Tendo nikashtuka naguswa shavuni
"Sorry nasra sikupanga nikuker imetokea tu bahati mbaya labda kwa sababu nilikaa karibu yako sanaa" alisema huku kanikumbatia , sikumjibu kitu nilishika kichwa yake nikavuta mdomo nikaanza kula kiss yangu🥰🥰 anataka kuachaje sasa wakati mi nishalegea akajitoa Kaniuliza "unauhakika utakuwa sawa??" Nikajibu "kama ukiniacha hivi hivi nitachiziaka tafadhali naomba umalize ulichokiaza"
Wee ndo kama nimempa kichaa Rungu sasaaa.......

ITAENDELEA....
Kwa sh 1000 unamaliza simulizi hii mpaka mwisho
Njoo WhatsApp 0781858056

Na Mr Burudan Namba ya Malipo ni Airtel Money 0781858056 jina la Mpokeaji ni Anjela!
Ukishalipa nicheki WhatsApp nikitumie
Namba ya WhatsApp +255781858056.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DOCTOR NITIBU NA HUKU KUNAWASHA🌹🌹❤️❤️❤️🌹 ❤👌👌08  >>> https://gonga94.com/semajambo/doctor-nitibu-na-huku-kunawasha-08
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

GIGY MONEY DAH😭

majario rewards 100 Comments 0
 

YOUNG AFRICANS,

majario rewards 100 Comments 0
 

BAKORA VILLAGE

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 7...8

majario rewards 100 Comments 0
 

HUYU KAKA EPISODE 2

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE...5...6

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 3...4

majario rewards 100 Comments 0
 

HUYU KAKA 1

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈21

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈20

majario rewards 100 Comments 0
 

DADA WA KAZI EPISODE 8

majario rewards 100 Comments 0
 

DADA WA KAZI EPISODE 7

majario rewards 100 Comments 0
 

Life in a Year (2020)

majario rewards 100 Comments 0
 

Kenya, Tanzania, Congo

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 40

majario rewards 100 Comments 0
 

POSHY QUEEN:

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 39

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈19

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈18

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈17

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈16

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈15

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 05 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 04 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 03 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 02 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 01 ❤❤.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 34

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈14

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈13

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TUWASHUKURU KINA BABA

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest