Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

NAISHIWA PAWA NA KATOTO KAFOM4 EPISODE 8

7th Jul, 2025 Views 23



Moyo wa kelvin ulitetemeka baada ya kumuona Nasra anampiga busu mwalimu Rashid tena nasra ndio anampia rashidi na sio rashidi anampiga Nasra.

Rashid alijikuta anatetemeka kama kanyeshewa na mvua hivi.nasra naye alishtuka baada ya kuhisi kuna mtu yupo nyuma yake aligeuka taratibu.

Moyo ulitikisika kama umeoigwa na kitu Kizito baada ya kumuona kelvin nyuma yake .kelvin alisema” samahani nimewainilia ,mwalimu Rashid nitakufuata baadaye” kisha alifungua mlango na kutoka nje lakini moyo wake umepigwa na maumivu mazito sana haamini alichokiona ni kama hakutarajia hivi jambo analoliona hapa .



Jikoni ni karibu lakini kwake ni kama safari ya kutoka Mbeya hadi kagera . miguu ilikuwa mizito sana kichwani mwake maswali ni mengi sana “ ina maana huyu binti ni kawaida yake hata mimi alianza kwa kunikiss “



Alizidi kupiga hatua na kurudi jikoni yaani haelewi nini cha kufanya ndiyo alimuacha lakini bado anampenda aisee its more than pain kumshuhudia mwanamke unayempends akimkiss mwanaume mwingine kwa hiari yake.



Mawazo sio kwake pekee hata kwa Nasra nmwenyewe yupo darasani ndiyo naye alimuacha kelvin lakini bado anampenda migogogro katika mapenzi ni kawaida lakini alichokifanya kinamfanya kelvin aamini labda yeye ni Malaya na tayri kapiga hatua moja mbele



Rafiki yake jeska anamwomba daftari yeye anampa peni yaani kachangayikiwa mazima hajuwi hata aliee au acheke au afanye alijua uomvi wao uneisha lakini cha ajabu sasa kaupalia moto



Yaani alijikuta jeuri yaani alikuwa anajifanya anampenda kelvin et kwa sababu ya kula vizuri kumbe hata sio hivyo alikuwa anahisia naye lakini hakutaka Rafiki zake wajue . Sasa leo kimemramba ,,,,,,,,,

Hakuona sababu ya kukaa darasani kwa sababu akili yake ipo jikoni na kafanya vile ili tu kumlinda Kelvin lakini hilo kelvin hajuwi chochote zaid ya kumhesebia kama Malaya



Akiwa bwenini alilia sana ,akakumbuka mmoja wa marafiki wake neema aliwahi kumwambia mlango wa kuingilia kwenye mahusiano ni mpana sana lakini wa kutokes ndio kimbembe,. Na kama unaingia humo ndani hakikisha unajua kuna nini.



Yaani ukubaliane na chochote uanchokikuta, maana kuinia hukio ni saw ana kujitoa sadaka ukichukulia Nasr ani mara yako ya kwanza kupenda .wenzako mioyo yetu tayari ina sugu ….



Hayo ni maneno ambayo daktari wa Huba NEEMA alimwambia shoga yake na leo ameamini maana mara ya kwanza alihisi labda shoga yake alikuwa anaimba nyimbo ya shule .



Alikuja Rafiki yake Neema Pamoja na Jeska walijua tu unajua ukiwa unaumwa ugonjwa wa mapenzi mtu hujuwa mapema bila hata kumwambia .



Walimbembeleza wapi haelewi ni machozi tu akawasimulia kilichotokea wote walishangaa maana hiyo hali ngumu na walishangaa kwa sababu aliwambia hampendi sana kelvin lakini leo anaamua kuwambia ukweli kuwa pale sio kapenda tu bali ni “ kituo cha mwisho wa safari yake ya mapenzi ,hana kwingine kwa kwenda.Yaani hawajuwi hata wamsaidiaje hawajuwi labda wafanyaje lakini jeska aliahidi kwenda kuongea na kelvin .muda huo alitoka na kuelekea jikoni,,,,,,



Alifika jikoni akamkuta Kelvin yuko bize anapika chakula alimwambia tu neno moja

“naomba msamehe Nasra analis tu bwenini’

“ndo kakutuma unambie sio?

“hapana mimi ndo nimekuja kumuombea msamaha”

“kamwambia ukurasa aliofungua na mimi ,tayari nimeufunga sitaki tena mapenzi uwe na siku njema.akaendelea kupika chakula

Jeska alijaribu kumsemesha lakini wapi jamaa kachukia mwishowe aliamua tu kuondoka maana tayari mtu aliyekuwa anaongea naye wala hamsikilizi,,,,,

Kelvin akakumbuka kwamba siku ya nyuma alipomwaga vyakula alivyomwekea kwenye kontena na alivyojitahidi kumjali lkini mtu mwenyewe kumbe ana mambo yake mengi tu………

Basi jeska alirudi hosteli akiwa kachoka.Nasra aliinuka haraka alijua kasamehewa

“jeska ,kelvin kasemaje?

Jeska alitikisa kichwa ikiwa na maana hakuna majibu hakuna msamaha

Nasra alijilalamisha “ nilisema tu,hawezi kunielewa si mmeona ?.akaendelea kulia



Romeo naye akiwa darasani bado anaiangalia siti ya nasra iko tupu naye shule hata haipandi alimua naye kutoka nje apunge upepo maana kilikuwa ni kipindi cha kujisomea tu,

Anapotoka nje anapamiana na Neema ,wanabaki kutazamana kila mtu ana mawazo yake”sorry” alisema Romeo na neema naye alisema hivyo hivyo .

Kisha kila mtu akafocus na vitu vyake.Romeo altoka nje na kueamia ukutani alionekana na mawazo sana na mtu anayemuwaza ni Nasra

Yaani nasra mpaka sasa anapendwa na wanaume watatu wa kwanza ni mwalimu wake Mr Rashid ,wa pili,kevin na wa mwisho ni Romeo



Lakini yeye licha ya kupendwa na wote hao yeye anampenda mwanaume mmoja na si mwibgine ni Kelvin kijana mwenye Maisha ya kawaida sio tayari sio mtu mwenye hela nyingi kazi yake ni upishi tu lakini ndo kapendwa .

Hii ndo maana ya mapenzi hayachuguwi nani wa kumpenda ana kazi au hana ,anba hela au hana,yaani wewe unapenda tu,,,,,

Basi akiwa kaka pale Romeo ghafla mwalimu Rashid alikuja hapo hapo na kumuuliza”unawaza mitihani au”

“hapana nawaza mambo yangu”

“anha sawa kazana kusoma dogo”kisha akawa anaangalia mambo yake kwenye simu akiwa bado kasimama hapo hapo.

Mara hapo hapo kuna dogo wa kike wa form 1 joyce aliropoka kwa mbali “Nasra kasema hataki kuja “

Mwalimu alimtazama Romeo machoni …………

FULL 1000
0699286085.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NAISHIWA PAWA NA KATOTO KAFOM4 EPISODE 8  >>> https://gonga94.com/semajambo/naishiwa-pawa-na-katoto-kafom4-episode-8
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
rungu la kipofu 22
rungu la kipofu 22

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 14...15

majario rewards 100 Comments 0
 

MDOLI MPENDA UTAMU...1

majario rewards 100 Comments 0
 

HUYU KAKA🙈3~4

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 11.

majario rewards 100 Comments 0
 

GIGY MONEY DAH😭

majario rewards 100 Comments 0
 

YOUNG AFRICANS,

majario rewards 100 Comments 0
 

BAKORA VILLAGE

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 7...8

majario rewards 100 Comments 0
 

HUYU KAKA EPISODE 2

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE...5...6

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 3...4

majario rewards 100 Comments 0
 

HUYU KAKA 1

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈21

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈20

majario rewards 100 Comments 0
 

DADA WA KAZI EPISODE 8

majario rewards 100 Comments 0
 

DADA WA KAZI EPISODE 7

majario rewards 100 Comments 0
 

Life in a Year (2020)

majario rewards 100 Comments 0
 

Kenya, Tanzania, Congo

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 40

majario rewards 100 Comments 0
 

POSHY QUEEN:

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 39

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈19

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈18

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈17

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈16

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈15

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 05 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 04 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 03 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 02 ❤❤.

majario rewards 100 Comments 0
 

HAIZIMI 01 ❤❤.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 34

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈14

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈13

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TUWASHUKURU KINA BABA

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest