Mwabdishi; maramoja the great
Wassap: 0789 824 178
Simulizi za john
1000
Kwa majina naitwa kayla jackson mwasomola mimi ni mtu wa asili ya mbeya pure mnyakusya kabisa ,wazazi wangu wote ni watu wa mbeya na wanyakusya kabisa mimi ni mtoto wa pekee katika familia yetu na mm nilipatikana kwa shida sana nilikua namsikia sana mama akiwa anasimulia kuwa waliaangaika sana uzazi hadi kunipata ,na walinipata wakiwa katika umli mkubwa so nilikua napendwa mm nadekezwa vibaya sana akuna kitu nilitaka nikakosa,mm nilizaliwa katika familia ya kishua sana mzeee wangu alikua na pesa chafu alikua na kampuni kubwa jijin dar ya furniture na mama alikua ni mfanyabiashara mkubwa apa dar na nje ya dar asee pesa kwetu ilikua ni kitu cha kawaida sana tulikua tunaishi dar masaki, shule ya sekondari nilisoma private ya hela ndefu la kwanza mpka la saba nikafaulu shule flani uko mbeya wakanambia wee uwez kwenda uko haina hadhi na mm kwa jinsi wazazi walikua wanilea na kunitukuza sana nilikua najiona expensive sana na wa bei ya juu so baba akanambia ananitafutia shule nkasema sawa iyo siku nipo chumbani nachat na rafiki zangu nilosoma nao darasa la saba nilikua nshapewa simu na mama basi tukawa tunapiga piga stry mala akaja mama chumbani kwangu akanambie hey my princess basi nkaitika yes mom na nilikua nadeka vibaya sana asa kwa baba mana ata nikikosea alikua anisemi ila mama ndo kidogo nikikosea ata nisema basi akanambia baba ameshapata shule ya ww kwenda kusoma nkasema wap mama akanambia kuna shule moja nzur mno ipo tabora ina hadhi ya ww biti yetu mrembo ukasome uko sikuwa mzuli sana ila kwa jinsi nilikua najiona expensiveee we nilikua najiona mm ndo mrembo kuliko watu wote nkamwambia okey mamy kama nyinyi mtaipenda nami ntakua sina jinsi ntaenda kusoma uko akanambia sawa acha kuchezea simu upumzike basi nkasema sawa mamy basi alivotoka tu mm nkasearch kwanza ile shule kuangalia mazingira nkakuta ni nzuli mno ila mix yani ina wasichana na wavulana nkasema jamani asa shule gani hii ina wavulana mm sitaki bana kusoma na wanaume basi nkampigia uyo shoga angu mmoja na yeye kwao zipo ila atufikii kwetu anaitwa neema nimezoea kumuita ney nkamwambia akanambia ahaa usiwaze bwana tunaenda wote ngoja na mm nianze mshawish baba tukasome wote uko shoga angu nkamwambia fanya hvo bana akanambia powa basi usiku mda wa kula nimekaa kwa meza na mama na baba chakula kinatengwa na dada wetu wa kazi anaitwa rose sikua naweza fanya chochote kma mtoto wa kike ata chombo sikua naweza kuosha basi baba akanamia baby nkamwambia yes dady kuna shule ipo uko tabora ndo utaenda soma mama si ameshakwambia nkasema ndio akanmbia naomba ukawe makini uko kayla na ukapambane na kusoma sawa binti angu mlembo nkasema ndio dad naelewa akanmbia sawa kesho dada rose atakupeleka ukachukue mahitaji ya shule nkasema mm sitak tembea na rose apo ni kisa mfanyakazi wa ndani nkasema nataka enda na mama au ww dad baba akasema jamani bint angu ss tupo busy nkasema dad mi nataka kwenda na ww baba akanambia okey nenda kapumzika kesho utaenda na mm nkamaliza kula uyo chumbani nkachukua simu nkamchek ney nkamwambia we ney ushaongea na mzee wako akanambia nimeongea nae baba kakataa nkamwambia jaman ney mi ntaendaje mwenywe na kesho baba anaenda nifanyia manunuzi ya shule akanambia mh ngoja ntambembeleza baba tukaongea mengine nkalala
πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
KAYLA
Sehemu ya 2
Mwandiahi; maramoja the great
Yani nilikua mvivu nikilala siamki mpkaa saaa tatu dada rose anakuja kuniamsha kwa ajili ya chai na ntajivuta atali basi asubuh dada rose kaja ananambia we kayla amka bana baba ako kasema ujiandae nkasema dada mm bado nausingizi akanambia amka bana baba anakungoja mda apo seblen ikabid niamke kwa shida nkaenda kuoga nkaavaaa jeans yangu kali na t shirt langu na vilaba vyangu niliwaka uyo atali nikafika sebleni namkuta baba ananingoja akanambia eheee mrembo wangu umependeza jamani nkamwambia thanks baba nkambusu akanambia aya kanywe chai kwanza ndo tuwah nkaenda nkanywa chai chap chap naona mama alishaenda kazin basi tukaenda parking baba akanambie ehee mrembo wangu tutumie gali gani nkamuonesha aoo mpka mliman city nilinunuliwa kila kitu cha shule tena nilikua nachagua vile expensive sikutaka kuonekana wa bei rahis weee basi na lunch tukala uko baba ndo akaniludisha sasa akanambia mm nawah kazini ww unatakiwa ulipoti shule kesho kutwa naenda weka mambo sawa ili kesho tuanze safar nkupeleke shule nkasema sawa dad basi uyo nkashuka kwa gali nkaenda zangu chumbani nkampigia ney nkamwambia shoga mm naenda shule kesho akanamba weee kayla mm mwenyewe nilitaka nkupigie baba kakubali weee nilifurah nkamwambia kweli akanambia ndio ilakama ww unaenda kesho mm ntqkukuta mana bado sijafanyiwa maandalizi nkamwambia powa shoga basi nkapumzika usiku mama kaja chumbani kwangu akanambia ebu amka kwanza nkaamka akanambia kayla kesho baba anakupeleka shule si unajua nkasema ndio akanambia sawa sasa naomba uwe makini unajua kama unaenda mikoani kwa watu ukawe na adabu kayla na ukajitume kusoma unanielewa nkasema ndio akananbia kayla ukiwa kwenye siku zako uongeze usafi ww ni binti usinuke unasikia ww nkasema ndio akanambia nimekuletea pedi za kukutosha hii term na ni kweli mm na baba atukununua pedi mama akanipa na chupi mpya nyingi akanambia ukawr msafi kayla na kusoma ndo kunakupeleka sio ss tunatupa ela alafu ww unafanya madudu mm sitakuelewa namjua mama kidg kwangu ndo mkali ila baba ni mshikaji sana nksema sawa mama nimeelewa mm darasani sikuwa vzur sana ata ila nkasema nikifika ntajitahid basi mama akanambia mambo mengi akanambia now ushabalehe usije ukaanza matamanio ya ajabu shuleni ww ni mrembo ila sisi ndo tunakupenda zaidi usidanganyike na mtu yoyote sawa heee nkasema kazi ipo mama aniamin ama anaona now ni mkubwa au kwa vile ntakua sipo nao mana nilikua nakaaa nao kipind nasoma shule ya msingi nikamuitikia mama akanambia aya leta lile begi nikupangie nkampa begi akamuita dada rose wakaanza nipangia vitu vyangu kwa begi kila kitu kikaa sawa tukatoka kupata chakula cha usiku baba akanambia kayla tunaanza safar saa 7 usiku kapumzike kidogo mrembo wangu nkasema sawa dad basi uyo mpka chumbani nkachukua simu yangu nkaagana na ney nkapumzika saa 6 mama kaja niamsha aya amka ukaoge nkaendaa chooni nkaoga nkavaaa mama akaniweka sawaa nkatoka nkakuta na baba nae kashijiandaa mama na baba wakaagana mana alikua ananipeleka baba pekeee safar ikaaaanzaaa mi nikalala zangu baba ndo busy anaendesha gali mpka kesho yake saa 1 jioni tukawa tushafika tabora nkamwambi dady mm sitak kwenda shule leo akanambia no mrembo wangu utachelewa nkasema jamani baba nae aaah akanmbia nataka uwahi masomo mrembo wangu mana wenzio washaanza toka wiki iliyopita nkasema sawa baba basi hao mpka shule, shule ilikua nzur mazkngira nilayapenda tukafika nkashuka mzee nae akashuka tukaenda ofisini baba akaandikisha nkakaguliwa na kila kitu tukamaliza basi baba ananiaga sasa nkaanza kulia akanambia nn sasa kayla apa umekuja kusoma mama angu ntakua nakuja mala kwa mala kukuona mlembo wangu usilie ata nkasema sawa dad basi matron akanmbia usilie mwaya apa mbona kama nyumbani akamuita mwanafunzi mwenzangu akasema msaidie vitu umpeleke bwenini mwenzako basi nkaagana na baba akanipa pesa za kutosha ye akaondoka basi mm na yule mwanafunzi akanipeleka mpka dom akanambia twende nkupeleke room nakaa mimi nkaona yeye kachangamka nkamuuliza ww form ngap akanmbia na mm form one kama ww ila mm nimekuja week ile usiogope mwaya utazoea tu basi nkasema swa tukafika mpka room anakaa yeye kulikua na vitnda vitatu vya kulala yeye alikua anakaa peke ake akanambia kalibu mwaya chukua kitanda hiki nkasema sante jamani mm naitwa kayla sijuh ww unaitwa nani akanmbia ahaa mimi naita sharon nkasema aya powa.