_________________________________________
Tulifika hotelin akaagiza chakula, Mimi nikasema tu chochote, wewe Mariam Kuna chakula kinaitwa chochote?
Ebu acha mambo yako agiza chakula umepewa kitabu apo uchague, alivyoona napoteza muda akaniagizia chips na nyama choma...
Zilikuja ila hata kula sikuwa naweza na sikusema, kumbe kashajua, akataka anilishe nikaguma nikalazimisha kujikaza...
Mariam nitakupiga bure, sipendi ubishi, akataka kunipiga nikadodosha tu machozi akashusha mkono, akaanza kunilisha, ata sikugoma ila nilikuwa naona aibu mno...
Nilikula Kwa shida, ata radha ya chakula sikuisikia kabisa, tulimaliza kula tukapita duka la simu, akanunua Mimi nilikuwa zangu nalia tu kimya kimya, macho yameshavimba...
Tulitoka hapo akanirudisha nyumbani kwao, bado wengine walikuwa hawajarudi, nilikaa sebuleni akageuka na wewe kulikoni? Hujui kama tunapaswa kuwa chumbani kwako muda huu au hilo nalo unataka kumbembelezwa? Ila Mariam dah Aya ngoja nipeleke mizingo nije nikumbembeleze...
Alivyosema ivyo nikainuka nakumuomba asimame, alinigeukia bila kusema chochote, nikaamua kuongea, Mudy samahani naomba nilale na Amina basi au peke yangu, niliongea uku nashusha macho yangu chini...
Nilijua tu, ukishaanza na samahani lazima umalizie vibaya, Amina haji Leo hapa, hii ni nyumba yangu walikuwa hapa kwa ajili tu ya kunipokea, yuko Kwa babu yake atalala huko ataludi kesho, lakini pia wewe sio mtoto ni mke wangu, na hili baridi unategemea kabisa nitakubali kulala peke yangu?..
Ama unanitafutia tu sababu ya kuonekana mimi mgomvi, nilimkata jicho, Mudy kumbuka hujanioa unavyonifanyia sio sawa, kisa wewe ni mjeda, ndio maana unanionea Mimi mnyonge��...
Mariam nimechoka sitaki kelele, nahitaji kupumzika kwani wewe huchoki kuongea jamani, aliongea akaelekea zake chumbani, Mimi nikaona uyu asinitanie ntalala hapa hapa seblen...
Nikajikaza nashangaa nishapigwa tax bega dah, alinipeleka moja kwa moja bafuni, Mudy nimekoma baba naomba nioge mwenyewe plz nakuomba, alinitizama akatoka, nilioga harakaharaka asijekunibamba uku bafuni, nikatoka nimevaa alibaki alinishangaa tu akanipa nguo za kulalia...
Leo vaa izo baridi ni kali sana, na zitanisaidia kujizuia, acha kuogopa nimechoka sana, japo ukinipa ata siwezi kukataa nitakula vibaya mno...
Itaendelea...��
Full sh 1000
Njoo WhatsApp katika namba 0683944333.