Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

PENZI LA MUBABA ❣️ 5

31st Jul, 2025 Views 15



Siku wakijua kuwa kinachonisumbua ni huπŸ₯Ίba la mubaba na msongo wa mawazo wa kupenda mtu mzima na sijui jinsi ya kumwelezea juu ya hsia zangu

Kibaya zaidi ananichukulia kama mtoto wake au rafiki yake nitajaribu kumfanya aone lakini sijui kama ataelewa kwa haraka

Nilikunywa chai na kisha nilienda zangu chumbani kufanya kazi zangu

Wakati nikiwa bize na kazi zangu za kusafisha chumba changu nilisikia sim yangu inaita

Nikaenda kuipokea alikuwa ni Lewis nikamuuliza habari Lewis

Alijibu sarama vipi hali yako

Nilimjibu nzuri ehee niambie

Aliniuliza vipi naweza kutoka nawewe leo

Nilimjibu hapana ninakazi nyingi zakufanya

Lewis akapaniki na kuanza kunishambulia kwani umekuwaje sasahivi yaani huna hata ham ya kuniona hata maramoja

Nilimjibu asubuhiii sitaki marumbano nawewe nawala usinisumbue

Lewis alijibu kuwa au tayari umepata mtu mwengine niambie tuu

Nilimjibu Lewis tafadhari niache na mambo yangu unapenda sana magomvi

Lewis alijibu hata ungekuwa wewe nilazima ungefanya hivi kwani wewe hueleweki sikuelewi kabisaa

Na kama kunamtu yupo anakudanganya basi jua siwezi kukuacha kabisaa

Nilichukia sana na kukata sim maana najua moyo wangu haupo kwake sijui kwanini nahisi kuvurugwa mnoo

Niliamua kuizima sim yangu na kwenda kujipumzisha kidogo

Nilipokuja kuamka muda ulikuwa umeenda nikashuka kwenda kupata chakula na baada ya kula niliona nitoke kidogo

Nilichukuwa sim yangu na kuiwasha kisha nilienda kula ice-cream

Nilisema nikikaa ndani nahisi nita changanyikiwa hivyo nilitoka kidogo kuiweka akiliyangu sawa

Nilipoona giza linaingia nikaona niludi nyumbani ilikuwa mida ya saa mbili hivi nikaenda chumbani kwangu

Nilioga na kujianda kwaajili ya kwenda kula chajioni na baada ya hapo nilipanda kitandani kulala

Nilikuwa najiuliza mpaka sasa daddy Henry hajafikatuu mbona hanipigii

Niliona hembu ngoja nimtafute mimi mwenyewe nikaanza kumpigia lakini hakuwa hewani

Niliboreka mno ila kunasim iliingia ilikuwa namba ngeni nikasema huyu nae sijui kakosea namba anataka nini

Nikaipokea na kumwambia haya umekosea namba bwana

Nikasikia sauti iliyougusa moyo wangu naipenda sauti yake huwezi amini anasauti tam yakiume hata kama ukimsikiatuu bila kumuona unaweza kumtamani

Nikatulia na kumsikiliza

Aliita Lisa halooo

Nilitikia daddy

Alijibu naam nimimi kipnzi

Nilimwambia nilikumis sana huwezi amini nimekaa na sim hapa nakuwaza wewe na nimepiga namba yako hupatikani

Henry alijibu ooh pole nilipofika sim ilikuwa imeisha chaji ndio maana nikaona nichukuwe sim ya mezani nikupigie

Mimi pia nilikumis kipnzi uko poa lakini

Milimjibu nawezaje kuwa poa wakati sikuwa karibu yako na wala sijaisikia sauti yako sasa ndio naweza kuwa poa kwani nimeongea na wewe

Henry alifurahi na kucheka πŸ˜‚jamani Lisa nikweli

Nilimjibu huwezi amini kwavile naongea nawewe kwenyesim tuu ila ungeniona ungesema kweli

Hapa nyumbani tuu wote wamekuwa na wasi wasi na mimi siku nzima hawanielewi

Henry akaniambia basi pole rafiki angu kipnzi ningejua basi ningeondoka na wewe tuu

Nilitamani kweli niliposikia hiyo kauli nikamwambia ukinielekeza naweza kuja niambie nije asubuhi tuu nitaianza safari

Henry alicheka na kuniambia tatizo nyumbani utawaagaje lazima wataogopa nisubilie tuu huko

Nilimjibu hapa najua jinsi ya kuwaaga usijali kuhusu hilo nikija nitafurahia sana

Henry akaniambia ok basi sawa nakusubili nakutumia maelekezo kwenye msg

Na nauli nitakutumia asubuhi mapema uondoke sawa rafiki

Nilimjibu ok sawa nimefurahi sana naenda kumuaga mama chumbani kwake sasa

Henry alicheka na kunijibu ok sawa kisha akaniaga na kuniambia anaenda kuoga kisha akale chakula

Nilikata sim na kufurahi sana niliondoka na furaha na kwenda chumbani kwa mama

Nilimuita mama Mama Mama nataka kukuambia jambo

Mama akaniambia haya njoo hapa niambie kipnzi changu kunanini

Nilimwambia kesho nataka niende safari kidogo kwaajiri ya risech yangu ya masomo hivyo usijali nitakuwa sawa

Mama akaniuliza unaenda wapi

Nilimjibu dodoma mama

Mama akaniambia utakuwa na nani huko mwanangu unajua kabisa haujawahi kutoka nyumbani bila mtu mkubwa sasa itakuwaje

Nilimjibu usijali mama nitakuwa sawa nimekuwa sasa naomba utamuelekeza na kaka maana namjua yule mtata

Nitatoka asubuhi mapema kuwa na amani nitakuwa sawa

Mama aliitikia basi sawa ila naomba uwe makini utanipa namba ya yule utakae end nae

Nilimjibu usiogope nafuraha sana kwa hili haya naenda kulala usiku mwema mama

Nilitoka na kwenda chumbani kwangu kwakweli mapnzi nikitu chaajabu sana yakikuingia utafanya chochote yanakuwa na kihele hele kujitokeza

Niliingia chumbani na kukuta msg kaisha niandikia Henry maelekezo na nyingine kanitumia pesa

Nilimjibu asante nimeona nitatoka mapema nitakuwa hapo

Alijibu haya lala usingizi sasa ili uwahi kuamka nakujua kwa uchelewaji hujambo

Nilicheka πŸ˜‚na kumjibu niamshe mapema sana na sim

Alijibu sawa nitafanya hivyo

Yaani nimemjua muda mfupi ila tayari nimemkaribisha moyoni mwangu sasa ananifanya kile anataka yeye hata hajui haya ndio mapnzi

Nililala hadi asubuhi nikaamshwaπŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ”₯

Endelea kufuatilia............full 1000 WhatsApp no 0742133100.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MUBABA ❣️ 5  >>> https://gonga94.com/semajambo/penzi-la-mubaba-5
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest