Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

DADA KIBOGA NA MJEDA:: 06

31st Jul, 2025 Views 10



Basi buana safari ikawa inaendelea mie tena na bakuli langu lisilonyamaza nikaona bora tu niulize kulikoni kwanii

Eti we kaka mjeda tunaenda wapii???

Kaa kimyaa hata hivo tunakaribia kufika!!!!!!!!yule kaka akajibu kwa kufoka hatari

Mie tena kiranga komaaa nikasema siulizi tenaa sio kwa majibu hayo walahiii

Basiii na kweli haikuwa mbali sana hatimae naona gari likatia nanga nnje la duka moja kubwa la nguo lipo huko sinzaa

Silijui kwa jina maana liliandikwa kwa kiingereza na mimi mwenzenu sijasoma sasa nisije kuwaongopea buree

Shuka kwenye gariiii ingia humo ndani na usinisogelee, kama kawaida ya mjeda kufoka

Nikashuka zangu kwenye gari juu ya boksi nikajinyosha matako maana daaah boksi linauma hatarii

Moja kwa moja nikaelekea dukani nilipoamrishwa na kamanda mtimkavu maana sio kwa jinsi alivyo🀣🀣🀣🀣

Karibu sana Captain Jacob, yule mdada wa mapokezi alionekana akiongea na mjeda

Loooh kumbe anaitwa Jacon loooohπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œjina zuri sura sada mama weeeh kama aliumbwa usiku tena saa nane mida ya wanga🀣🀣🀣

Afu inaonekana anajulikana hapaa na hili duka la kike huyu mjeda anaonekana malaya huyuπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜πŸ˜πŸ˜ila mimi jamaniπŸ™ŒπŸ™Œ

Unawaza nini ??? Mfuate nilisikia sauti ya mjedaaa
Uyooo sikuwaza mara mbili moja kwa moja nikamfuata yule dada ambae nilishangaaa akawa ananipitisha nnje ya duka lao

Dada ingia humo uoge na shika na mfuko huu hapa una nguo ambazo ukimaliza kuoga utazivaa na hizo nyingine utaziweka humo
Kile kidada kinaonekana kistaarabu japo mti mkavu akaongea nikapokea hata asante sina kisha nikaingia kuoga

Nilioga mie nikajisugua huku nikiwa nalalamika

Yaani huyu mjeda kanionaje mimi lakini ?? Kwamba sina nyumbani au pa kwenda au sina nguoa au kaniona nna dhiki sanaa ???

Si bora angenipeleka hata hoteli ndo kaja kunidhalilisja hapa jamani mie hata sijapenda kabisa jamani

Basi kulalama hakukunizuia kuogaaa
Nilijisugua haswa haswa kule njia kuu ya mawasiliano ya mwiliii huku nikijua ni wazi leo ntatiwa hadi akili inikae sawa

Buana weeeh hata kama akinibaka muhimu aikumbuke show tu na kwanza hakuna cha ajabu nisichokijua🀣🀣🀣🀣

Basi nilipomaliza nikasogea pembeni kidogo si haba bafu lilikuwa kubwaa nikafungua ule mfukooo jamani jaman jamaniπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Ndani ya mfuko nikakutana na gauni jekundu mama uwiiiiiπŸ™ŒπŸ™Œgauni refu waweza sema la malkia elizabeti ila zuri jamani uwiiiii

Sikuchukua muda nikalivaa yaani lilinikaaa vizuri hadi nimatamani ninitongoze mwenyewe

Uswahilini tunasema mamboπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯jamani , kike kigauni kilinichora na vile nilivyo na mshepuuu mtakooo acha kabisaaa

Kwa kinyaaa nikagusa ile minguo ya mikojo nikaiweka kwa mfuko kisha nikanawa mikono yangu

Nilipotoka nnje tu ya bafu nikakutana na Captain jacob akinisubiria

Alivoniona tu akabaki kama kaduwaa hiviii na mimi hata sikumjali nikawa najifanya mwejeji napandisha ngazi nirudi dukani

Unaenda wapi huko wewe?? Mjeda aliniuliza

Si narudi dukani au sasa mtu hunisemeshi kitu umesimama kama konda sa mimi niamue nini??

Mjeda hakuongea kitu nilishtukiwa nikifatwaa nimashikwa mkono kwa nguvu nikawa napiga kelele kwa maumivu ila hakujaliii

Nilikokotwa mimi hadi kwenye gariii kisha Captain jacob akanipokonya fuko lenye nguo za mkojo akaziweka kwenye buti

Safari nyengine ikaendelea πŸ™ŒπŸ™Œkwakweli kwa muda huo sikuonekana hata kuwa na wasi wasi kabisaa nilishakubaliana nayo liwalo na liwe

Ooooooh nimesahau yaani kwenye gari muda wote nilikuwa najiangalia jamani nikajikuta shida zote za dunia zimeishaaa nkajiona malkiaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Basi haikuchukua muda sanaa nikaona mjeda kasimamisha gari akashukaa akawa anakuja kunifuata nilipooo

Akaja hadi pale akanifungulia mlango wa gari kishaa akaanza kunikomota kama mkokoteni uliotoka tairi

Moja kwa moja tukaelekea hadi kwenye salunii

Kaa hapo na ufunge mdomo wakoo,mjeda aliniamrisha ntafanyaje tena zaidi ya kutiii si nimeyakoroga acha niyanywe

Ile kukaaa tu nikafatwa na wadada watatu wakaanza kushikashika nywele zanguu

Jamani nilijiona kama malkia ukizingatia nywele nzuri nilizowahi kusuka ni za mia tano tena hapo nimejikakamua kwelikweli maana sikuzote huwa nafunga mabutu tu mie

Buana buanaaaπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯kazi ya huko kichwani ilipomalizika wakaamia usoniii buna hehehehehe halooooooo nilinoga hatari

Sasa hivi siiitwiii dada kibogaaaa naitwa dada kiboss sio kwa kupendeza huku

Nikasimama mwenyewe nikawa najihakikisha huku moyoni nikijisifia halooo🀣🀣🀣kweli mimi mzuri buanaa ,toto la kienyeji mali saafi

Wakati najishangaa shangaaa nikashangaa nimeshikwa mkono na Captain jacobo

Nimawaza wapi tena jamaniπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œau ndo huduma zimeisha naenda kupelekewa moto😭😭😭nikajikuta naomba nakwambiaa nataja majina hadi ya vibibi vilivyokufaaa

Basi jacob akanishikaaa mkono angalau hakunikokota tenaa tukawa tunaelekea kwenyw gari na safari ya pasipojulikana ikaendelea

Itaendelea mdauπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œusikosee

Full mpaka mwisho kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DADA KIBOGA NA MJEDA:: 06  >>> https://gonga94.com/semajambo/dada-kiboga-na-mjeda-06
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest