Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

MKASA WA KWELI WA KUNGWI MCHARUKO WA KIZANZIBAR Sehemu ya Kwanza ( 1 ) *************

27th Jul, 2025 Views 12


@Kila Mtu
πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡
Naitwa safi shamsi mtoto wa kizanzibar kwetu karafuu ndio zinapotoka kila mtu anaringia na Chao kama vile tanga wanavyosema mapenzi ndipo yalipozaliwa.
Sasa jamani nimetoka zanzibar nimekwenda Tanzania bara moja kwa moja mkoani morogolo mji kasoro bahari.
Nimeenda kwa rafiki yangu Fatma salehe mtoto mwenye mambo mengi kwenye group la amsha popo.
Nimekutana nae tukasalimiana vizuri nashangaa ananiambia safi shamsi.
" Bora ulivyokuja unisindikize hapo unyagoni Kuna rafiki yangu anachezwa anaitwa vee twende tukasikilize wanamfunda nini wapo wali wengi ila mimi rafiki yangu mmoja tu vee.
" Mimi nikamwambia Fatma vee yule yule aliyekuwa kwenye kundi la amsha popo?.
" Fatma akasema ndio yule yule kumbe nimesaau na wewe rafiki yako twende tukampe kampani.
" Nikamwambia Fatma sasa mimi sijachezwa nitaingiaje sehemu iyo?.
" Fatma akaniambia wewe twende ndio anachezwa Leo twende uku niachie mimi jinsi ya kuingia ndani mule.
" Basi tukaenda njiani namuona Aisha na yeye anaenda kwenye unyago.
Nikamwambia Fatma yule si Aisha.
" Fatma akaniambia ndio yeye achana nae mweu uyo anazingua kinoma yani yeye kaolewa anaona tusiolewa kama atuna akili vile achana nae.
" Dah mimi kwa sababu mgeni nikaona nimfatishe mwenyeji wangu Fatma nikamwacha Aisha kama alivyo.
Jamani kweli tuliingia humo kwenye unyago.
Sasa uyo kungwi aliposimama anawafunda wali akaanza maneno yake.
" Naitwa kungwi mcharuko nadhani wengi mnajua kungwi mwendo kasi sasa REO nimekuja na mambo kibao ila nitasema machache.
Kwanza mujuwe zamani mapenzi yalikuwa yana usemi wao.
Mapenzi upofu.
Rakini siku izi mapenzi yametibiwa upofu wake sasa wanaume wanaona makalio wanawake wanaona pesa.
Upofu kwisha.
Tulieni niwaambie wali wangu nyinyi wanawake wa siku izi baazi yao awajitambui nataka nyinyi mukitoka hapa mjitambue.
Wanawake wengi wasio jitambua wamekuwa vivutio vya biashara za watu ukweli nawaambia.
Mtu anafungua Chanel yake ya YouTube anamchukua mwanamke asiyejitambua anaongea maneno aya.
Mimi kwa siku natumia BANDO la milioni 3.
Kuna mwengine anaongea maneno aya.
Mimi naogeshwa kwa mwezi namlipa mtu milioni 20.
Na kwa siku namlipa mtu milioni tano kwa ajiri ya kuniogesha.
Sasa musimcheke ni ujinga wa fikra unajua unapokuwa unatumika vibaya kuongopa ni wewe ndio unadhalaulika.
Ivi mwanamke REO ukae mbele za watu useme ujui kuoga kweri iyo akili?.
Kwanza unamtukanisha mama yako kwamba ajakulea kwenye misingi Bora pili utapata rawama kwenye ukoo inatokea shida ya laki na nusu unashindwa kuitatua.
Na washakuona unajinadi ujinga.
Yani unatumika kumtukana mzazi wako kwa shilingi elfu 30 huo ni ujinga nataka wali nyinyi muwe imara kwenye msimamo wa maisha yenu.
Angalieni kwenye sehemu za bar.
Mwanamke ndio anacheza bira nguo au anavaa kanga nyepesi anaimwagia maji hili avute wateja.
Wanawake nyinyi kama amtakuwa makini mutatumika vibaya kwa ajiri ya kusaidia wengine.
Kwani amsikii Kuna kumbi za starehe wanaume wanalipa elfu tano getini mwanamke bure.
Ujiulizi kwanini wewe uambiwe bure wanaume walipe.
Nataka wali wangu nyinyi muwe makini mujuwe thamani ya mwili wako wewe sio dampo upokee kila aina ya uchafu.
Najua wengi wanawake wenye tabia izi kama wapo kwenye unyago huu wanachukia ila chukieni naitwa kungwi mcharuko ukinichukia shauri yako.
Ata usemi wa waswahili unaosema damu nzito kuliko maji.
Umeshapita na wakati siku izi damu nyepesi kuliko ata ayo maji.
Ndugu yako ndio mchawi NO 1 ukiyumba kimaisha anafurahia.
Sasa wali wangu nataka mujuwe kitu kimoja wanaume wengi wanaoa ila awajui kuishi na mwanamke.
Wewe mwanamke ndio unao uwezo wa kufanya mumeo aishi vipi?.
Wake wengi awajui izi siri nitawapa nyinyi siri za kufanya waume zenu wawasikilize.
Ivi Ushangai nyumba ndogo aziendi dagaa wala bamia na nyanya chungu akakoroge mrenda.
Ivyo vinakuja kwako wewe mke.
Sasa nataka nyinyi wali wangu mujuwe ujanja wanaotumia nyumba ndogo kuwapumbaza akili wanaume za watu kupitia unyago huu.
Nataka mkafanye kwenye ndoa zenu.
Sitaki muwe wajinga wajinga yani unalia umeibiwa mume.
Nataka mjifunze yale mapenzi ya kumteka mume nyinyi amjawai kusikia diwani katekwa.
Sasa mnataka na nyinyi waume zenu watekwe.
Nasemaje sina mengi ni unyago wa siku Saba reo nimefungua tu mengi yanakuja nataka muwe makini kweli kweli na aya masomo.
Mwanamke asiyechezwa ndio anapelekwa kwa mpalange.
Na kama kachezwa basi ndio wale wali vigwego yani vichwa vigumu.
Wewe ni wa thamani na mapenzi yana njia yake na kama utakuwa makini kusikia atua za mapenzi yani nitakuelekeza izo njia mumeo ata siku moja awezi kukuomba kinyume na maumbile.
Ni dhambi kwa mungu.
Ni maladhi makubwa kwako mwanamke unajitengenezea.
Najua wanaopelekwa kwa mpalange watachukia ira rengo langu wali wangu.
Muwe spesho kwenye huu ulimwengu wa wanaume wanapenda kufanya mambo ya ajabu juu yetu wanawake kwa REO naishia hapa kesho naanza na somo la kitandani moja kwa moja nataka ujue siri ya kitandani kwanza sawa?.
" Wali waliitika sawa.
" Na mimi moyoni nikasema kesho nakuja nijuwe siri ya kitandani.
Nikatoka na Fatma hao tunaondoka njiani nashangaa naitwa mimi.
" Oya dada samahani nisubiri.
" Mimi namwambia Fatma twende hao si wanaume wanaopenda kutongoza ovyo.
" Fatma akaniambia apana subiri tumsikilize kwanza anasemaje?
" Basi nilisimama kwa ajili ya Fatma akaja yule kaka ata simjui.
" Akaniambia safi shamsi umenisaau?.
" Jamani nikashangaa kwanza uyu kanijuaje jina langu na mbona mimi simjui.
Nikamwambia wewe ni nani?.
" Akaniambia safi inamaanisha umenisaau kabisa habari ya zanzibar safi shamsi mtoto mzuri.
" Nikashangaa tena kutaja zanzibar nikamwambia samahani kaka naomba uniambie wewe ni nani?.
" Yule kaka akaniambia samahani safi naomba kama autojari twende nyumbani kwangu tukaongee vizuri nikutamburishe vizuri.
" Sasa Fatma akaniambia twende uyu nadhani anakujua sasa twende tujue anakujua vipi?.
" Nashangaa na mimi nakubari kwa sababu rafiki yangu Fatma si kaniambia twende na yeye ndio mwenyeji wangu.
Tukafika nyumbani kwa uyo mkaka.
Chumbani kwake kabandika magazeti ukuta mzima yani nacheka kimoyoni uku nasema shamba ni shamba tu sasa aya magazeti ndio rangi au.
" Yule mkaka akampa Fatma chupa mbili za soda akasema.
" Dada samahani naomba wewe ukanunue soda ya safi na yako.
" Fatma akachukua chupa akasema safi nakuja.
" Mimi nikakaa kwenye stury kumbe stury mbovu.
Sijui mtego na mimi nina mituta si ile ya kishangingi sana ila makubwa kg 8 unapata kama yangekuwa yanakatwa yanapimwa.
Jamani nakaria stury nikaanguka chini puu.
" Yule mkaka akaniambia pole safi.
Panda kitandani kwanza nikuangalie aukuumia.
" Na mimi kwa sababu ya wenge si nikajikuta nimepanda kitandani.
Sasa nashangaa kaka yule ananigusa matuta yangu ananiuliza.
" Safi yanauma au?.
" Namwambia ayaumi.
Jamani nashangaa anayaminya minya sasa nikaona mmm aya sio tena kukaguana maumivu ni mambo mengine nashangaa Fatma na yeye arudi.
Yule kaka anapanda kitandani.
Dah yani........πŸ€”πŸ€” Nyieeeee....Mambo ni ya motooo.πŸ˜‚ Kwani wewe auogopi Usipite bila kulike na kukomeniti fanya ku share kabisa ili sehemu inayofuata isikukose maana ndiyo sehemu balaaaπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯.
Jamani comment zenu zikiwa nyingi naleta mwendelezo fasta.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MKASA WA KWELI WA KUNGWI MCHARUKO WA KIZANZIBAR Sehemu ya Kwanza ( 1 ) *************  >>> https://gonga94.com/semajambo/mkasa-wa-kweli-wa-kungwi-mcharuko-wa-kizanzibar-sehemu-ya-kwanza-1
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
offa ya msimu wa nanenane
offa ya msimu wa nanenane

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

majario rewards 100 Comments 0
 

A.J.A.D SE03 EP02

majario rewards 100 Comments 0
 

Simulizi: MAPEPE **

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest