Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Pyar Ho Jane Dushman

πŸ“πŸ“ ILA KWA MPARANGE 😒 Sehemu ya sita.

27th Jul, 2025 Views 92



πŸ‘‰ Mke wangu....πŸ‘‡

( Mke akawai tenge kuvaa uku anamshangaa baba mkwewe analia)

" Yalaa mguu wangu.

" Mke wangu ulikuwa unafanya nini na baba yangu.

( Anataka kumpiga tu..baba mtu anasema)

" Usimpige nilikuwa natengeneza umeme juu uko nimedondoka mguu wangu jamani.

( Mwanawe kuangalia kichwani anaona utandabui kibao mixsa mivumbi akasema ni kweli kimoyoni mala mama yake anaingia)

" Wewe mzee ubishi umekuponza nilikwambia ita fundi umepanda mwenyewe ona sasa unataka kuvunja mguu utakuja kufa kwa ubishi wako.

" Tatizo dogo tu nimwite fundi kweli.

( Basi mtoto mtu anamnyanyua baba yake anamtoa nje anaita bajaj anampeleka hospital kwa uchunguzi zaidi uku soo limekwisha uku halima anawaza nyumbani...umeme ulikuwa na shida gani mbona ulikuwa unawaka uyu mzee alikuwa ananichungulia mimi tu ana lolote nitamwambia mume wangu tuhame hapa...........mawazo yalimshauri ivyo akawa anaitwa na mama mkwewe)

" Mwanangu.

" Abee.

" Nenda katafute majani ya mnyonyo baba yako akitoka hospital nimnyoshe mguu.

" Sawa.

( Halima mtoto wa uswahirini majani ya mnyonyo anayajua ndio akaenda kutafuta uku anampigia simu shoga yake sauda anamwambia mkasa uliotokea wote sauda akampa ushauri)

" Hapo mwambie mumeo muhame uyo baba mkweo atakubaka.

" Ata mimi nimewaza ivyo.

" Sawa acha na mimi nimsubili mume wangu maana kaniambia ana maongezi na mimi marefu.

" Aya shoga maongezi mema acha nipeleke mnyonyo kwa mama mkwe.

" Sawa.

( basi aliludi na mnyonyo ule bahati nzuri akakutana na mume wake kasharudi hospital na baba yake mkwe kalala)

" Mke wangu ayo majani yaweke Kesho atanyoshwa nayo saizi ameshachuliwa hospital na dawa Kwaiyo tusichanganye madawa.

" Sawa mume wangu.

( Basi Walilala usiku sana halima anamwambia mumewe)

" Mume wangu Samahani kama nitakukwaza naomba tuhame hapa kwa wazazi wako.

( Halima anaongea sauti ya chini...ila mume akajibu kwa hasira)

" Wewe akili unazo kweli baba mjini hapa anazo nyumba nne mimi nikapange.

" Mume wangu saizi usiku punguza sauti.

" Napunguzaje unanikwaza.

" Basi twende tukakae kwenye nyumba nyengine.

" Wewe cha kunitenganisha na wazazi wangu ni kifo tu sio mke wala mtoto kiufupi wazo la mimi kukaa mbali na mama yangu na baba yangu alipo.

" Basi yaishe.

" Sawa.

( Walilala uku halima anasema kimoyoni nimeingia kwenye ndoa ya mateso asubuhi akamshauri tena)

" Mume wangu basi tuzibe hapa juu.

" Mke wangu mbona unapenda ujuaji mimi nimezaliwa nimekua kwani hapo sipaoni yani nikosoe ujenzi wa baba hapa juu wewe kuna kukela nini acha ujinga.

" Nisamehe mume wangu.

( Akaondoka kazini pesa ya kula anampa mama yake mzazi yani mke ashiki pesa yoyote akawa anajiuliza)

" Hii ndoa kweli nitacheza ata mchezo wa 1000 kweli ikiwa pesa sipewi anapewa mama mkwe.

( Anawaza ilo anasikia anaitwa na mama mkwewe anaambiwa)

" Bandika maji yawe ya uvuguvugu alafu mnyoshe baba yako mguu mimi naenda sokoni kununua vitu vya kupika.

" Sawa mama.

" Chengine punguza mdomo mwanangu usiku nimewasikia mnayoongea.

( Halima akakaa kimya...akusema Neno mama mkwewe akaondoka akabandika maji na baba mkwewe akajisogeza sebuleni akanyosha mguu halima akaanza kumchua anashangaa baba mkwe anasema)

" Halima una umbo zuri sana ukiwa na siri utapata utajili wa siri siri halima.

( Neno utajili likamstua akauliza)

" Utajili gani?

" Angalia pesa izi.

( Halima anaangalia kweli pesa zipo mkononi kwa baba mkwewe ajatoa jibu baba mkwe anasema)

" Kuna mpangaji amenipa kodi ya miezi sita na mama yako ajui izi nataka ziwe zako ila uwe na siri tu.

" Siri kivipi?.

" Halima mkubwa wewe unataka kuwa kama mtoto vile hapa uwezi kutoka na pesa mume wako anampa pesa ya matumizi mama yake ata wewe ukitaka kusuka atakusuka mama yake nguo utanunuliwa na mama yake sasa jiongeze mumeo anampenda mama yake wewe nipende mimi kimya kimya utakula asali halima.

" Nifafanulie kwanza.

" Nataka uwe mpenzi wangu wa siri sio siri umbo lako limenichanganya Shika pesa kwanza hii kabla mama yako mkuda ajaja alafu nipe jibu tutakuwa wapenzi.

( halima akachukua pesa anawaza ampe jibu gani mzee ambaye kapagawa na umbo lake mzee akamuuliza)

" Nipe jibu basi halima tutakuwa wapenzi wa kimya kimya?

ITAENDELEA

FULL TSH 1000
NAMBA YA MALIPO NI 0657774735
Jina MKEGANI MPONDA MTANDAO ni TIGO.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

πŸ“πŸ“ ILA KWA MPARANGE 😒 Sehemu ya sita.  >>> https://gonga94.com/semajambo/ila-kwa-mparange-sehemu-ya-sita
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Pyar Ho Jane Dushman
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

majario rewards 100 Comments 0
 

A.J.A.D SE03 EP02

majario rewards 100 Comments 0
 

Simulizi: MAPEPE **

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest