Story na Nash
Tsap 0773792227
"Kuhusu jana nisamehe😒😒, badala ya kukata simu niliizima kabisa☹☹....pengine ni kwa sababu nilikuwa nimechoka😥" Mariah alijitetea kabla hata hajaulizwa😆
"Inaonekana unachoka sana🤌, nilivyokuwa Chuo nilipenda kuimba🤔🤔...huwezi amini nilitumia muda mwingi kufikiria namna ya kuwafurahisha mashabiki zangu☹☹, hivyo matokeo ya mwaka wa pili yalikuwa mabaya sana🙌🏾" Max alijikuta akitunga uongo😅😅😅
Mariah aliachia tabasamu kwa namna Max anavyoongea😅, alijikuta akimkodolea macho badala ya kusikiliza vitu anavyoambiwa🙌🏾.
"Kampuni langu litaajiri Wafanyakazi wapya hivi karibuni😌😌.....ningefurahia kama utakuwa mmoja wa Wafanyakazi wapya🥰. Sijui tu kwanini lakini natamani niwe na kuona muda wote.😊😊 Sehemu pekee ya kukuona ni hapa ofisini kwangu🤗" Max aliongea
Mariah hakuwa akimsikiliza hata🙌🏾, akili ilikuwa inawaza kama Max angekuwa anaishi maisha ya kimasikini angeonekanaje☹☹☹!
Max aligundua Mariah hasikilizi maneno yake😒, aligeuka nyuma aone kama kuna mtu amemteka akili lakini hakuepo🤔🤔.
"Unawaza kitu gani🤔...." Max alimuongelesha kwa sauti ya juu kidogo🙄
"Kama ungezaliwa Mwanamke nina uhakika Wanaume wa Kigali wangeshikiana visu kwa sababu yako🤥🤥" Mariah aliongea
"Kwanini unasema hivyo🙌🏾...." Max aliuliza
"Una uzuri wa kipekee😒😒...." Mariah aliongea
"Njoo kesho ofisini kwangu ni kufanyie interview😌....nitakufanya kuwa Secretary wangu wa pili🤥🤥..."
Mariah anapaliwa mate baada ya kusikia kapewa nafasi ya upendeleo😅😅
"Umemaanisha?🙄...kwahiyo nisiende kazini leo!🙄 namaanisha niandike barua ya kuacha kazi🤥🤥?" Mariah aliuliza maswali mfulilizo😅😅😅
"Huna haja ya kufanya hivyo tena🙌🏾.....na kwanini unapenda kuvaa viatu vya mtumba🤔🤔" Max aliongea huku akiliangalia duka alilotaka kuingia😥
"Pesa yangu ina ruhusu kuingia hapo😫, usiniambie utanifanyia shopping ya viatu🤥🤥" Mariah aliongea
Max alitabasamu kwa namna Mariah anavyo changamkia fursa😅😅😅.
Kwa pamoja waliingia katika maduka ya viatu vya kike
Max alimpa ruhusa ya chagua kiatu chochote anachotaka🤗🤗
"Pesa alizonazo mfukoni ni za Baba yangu🤔!" Mariah alijisemea kisha akaanza kuchagua viatu kwa fujo
Wauzaji walihisi anachukua viatu kwa ajili ya kufanya biashara😅😅. Ilimlazimu wamuuzie kwa bei ya jumla🤣🤣🤣.
Max hakusumbuliwa na hiki kitu🙄, alilipia pesa kisha wakaondoka🙌🏾
"Hakikisha kesho unakuja ofisini asubuhi na mapema😉....nitakufanyia interview sitakuwa na huruma na wewe😄. Kuanzia sasa anza kufikiria kwanini unataka kuwa Secretary wa Kampuni la Green Tea majibu utakayopata ndio yatatumika siku ya kesho🙌🏾" Max aliongea kisha akalipia gari ya abiria
Mariah anarudi nyumbani akiwa na furushi la viatu😅😅.
"Max mtoto wa yule mchepuko aliyesababisha siye tuteseke ndio kakununulia hivi viatu,🙄🙄?...kwahiyo tayari mmeanza kuongea😒,?....kama ndiyo anza kumuambia aandikishe majina yako yote kwenye mali zilizoachwa na Baba yako🙄🙄" Paulina aliongea huku machozi yakimlenga, ni wazi hakuamini kama Mtoto wake anaanza kupiga hatua kubwa namna hiyo😔
Mariah alimkumbatia Mama yake😔😔,
"Kila kitu kitarudi kwetu🙌🏾, kila kitarudi katika mkono wako😫....ni swala la muda tu, naomba usichanganyikiwe Mama😪😪"
"Naamini hautaniangusha katika hili.🥺🥺.." Paulina aliongea kisha akaanza kuvikagua viatu vyote
Aliachia tabasamu baada ya kuona Mariah kaanza kutumia pesa za Baba yake😊😊.
Upande wa Sandra( Mama yake Max) akiwa chumbani kwake alijikuta akimkumbuka Paulina😌.
Ni muda mrefu umepita bila wawili hawa kuonana☹☹....hakuwa akielewa kama mtu huyu yu hai au amekufa🙌🏾
"Siyo kosa langu😔, mlaumu marehemu Mume wako kwa kuona Kijana wangu anafaa kuwa mrithi wa mali zake😌😌." Sandra alijisemea huku akishushia mvinyo🍷
Kulivyo pambazuka asubuhi Max akiwa bado amelala alijikuta akiota yupo ana mshughulikia Mariah.🤣🤣🤣🤣
Akiwa ana karibia kufika kilele cha Mlima Evarist alishindwa kujizuia kugugumia.🤣🤣🤣🤣
Sabrina akiwa kasimama kwenye mlango wa Kijana wake alijikuta akipanic baada ya kuhisi Kijana wake kaleta Mwanamke chumbani🤨🤨🤨.
Aliziba masikio yake😒😒, hakuwa tayari kusikiliza umalaya wa Kijana wake🙌🏾.
Baada ya sekunde 20 hivi mlango ulifunguliwa🤥, hakutaka kujua Kijana wake atakuwa kavaa au hajaa vaa aliingia kwa pupa🤨🤨.
Alianza kumtafuta kahaba aliyeingizwa na Max bila yeye kupatiwa taarifa🤌. Alitafuta huku na kule lakini hakuambulia kitu☹, hakutaka kukubali kushindwa🤔🤔.....alipiga mruzi mbwa wake mwanaminifu akaja.😟
Alimpa kazi ya kutafuta kahaba wa Max lakini hakuambulia kitu😳😳
"Max!... usiniambie ulikuwa unajichua!😳😳....ni muda wa wewe kumiliki Mwanamke.🙌🏾 Acha kujichua mbwa wewe😳😳😳" Sandra aliongea kisha akaondoka huku akilalamika🙌🏾
Max aliuangalia uume wake😌, alijinasua vibao kwa kuchafua mashuka akiwa pekee yake😌😌😒.
Mariah akiwa barabarani alitembea kwa haraka akiwa kavaa mavazi ya heshima😒. Alikuwa na shauku sana ya kusikia maswali ya interview yatakavyo kuwa🤥🤥.
Secretary Jose baada ya kumuona Mariah alimuangalia Max😅😅🤌
"Niruhusu nimfanyie interview mwenyewe🙌🏾, natamani Kampuni lako liwe na Wafanyakazi warembo na wenye uelewa kuhusu kazi yao😒"
"Upo sahihi hakikisha una zingatia kanuni na sheria zote za interview🤨, nitakuwa mtazamaji wa namna interview inavyoenda🙌🏾" Max aliongea
Mariah aliingia katika chumba cha Interview, Secretary Jose alirekebisha miwani kwa mkwara uliomshtua Mariah🤣🤣🤣.
Kitendo cha Max kukaa pembeni kilimfanya Mariah ajione yeye ndio alistahili kukaa sehemu hiyo.🤨🤨
Hivyo badala ya kumsikiliza Secretary Jose alianza kufikiria kama angekuwa CEO wa Kampuni hili kitu gani angefanya😒😒
Itaendelea
Nash stories
Tsap 0773792227.