Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

SIMULIZI: DADA KIBOGA NA MJEDA SEHEMU YA 01

27th Jul, 2025 Views 68


Dada Kiboga DAda kibogaaaa hehehehe๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜halooooo ndo jina langu wanaloniiita watu wa mtaani kwetu hehehehehehehe uwiiiiiiiii si refu si fupi si la katikati kote halipoooo,india halipo jehenamu alipo ,mbinguni halipooo lipo mtipesaaa a.k.a mti wa mipene

Em ngoja kwanza nikakojoe halafu narudi nna mengi ya kunena lakini kojo linanizuiaaa๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Kheeee๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ!!!!!!!!kwa hili foleni kama nipo kimara nagombania mwendokasi kwa kweli siwezi acha tu nilibane kojo nije niwape story๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œshogaaa weeee ?????mbona kimyaa???
Nikisema shogaaa weeeeeh ,itikia pambe tuuuuu๐Ÿคฃ
Aya tuendeleee maana nna story hadi napaliwa mwenzenu

Mi mwenzenu naitwa KIBOGA RAMADHANI MFINANGA. si mmeona jina langu la mwisho enhe??basi msiniulize sana mpare mie sina baya sina kona sina dhambiii

Naishi zangu mtipesa karibia na luhanga na si haba maisha kwangu yanasonga sina njaaa kama kinyago cha mpupule bwana weeeh

Shule shule????usiniulizeee nkakuvunja mbavu nnachokumbuka ni mbili mara moja nne basi hakuna nilijualo la saba tu sikufika nikakimbia sikuona nnalo lijua mie๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ na sijui kama io tebo nimepati๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ aya ngoja nikupe upechee nadhani nshajitambulisha mnanijua

Basi buana siku hio kama kawaida yangu nimeamka zangu saa kumi na mbili ,nikapitisha fagio chumbanj kwangu nilipomaliza nikaona
papo pambeee๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œhehehe mambo waruaaaaaaa

Mswaki wangu uko wapi jamani?mmmmh si niliuweka hapa??

Anhaaa huu hapa ,basi bana nikachukua zangu mswaki na maji kwenye ndoo moja kwa moja nikaelekea zangu bafuniii

Khaaaa!!!! Jmn ????? Ndo foleni hiliiii?? Ama kweli ustaajabu ya musa uyaone ya dada kiboga kiboga mwenyewe ndo mimi

Halooooo kantangaze๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃkama desturi majirani waliponiona tu najiongelesha wakaanza kujichekeshaa chekeshaaa ,si umaarufu tu mi ni mtu wa watu hivo hata sijishangai๐Ÿคช๐Ÿคช

Embu jamani nipisheni nioge miee naona mmekaa asubuhi subuhi mnapiga umbea mi nkajua mnaogaa hehehee๐Ÿคฃna sijayasikia mama musa baadae uje saluni unipashe nisijekonda mie

Niliongea hayo huku nikiingia bafuni,majirani wenzangu baadhi walininyari na wengine walitoa minjisti ila hata sikujali maana hakuna cha ajabu cha kunishtua

Basi nikaingia zangu kuogaaa nikajisugua na dodoki hadi nikatakata nikatoka huyooo kama mshale majirani wenzangu wote wakawa wananiangalia

Mie hata sikujali nikatingisha kalio pwitu pwiti๐Ÿคฃ๐Ÿคฃkisha nikaelekea ndani

Sinaga baya kwenye kupendeza hakuna vijora vya sherehe au toleo jipya linalonipita hivo nilivaa zangu kijora cha gold hiko nikatoka zangu huyoooo kwenye pilika pilika zangu za kila siku

Basi njiani kilamtu alikuwa akinishangilia waweza sema mama samia uwiiiiii๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃnasikia raha maana wakiniita dada kiboga mie bichwa hilooo hahaha

Dada kiboga dada kibogaaa nakuja shogaaa anguuu , huyo si mwengine bali mama bonge shoga angu toka nkutoke

Njoo shoga nikutengeneze bichwa hilo lipendeze nikamjibu akacheka kisha nikaendelea na safari yangu

Itaendelea๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œusikose

DADA KIBOGA NA MJEDA 02
Ilipoishia

"Njoo shoga nkutengeneze bichwa hilo lipendeze nikajibu akacheka kisja nikaendelea na safari yangu

Haikuchukua muda nikafika kwenye saluni yangu ambayo inakaribiana na shule ya kawawa nlosoma shule ya msingi, ๐Ÿคชgenious

Sjui nifungue ?? Au ngoja kwanza nisalimie majirani zangu

Mama vitumbua za wewe? Salama kiboga naona ndo umefika aliongea

Ndomanake nishatia nanga watu wote mwatikisika halooo hehehehe๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œswadakta

Unajua vitumbua vyako navikubaligi sana hadi naogopa nikila kimoja napagawa kama chakula cha ubongo๐Ÿ˜œnikajikuta naropoka lengo tu anipe nionje na hata mia mfukoni sina

Si eti?mama vitumbua ....moja kwa moja nikapeleka mkono nikanyakua kimoja halafu huyooo๐Ÿคฃ

Mmama wawatu kasikitika mpaka basi mi hata sikujali hapana chezea mie

Nikarud zangu nikafungua nikafanya fanya usafi wa hapa na pale kishq nikakaa sasa kusubiri wateja maana sikuwa na wazo la kula kwa mda huo kitumbua kimoja kilinitosha

Mmmh kumepoa sana leo jamani hadi saa sita sijaingiza hata hamsini jamani mmmh au kijora cha gold kinafanya nionekane tajiri kiboga mie??

Nlijisemesha hapo kisha kisha nkafunga bakuli langu

Uwiiiii nusu saa ilipita bado hakuna mmmmh leo hatarioo

Gruuuuuu gruuuuuu gruuuuu puuuiuuuuuh

Hzo ni sauti za tumbo zilizokuwa zikinilalamimia kwa njaa kali niliyokuwa nayo

Sjui nini ntakula mbwa mimi leo mia mbovu sina na nna hamu ya supu hatariii

Basi si muda akapita mkaka mhandsome huyo halafu anaonekana wa kishua ,saa ngapi nusianze kujichekeshachekesha
Kila akiniangalia mie nacheka kila akinigeukia mie kwaaaakwakwakwa๐Ÿคฃ๐Ÿ™Œ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃkama kichaaa mstaafu vile

Kaka wawatu akasimama akanitazama nikawa namwona ananifata upande wangu nkasema yes kiboga nimewin hapa supu ya 500 sikosi mieee๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Dada habari?kaka akanisalimia mie tena nkamjibu poa ninunulie supu nna njaa๐Ÿคฃ๐Ÿคฃnkaon nijiongeze nisilete mambo mengi

Kumbe hio ndo sababu ya wewe kukenua kenua ovyoo??njaa tuu??mi nidhani kichaa yaani ndiomana nyie wadada mnajazwa hovyoo tamaa tu mfyuuuuu,yule kaka alipomaliza kuongea tu nkasem huyu katia petrol kwenye jiko la mkaa sasa leo ngoja. Nitafute hela ya mchele ya mwezi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

We kaka unasemaje??unaropa nini??hunijui enheee???

Kwani una maajabu gani hadi nikujue ?umejaa uswahili tu na unavoonekanA shule hamna

Basi hapo ndo nikaona fursaaa
Kweli matajiri mnatunyanyasa sanaa mnooo jamani๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญmimi kosa langu kukuomba supu ya ,500 tu gari kubwa lote huna mia tano๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญunanitukana kuwa sijasoma unajua nimepitia maisha yapiii yatima mimi๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Nakwambia nililia hapo mfiwa akasomee ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œhapana chezea dada kibogaaa haloooo

Weeee dada vipi mbona sikuelewi??yule kaka tajiri akaniuliza huku akinitazama

Unanionea maskini mimi hiiiiii๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญhiiiiiiiiiiii๐Ÿ˜ญ

Kiboga kiboga vipi shoga anguu mbona unalia?si mwengine bali mama bonge mcharuko mwenzangu atoke yeye niingie mimi
Aliponiangalia tu nikamkonyeza pwitu๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œakaelewa shooo maigizo yakaanzaaa

We kaka umemfanyaje kiboga wangu huyu haliagiiii ana moyo mgumu kama jenereta ,eti we kaka??
Mama kibonge alimuuliza

Iiiiiiiiiiiiiih iiiiiiiiiih๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญmie tena ndo nikaona nafasi ya kulia acha niongeze mafuta kazi iendeleeeee kwanini sauti inikauke?? ๐Ÿคฃ
Nikasogelea chupa la maji nikanywa kisha nikaendelea kulia ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Saa ngapi watu wasianze kujaaa eneo letu tena walivo wambea wakapanga mduara kama watoto wanacheza ukuti ukutii

Aaaaah buana mie mwenzenu siogopagi watu ndo nikazidi kujilizaaa๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

Kaka wa watu saa ngapi asione soo akaanza kuondoka

We kaka hela yangu, ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญhujanipa hela yangu mimi

We kaka emu acha utapeli mlipe shoo wangu hela yake, mama kibonge
A. K. A mama kibo shoo wangu akatia msumarii

Kaka wa watu saa ngapi asione aibu , nkamuona anarudi nyuma
Akatoa pochi akahesabu noti tano akanipaa halafu akabaki nazo nyinginyingi๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Nkasema weeeeh usintanie kwa afu hamsini mama kibo ntamlipa nini??

We kaka๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญbado tanoooooo๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Hee kiboga umezidi na wewe khaaa, mama kibo akaninong'oneza

Embu tulia mbu wewe sikilizia shoo

Sjui ndo aibu au nini kaka wa watu hata hakunisikiliza alinikata chijo mwanaukome akatimka

Na mie sikukaa kizembe nilimkata jicho la mwanahisaya nikamsindikiza kwa machoo๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Aya shoo nambie lile ndo buzi jipya au?? Maana mbwa wewe hutuliagi kabisaa

We mama kibo unikome kwanza huna afu tano hapo?? Nilimuuliza

Shoo ndo unataka unipe afu tano kweli? Mama kibo aliniuliza

Wewe sema unayo au huna? Unanijuaga sichelewagi kuyumbisha Antena hata mia hutopuna we jifyatue

Basi kiboga afu tano hii hapa, mama kibo akanita afu tano nkampa msimbazi tukagonga akaondokaa

Basi mie tena nikajiona fundii balaaambabe wa kwendraa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Sema ngoja nikanunue mchele mie kilo 15 zinatosha miezi miwili inapitaaa, sema sjui ntapata ile ya kilo 1400๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œem ngoja kwanza niwahi kwa Baba chogo mie

Basi nkafunga salunii yangu safari ikaanzA kwa baba chogo hukoo external kutoka mtipesa nauli jero tu, na sikuona sababu ya kupoteza nauli nikampitia mama kibo tukaanza kutembea huku tunapiga sogaaa ๐Ÿ™Œ๐Ÿคฃ๐Ÿ™Œ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃhaloooo

Njia nzimaaa dada kiboga twakuonaa sie wapi hio??

Mie sasa mjibuji๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

Naenda kwa baba chogo kununua mchele wa mwezi๐Ÿคฃ๐Ÿคฃsina sili mbwa mie

Basi hatukutumia muda sana kama mjuavyo safari safari ya wawili tena wambea juu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃtukafika zetuu shwaa

Baba chogo baba chogooo za masiku??

Salama dada kibo za kunisusa??
Bwana weeeh baba chogo unasuswaa au unapumzishwaaa

Embu kwanza nipe mchele wa 1400 kilo 15 miee nipunguze bajeti ya mwezi mzima si wanijua tena nilivo sina baya sina kona sina dhambii haloo๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ

Basi acha maneno mtoto wa kike ,mfuko ukowapi nikuwekee mchelee?baba chogo aliniuliza

Buana mi ina mfuko

Sasa nikuwekee wapi mchele wote huoo

Weka humu humu humu ,nikamsogezea mdomo na alivo chenga akamimina kweli mchele๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃmie na shoga tukacheka nkabaki nautafuna tu huku baba chogo anasikitika tu

Basi akanipakia kwenye kiroba nikanunua na mafuta ya afu tatu huyoo,kiroba kichwani ndala mkononi natembea pekupeku kuelekea nyumbani huku mama kibo akiwa pembeni yangu mpambe wangu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Uwiii jamani tukutane sehemu ya pili msishangae sana uswazi ndo kwetu na kwetu ndo mimi yaani mimi ndo uswazi๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Niite dada kiboooooo aka dada kibogaaa

Itaendelea

Soma mpaka mwisho kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005
๐‘ต๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’๐’Š๐’‘๐’ ๐‘ฝ๐’๐’…๐’‚๐’„๐’๐’Ž ๐‘ด ๐’‘๐’†๐’”๐’‚ 0743433005 ๐’‹๐’Š๐’๐’‚ ๐‘จ๐‘ฎ๐‘ถ๐‘บ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ต๐‘ถ
๐‘ผ๐’Œ๐’Š๐’๐’Š๐’‘๐’‚ ๐’๐’Š๐’„๐’‰๐’†๐’Œ๐’Š ๐‘พ๐’‰๐’‚๐’•๐’”๐‘จ๐’‘๐’‘ ๐’Œ๐’–๐’‘๐’Š๐’•๐’Š๐’‚ ๐’๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ +255743433005 ๐’๐’Š๐’Œ๐’–๐’‰๐’–๐’…๐’–๐’Ž๐’Š๐’†.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SIMULIZI: DADA KIBOGA NA MJEDA SEHEMU YA 01  >>> https://gonga94.com/semajambo/simulizi-dada-kiboga-na-mjeda-sehemu-ya-01
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

majario rewards 100 Comments 0
 

A.J.A.D SE03 EP02

majario rewards 100 Comments 0
 

Simulizi: MAPEPE **

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest